Tito 3 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Tito 3:1-15

Kutenda Mema

13:1 Rum 13:1; 2Tim 2:21Wakumbushe watu kuwanyenyekea watawala na kuwatii wenye mamlaka, wawe tayari kutenda kila lililo jema. 23:2 Efe 4:31; 2Tim 2:24Wasimnenee mtu yeyote mabaya, wasiwe wagomvi, bali wawe wapole, wakionyesha unyenyekevu kwa watu wote.

33:3 Efe 2:2, 5, 8; 1Kor 6:11Maana sisi wenyewe wakati fulani tulikuwa wajinga, wasiotii, tukiwa watumwa wa tamaa mbaya na anasa za kila aina. Tuliishi katika uovu na wivu, tukichukiwa na kuchukiana sisi kwa sisi. 43:4 Efe 2:7; Tit 2:11; Mit 8:31; 1Tim 2:3Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa, 53:5 Efe 2:9; Rum 12:2; 3:20; 9:11; Gal 2:16; 2Tim 1:9; Yn 3:3, 5alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu, 63:6 Rum 5:5; Eze 36:25; Yoe 2:28; Yn 1:16; Mdo 2:33; 10:45ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu, 73:7 Rum 3:24; 8:24; Tit 1:2ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele. 83:8 1Tim 1:15; Tit 2:14Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.

93:9 1Tim 1:14; 2Tim 2:14Lakini jiepushe na maswali ya kipuzi, mambo ya koo, mabishano na ugomvi kuhusu sheria, kwa sababu hayana faida, tena ni ubatili. 103:10 Rum 16:17; 2Kor 13:2; Mt 18:17; 2The 3:6, 14; 2Tim 3:5; Yn 10Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena. 113:11 Mdo 13:46; 1Tim 6:4, 5Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye amejihukumu mwenyewe.

Maneno Ya Mwisho Na Kumtamkia Baraka

123:12 Mdo 20:4; 2Tim 4:9, 21Mara nitakapomtuma Artema au Tikiko kwako, jitahidi kuja unione huko Nikopoli, kwa sababu nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya baridi. 133:13 Mdo 18:24Fanya kila uwezalo uwasafirishe Zena yule mwanasheria na Apolo na uhakikishe kwamba wana kila kitu wanachohitaji katika safari yao. 14Watu wetu hawana budi kujifunza kutenda mema, ili waweze kuyakimu mahitaji ya kila siku, wasije wakaishi maisha yasiyokuwa na matunda.

153:15 1Tim 1:2; Kol 4:18Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.

Neema iwe nanyi nyote. Amen.

Knijga O Kristu

Titu 3:1-15

Činiti dobro

1Podsjećaj ih da se pokoravaju poglavarima i vlastima, da budu poslušni i spremni na svako dobro djelo. 2Neka ni o komu ružno ne govore, neka se ne svađaju i neka budu popustljivi, vrlo blagi prema svima.

3I mi smo nekoć bili nerazumni, nepokorni, zalutali u ropstvo raznih požuda i grešnih naslada. Živjeli smo u zlu i zavisti. Mrzili smo druge i oni su mrzili nas.

4Ali tada nam je Bog, naš Spasitelj, iskazao svoju dobrotu i ljubav. 5Spasio nas je, ali ne zbog dobrih djela koja smo činili, nego zbog svojega milosrđa. Oprao nas je od grijeha i dao nam da se rodimo u novi život po Svetome Duhu 6kojega je na nas obilno izlio zbog onoga što je za nas učinio Isus Krist, Spasitelj naš. 7Opravdao nas je svojom milošću i učinio baštinicima vječnoga života kojemu se nadamo. 8Sve što sam ti rekao je istina. Hoću da to uporno tvrdiš da se oni koji su povjerovali Bogu posvete vršenju djela ljubavi. To je svima dobro i korisno.

Pavlove završne napomene i pozdravi

9Kloni se budalastih prepirki oko rodoslovlja, svađa i ispraznih rasprava o židovskim zakonima jer je to posve nekorisno i nevrijedno. 10Izaziva li tko među vama razdor, dvaput ga opomeni. Ako ne posluša, nemojte više ništa s njim imati 11jer je pokvaren i griješi te tako sam sebe osuđuje.

12Kanim k tebi poslati Artemu ili Tihika. Čim stigne, požuri k meni u Nikopol jer sam ondje odlučio zimovati. 13Učini sve što možeš za pravnika Zenu i Apolona na putu. Pobrini se da imaju sve što im treba. 14Jer naši ljudi ne bi smjeli živjeti neplodnim životom. Moraju naučiti prednjačiti djelima ljubavi prema ljudima u potrebi.

15Svi koji su sa mnom pozdravljaju vas. Pozdravi vjernike koji nas vole.

Neka je Božja milost sa svima vama.