Hatima Ya Yerusalemu
13:1 Yer 6:6; Kum 21:18; Eze 23:30Ole mji wa wadhalimu,
waasi na waliotiwa unajisi!
23:2 Yer 5:3; 7:28; 22:21; Kum 1:32; Law 26:33; Za 78:23Hautii mtu yeyote,
haukubali maonyo.
Haumtumaini Bwana,
haukaribii karibu na Mungu wake.
33:3 Za 22:13; Mwa 49:27; Mik 3:3Maafisa wake ni simba wangurumao,
watawala wake ni mbwa mwitu wa jioni,
ambao hawabakizi chochote
kwa ajili ya asubuhi.
43:4 Za 25:3; Isa 48:8; Yer 3:20; 9:4; 23:11; Mal 2:10; Eze 22:26Manabii wake ni wenye kiburi,
ni wadanganyifu.
Makuhani wake hunajisi patakatifu
na kuihalifu sheria.
53:5 Ezr 9:15; Kum 32:4; Za 5:3; 99:3, 4; Mao 3:23; Yer 3:3; Eze 18:25Bwana aliye ndani yake ni mwenye haki,
hafanyi kosa.
Asubuhi kwa asubuhi hutoa haki yake,
kila kukipambazuka huitimiza,
bali mtu dhalimu hana aibu.
63:6 Law 26:31“Nimeyafutilia mbali mataifa,
ngome zao zimebomolewa.
Nimeziacha barabara ukiwa,
hakuna anayepita humo.
Miji yao imeharibiwa;
hakuna mmoja atakayeachwa:
hakuna hata mmoja.
73:7 Yer 7:28; Mwa 6:12; Hos 9:9Niliuambia huo mji,
‘Hakika utaniogopa na kukubali maonyo!’
Ndipo makao yake hayatafutiliwa mbali,
wala adhabu zangu zote hazitakuja juu yake.
Lakini walikuwa bado na shauku
kutenda kwa upotovu katika yote waliyofanya.”
83:8 Za 27:14; 79:6; Yoe 3:2; 3:11; Isa 2:3; Mit 20:22; Ufu 16:1; Yer 10:25; Mao 4:11; Sef 1:18Bwana anasema,
“Kwa hiyo ningojee mimi,
siku nitakayosimama kuteka nyara.
Nimeamua kukusanya mataifa,
kukusanya falme
na kumimina ghadhabu yangu juu yao,
hasira yangu kali yote.
Dunia yote itateketezwa
kwa moto wa wivu wa hasira yangu.
93:9 Sef 2:11; Mwa 4:26; Isa 19:18“Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa,
kwamba wote waweze kuliitia jina la Bwana
na kumtumikia kwa pamoja.
103:10 Mwa 10:6; Za 68:31; Mal 1:11; Isa 60:7; Mdo 8:27; 2Nya 32:23Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi
watu wangu wanaoniabudu,
watu wangu waliotawanyika,
wataniletea sadaka.
113:11 Isa 29:22; Yoe 2:26-27; Mwa 50:15; Kut 15:17; Za 59:12; Mt 3:9; Law 26:19Siku hiyo hutaaibishwa
kwa ajili ya makosa yote ulionitendea,
kwa sababu nitawaondoa kutoka mji huu
wale wote wanaoshangilia
katika kiburi chao.
Kamwe hutajivuna tena
katika kilima changu kitakatifu.
123:12 Isa 14:32; Mt 5:3; Lk 6:20; Isa 57:15; Yer 29:12; Nah 1:7Lakini nitakuachia ndani yako
wapole na wanyenyekevu,
ambao wanatumaini jina la Bwana.
133:13 Isa 4:3; 10:21; Za 119:3; Yer 33:16; Ufu 14:5; Ay 16:17; Eze 34:25-28Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa;
hawatasema uongo,
wala udanganyifu hautakuwa
katika vinywa vyao.
Watakula na kulala
wala hakuna yeyote
atakayewaogopesha.”
143:14 Za 9:14; 14:7; Zek 2:10; Isa 12:6; 51:11Imba, ee Binti Sayuni;
paza sauti, ee Israeli!
Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote,
ee Binti Yerusalemu!
153:15 Yn 1:49; Eze 37:26-28; 48:35; Ufu 21:3; Isa 54:14; Zek 9:9Bwana amekuondolea adhabu yako,
amewarudisha nyuma adui zako.
Bwana, Mfalme wa Israeli, yu pamoja nawe;
kamwe hutaogopa tena madhara yoyote.
163:16 2Fal 19:26; Ebr 12:12; Ay 4:3; Isa 35:3-4Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,
“Usiogope, ee Sayuni;
usiiache mikono yako ilegee.
173:17 Isa 40:1; 62:4; 63:1; Yoe 2:21; Kum 28:63; Hos 14:4Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,
yeye ni mwenye nguvu kuokoa.
Atakufurahia kwa furaha kubwa,
atakutuliza kwa pendo lake,
atakufurahia kwa kuimba.”
183:18 Mao 2:6“Huzuni katika sikukuu zilizoamriwa
nitaziondoa kwenu;
hizo ni mzigo na fedheha kwenu.
193:19 Isa 14:2; 60:18; Eze 34:16; Mik 4:6Wakati huo nitawashughulikia
wote waliokudhulumu;
nitaokoa vilema na kukusanya
wale ambao wametawanywa.
Nitawapa sifa na heshima
katika kila nchi ambayo waliaibishwa.
203:20 Yer 29:14; Eze 37:12; Za 22:27; Isa 56:5; 60:18; 66:22; Kum 26:19Wakati huo nitawakusanya;
wakati huo nitawaleta nyumbani.
Nitawapa sifa na heshima
miongoni mwa mataifa yote ya dunia
wakati nitakapowarudishia mateka yenu
mbele ya macho yenu hasa,”
asema Bwana.
آيندهٔ اورشليم
1وای بر اورشليم نجس و گناهكار، شهر ظلم و جنايت! 2شهری كه به صدای خداوند گوش نمیدهد و اصلاحپذير نيست؛ به خداوند توكل نمیكند و به او نزديک نمیشود.
3رهبران اورشليم مثل شيرهای غران، و قضات آن مانند گرگهای گرسنهٔ شب هستند كه از صيد خود چيزی را تا صبح باقی نمیگذارند.
4انبيای آن دروغگو و سودجو میباشند. كاهنانش احكام خدا را به نفع خود تحريف نموده، خانهٔ خدا را نجس میسازند.
5خدا در ميان مردم شهر حضور دارد. او عادل و با انصاف است و هر بامداد احكام خود را نمايان میسازد و كوتاهی نمیكند، با وجود اين، بدكاران شهر با بیشرمی به شرارت خود ادامه میدهند.
6خداوند میفرمايد: «قومهای بسياری را نابود كردهام و استحكامات آنها را از بين بردهام. شهرهای آنها را با كوچههايشان چنان ويران كردهام كه حتی يک نفر هم در آنها باقی نمانده است. 7گفتم حتماً مردم اورشليم به من گوش خواهند داد و به هشدارهايم توجه خواهند نمود و بدين ترتيب جلو خرابی شهر و مجازاتی را كه مقرر كردهام خواهند گرفت. ولی آنها چنين نكردند بلكه به كارهای فاسد خود ادامه دادند.»
8خداوند میفرمايد: «صبر كنيد، بزودی وقتش میرسد كه بر ضد قومهای شرور به پا خيزم. زيرا تصميم گرفتهام قومهای جهان را جمع كنم و خشم و غضب خود را بر آنها فرو ريزم. تمام جهان از آتش غيرت من گداخته خواهد شد.
9«آنگاه به قومهای جهان، زبان پاک خواهم داد تا همهٔ آنها فقط نام مرا بخوانند و تنها مرا عبادت كنند. 10قوم پراكندهٔ من از ماورای رودهای حبشه با هدايای خود آمده، مرا پرستش خواهند كرد. 11ای قوم من، در آن زمان ديگر از ياغيگریهای گذشتهٔ خود شرمنده نخواهيد شد، زيرا من اشخاص متكبر را از ميان شما برمیدارم. در كوه مقدس من تكبر وجود نخواهد داشت. 12كسانی كه باقی بمانند، متواضع و فروتن خواهند بود و به نام من توكل خواهند نمود. 13آنها ديگر ظالم، دروغگو و حقهباز نخواهند بود. در آرامش و امنيت به سر خواهند برد و هيچكس آنها را نخواهد ترسانيد.»
14ای اورشليم با شادی سرود بخوان! ای اسرائيل بانگ شادی برآور! 15زيرا خداوند مجازات تو را از تو دور كرده و دشمنانت را به عقب رانده است. خود خداوند، پادشاه اسرائيل، در ميان توست، پس ديگر بلا تو را نخواهد ترسانيد!
16در آن روز به اورشليم خواهند گفت: «نترس! قوی باش! 17زيرا خداوند، خدای تو كه در ميان توست نجات دهندهای توانا میباشد. او از تو راضی خواهد بود، و تو را دوست خواهد داشت و وجود تو مايه شادی و سرور او خواهد بود.»
18خداوند میفرمايد: «به غمهايی كه از حسرت عيدهای خود داريد پايان خواهم بخشيد و بار اين ننگ را از دوشتان برخواهم داشت. 19تمام كسانی را كه به شما ظلم كردهاند مجازات خواهم نمود. اشخاص ضعيف و درماندهٔ قوم خود را خلاصی خواهم بخشيد و راندهشدگان را كه مسخره و رسوا شدهاند، جمع كرده، سرافراز خواهم نمود. 20بلی، در آن زمان وقتی شما را جمع نموده، اموالتان را پيش چشمانتان به شما بازگردانم، آنگاه در ميان تمام مردم جهان سرافراز خواهيد شد.» اين را خداوند فرموده است.