Nehemia 8 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 8:1-18

18:1 Neh 3:28; Ezr 7:6; 2Nya 34:15; Neh 3:26; Kum 28:61; 2Nya 34:15watu wote wakakusanyika kama mtu mmoja kwenye uwanja mbele ya Lango la Maji. Wakamwambia Ezra mwandishi alete Kitabu cha Sheria ya Mose, ambacho Bwana aliamuru kwa ajili ya Israeli.

28:2 Law 23:23-25; Hes 29:1-6; Kum 31:11Basi katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba, kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kusanyiko, ambamo walikuwamo wanaume, wanawake na watu wote walioweza kufahamu. 38:3 Neh 3:26Akaisoma kwa sauti kubwa tangu mapambazuko mpaka adhuhuri, akiwa ameuelekea uwanja uliokuwa mbele ya Lango la Maji mbele ya wanaume, wanawake na wengine ambao waliweza kufahamu. Watu wote wakasikiliza kwa makini kile Kitabu cha Sheria.

48:4 2Nya 6:13Mwandishi Ezra alikuwa amesimama juu ya jukwaa la miti lililojengwa kwa kusudi hilo. Karibu naye upande wa kuume alisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya. Upande wake wa kushoto walikuwepo Pedaya, Mishaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu.

58:5 Amu 3:20Ezra akakifungua kile kitabu. Watu wote waliweza kumwona kwa sababu alikuwa amesimama juu zaidi, naye alipokifungua watu wote wakasimama. 68:6 Kut 4:31; Hes 5:22; Neh 5:13; 1Tim 2:8; Ezr 9:5; 1Tim 2:8Ezra akamsifu Bwana, Mungu mkuu, nao watu wote wakainua mikono yao na kuitikia, “Amen! Amen!” Kisha wakasujudu na kumwabudu Bwana hali nyuso zao zikigusa ardhi.

78:7 Ezr 10:23; Law 10:11; 2Nya 17:1Watu wakiwa wamesimama pale, Walawi wafuatao waliwafunza ile Sheria: Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya. 88:8 Hab 2:2; Mdo 8:30-35Walisoma kutoka kile Kitabu cha Sheria ya Mungu, wakiifafanua na kuwapa maelezo ili watu waweze kufahamu kile kilichokuwa kikisomwa.

98:9 Ezr 2:63; Neh 7:65; Kum 12:7-12; 16:14-15Ndipo Nehemia aliyekuwa mtawala,8:9 Au Tirshatha: jina la heshima aliloitwa mtawala wa Yuda chini ya Ufalme wa Uajemi. Ezra kuhani na mwandishi, pamoja na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia wote, “Siku hii ni takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Msiomboleze wala msilie.” Kwa kuwa watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya ile Sheria.

108:10 Es 9:22; Lk 14:12-14; Law 23:40; Kum 12:18Nehemia akasema, “Nendeni mkafurahie chakula kizuri na vinywaji vitamu, na mpeleke sehemu kwa wale ambao hawana chochote cha kula. Siku hii ni takatifu kwa Bwana. Msihuzunike, kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu.”

11Walawi wakawatuliza watu wote wakisema, “Kuweni watulivu, kwa kuwa hii ni siku takatifu. Msihuzunike.”

128:12 Es 9:22Kisha watu wote wakaondoka kwenda kula na kunywa, na kupeana sehemu ya chakula, na wakaadhimisha kwa furaha kubwa, kwa sababu sasa walifahamu maneno yale waliyokuwa wameelezwa.

13Katika siku ya pili ya mwezi, wakuu wa mbari zote, pamoja na makuhani na Walawi, walikusanyika wakimzunguka Ezra mwandishi ili wapate kusikiliza kwa makini maneno ya Sheria. 148:14 Mwa 33:17; Law 23:34Wakakuta imeandikwa katika ile Sheria, ambayo Bwana aliiamuru kupitia kwa Mose, kwamba Waisraeli walipaswa kukaa katika vibanda wakati wa sikukuu ya mwezi wa saba, 158:15 Law 23:4; Kum 16:16; Law 23:40na kwamba walipaswa kutangaza neno hili na kulieneza katika miji yao na katika Yerusalemu wakisema: “Enendeni katika nchi ya mlima na kuleta matawi kutoka miti ya mizeituni, mizeituni mwitu, mihadasi, mitende na miti ya kivuli, ili kutengeneza vibanda,” kama ilivyoandikwa.

168:16 Kum 22:3; 2Fal 14:13; 2Nya 25:23Basi watu wakaenda na kuleta matawi, nao wakajijengea vibanda juu ya paa za nyumba zao, katika nyua zao, katika nyua za nyumba ya Mungu, na katika uwanja karibu na Lango la Maji na uwanja wa Lango la Efraimu. 178:17 1Fal 8:2; 2Nya 7:8Jamii yote ya watu waliorudi kutoka utumwani wakajenga vibanda na kuishi ndani yake. Tangu wakati wa Yoshua mwana wa Nuni mpaka siku ile, Waisraeli hawakuwahi kuiadhimisha namna hii. Furaha yao ilikuwa kubwa sana.

188:18 Kum 33:10; Hes 29:35; Law 23:36Siku baada ya siku, kuanzia siku ya kwanza hadi ya mwisho, Ezra alisoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria ya Mungu. Wakaiadhimisha sikukuu ile kwa siku saba, nayo siku ya nane, kufuatana na maagizo, kulikuwa na kusanyiko maalum.

La Bible du Semeur

Néhémie 8:1-18

La lecture publique de la Loi

1Tout le peuple s’assembla comme un seul homme sur la place située devant la porte des Eaux. Ils demandèrent à Esdras, qui était spécialiste de la Loi, d’apporter le livre de la Loi de Moïse donnée par l’Eternel à Israël. 2Le premier jour du septième mois8.2 8 octobre 445 av. J.-C. Ce jour de l’an de l’année civile devait être célébré par la fête des Trompettes (Lv 23.24). La fête des Cabanes avait lieu le même mois. Tous les sept ans, lors de cette fête, la Loi devait être lue au peuple (Dt 31.10-11)., Esdras, qui était aussi prêtre, apporta la Loi devant l’assemblée composée d’hommes et de femmes et de tous ceux qui étaient en âge de comprendre ce qu’ils entendaient. 3Il leur lut dans le livre, depuis l’aube jusqu’à midi, sur la place qui est devant la porte des Eaux. Tout le peuple était attentif à la lecture du livre de la Loi : hommes, femmes et tous ceux qui étaient en âge de comprendre. 4Esdras se tenait sur une estrade de bois dressée pour la circonstance. A sa droite se tenaient Mattitia, Shéma, Anaya, Urie, Hilqiya et Maaséya, et à sa gauche, Pedaya, Mishaël, Malkiya, Hashoum, Hashbaddana, Zacharie et Meshoullam.

5Comme il était placé plus haut que tout le peuple, chacun le vit ouvrir le livre. A ce moment-là, tous se levèrent. 6Esdras bénit l’Eternel, le grand Dieu, et tout le peuple s’écria : Amen ! Amen ! en levant les mains. Puis ils s’inclinèrent jusqu’à terre et se prosternèrent devant l’Eternel pour l’adorer. 7Alors Josué, Bani, Shérébia, Yamîn, Aqqoub, Shabthaï, Hodiya, Maaséya, Qelita, Azaria, Yozabad, Hanân, Pelaya et les autres lévites expliquèrent la Loi au peuple qui se tenait debout. 8Ils lisaient dans la Loi de Dieu et expliquaient au fur et à mesure, de façon posée et distincte8.8 Autre traduction : en traduisant., afin que chacun puisse comprendre ce qu’ils avaient lu.

L’invitation à la joie

9Tout le peuple pleurait en entendant les paroles de la Loi. Alors Néhémie le gouverneur, Esdras le prêtre et spécialiste de la Loi, et les lévites qui donnaient les explications au peuple dirent à tous : Ce jour est un jour de fête consacré à l’Eternel votre Dieu. Ce n’est pas le moment de pleurer et de prendre le deuil !

10Puis Esdras ajouta : A présent, allez faire un bon repas, buvez d’excellentes boissons et faites porter des portions à ceux qui n’ont rien préparé8.10 Voir Dt 16.10-11, 14., car ce jour est un jour consacré à notre Seigneur. Ne vous affligez donc pas, car la joie que donne l’Eternel est votre force.

11De leur côté, les lévites calmaient tout le peuple en disant : Soyez tranquilles, car ce jour est consacré à Dieu, ne vous attristez donc pas !

12Alors tous allèrent manger et boire, faire porter des parts aux pauvres et organiser de grandes réjouissances. Car ils avaient bien compris les paroles qu’on leur avait enseignées.

La célébration de la fête des Cabanes

13Le lendemain, les chefs de groupes familiaux de tout le peuple, les prêtres et les lévites s’assemblèrent auprès d’Esdras, le spécialiste de la Loi, pour étudier plus attentivement les enseignements de la Loi. 14Ils trouvèrent écrit dans cette Loi, que l’Eternel avait donnée aux Israélites par l’intermédiaire de Moïse, que les Israélites devaient habiter des cabanes pendant la durée de la fête du septième mois. 15Alors ils firent publier8.15 …septième mois. 15 Alors ils firent publier…: sens obtenu avec une légère correction du texte hébreu. Le texte hébreu traditionnel a : …septième mois, 15 et qu’on devait faire publier… dans toutes leurs villes et à Jérusalem la proclamation suivante : Sortez dans la montagne8.15 C’est-à-dire les parties boisées du pays, par opposition aux vallées cultivées. et rapportez-en des branches d’olivier cultivé et d’olivier sauvage, de myrte8.15 Buisson odoriférant aux feuilles persistantes (Es 41.19 ; 55.13 ; Za 1.8, 10-11)., de palmier et d’arbres touffus, pour faire des cabanes comme cela est écrit8.15 Voir Lv 23.33-43 ; Dt 16.13-15..

16Le peuple partit et rapporta des branchages. Ils se construisirent des cabanes, sur la terrasse de leur maison, dans leurs cours, dans les parvis du Temple, sur la place de la porte des Eaux, ou encore sur la place de la porte d’Ephraïm8.16 Porte du vieux rempart de la ville (voir 2 R 14.13), restaurée par Néhémie (12.39).. 17Toute la communauté des anciens déportés revenus de l’exil construisit des cabanes et se mit à les habiter. Les Israélites n’avaient plus célébré cette fête depuis le temps de Josué, fils de Noun. Ils se livrèrent à de grandes réjouissances à cette occasion.

18Chaque jour, du premier jusqu’au dernier, Esdras lut une portion du livre de la Loi de Dieu. On célébra la fête pendant sept jours, et le huitième jour, conformément aux prescriptions de la Loi, il y eut une assemblée cultuelle.