Nehemia 5 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Nehemia 5:1-19

Nehemia Awasaidia Maskini

15:1 Kum 15:7; Law 25:35; Isa 5:7Wakati huu wanaume na wake zao wakalia kilio kikuu dhidi ya ndugu zao Wayahudi. 25:2 Mwa 41:57; Hag 1:6Baadhi yao walikuwa wakisema, “Sisi na wana wetu na binti zetu tuko wengi. Ili tuweze kula na kuishi, ni lazima tupate nafaka.”

35:3 Mwa 47:23; Za 109:11Wengine walikuwa wakisema, “Tunaweka rehani mashamba yetu, mashamba ya mizabibu, na nyumba zetu ili tupate nafaka wakati wa njaa.”

45:4 Ezr 4:13Bado kukawa na wengine waliokuwa wakisema, “Ilitubidi tukope fedha ili kulipa kodi ya mfalme kwa ajili ya mashamba yetu na mashamba yetu ya mizabibu. 55:5 Mwa 37:27; 29:14; Kum 15:7-11; 2Fal 4:1; Mt 18:25Ingawa sisi ni mwili na damu moja sawa na watu wa nchi yetu, na ijapo wana wetu ni wazuri kama wana wao, bado inatupasa kuwatoa wana wetu na binti zetu kwenye utumwa. Baadhi ya binti zetu wameshakuwa watumwa tayari, lakini hatuna uwezo wa kuwakomboa, kwa sababu mashamba yetu na mashamba ya mizabibu yetu ni mali ya wengine.”

65:6 Kut 11:8; Neh 13:8; Mk 3:5; Efe 4:26Niliposikia kilio chao na malalamiko haya, nilikasirika sana. 75:7 Kut 22:25-27; Kum 24:10-13; Law 19:17Nikayatafakari katika akili yangu, nikiwalaumu wakuu na maafisa. Nikawaambia, “Mnawaonea ndugu zenu kwa kuwatoza riba!” Basi nikaitisha mkutano mkubwa ili kuwashughulikia 85:8 Law 25:47-48; Yer 34:8na kusema: “Kulingana na uwezo wetu, tumewakomboa ndugu zetu Wayahudi waliokuwa wameuzwa kwa watu wasioamini. Sasa mnawauza ndugu zenu, ili wauzwe tena kwetu!” Walinyamaza kimya, kwa sababu hawakupata chochote cha kusema.

95:9 Mwa 13:7-8; Rum 2:24; Isa 52:5; 1Pet 2:12Basi nikaendelea kusema, “Mnachokifanya si sawa. Je, haikuwapasa kutembea katika hofu ya Mungu wetu ili tuepukane na shutuma za adui zetu wasioamini? 105:10 Kut 22:25Mimi na ndugu zangu na watu wangu tunawakopesha watu fedha na nafaka. Lakini jambo hili la kutoza riba likome! 115:11 Isa 58:6Warudishieni mara moja mashamba yao, mashamba yao ya mizabibu, mashamba yao ya mizeituni, na nyumba zao, pia riba yao mnayowatoza na sehemu ya fungu la mia la fedha, nafaka, divai mpya na mafuta.”

125:12 Ezr 10:5; Yer 34:8-9Wakasema, “Tutawarudishia na hatutataka kitu chochote zaidi kutoka kwao. Tutafanya kama ulivyosema.”

Kisha nikawaita makuhani na kuwafanya wakuu na maafisa kuapa kufanya kile walichoahidi. 135:13 Mt 10:14; Mdo 13:51; 18:6; Kum 27:15-26Pia nikakungʼuta makunjo ya vazi langu na kusema, “Kila mtu ambaye hatatimiza ahadi hii, Mungu na amkungʼute hivi kutoka nyumba yake na katika mali zake. Basi mtu wa namna hiyo akungʼutiwe nje na aachwe bila kitu!”

Waliposikia hili, mkutano wote ukasema, “Amen,” na wakamtukuza Bwana. Nao watu wakafanya kama walivyokuwa wameahidi.

145:14 Neh 2:6; 13:6; Mwa 42:6; 1Kor 9:4Zaidi ya hayo, kutoka mwaka wa ishirini wa Mfalme Artashasta, wakati nilipoteuliwa kuwa mtawala wao katika nchi ya Yuda, mpaka mwaka wake wa thelathini na mbili, yaani miaka kumi na miwili, mimi wala ndugu zangu hatukula chakula ambacho kwa kawaida hupewa watawala. 155:15 Mwa 42:18; 20:11; Ay 31:23; Lk 18:2-4Lakini watawala wa mwanzoni, wale walionitangulia, waliwalemea watu na kuchukua kutoka kwao shekeli arobaini za fedha,5:15 Shekeli 40 za fedha ni sawa na gramu 456. pamoja na chakula na mvinyo. Wasaidizi wao pia walijifanya wakuu juu ya watu. Lakini kwa kumheshimu Mungu sikufanya hivyo. 165:16 2The 3:7-10Badala yake, nilijitoa kwa bidii katika kazi ya ukuta huu. Watu wangu wote walikutanika pale kwa ajili ya kazi. Hatukujipatia shamba lolote.

17Zaidi ya hayo, Wayahudi na maafisa 150 walikula mezani pangu, pamoja na wale waliotujia kutoka mataifa jirani. 185:18 1Fal 4:22-23Kila siku niliandaliwa maksai mmoja, kondoo sita wazuri, na kuku, na mvinyo wa kila aina kwa wingi kila baada ya siku kumi. Licha ya mambo haya yote, sikudai chakula kilichokuwa fungu la mtawala, kwa sababu madai yalikuwa mazito sana kwa watu hawa.

195:19 Mwa 8:1; Neh 13:22; 2Fal 20:3Unikumbuke kwa fadhili, Ee Mungu wangu, kwa yote niliyofanya kwa ajili ya watu hawa.

Bibelen på hverdagsdansk

Nehemiasʼ Bog 5:1-19

Nehemias taler de fattiges sag

1Kort efter begyndte nogle mænd og deres koner at klage over, at deres rige landsmænd udnyttede dem. 2Nogle sagde: „Vi har ingen penge, så vi må give vores børn i pant for at få mad.” 3Andre sagde: „Vi har pantsat vores marker, vingårde og huse for at kunne købe korn under hungersnøden.” 4Andre igen sagde: „Vi har måttet belåne vores marker og vingårde for at kunne betale skat til kongen.”

5„Hører vi ikke til samme folk?” protesterede de. „Er vores børn ikke lige så gode som deres? Det er uretfærdigt, at vi skal sælge vores børn som slaver for at kunne overleve. Vi har allerede solgt flere af vores døtre, og vi har ingen mulighed for at købe dem fri, for vores marker og vingårde tilhører pantelånerne.”

6Da jeg hørte det, blev jeg vred, 7og efter at have tænkt over sagen sagde jeg til de rige og fornemme: „Det er forkert af jer at tage pant og renter af jeres landsmænd, når I låner dem penge.” Så sammenkaldte jeg til et folkemøde og henvendte mig til de rige: 8„Vi har gjort alt, hvad vi kunne, for at frikøbe vores landsmænd, der levede som slaver hos et fremmed folk,” sagde jeg. „Men nu gør I jeres egne landsmænd til slaver! Hvor mange gange skal vi købe dem fri?” Der var dødstille. Ingen vidste, hvad de skulle svare. 9Så fortsatte jeg: „I kan ikke være bekendt at opføre jer på den måde! Har I slet ingen ærefrygt for Gud? Er det ikke nok, at vi har fjender, der udefra prøver at komme os til livs? 10Jeg og mine folk har også lånt vores nødstedte landsmænd penge og korn, men uden at kræve renter. Hold op med at tage pant og renter. 11Giv dem deres marker, vingårde, olivenlunde og huse tilbage og refunder dem, hvad I har taget i renter i form af penge, korn, vin og olie.”

12„Vi vil gøre, som du siger,” svarede de. „Vi giver dem deres ejendom tilbage og holder op med at kræve renter.” I præsternes påhør fik jeg dem så til at sværge på, at de ville gøre, som de havde sagt. 13Og mens jeg rystede min kappefold sagde jeg: „De som ikke holder, hvad de har lovet, vil Gud ryste ud fra deres hus og hjem.” „Amen!” råbte hele forsamlingen og takkede Gud. Så gik de i gang med at gøre deres ord til handling.

14I den forbindelse skal det nævnes, at i alle de 12 år, jeg var guvernør over Juda—fra kong Artaxerxes’ 20. til hans 32. regeringsår—modtog hverken jeg selv eller mine embedsmænd nogen løn eller andre ydelser fra Israels folk. 15Denne praksis stod i skærende kontrast til, hvad folket var vant til fra de tidligere guvernører, der havde udnyttet dem ved at kræve mad og vin foruden 40 sølvstykker om dagen. Desuden plejede embedsmændene også at udnytte folket. Men fordi jeg ønskede at adlyde Gud, brød jeg med den praksis. 16I stedet koncentrerede jeg mig om arbejdet på muren og nægtede at skaffe mig fast ejendom. Og alle mine embedsmænd tog del i arbejdet på lige fod med andre. 17Jeg forsørgede ellers 150 judæiske embedsmænd foruden fremmede, der kom på besøg. 18Det daglige forbrug udgjorde en okse, seks førsteklasses får og et stort antal fjerkræ. Desuden købte jeg hver tiende dag en ny forsyning vin. Alligevel undlod jeg at afkræve folket den skat, jeg havde krav på, for de havde det svært nok i forvejen.

19Min Gud, glem ikke, hvad jeg har gjort for dit folk, men velsign mig for det!