Mwanzo 46 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 46:1-34

Yakobo Aenda Misri

1Hivyo Israeli akaondoka na vyote vilivyokuwa mali yake, naye alipofika Beer-Sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki baba yake.

246:2 Mwa 15:1Mungu akanena na Israeli katika maono usiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!”

Akajibu, “Mimi hapa.”

346:3 Mwa 12:2; 28:13Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa. 446:4 Mwa 5:16Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”

546:5 Mwa 45:19Ndipo Yakobo akaondoka Beer-Sheba nao wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobo na watoto wao na wake zao katika magari ya kukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekea kumsafirisha. 646:6 Kum 26:5; Mdo 7:15Wakachukua pia mifugo yao na mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo na uzao wake wote wakashuka Misri. 7Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu wake wa kiume na wa kike, yaani uzao wake wote mpaka Misri.

8Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli (Yakobo na wazao wake), waliokwenda Misri:

Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo.

9Wana wa Reubeni ni:

Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

1046:10 Kut 6:15Wana wa Simeoni ni:

Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

11Wana wa Lawi ni:

Gershoni, Kohathi na Merari.

1246:12 1Nya 2:5; Mt 1:3Wana wa Yuda ni:

Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera (lakini Eri na Onani walifariki katika nchi ya Kanaani).

Wana wa Peresi ni:

Hesroni na Hamuli.

13Wana wa Isakari ni:

Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

1446:14 Mwa 30:20Wana wa Zabuloni ni:

Seredi, Eloni na Yaleeli.

1546:15 Mwa 30:21Hawa ndio wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padan-Aramu pamoja na binti yake Dina. Jumla ya wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.

1646:16 Hes 26:15Wana wa Gadi ni:

Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

1746:17 Mwa 30:13Wana wa Asheri ni:

Imna, Ishva, Ishvi na Beria.

Dada yao alikuwa Sera.

Wana wa Beria ni:

Heberi na Malkieli.

18Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.

19Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni:

Yosefu na Benyamini. 2046:20 Mwa 41:51Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni,46:20 Yaani Heliopoli (Mji wa Jua). alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.

2146:21 1Nya 7:6-12Wana wa Benyamini ni:

Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

22Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.

23Mwana wa Dani ni:

Hushimu.

2446:24 Mwa 30:8Wana wa Naftali ni:

Yaseeli, Guni, Yeseri na Shilemu.

2546:25 Mwa 30:8Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.

2646:26 Kut 1:5; Kum 10:22Wote waliokwenda Misri pamoja na Yakobo, waliokuwa wazao wake hasa pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watu sitini na sita. 2746:27 Mdo 7:14Pamoja na wana wawili waliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwa sabini.

2846:28 Mwa 45:10Basi Yakobo akamtanguliza Yuda aende kwa Yosefu ili amwelekeze njia ya Gosheni. Walipofika nchi ya Gosheni, 2946:29 Mwa 29:11gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.

3046:30 Mwa 44:28Israeli akamwambia Yosefu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”

3146:31 Mwa 45:10Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na watu wa nyumbani mwa baba yake, “Nitapanda kwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu na watu wa nyumbani mwa baba yangu, waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, wamekuja kwangu. 3246:32 Mwa 42:20Watu hao ni wachunga mifugo, huchunga mifugo, wamekuja na makundi ya kondoo, mbuzi na ngʼombe pamoja na kila kitu walicho nacho.’ 3346:33 Mwa 47:3Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’ 3446:34 Mwa 43:32Mjibuni, ‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.”

Nueva Versión Internacional

Génesis 46:1-34

Jacob viaja a Egipto

1Israel emprendió el viaje con todas sus pertenencias. Al llegar a Berseba, ofreció sacrificios al Dios de su padre Isaac. 2Esa noche Dios habló a Israel en una visión:

—¡Jacob! ¡Jacob!

—Aquí estoy —respondió.

3—Yo soy Dios, el Dios de tu padre —le dijo—. No tengas temor de ir a Egipto, porque allí haré de ti una gran nación. 4Yo te acompañaré a Egipto y yo mismo haré que vuelvas. Además, cuando mueras, será José quien te cierre los ojos.

5Luego Jacob salió de Berseba. Los hijos de Israel hicieron que su padre Jacob, sus hijos y sus mujeres subieran en los carros que el faraón había enviado para trasladarlos. 6También se llevaron el ganado y las posesiones que habían adquirido en Canaán. Fue así como Jacob y sus descendientes llegaron a Egipto. 7Con él se llevó a todos sus hijos, hijas, nietos y nietas, es decir, a todos sus descendientes.

8Estos son los nombres de los israelitas que fueron a Egipto, es decir, Jacob y sus hijos:

Rubén, el primogénito de Jacob.

9Los hijos de Rubén:

Janoc, Falú, Jezrón y Carmí.

10Los hijos de Simeón:

Jemuel, Jamín, Oad, Jaquín, Zojar y Saúl, hijo de una cananea.

11Los hijos de Leví:

Guersón, Coat y Merari.

12Los hijos de Judá:

Er, Onán, Selá, Fares y Zera. (Er y Onán habían muerto en Canaán).

Los hijos de Fares:

Jezrón y Jamul.

13Los hijos de Isacar:

Tola, Fuvá, Job y Simrón.

14Los hijos de Zabulón: Séred, Elón y Yalel.

15Estos fueron los hijos que Jacob tuvo con Lea en Padán Aram,46:15 Padán Aram. Es decir, el noroeste de Mesopotamia. además de su hija Dina. En total, entre hombres y mujeres eran treinta y tres personas.

16Los hijos de Gad:

Zefón, Jaguí, Suni, Esbón, Erí, Arodí y Arelí.

17Los hijos de Aser:

Imná, Isvá, Isví, Beriá, y su hermana que se llamaba Sera.

Los hijos de Beriá:

Héber y Malquiel.

18Estos fueron los hijos que Zilpá tuvo con Jacob. Zilpá era la esclava que Labán había regalado a su hija Lea. Sus descendientes eran en total dieciséis personas.

19Los hijos de Raquel, la esposa de Jacob:

José y Benjamín.

20En Egipto, José tuvo los siguientes hijos con Asenat, hija de Potifera, sacerdote de On: Manasés y Efraín.

21Los hijos de Benjamín:

Bela, Béquer, Asbel, Guerá, Naamán, Ehí, Ros, Mupín, Jupín y Ard.

22Estos fueron los descendientes de Jacob y Raquel, en total catorce personas.

23El hijo de Dan:

Jusín.

24Los hijos de Neftalí:

Yazel, Guní, Jéser y Silén.

25Estos fueron los hijos que Jacob tuvo con Bilhá. Ella era la esclava que Labán regaló a su hija Raquel. El total de sus descendientes fue de siete personas.

26Todos los familiares de Jacob que llegaron a Egipto, y que eran de su misma sangre, fueron sesenta y seis, sin contar a las nueras. 27José tenía dos hijos que nacieron en Egipto. En total los familiares de Jacob que llegaron a Egipto fueron setenta.

28Jacob envió adelante a Judá a ver a José, para que le indicara el camino a Gosén. Cuando llegaron a esa región, 29José hizo que prepararan su carruaje y salió a Gosén para recibir a su padre Israel. Cuando se encontraron, José se fundió con su padre en un abrazo y durante un largo rato lloró sobre su hombro.

30Entonces Israel dijo a José:

—¡Ya me puedo morir! ¡Te he visto y aún estás con vida!

31José dijo a sus hermanos y a la familia de su padre:

—Voy a informarle al faraón que mis hermanos y la familia de mi padre, quienes vivían en Canaán, han venido a quedarse conmigo. 32Le diré que ustedes son pastores que cuidan ganado y que han traído sus ovejas y sus vacas, y todo cuanto tenían. 33Por eso, cuando el faraón los llame y pregunte a qué se dedican, 34díganle que siempre se han ocupado de cuidar ganado, al igual que sus antepasados. Así podrán establecerse en la región de Gosén, pues los egipcios detestan el oficio de pastor.