Mwanzo 16 – NEN & CCL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 16:1-16

Hagari Na Ishmaeli

116:1 Mwa 11:29, 30; 24:61; 29:24-29; 31:33; 46:18; 21:14; 25:12; 30:2; Lk 1:7, 36; Gal 4:24-25Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari, 216:2 Mwa 19:31-32; 30:3-10hivyo Sarai akamwambia Abramu, “Bwana amenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutane kimwili na mtumishi wangu wa kike, huenda nitaweza kupata watoto kupitia kwake.”

Abramu akakubaliana na lile Sarai alilosema. 316:3 Mwa 12:4-5Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mtumishi wake wa kike wa Kimisri, Hagari na kumpa mumewe awe mke wake. 416:4 Mwa 30:1; 1Sam 1:6Akakutana kimwili na Hagari, naye akapata mimba.

Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza kumdharau Sarai. 516:5 Mwa 31:53; Kut 5:21; Amu 11:27; 1Sam 24:12-15; 26:10, 23; Za 50:6; 75:7Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. Bwana na aamue kati yako na mimi.”

616:6 Yos 9:25; Mwa 31:50Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.

716:7 Mwa 21:17; 22:11-15; 24:7, 40; 25:18; 31:11; 48:16; Kut 3:2; 14:19; 15:22; 23:20-23; 32:34; 33:2; Amu 2:1; 6:11; 13:3; Za 34:7; 2Sam 24:16; 21:19; 1Fal 19:5; 2Fal 1:3; 19:35; Zek 1:11; Mdo 5:19; 1Sam 15:7Malaika wa Bwana akamkuta Hagari karibu na chemchemi huko jangwani; ilikuwa chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara iendayo Shuri. 816:8 Mwa 3:9Malaika akamwambia, “Hagari, mtumishi wa Sarai, umetokea wapi, na unakwenda wapi?”

Akamjibu, “Ninamkimbia bibi yangu Sarai.”

9Ndipo malaika wa Bwana akamwambia, “Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.” 1016:10 Mwa 13:16; 17:20Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”

1116:11 Mdo 5:19; Mwa 3:15; 12:2-3; 18:19; 17:19; 21:3; 37:25-28; 29:32; 31:42; Neh 9:7; Isa 44:1; Amo 3:2; Mt 1:21; Lk 1:13, 31; Amu 8:24; Kut 2:24; 3:7, 9; 4:31; Hes 20:16; Kum 26:7; 1Sam 9:16Pia malaika wa Bwana akamwambia:

“Wewe sasa una mimba

nawe utamzaa mwana.

Utamwita jina lake Ishmaeli,16:11 Ishmaeli maana yake Mungu husikia.

kwa sababu Bwana amesikia juu ya huzuni yako.

1216:12 Ay 6:5; 11:12; 24:5; 39:5; Hos 8:9; Za 104:11; Yer 2:24; Mwa 25:18Atakuwa punda-mwitu katikati ya wanadamu,

mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu

na mkono wa kila mtu dhidi yake,

naye ataishi kwa uhasama

na ndugu zake wote.”

1316:13 Za 139:1-12; Mwa 32:30; 33:10; Kut 24:10; 33:20-23; Hes 12:8; Amu 6:22; 13:22; Isa 6:5Hagari akampa Bwana aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.” 1416:14 Mwa 24:62; 25:11; 14:7Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi,16:14 Beer-Lahai-Roi maana yake Yeye Aliye Hai Anionaye Mimi. ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.

1516:15 Mwa 21:9; 17:18; 25:12; 28:9; Gal 4:22Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwana, naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari aliyemzalia, Ishmaeli. 1616:16 Mwa 12:4Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.

Mawu a Mulungu mu Chichewa Chalero

Genesis 16:1-16

Sarai ndi Hagara

1Tsono Sarai, mkazi wa Abramu anali asanamuberekere ana Abramuyo. Koma anali ndi wantchito wamkazi wa ku Igupto dzina lake Hagara; 2ndipo Sarai anati kwa Abramu, “Yehova sanalole kuti ine ndikhale ndi ana. Bwanji mulowe mwa wantchito wanga wamkaziyu kuti mwina ndingaone ana kudzera mwa iyeyu.”

Abramu anamvera Sarai. 3Tsono Sarai anatenga Hagara wantchito wake wamkazi wa ku Igupto uja namupereka kwa Abramu mwamuna wake kuti akhale mkazi wake. Izi zinachitika Abramu atakhala ku Kanaani zaka khumi. 4Abramu atalowana ndi Hagara, Hagara uja anatenga mimba.

Pamene Hagara anadziwa kuti anali woyembekezera anayamba kunyoza mbuye wake Sarai. 5Pamenepo Sarai anati kwa Abramu, “Inu ndinu amene mwandiputira nkhanza zikundichitikirazi. Ndinakupatsani wantchito wanga wamkazi kuti akhale mkazi wanu, ndiye tsopano wayamba kundinyoza ine chifukwa wadziwa kuti ndi woyembekezera. Yehova ndiye amene aweruze pakati pa inu ndi ine.”

6Abramu anati, “Wantchito wakoyu ali mʼmanja mwako. Chita naye chilichonse chimene ukuganiza kuti ndi chokukomera.” Tsono Sarai anazunza Hagara mpaka anathawa.

7Mngelo wa Yehova anamupeza Hagara pafupi ndi chitsime mʼchipululu. Chinali chitsime chimene chili mʼmphepete mwa msewu wopita ku Suri. 8Ndipo mngeloyo anati, “Hagara, iwe wantchito wa Sarai, ukuchokera kuti ndipo ukupita kuti?”

Iye anayankha, “Ndikuthawa mbuye wanga Sarai.”

9Mngelo wa Yehova anamuwuza kuti, “Bwerera kwa mbuye wako ndipo ukamugonjere. 10Ndidzakupatsa zidzukulu zambiri zoti munthu sangaziwerenge.”

11Mngelo wa Yehova uja anamuwuzanso kuti,

“Ndiwe woyembekezera

ndipo udzabala mwana wamwamuna.

Udzamutcha dzina lake Ismaeli,

pakuti Yehova wamva kulira chifukwa cha kuzunzika kwako.

12Iye adzakhala munthu wa khalidwe ngati mʼmbulu wamisala;

adzadana ndi aliyense

ndipo anthu onse adzadana naye,

adzakhala mwaudani pakati pa abale ake

onse.”

13Hagara anatcha Yehova amene anamuyankhula uja dzina loti: “Ndinu Mulungu amene mumandiona,” popeza anati, “Ndakumana ndi Yehova atatha kundikomera mtima.” 14Nʼchifukwa chake chitsime chija chimene chili pakati pa Kadesi ndi Beredi chinatchedwa Beeri-lahai-roi.

15Tsono Hagara anamuberekera Abramu mwana wamwamuna ndipo Abramu anamutcha mwanayo Ismaeli. 16Pamene Hagara anamubalira Ismaeli nʼkuti Abramuyo ali ndi zaka 86.