Mithali 7 – NEN & OL

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mithali 7:1-27

Onyo Dhidi Ya Mwanamke Mzinzi

17:1 Mt 1:8Mwanangu, shika maneno yangu

na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.

27:2 Mit 4:4; Law 18:5; Kum 32:10Shika amri zangu nawe utaishi;

linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.

37:3 Kum 6:8; Mit 3:3; Isa 30:8; 2Kor 3:3Yafunge katika vidole vyako;

yaandike katika kibao cha moyo wako.

4Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,”

uite ufahamu jamaa yako;

57:5 Ay 31:9; Mit 2:16watakuepusha na mwanamke mzinzi,

kutokana na mwanamke mpotovu

na maneno yake ya kubembeleza.

6Kwenye dirisha la nyumba yangu

nilitazama nje kupitia upenyo

kwenye mwimo wa dirisha.

77:7 Mit 6:32Niliona miongoni mwa wajinga,

nikagundua miongoni mwa wanaume vijana,

kijana asiye na akili.

8Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake,

akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke

97:9 Ay 24:15wakati wa machweo, jua likipungua nuru yake,

giza la usiku lilipokuwa likiingia.

107:10 1Tim 2:9Ndipo huyo mwanamke akatoka kumlaki,

hali amevaa kama kahaba akiwa na nia ya udanganyifu.

117:11 Mit 9:13; 1Tim 5:13(Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi,

miguu yake haitulii nyumbani;

127:12 Mit 8:1-36; 23:26-28mara kwenye barabara za mji,

mara kwenye viwanja vikubwa,

kwenye kila pembe huvizia.)

137:13 Mwa 39:12; Mit 1:20Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu,

na kwa uso usio na haya akamwambia:

147:14 Law 7:11-18“Nina sadaka za amani nyumbani;

leo nimetimiza nadhiri zangu.

15Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki;

nimekutafuta na nimekupata!

167:16 Isa 19:9Nimetandika kitanda changu

kwa kitani za rangi kutoka Misri.

177:17 Amo 6:4; Mwa 37:25Nimetia manukato kitanda changu

kwa manemane, udi na mdalasini.

187:18 Mwa 39:7Njoo, tuzame katika mapenzi mpaka asubuhi;

tujifurahishe wenyewe kwa mapenzi!

19Mume wangu hayupo nyumbani;

amekwenda safari ya mbali.

20Amechukua mkoba uliojazwa fedha

na hatakuwepo nyumbani karibuni.”

217:21 Mit 1:8-9; 8:32Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha;

alimshawishi kwa maneno yake laini.

227:22 Ay 18:10Mara huyo kijana alimfuata yule mwanamke

kama fahali aendaye machinjoni,

kama kulungu aingiaye kwenye kitanzi,

237:23 Ay 15:22; 16:13; Mit 6:26; Mhu 9:12mpaka mshale umchome ini lake,

kama ndege anayenaswa kwenye mtego,

bila kujua itamgharimu maisha yake.

247:24 Mit 1:8-9; 8:32Sasa basi wanangu, nisikilizeni;

sikilizeni kwa makini nisemalo.

257:25 Mit 5:7-8Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo mwanamke,

wala usitangetange katika mapito yake.

267:26 Neh 13:26Aliowaangusha ni wengi;

aliowachinja ni kundi kubwa.

277:27 Amu 16:19; Ufu 22:15Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini,7:27 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.

ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti.

O Livro

Provérbios 7:1-27

1Meu filho, obedece às minhas palavras;

esconde dentro de ti os meus mandamentos.

2Cumpre os meus mandamentos e viverás;

guarda os meus preceitos como o bem mais precioso que possuis.

3Escreve-os, para que os tenhas sempre à mão;

grava-os no teu íntimo.

4Considera a sabedoria como uma irmã a quem amas,

como um membro querido da tua família.

5Para que te proteja da mulher leviana,

da estranha que te procura atrair com conversas sedutoras.

6Um dia, aproximando-me da janela da minha casa

e olhando para a rua,

7vi um grupo de rapazes simples,

e entre eles um moço insensato,

8que se dirigia para a casa duma dessas mulheres,

num recanto da rua.

9Era já o fim do dia, anoitecia;

as sombras favoreciam-no.

10E ela saiu-lhe ao encontro,

arranjada de forma provocante.

11Com o ar ligeiro de quem nunca para em casa.

12Daquelas que andam pelas esquinas das ruas,

nos lugares mais frequentados, procurando por todo o lado.

13Então aproximou-se, beijou-o

e disse-lhe com descaramento:

14“Decidi sacrificar ofertas de paz

e assim cumpri os meus votos.

15Por isso, vim a correr à tua procura,

a saber onde estavas.

16Olha, já fiz a cama bonitas colchas bordadas

com linho fino do Egito,

17e perfumei-a com mirra, aloés e canela.

18Vem já, vamo-nos saciar de amores

e gozar até de manhã.

19Porque o meu marido não está em casa;

deve ter ido a um sítio distante.

20Eu vi que até levou bagagem e dinheiro;

com certeza que não volta para casa antes da lua cheia.”

21E assim o seduziu, com muita conversa e palavrinhas doces;

e ele deixou-se enfeitiçar.

22Quando vi que a seguia,

veio-me à lembrança um boi que levam para o matadouro,

ou um veado apanhado numa armadilha de caça.

23Só lhe resta esperar que um tiro certeiro lhe atravesse o corpo;

é como a ave que corre para o sítio

onde vai ficar presa num laço,

sem pensar que estará ali o fim da sua vida.

24Agora ouçam-me, meus filhos,

mas ouçam-me com atenção!

25Não percam o controlo dos vossos desejos;

afastem-se delas e dos sítios por onde andam!

26Porque têm sido a causa da ruína de muita gente;

são muitas as suas vítimas.

27Frequentar a casa delas

é seguir o caminho que conduz à morte e ao mundo dos mortos.