Mhubiri 1 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mhubiri 1:1-18

Kila Kitu Ni Ubatili Mtupu

11:1 Mhu 7:27; 12:10Maneno ya Mhubiri, mwana wa Daudi, mfalme huko Yerusalemu:

21:2 Za 39:5-6; 62:9; Rum 8:20-21; Mhu 4:4-6; 12:8“Ubatili mtupu! Ubatili mtupu!”

Mhubiri anasema.

“Ubatili mtupu!

Kila kitu ni ubatili.”

31:3 Mhu 3:9; 5:15-16; 2:11-22Mwanadamu anafaidi nini kutokana na kazi yake yote

anayotaabikia chini ya jua?

41:4 2Pet 3:10; Za 104:5; Ay 8:19Vizazi huja na vizazi hupita,

lakini dunia inadumu milele.

51:5 Za 19:5-6Jua huchomoza na jua huzama,

nalo huharakisha kurudi mawioni.

6Upepo huvuma kuelekea kusini

na kugeukia kaskazini,

hurudia mzunguko huo huo,

daima ukirudia njia yake.

71:7 Ay 36:28; 38:10Mito yote hutiririka baharini,

hata hivyo bahari kamwe haijai.

Mahali mito inapotoka,

huko hurudi tena.

81:8 Mhu 3:1; Mit 27:20Vitu vyote vinachosha,

zaidi kuliko mtu anavyoweza kusema.

Jicho kamwe halitosheki kutazama,

wala sikio halishibi kusikia.

91:9 Mwa 8:22; Mhu 3:15; 2:12Kile kilichokuwepo kitakuwepo tena,

kile kilichofanyika kitafanyika tena,

hakuna kilicho kipya chini ya jua.

10Kuna kitu chochote ambacho mtu anaweza kusema,

“Tazama! Kitu hiki ni kipya”?

Kilikuwepo tangu zamani za kale,

kilikuwepo kabla ya wakati wetu.

111:11 Mhu 8:10; 9:5, 15; 2:16; Za 88:12; Mwa 40:23Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani,

hata na wale ambao hawajaja bado

hawatakumbukwa

na wale watakaofuata baadaye.

Hekima Ni Ubatili

12Mimi, Mhubiri, nilikuwa mfalme wa Israeli katika Yerusalemu. 131:13 Mwa 3:17-19; Mhu 3:10; Ay 28:3Nilitumia muda wangu wote kujifunza na kuvumbua kwa hekima yote yanayofanyika chini ya mbingu. Jinsi gani Mungu ameweka mzigo mzito juu ya wanadamu! 141:14 Mhu 2:11; 4:4; 6:9Nimeshaona mambo yote yanayotendeka chini ya jua, hayo yote ni ubatili, hii ni kukimbiza upepo.

151:15 Mhu 7:13Kilichopindika hakiwezi kunyooshwa,

kile ambacho hakipo haiwezekani kukihesabu.

161:16 1Fal 3:12; 4:30; Mhu 2:9Niliwaza mwenyewe, “Tazama, nimekua na kuongezeka katika hekima kuliko yeyote aliyewahi kutawala Yerusalemu kabla yangu. Nimekuwa na uzoefu mkubwa wa hekima na maarifa.” 171:17 1The 5:21; Mhu 7:23, 25; 2:3, 12; 8:16Ndipo nilipojitahidi kufahamu kutofautisha hekima, wazimu na upumbavu, lakini nikatambua hata hili nalo ni kukimbiza upepo.

181:18 Mhu 2:23; 12:12; 7:16; Ay 28:28; Yer 45:3Kwa kuwa hekima nyingi huleta huzuni kubwa;

maarifa yanapoongezeka, masikitiko yanaongezeka.

Thai New Contemporary Bible

ปัญญาจารย์ 1:1-18

ทุกสิ่งล้วนอนิจจัง

1ถ้อยคำของปัญญาจารย์1:1 หรือผู้นำของชุมชนเช่นเดียวกับข้อ 2 และ 12 กษัตริย์ในเยรูซาเล็ม เชื้อสายดาวิด

2ปัญญาจารย์กล่าวว่า

“อนิจจัง! อนิจจัง!

อนิจจังแท้ๆ!

ทุกสิ่งล้วนอนิจจัง”

3มนุษย์ได้ประโยชน์อะไรจากการงานทั้งสิ้น

ที่เขาตรากตรำภายใต้ดวงอาทิตย์?

4คนรุ่นหนึ่งผ่านมาแล้วอีกรุ่นหนึ่งผ่านไป

แต่โลกยังคงอยู่ตลอดกาล

5ดวงอาทิตย์ขึ้นแล้วก็ลับไป

และรีบวนมาขึ้นที่เดิมอีก

6ลมพัดไปทางใต้แล้ว

กลับมาทางเหนือ

มันพัดวนไปเวียนมา

เป็นวัฏจักร

7แม่น้ำไหลลงสู่ทะเล

แต่ทะเลก็ไม่เคยอิ่ม

และน้ำกลับไปสู่แม่น้ำอีกครั้ง

แล้วไหลลงสู่มหาสมุทรอยู่ร่ำไป

8ทุกสิ่งทุกอย่างอ่อนระโหย

เกินที่จะบรรยาย

ไม่ว่าเห็นสักเท่าไร เราก็ไม่อิ่ม

ไม่ว่าได้ยินสักแค่ไหน เราก็ไม่จุใจ

9อะไรที่เกิดขึ้นแล้วก็เกิดขึ้นอีก

สิ่งที่ทำไปแล้วก็ทำกันอีก

ไม่มีอะไรใหม่ภายใต้ดวงอาทิตย์

10อะไรบ้างที่เราจะบอกได้ว่า

“ดูเถิด นี่เป็นสิ่งใหม่”

เพราะมันมีมาตั้งนานแล้ว

มีมาตั้งแต่ก่อนยุคสมัยของเรา

11ไม่มีการระลึกถึงคนรุ่นก่อน

และแม้แต่คนรุ่นที่กำลังจะเกิดมา

คนรุ่นต่อจากเขา

ก็ยังไม่ระลึกถึงพวกเขา

สติปัญญาอนิจจัง

12ข้าพเจ้าปัญญาจารย์ เป็นกษัตริย์ปกครองอิสราเอลอยู่ในเยรูซาเล็ม 13ได้ทุ่มเทศึกษาและใช้สติปัญญาใคร่ครวญทุกสิ่งที่ทำกันใต้ฟ้าสวรรค์ พระเจ้าทรงวางภาระหนักแก่มนุษย์จริงๆ! 14ข้าพเจ้าได้เห็นทุกสิ่งซึ่งทำกันภายใต้ดวงอาทิตย์ ล้วนแต่อนิจจังเหมือนวิ่งไล่ตามลม

15สิ่งที่คดงอก็ทำให้เหยียดตรงไม่ได้

สิ่งที่ขาดอยู่ก็นับไม่ได้

16ข้าพเจ้ารำพึงว่า “ดูเถิด เรามีสติปัญญามากกว่ากษัตริย์องค์ก่อนๆ ที่ครองเยรูซาเล็ม เราเข้าถึงสติปัญญาและความรู้” 17แล้วข้าพเจ้าก็ทุ่มเทสุดตัวที่จะเข้าใจสติปัญญา ความบ้าคลั่ง และความโฉดเขลาด้วย แต่ได้เรียนรู้ว่านี่ก็วิ่งไล่ตามลมเช่นกัน

18เพราะยิ่งฉลาดมากก็ยิ่งโศกเศร้ามาก

ยิ่งรู้ก็ยิ่งทุกข์โศก