Mathayo 4 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 4:1-25

Kujaribiwa Kwa Yesu

(Marko 1:12-13; Luka 4:1-13)

14:1 Kut 34:28; 1Fal 19:8Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani ili akajaribiwe na ibilisi. 24:2 Kut 34:28; 1Fal 19:8Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa. 34:3 1The 3:5; Mk 3:11; Ufu 2:18Mjaribu akamjia na kumwambia, “Ikiwa wewe ndiye Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”

44:4 Kum 8:3; Yn 4:34Lakini Yesu akajibu, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’ ”

54:5 Neh 11:1; Mt 27:5Ndipo ibilisi akamchukua Yesu mpaka mji mtakatifu na kumweka juu ya mnara mrefu wa Hekalu, 64:6 Za 91:11-12; Mt 4:3akamwambia, “Kama wewe ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini. Kwa kuwa imeandikwa:

“ ‘Atakuagizia malaika zake,

nao watakuchukua mikononi mwao

ili usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.’ ”

74:7 Kum 6:16Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ”

8Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari zake, 9kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”

104:10 Ay 1:6-9; Rum 16:20; 6:13Yesu akamwambia, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.’ ”

114:11 Lk 22:43; Ebr 1:14Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumhudumia.

Yesu Aanza Kuhubiri

(Marko 1:14-15; Luka 4:14-15)

124:12 Mt 14:3; Mk 1:14Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ametiwa gerezani, alirudi Galilaya. 134:13 Mk 9:33; Yn 2:12Akaondoka Nazareti akaenda kuishi Kapernaumu, mji ulioko karibu na bahari, katika mipaka ya nchi ya Zabuloni na Naftali, 144:14 Isa 9:1, 2; 9:1; Mt 1:22ili kutimiza unabii wa nabii Isaya, kama alivyosema:

154:15 Isa 9:1, 2“Nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali,

kwenye njia ya kuelekea baharini,

ngʼambo ya Yordani,

Galilaya ya watu wa Mataifa:

164:16 Isa 9:1-2; Yn 1:4-9watu wale waliokaa gizani

wameona nuru kuu;

nao wale walioishi katika nchi ya uvuli wa mauti,

nuru imewazukia.”

174:17 Mt 3:2; Mk 1:14, 15Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”

Yesu Awaita Wanafunzi Wake Wa Kwanza

(Marko 1:16-20; Luka 5:1-11)

184:18 Mk 7:31; Yn 6:1; Mt 16:17-18Yesu alipokuwa anatembea kando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea ndugu yake. Walikuwa wakizitupa nyavu zao baharini kwa kuwa wao walikuwa wavuvi. 194:19 Lk 5:28; Yn 1:43Yesu akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.” 204:20 Mk 10:28; Lk 18:28; Mt 19:27Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

214:21 Mk 3:17; Lk 8:51Alipoendelea mbele kutoka pale, akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakizitengeneza nyavu zao. Yesu akawaita. 224:22 Mt 4:19Nao mara wakaiacha mashua yao, pamoja na baba yao, wakamfuata.

Yesu Ahubiri Na Kuponya Wagonjwa

(Luka 6:17-19)

234:23 Mk 1:39; Lk 4:15, 44; 7:22; Yn 18:20; 3:10; Mk 1:14; Mdo 20; 25; 28:23, 31Yesu akapita katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri habari njema za Ufalme, na akiponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni mwa watu. 244:24 Lk 2:2; Mk 1:32; 5:15-18; Mt 17:15; Mk 2:3Kwa hiyo sifa zake zikaenea sehemu zote za Shamu, nao watu wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na maumivu, waliopagawa na pepo wachafu, wenye kifafa na waliopooza, naye akawaponya. 254:25 Mk 3:7-8; Lk 6:17Makutano makubwa ya watu yakawa yanamjia kutoka Galilaya, Dekapoli,4:25 Yaani Miji Kumi. Yerusalemu, Uyahudi na kutoka ngʼambo ya Mto Yordani.

Korean Living Bible

마태복음 4:1-25

예수님이 시험받으심

1그러고서 예수님은 성령님의 인도로 마귀에게 시험을 받으러 광야로 나가 셨다.

2예수님은 40일 동안 금식하여 몹시 시장하셨다.

3이때 시험하는 마귀가 예수님께 와서 말하였다. “네가 하나님의 아들이라면 이 돌을 빵이 되게 하라.”

4그러나 예수님은 마귀에게 이렇게 말씀하셨다. “성경에는 4:4 신8:3‘사람이 빵으로만 살 것이 아니라 하나님의 모든 말씀으로 살아야 한다’ 라고 쓰여 있다.”

5그러자 마귀는 예수님을 거룩한 성으로 데려가 성전 꼭대기에 세우고 말하였다.

6“네가 하나님의 아들이라면 여기서 뛰어내려 보아라. 성경에는 4:6 시91:11, 12, 12‘하나님이 천사들에게 명령하여 손으로 너를 붙들어서 네 발이 돌에 부딪히지 않게 하실 것이다’ 라고 쓰여 있다.”

7그래서 예수님은 마귀에게 “성경에는 4:7 신6:16‘주 너의 하나님을 시험하지 말라’ 는 말씀도 기록되어 있다” 라고 대답하셨다.

8다시 마귀는 예수님을 데리고 아주 높은 산으로 올라가 세상의 모든 나라와 그 영광을 보여 주면서

9예수님께 “네가 만일 엎드려 나에게 절하면 내가 이 모든 것을 너에게 주겠다” 라고 하였다.

10그때 예수님이 말씀하셨다. “4:10 ‘대적하는 자’, ‘고소자’, ‘중상자’, ‘귀신의 왕’, ‘원수’ 등등의 여러 가지 뜻이 있다.사탄아, 썩 물러가거라. 성경에는 4:10 신6:13‘주 너의 하나님을 경배하고 그분만을 섬겨라’ 고 쓰여 있다.”

11그러자 마귀는 떠나가고 천사들이 와서 예수님께 시중들었다.

예수님의 전도 시작

12예수님은 요한이 잡혔다는 소식을 듣고 갈릴리로 돌아가셨다.

13그러나 그분은 나사렛에 계시지 않고 스불론과 납달리 지방의 바닷가에 있는 가버나움으로 가서 사셨다.

14이것은 예언자 이사야의 다음과 같은 예언을 이루기 위해서였다.

154:15 사9:1, 2, 2“스불론 땅과 납달리 땅아, 지중해 동쪽 요단강 서편의 이방 사람들이 사는 갈릴리야,

16흑암 가운데 사는 백성이 큰 빛을 보았고 죽음의 그늘진 땅에 사는 사람들에게 빛이 비치었다.”

17이때부터 예수님은 “회개하라! 하늘 나라가 가까웠다!” 하고 전도하기 시작하셨다.

네 제자를 부르심

18예수님은 갈릴리 바닷가를 거니시다가 바다에 그물을 던지고 있는 어부들을 보셨다. 그들은 베드로라는 시몬과 그의 형제 안드레였다.

19예수님이 그들에게 “나를 따라오너라. 너희를 사람 낚는 어부가 되게 하겠다” 하고 말씀하시자

20그들은 곧 그물을 버려 두고 예수님을 따랐다.

21예수님은 거기서 좀더 가시다가 다른 두 형제 야고보와 요한이 아버지 세베대와 함께 배에서 그물을 손질하는 것을 보시고 그들도 부르셨다.

22그러자 그들은 아버지를 배에 남겨 두고 즉시 예수님을 따랐다.

23예수님은 갈릴리 지방을 두루 다니시며 회당에서 가르치시고 하늘 나라의 기쁜 소식을 전하셨다. 그리고 병든 사람들과 허약한 사람들을 모두 고쳐 주셨다.

24예수님의 소문이 4:24 또는 ‘온 시리아에’시리아까지 퍼지자 사람들은 온갖 질병과 고통으로 고생하는 사람들, 귀신 들린 사람들, 간질병 환자들, 중풍병자들을 수없이 데리고 왔다. 예수님은 그들을 모두 고쳐 주셨다.

25갈릴리와 데가볼리와 예루살렘과 유대와 요단강 건너편에서 많은 사람들이 예수님을 따랐다.