Mathayo 10 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 10:1-42

Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili

(Marko 3:13-19; 6:7-13; Luka 6:12-16; 9:1-6)

110:1 Mk 3:13-15; Lk 9:1-5Ndipo Yesu akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, naye akawapa mamlaka juu ya pepo wachafu, ili waweze kuwatoa na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila aina.

210:2 Lk 6:13-16Haya ndiyo majina ya hao mitume kumi na wawili: wa kwanza, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye; Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye; 3Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo; 410:4 Mk 14:10; Mdo 1:16Simoni Mkananayo, na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.

510:5 1Fal 16:24; Lk 10:33Hawa kumi na wawili, Yesu aliwatuma akawaagiza: “Msiende miongoni mwa watu wa Mataifa, wala msiingie mji wowote wa Wasamaria. 610:6 Yer 50:6; Mt 15:24Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea. 710:7 Mt 3:2; Lk 19:9Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’ 810:8 Mdo 20:33Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata bure, toeni bure. 910:9 Lk 22:35Msichukue dhahabu, wala fedha, wala shaba kwenye vifuko vyenu. 1010:10 1Tim 5:18; Hes 18:31Msichukue mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala jozi ya pili ya viatu, wala fimbo, kwa maana mtendakazi anastahili posho yake.

1110:11 Lk 10:8“Mji wowote au kijiji chochote mtakapoingia, tafuteni humo mtu anayestahili, nanyi kaeni kwake mpaka mtakapoondoka. 1210:12 1Sam 25:6; Lk 10:5-6Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani. 1310:13 Lk 10:5; Za 35:13Kama nyumba hiyo inastahili, amani yenu na iwe juu yake. La sivyo, amani yenu na iwarudie ninyi. 1410:14 Neh 5:13; Mk 6:11Kama mtu yeyote hatawakaribisha ninyi, wala kusikiliza maneno yenu, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu mtakapokuwa mnatoka kwenye nyumba hiyo au mji huo. 1510:15 Mwa 18:20; Yud 7; Mdo 17:30; Mt 11:22-24Amin, nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa miji ya Sodoma na Gomora kustahimili katika hukumu kuliko mji huo.

Mateso Yanayokuja

(Marko 13:9-13; Luka 21:12-17)

1610:16 Lk 10:3; Mdo 20:29; Rum 16:19; 1Kor 14:20“Tazama, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. Kwa hiyo mwe werevu kama nyoka na wapole kama hua.

1710:17 Mt 5:22; Mdo 22:19; 26:11“Jihadharini na wanadamu; kwa maana watawapeleka katika mabaraza yao na kuwapiga kwenye masinagogi yao. 1810:18 Mdo 25:24-26Nanyi mtaburutwa mbele ya watawala na wafalme kwa ajili yangu, ili kuwa ushuhuda kwao na kwa watu wa Mataifa. 1910:19 Kut 4:12; Lk 12:11-12Lakini watakapowapeleka humo, msisumbuke kufikiria mtakalosema, kwa maana mtapewa la kusema wakati huo. 2010:20 Mdo 4:8; Yn 14:26Kwa sababu si ninyi mtakaokuwa mkinena, bali ni Roho wa Baba yenu atakayekuwa akinena kupitia kwenu.

2110:21 Mik 7:6; Mt 10:35-36“Ndugu atamsaliti ndugu yake ili auawe, naye baba atamsaliti mtoto wake. Watoto nao wataasi dhidi ya wazazi wao na kusababisha wauawe. 2210:22 Lk 21:19; Ufu 2:10Watu wote watawachukia kwa ajili ya Jina langu. Lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa. 2310:23 Mt 16:28; Lk 17:30Wakiwatesa katika mji mmoja, kimbilieni mji mwingine. Amin, amin nawaambia, hamtamaliza miji yote ya Israeli kabla Mwana wa Adamu kuja.

2410:24 Lk 6:40; Yn 15:20“Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, wala mtumishi hamzidi bwana wake. 2510:25 Mk 3:22; Mt 12:24Yatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa mkuu wa nyumba ameitwa Beelzebuli,10:25 Beelzebuli kwa Kiyunani ni Beelzebubu, yaani mkuu wa pepo wachafu. je, si watawaita zaidi wale wa nyumbani mwake!

Anayestahili Kuogopwa

(Luka 12:2-9)

2610:26 Mk 4:22; Lk 8:17“Kwa hiyo msiwaogope hao, kwa maana hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna siri ambayo haitajulikana. 27Ninalowaambia gizani, ninyi lisemeni mchana peupe. Na lile mnalosikia likinongʼonwa masikioni mwenu, lihubirini juu ya nyumba. 2810:28 Isa 8:12-13; Ebr 10:31Msiwaogope wale wauao mwili lakini hawawezi kuua roho. Afadhali mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanamu.10:28 Jehanamu kwa Kiyunani ni Gehena, maana yake ni Kuzimu, yaani motoni. 29Je, shomoro wawili hawauzwi kwa senti moja tu? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini pasipo Baba yenu kujua. 3010:30 1Fal 1:52; Lk 21:18Hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa. 3110:31 Mt 6:26; 12:12Hivyo msiogope; kwa maana ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.

3210:32 Rum 10:9“Kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, mimi nami nitamkiri yeye mbele za Baba yangu aliye mbinguni. 3310:33 Mk 8:38; 2Tim 2:12Lakini yeyote atakayenikana mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.”

Sikuleta Amani, Bali Upanga

(Luka 12:51-53; 14:26-27)

3410:34 Lk 12:51-53“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. 3510:35 Mik 7:6Kwa maana nimekuja kumfitini

“ ‘mtu na babaye,

binti na mamaye,

mkwe na mama mkwe wake;

3610:36 Mik 6:7nao adui za mtu watakuwa

ni wale watu wa nyumbani kwake.’

3710:37 Lk 14:26“Yeyote ampendaye baba yake au mama yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Yeyote ampendaye mwanawe au binti yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. 3810:38 Mt 16:24-25; Lk 14:27Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu. 3910:39 Lk 17:33; Yn 12:44Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata.

Watakaopokea Thawabu

(Marko 9:41)

4010:40 Kut 16:8; Gal 4:14; Lk 10:16; Yn 12:44“Mtu yeyote atakayewapokea ninyi atakuwa amenipokea mimi, na yeyote atakayenipokea mimi atakuwa amempokea yeye aliyenituma. 4110:41 1Fal 17:10; 18:4; 2Fal 4:8Mtu yeyote anayempokea nabii kwa kuwa ni nabii atapokea thawabu ya nabii, naye mtu anayempokea mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki atapokea thawabu ya mwenye haki. 4210:42 Mt 25:40; Mdo 10:4; Mit 14:30; Mk 9:41Kama yeyote akimpa hata kikombe cha maji baridi mmoja wa hawa wadogo kwa kuwa ni mwanafunzi wangu, amin, nawaambia, hataikosa thawabu yake.”

Korean Living Bible

마태복음 10:1-42

열두 제자를 부르심

1예수님은 열두 제자를 불러 그들에게 더러운 귀신을 쫓아내며 모든 병 과 허약한 체질을 고치는 권능을 주셨다.

2이 열두 사도의 이름은 이렇다: 베드로라는 시몬, 시몬의 형제 안드레, 세베대의 아들 야고보, 야고보의 형제 요한,

3빌립, 바돌로매, 도마, 세무원 마태, 알패오의 아들 야고보, 다대오,

410:4 또는 ‘열심 당원’가나안 사람 시몬, 그리고 예수님을 판 가룟 사람 유다였다.

전도자의 각오

5예수님은 이 열두 사람을 보내시며 이렇게 명령하셨다. “너희는 이방인들이나 사마리아 사람들에게 가지 말고

6하나님의 잃어버린 양과 같은 이스라엘 사람들에게 가거라.

7가서 ‘하늘 나라가 가까웠다’ 고 전하여라.

8병든 사람을 고치고 죽은 사람을 살리고 문둥병자를 깨끗하게 하며 귀신을 쫓아내어라. 너희가 거저 받았으니 거저 주어라.

910:9 원문에는 ‘금이나 은이나 동’돈은 일체 가지고 가지 말아라.

10여행 가방이나 갈아 입을 옷이나 여분의 신발이나 지팡이도 갖고 가지 말아라. 일꾼이 자기 먹을 것을 받는 것이 마땅하다.

11어느 도시나 마을에 들어가든지 10:11 또는 ‘합당한’너희를 기꺼이 영접하고자 하는 사람을 찾아 너희가 떠날 때까지 그 집에 머물러라.

12너희는 그 집에 들어가면서 10:12 또는 ‘인사하여라’평안을 빌어 주어라.

13만일 그 집이 너희 평안의 축복을 받을 만하면 너희가 빈 평안이 그 집에 내릴 것이고 그렇지 못하면 그 평안이 너희에게 되돌아올 것이다.

14누구든지 너희를 영접하지도 않고 너희 말도 듣지 않거든 그 집이나 그 마을을 떠날 때 신발에 묻은 먼지를 떨어 버려라.

15내가 분명히 말하지만 심판 날에는 소돔과 고모라가 그 마을보다 더 견디기 쉬울 것이다.

16“내가 너희를 보내는 것이 양을 이리떼 속으로 보내는 것과 같다. 그러므로 너희는 뱀처럼 지혜롭고 비둘기처럼 순결하여라.

17사람들을 조심하라. 그들이 너희를 10:17 헬 ‘수네드리온’ (공회)법정에 넘겨 주고 회당에서 채찍질할 것이다.

18너희는 나 때문에 총독들과 왕들 앞에 끌려가서 그들과 이방인들에게 내 증인이 될 것이다.

19그러나 그들이 너희를 법정에 넘길 때 무엇을 어떻게 말할까 걱정하지 말아라. 그 때에 너희가 할 말을 일러 주실 것이다.

20이때 말하는 이는 너희가 아니라 너희 속 에서 말씀하시는 너희 아버지의 성령이시다.

21또 형제가 형제를, 아버지가 자식을 고발하여 죽게 할 것이며 자식이 부모를 대적하여 죽게 할 것이다.

22그리고 너희가 나 때문에 모든 사람에게서 미움을 받을 것이나 끝까지 견디는 사람은 구원을 받을 것이다.

23어떤 마을에서 사람들이 너희를 괴롭히거든 다른 마을로 피하라. 내가 분명히 말해 두지만 너희가 이곳 저곳으로 피하며 이스라엘의 마을들을 다 다니기 전에 10:23 원문에는 ‘인자’ (사람의 아들)내가 올 것이다.

24“제자가 스승보다 높지 못하고 종이 주인보다 높지 못하다.

25제자는 스승과 같이 되는 것으로 만족해야 하고 종은 주인과 같이 되는 것으로 만족해야 한다. 집 주인인 나를 10:25 헬 ‘바알세불’사탄이라고 불렀으니 10:25 원문에는 ‘그 집 사람들’너희에게야 오죽하겠느냐?

26그러나 너희를 위협하는 사람들을 두려워하지 말아라. 감추어진 일이 드러나지 않을 것이 없고 숨겨진 일이 알려지지 않을 것이 없다.

27너희는 내가 너희에게 어두운 데서 말한 것을 밝은 데서 말하고 너희 귀에 조용히 들려 준 것을 옥상에서 큰 소리로 전파하라.

28몸은 죽여도 영혼은 죽이지 못하는 사람들을 두려워하지 말고 영혼과 몸을 10:28 헬 ‘게엔나’지옥에서 다 멸망시킬 수 있는 분을 두려워하라.

29참새 두 마리가 10:29 헬 ‘한 앗사리온’ (소액의 동전 명칭)동전 몇 푼에 팔리지 않느냐? 그러나 너희 아버지께서 허락하지 않으시면 그 참새 한 마리도 그저 땅에 떨어지는 법이 없다.

30하나님은 너희 머리카락도 다 세고 계신다.

31그러므로 두려워하지 말아라. 너희는 많은 참새들보다 더 귀하다.

32누구든지 사람들 앞에서 나를 안다고 하면 나도 하늘에 계신 내 아버지 앞에서 그를 안다고 할 것이다.

33그러나 누구든지 사람들 앞에서 나를 모른다고 하면 나도 하늘에 계신 내 아버지 앞에서 그를 모른다고 할 것이다.

34“너희는 내가 세상에 평화를 주러 왔다고 생각하지 말아라. 평화가 아니라 칼을 주려고 왔다.

35나는 아들과 아버지, 딸과 어머니, 며느리와 시어머니가 서로 다투게 하려고 왔다.

36그러므로 사람의 원수는 자기 식구가 될 것이다.

37나보다 자기 부모를 더 사랑하는 사람은 내 제자가 되기에 적합하지 않고 나보다 자기 자식을 더 사랑하는 사람도 적합하지 않으며

38자기 십자가를 지고 나를 따르지 않는 사람 역시 내 제자로서 적합하지 않다.

39자기 생명을 아끼는 사람은 잃을 것이며 나를 위해 자기 생명을 버리는 사람은 얻을 것이다.

40“너희를 영접하는 사람은 나를 영접하는 것이며 나를 영접하는 사람은 나를 보내신 하나님을 영접하는 것이다.

41누구든지 예언자를 영접하면 예언자가 받는 상을 받을 것이며 의로운 사람을 영접하면 의로운 사람이 받는 상을 받을 것이다.

42내가 분명히 말해 둔다. 10:42 또는 ‘소자’아주 보잘것없는 사람이지만 그가 내 제자라는 이유로 그에게 냉수 한 그릇이라도 대접하는 사람은 반드시 상을 받을 것이다.”