Matendo 7 – NEN & SNC

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 7:1-60

Hotuba Ya Stefano

1Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”

27:2 Za 29:3; Mwa 11:31; 15:7; Mdo 22:1Stefano akajibu, “Ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni! Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu, alipokuwa bado yuko Mesopotamia, kabla hajaishi Harani, 37:3 Mwa 12:1-5; 48:4akamwambia, ‘Ondoka kutoka nchi yako na kutoka kwa jamii yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.’

47:4 Mwa 12:5; Ebr 11:13“Hivyo aliondoka katika nchi ya Wakaldayo akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu akamtoa huko akamleta katika nchi hii ambayo mnaishi sasa. 57:5 Mwa 17:8; 26:3; 12:7; Ebr 11:13Mungu hakumpa urithi wowote katika nchi hii, hakumpa hata mahali pa kuweka wayo mmoja. Bali Mungu alimwahidi kuwa yeye na uzao wake baada yake wangeirithi hii nchi, ingawa wakati huo Abrahamu hakuwa na mtoto. 67:6 Kut 1:8-11; 12:40Mungu akasema naye hivi: ‘Wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.’ 77:7 Mwa 15:13-14; Kut 3:12Mungu akasema, ‘Lakini mimi nitaliadhibu taifa watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka katika nchi hiyo na wataniabudu mahali hapa.’ 87:8 Mwa 17:9-14; 21:2-4; 29:31-35; 35:16-18, 22-26Ndipo akampa Abrahamu Agano la tohara. Naye Abrahamu akamzaa Isaki na kumtahiri siku ya nane. Baadaye Isaki akamzaa Yakobo, naye Yakobo akawazaa wale wazee wetu kumi na wawili.

97:9 Mwa 37:4-11; 37:28; 39:2, 21-23; Hag 2:4“Kwa sababu wazee wetu walimwonea wivu Yosefu ndugu yao, walimuuza kama mtumwa huko Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye. 107:10 Mwa 41:37-41; Za 105:20-22Akamwokoa kutoka mateso yote yaliyompata, tena akampa kibali na hekima aliposimama mbele ya Farao, mfalme wa Misri, ambaye alimweka kuwa mtawala juu ya Misri na juu ya jumba lote la kifalme.

117:11 Mwa 41:54; 42:5“Basi kukawa na njaa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa, nao baba zetu wakawa hawana chakula. 127:12 Mwa 42:12Lakini Yakobo aliposikia kwamba kuna nafaka huko Misri, aliwatuma baba zetu, wakaenda huko kwa mara yao ya kwanza. 137:13 Mwa 45:1-4Walipokwenda mara ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, nao ndugu zake Yosefu wakajulishwa kwa Farao. 147:14 Mwa 45:9-10; Kut 1:5; Kum 10:22Ndipo Yosefu akawatuma kumleta Yakobo baba yake pamoja na jamaa yake yote, jumla yao walikuwa watu sabini na watano. 157:15 Mwa 49:33Hivyo Yakobo akaenda Misri ambako yeye na baba zetu walifia. 167:16 Mwa 50:13; Yos 24:32Miili yao ilirudishwa Shekemu na kuzikwa katika kaburi ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa wana wa Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.

177:17 Kut 1:6-7; Za 105:24“Lakini wakati ulipokuwa unakaribia wa kutimizwa kwa ile ahadi ambayo Mungu alikuwa amempa Abrahamu, watu wetu walizidi kuongezeka sana huko Misri. 187:18 Kut 1:8Ndipo mfalme mwingine ambaye hakujua lolote kuhusu Yosefu akatawala Misri. 197:19 Kut 1:8-22Huyu mfalme akawatendea watu wetu hila na kuwatesa baba zetu kwa kuwalazimisha wawatupe watoto wao wachanga ili wafe.

207:20 Kut 2:2; Ebr 11:23“Wakati huo Mose alizaliwa, naye hakuwa mtoto wa kawaida. Akalelewa nyumbani kwa baba yake kwa muda wa miezi mitatu. 217:21 Kut 2:3-10Waliposhindwa kumficha zaidi, wakamweka nje mtoni na binti Farao akamchukua akamtunza kama mtoto wake mwenyewe. 227:22 1Fal 4:30; Isa 19:11Mose akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa mtu hodari kwa maneno na matendo.

237:23 Kut 2:11; 2:12“Mose alipokuwa na umri wa miaka arobaini aliamua kuwatembelea ndugu zake Waisraeli. 24Aliona mmoja wao akidhulumiwa na Mmisri, akamtetea yule aliyeonewa, akampiga yule Mmisri akamuua kulipiza kisasi. 25Mose alidhani kuwa ndugu zake wangetambua kwamba Mungu anamtumia ili kuwaokoa, lakini wao hawakuelewa. 267:26 Kut 2:13Siku iliyofuata Mose aliwakuta Waisraeli wawili wakigombana, akajaribu kuwapatanisha kwa kuwaambia, ‘Enyi watu, ninyi ni ndugu, mbona mnataka kudhulumiana?’

277:27 Lk 12:14; Mdo 4:7; Mwa 19:9; Hes 16; 13; Kut 2:14“Lakini yule mtu aliyekuwa akimdhulumu mwenzake akamsukuma Mose kando, akamuuliza, ‘Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu? 28Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana?’ 297:29 Kut 2:11-15Mose aliposikia maneno haya, alikimbilia huko Midiani alikokaa kama mgeni, naye akapata watoto wawili wa kiume.

307:30 Kut 3:2; 2:15, 22; 18:3, 4“Basi baada ya miaka arobaini kupita, malaika wa Mungu akamtokea Mose jangwani karibu na Mlima Sinai katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto. 317:31 Kut 3:1-5Alipoona mambo haya, alishangaa yale maono. Aliposogea ili aangalie kwa karibu, akaisikia sauti ya Bwana, ikisema: 327:32 Mt 22:32; Ebr 11:16; Mdo 3:13; Kut 3:6‘Mimi ndimi Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo.’ Mose alitetemeka kwa hofu na hakuthubutu kutazama.

337:33 Kut 3:5-6; Yos 5:15“Ndipo Bwana akamwambia, ‘Vua viatu vyako kwa maana mahali unaposimama ni patakatifu. 347:34 Kut 3:7-10Hakika nimeona mateso ya watu wangu huko Misri. Nimesikia kilio chao cha uchungu, nami nimeshuka ili niwaokoe. Basi sasa njoo, nami nitakutuma Misri.’

357:35 Mdo 7:27; Kut 2:14“Huyu ndiye Mose yule waliyemkataa wakisema, ‘Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu?’ Alikuwa ametumwa na Mungu mwenyewe kuwa mtawala na mkombozi wao, kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kile kichaka. 367:36 Kut 12:41; 33; 1; 14:21Aliwaongoza wana wa Israeli kutoka Misri, baada ya kufanya ishara na maajabu mengi huko Misri, katika Bahari ya Shamu,7:36 Yaani Bahari ya Mafunjo. na katika jangwa kwa muda wa miaka arobaini.

377:37 Kum 18:15, 18; Mdo 3:22; Mt 15:5“Huyu ndiye yule Mose aliyewaambia Waisraeli, ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe.’ 387:38 Kut 19:17; Law 27:34; Ebr 4:12; Rum 3:2Huyu ndiye yule Mose aliyekuwa katika kusanyiko huko jangwani, ambaye malaika alisema naye pamoja na baba zetu kwenye Mlima Sinai, naye akapokea maneno yaliyo hai ili atupatie.

397:39 Hes 14:3-4“Lakini baba zetu walikataa kumtii Mose, badala yake wakamkataa na kuielekeza mioyo yao Misri tena. 407:40 Kut 32:1-23Wakamwambia Aroni, ‘Tufanyie miungu watakaotuongoza, kwa maana mtu huyu Mose aliyetutoa nchi ya Misri, hatujui yaliyompata.’ 417:41 Za 106:19-20; Ufu 9:20Huu ni ule wakati walitengeneza sanamu katika umbo la ndama, wakailetea sadaka kufanya maadhimisho kwa ajili ya kile kitu walichokitengeneza kwa mikono yao wenyewe. 427:42 Yos 24:20; Isa 63:19; Yer 19:13Ndipo Mungu akageuka, akawaacha waabudu jeshi lote la mbinguni, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Manabii:

“ ‘Je, mliniletea dhabihu na sadaka

kwa miaka arobaini kule jangwani,

ee nyumba ya Israeli?

437:43 Amo 5:25-27La, ninyi mliinua madhabahu ya Moleki,

na nyota ya mungu wenu Refani,

vinyago mlivyotengeneza ili kuviabudu.

Kwa hiyo nitawapeleka mbali’ kuliko Babeli.

447:44 Kut 38:21; Hes 17:7; Kut 25:8“Baba zetu walikuwa na lile Hema la Ushuhuda huko jangwani. Lilikuwa limetengenezwa kama Mungu alivyokuwa amemwelekeza Mose, kulingana na kielelezo alichoona. 457:45 Yos 23:9; Za 132:1-5Baba zetu wakiisha kulipokea hema kwa kupokezana wakiongozwa na Yoshua katika milki ya nchi kutoka kwa yale mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao, nalo likadumu katika nchi mpaka wakati wa Daudi, 467:46 1Fal 8:17; Za 44:2ambaye alipata kibali kwa Mungu, naye akaomba kwamba ampatie Mungu wa Yakobo maskani. 477:47 1Fal 6:1-38; 1Nya 17:12; 2Nya 3:1Lakini alikuwa Solomoni ndiye alimjengea Mungu nyumba.

487:48 1Fal 8:27; 2Nya 2:6“Hata hivyo, Yeye Aliye Juu Sana hakai kwenye nyumba zilizojengwa kwa mikono ya wanadamu. Kama nabii alivyosema:

497:49 Mt 5:32-35; Isa 66:1, 2; Mt 23:22“ ‘Mbingu ni kiti changu cha enzi,

nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu.

Mtanijengea nyumba ya namna gani?

asema Bwana.

Au mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?

507:50 Isa 66:1-2; Lk 23:34Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote?’

517:51 Kut 32:9; 33:3-5; Law 26:41; Yer 9:26“Enyi watu wenye shingo ngumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, daima hamwachi kumpinga Roho Mtakatifu, kama walivyofanya baba zenu. 527:52 2Nya 36:16; Mt 5:12; Mdo 3:14; 1The 2:15Je, kuna nabii gani ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki. Nanyi sasa mmekuwa wasaliti wake na wauaji. 537:53 Gal 3:19; Ebr 2:2Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”

Stefano Apigwa Mawe

547:54 Mt 5:33; Mdo 5:33Waliposikia haya wakaghadhibika, wakamsagia meno. 557:55 Mk 16:19; Mdo 6:5; Lk 22:69Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu. 567:56 Mt 3:16; 8:20; Eze 1:1; Mdo 10:11; Dan 7:13Akasema, “Tazameni! Naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama upande wa kuume wa Mungu.”

57Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja. 587:58 Lk 4:29; Law 24:14-16; Kum 13; 9; Mdo 22:20; 8:1Wakamtupa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka mavazi yao miguuni mwa kijana mmoja ambaye jina lake aliitwa Sauli.

597:59 Za 31:5; Lk 23:46Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.” 607:60 Lk 22:41; Mdo 9:40; Mt 5:44Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema hayo, akalala.

Slovo na cestu

Skutky 7:1-60

Štěpánova řeč před veleradou

1Předsedající kněz ho vyzval: „Můžeš popřít tuto obžalobu?“ (Před židovskou veleradou měl obžalovaný právo obhajoby 2a Štěpán toho využil. Chtěl dokázat, jak zvěst o Ježíši zřetelně navazuje na Boží činy v izraelských dějinách.) „Bratři a otcové,“ oslovil je, „sám jediný Bůh se kdysi zjevil našemu předku Abrahamovi, který pocházel z Mezopotámie a později bydlil v Cháranu. 3Dal mu příkaz: ‚Vystěhuj se z rodné země a od svého kmene a putuj do země, kterou ti určím.‘ 4Nejprve se tedy Abraham přestěhoval z Chaldeje do Cháranu a po smrti svého otce až do této naší vlasti. Ačkoliv měl Boží slib, že té zemi bude vládnout on i jeho potomci, 5nepatřil mu zde ani kousek, na který by se mohl postavit, a dokonce ani neměl dědice. 6Další Boží předpověď Abrahamovi byla ještě podivnější: ‚Tvoji potomci se odtud vystěhují do cizí země a tam budou otročit čtyři sta let ve špatných podmínkách. 7Ten národ otrokářů však potrestám, tvoje potomky vysvobodím a budou mě vzývat v této zemi.‘

8Viditelným znakem smlouvy Boha s člověkem se stala obřízka. A tak, když se Abrahamovi narodil syn Izák, obřezal ho. Posloupnost této smlouvy šla dále přes Izákova syna Jákoba na jeho dvanáct synů, našich patriarchů. 9Jeden z nich, Josef, se stal terčem nenávisti bratrů a oni ho prodali jako otroka do Egypta. 10Bůh však Josefa neopustil a nakonec ho vysvobodil ze všech těžkostí. Vybavil ho neobyčejnou prozíravostí a naklonil mu i samotného egyptského faraóna. Ten ho pak jmenoval svým ministrem a pobočníkem. 11Potom celý Egypt i Palestinu zachvátil hladomor a naši praotcové prožívali těžké chvíle, když jim došly zásoby potravin.

12Jákob se doslechl, že v Egyptě se ještě prodává obilí, a poslal tam syny. 13Při druhém nákupu se dal Josef svým bratrům poznat a představil je faraónovi. 14Pak Josef poslal pro otce Jákoba a přestěhoval celou rodinu, celkem sedmdesát pět lidí, do Egypta. 15Usadili se tam a Jákob i naši patriarchové zůstali v Egyptě do smrti. 16Pochováni však byli v Palestině do hrobky v Šekemu, na malém pozemku, který si Abraham kdysi koupil od místních obyvatel. 17A tak se splnilo, o čem Bůh mluvil Abrahamovi. Zpočátku se našemu lidu dařilo v Egyptě dobře a jeho počet rostl. 18Ale přišla jiná dynastie faraónů a na Josefovy zásluhy se zapomnělo. 19Naše předky zotročili, a protože si nepřáli, aby se rozmáhali, přikázali házet narozené hochy do řeky.

20Tehdy se narodil Mojžíš. Bylo to krásné dítě a rodiče ho tři měsíce skrývali doma. 21Když už nemohli chlapce dále utajit, položili ho v košíku do rákosí. Našla ho faraónova dcera a dala jej vychovat, jako by to byl její syn. 22Tak se Mojžíšovi dostalo nejlepšího egyptského vzdělání a vyrostl z něho výmluvný a schopný muž. 23Když mu bylo čtyřicet, napadlo ho, aby navštívil svůj lid. 24Přitom uviděl, jak Egypťan nespravedlivě trápí Žida, a tak toho otrokáře zabil. 25Už tehdy totiž tušil, že mu Bůh ukládá, aby svůj lid osvobodil z otroctví. Nenašel však u Izraelců pochopení.

26Příštího dne se snažil usmířit dva Židy, kteří se hádali, 27ale ten, který nebyl v právu, Mojžíše odbyl: ‚Kdo tě ustanovil za našeho vládce a soudce? 28To mě chceš zabít jako včera toho Egypťana?‘ 29Mojžíš se polekal a uprchl z Egypta do Midjánské země. Oženil se tam a měl dva syny. 30Po čtyřiceti letech tohoto vyhnanství se Mojžíšovi zjevil Boží anděl v hořícím keři na Sínajské poušti. 31Když se chtěl Mojžíš zblízka podívat na ten neobvyklý úkaz, uslyšel Boží hlas: 32‚Já jsem Bůh tvých otců Abrahama, Izáka a Jákoba.‘ Mojžíš se vyděsil a zakryl si tvář, aby nic neviděl. 33Ale Bůh mluvil dál: ‚Zuj si opánky, vždyť stojíš na svatém místě! 34Viděl jsem trápení svého lidu v Egyptě, slyšel jsem jejich vzdechy a jdu, abych je vysvobodil. Seber se a pojď, mám pro tebe v Egyptě úkol!‘

35-36A tak prostřednictvím tohoto vidění poslal Bůh Mojžíše Izraelcům za vůdce a vysvoboditele, přestože ho před čtyřiceti lety nechtěli uznat. A on je vysvobodil, činil před jejich očima mnoho zázračných věcí už v Egyptě, pak při přechodu Rudého moře a během čtyřicetiletého putování pouštěmi.

37Vzpomeňte si, že právě Mojžíš řekl Izraelcům: ‚Pán Bůh vám pošle proroka z vašeho národa, Vysvoboditele, tak jako k vám poslal mne; toho poslouchejte.‘ 38Mojžíš byl zprostředkovatelem mezi našimi otci a Bohem, který mu na hoře Sínaji svěřil slova života, aby nám je předal. 39Přesto ho naši otcové neposlouchali, ale bouřili se proti němu a pořád vzpomínali jen na Egypt.

40Když se Mojžíš ze Sínaje dlouho nevracel, řekli jeho bratru Áronovi: ‚Nevíme, co se stalo s Mojžíšem, který nás vyvedl z Egypta. Udělej nám bohy, aby nás chránili na další cestě.‘ 41A tak zhotovili sochu býčka, obětovali té modle a radovali se, jak si to dobře zařídili. 42Bůh se od nich odvrátil a dopustil, že propadli ještě horšímu modlářství. Uctívali i hvězdné mocnosti, jak o tom mluví Bůh v knize proroka Ámose:

‚Vy, že jste mi věrně sloužili

a obětovali po čtyřicet let na poušti, národe izraelský?

43Naopak, nosili jste s sebou svatyni Moleka

a symbol planety Saturna,

modly, které jste si sami udělali

a pak jste se jim klaněli.

Proto půjdete do vyhnanství až za Babylón.‘

44Bůh však nařídil Mojžíšovi, aby vybudoval Stan Smlouvy, přesnou svatyni, a dal mu pokyn, jak má vypadat. 45Tento stan přenášeli naši otcové při svém kočování pouští a pod Jozuovým vedením ho vnesli až do zaslíbené země. Ta byla tehdy domovem pohanů, ale Bůh je vytlačil, aby našim otcům udělal místo. Stan Smlouvy sloužil až do dnů krále Davida, kterého Bůh miloval. 46Ten velice stál o to, aby mohl Jákobovu Bohu vystavět chrám, 47ale uskutečnit to směl až jeho syn Šalomoun. 48Ovšem Nejvyšší nebydlí v chrámech, které postavili lidé. U proroka Izajáše Pán říká:

49‚Vesmír je můj trůn

a země koberec pod mýma nohama.

Jaký mi chcete postavit dům

a kam mě chcete vtěsnat?

50Což jsem všechno nestvořil?‘

51A tak se to zase opakuje. Jste právě tak tvrdošíjní jako vaši otcové, zacpáváte si uši, zavíráte srdce a stavíte se proti svatému Duchu. 52Byl nějaký prorok, aby ho vaši předkové nepronásledovali? Zabíjeli ty, kteří předpovídali příchod Spravedlivého, a vy jste se ho teď úplně zřekli a zavraždili jste ho! 53Dostali jste zákon přímo od Boha, ale stejně se jím neřídíte.“

První z mnoha mučedníků: Štěpán ukamenován

54Tato slova působila jako píchnutí do vosího hnízda. 55Ale Štěpán byl v té chvíli uchvácen Boží slávou, kterou mu dal svatý Duch zahlédnout. Díval se vzhůru 56a volal: „Vidím otevřené nebe a Ježíše Krista, jak stojí po Boží pravici!“ 57Tu přehlušili Štěpána křikem a zacpávali si uši, aby už nic neslyšeli. Vrhli se na něj, 58odvlekli ho za hradby města a tam ho ukamenovali. Ti, kdo házeli na Štěpána kameny, odložili své pláště k nohám mladého farizeje Saula, který souhlasil se Štěpánovou smrtí. 59Štěpán nejprve stál, vzýval Boha a modlil se: „Pane Ježíši, přijmi mého ducha!“ 60Pak sražen na kolena se ještě modlil: „Pane, nepočítej jim to za vinu!“ a zemřel.