Matendo 6 – NEN & CRO

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 6:1-15

Mateso Na Kuenea Kwa Injili

(6:1–9:31)

Saba Wachaguliwa Kuhudumu

16:1 Mdo 2:21; 4:35; 9:29, 39-41; 1Tim 5:3Basi ikawa katika siku hizo, wakati idadi ya wanafunzi ilipokuwa ikiongezeka sana, palitokea manungʼuniko kati ya Wayahudi wa Kiyunani, dhidi ya Waebrania kwa sababu wajane wao walisahaulika katika mgawanyo wa chakula wa kila siku. 26:2 Mdo 11:26; Ebr 4:12; Kut 18:17Wale mitume kumi na wawili wakakusanya wanafunzi wote pamoja wakasema, “Haitakuwa vyema sisi kuacha huduma ya neno la Mungu ili kuhudumu mezani. 36:3 Mdo 1:14-16; Lk 1:15; Kut 18:21; Neh 13:13; 1Tim 3:7, 8Kwa hiyo ndugu, chagueni watu saba miongoni mwenu, watu wenye sifa njema, waliojawa na Roho Mtakatifu na hekima, ambao tunaweza kuwakabidhi kazi hii, 46:4 Mdo 2:42nasi tutatumia muda wetu kuomba na huduma ya neno.”

56:5 Mdo 11:19; 22:20; 8:5-40; 21:8; Lk 1:15Yale waliyosema yakawapendeza watu wote, nao wakamchagua Stefano (mtu aliyejawa na imani na Roho Mtakatifu) pamoja na Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena na Nikolao, mwongofu kutoka Antiokia. 66:6 Mdo 13:3; 2Tim 1:6; Hes 27; 18; Mk 5:23Wakawaleta watu hawa mbele ya mitume, nao wakawaombea na kuwawekea mikono juu yao.

76:7 Mdo 12:24; 19:20Neno la Mungu likazidi kuenea. Idadi ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika Yerusalemu hata makuhani wengi wakaitii ile imani.

Kukamatwa Kwa Stefano

86:8 Yn 4:48Stefano, akiwa amejaa neema na nguvu za Mungu, alifanya ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu. 96:9 Mt 27:32; 22:3; 23:34; 2:9Hata hivyo, ukainuka upinzani wa watu wa Sinagogi la Watu Huru (kama lilivyokuwa linaitwa), la Wayahudi wa Kirene na wa Iskanderia, na wengine kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa wakaanza kupingana na Stefano. 106:10 Lk 21:15; Mdo 5:39Lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala huyo Roho ambaye alisema kwake.

116:11 2Fal 21:10; Mt 26:59-61Ndipo kwa siri wakawashawishi watu fulani waseme, “Tumemsikia Stefano akisema maneno ya kufuru dhidi ya Mose na dhidi ya Mungu.”

Stefano Afikishwa Mbele Ya Baraza

126:12 Mt 5:22Wakawachochea watu, wazee na walimu wa Sheria, nao wakamkamata Stefano wakamfikisha mbele ya baraza. 136:13 Mt 24:15; Mdo 7:48Wakaweka mashahidi wa uongo ambao walishuhudia wakisema, “Mtu huyu kamwe haachi kusema dhidi ya mahali hapa patakatifu na dhidi ya Sheria. 146:14 Mdo 26:3; 28:17Kwa maana tumemsikia akisema kwamba Yesu wa Nazareti atapaharibu mahali patakatifu na kubadili desturi zote tulizopewa na Mose.”

156:15 Mt 5:22Watu wote waliokuwa wameketi katika baraza wakimkazia macho Stefano, wakaona uso wake unangʼaa kama uso wa malaika.

Knijga O Kristu

Djela Apostolska 6:1-15

Apostoli biraju sedmoricu

1Ali kako je broj vjernika6:1 U grčkome: učenika. Isto i u 6:2, 7. naglo rastao, neki se počnu žaliti. Židovi koji su govorili grčki prigovarali su Židovima koji su govorili hebrejski da zanemaruju njihove udovice u svagdanjem dijeljenju pomoći. 2Dvanaestorica zato sazovu vjernike.

“Mi apostoli ne bismo trebali služiti pri stolovima umjesto da propovijedamo i poučavamo Riječ. 3Pronađite, braćo, među sobom sedam ljudi na dobrome glasu, punih Svetoga Duha i mudrosti. Njih ćemo za to zadužiti, 4a mi ćemo se posvetiti molitvi te propovijedanju i poučavanju Riječi.”

5Prijedlog se svima svidio. Izaberu Stjepana, čovjeka punog vjere i Svetoga Duha, te Filipa, Prohora, Nikanora, Timona, Parmenu i Nikolu koji je došao iz Antiohije. On se kao poganin obratio na židovsku vjeru, a sada je postao kršćaninom. 6Postave njih sedmoricu pred apostole, a oni polože na njih ruke i pomole se.

7Božja riječ sve se više širila. Broj vjernika u Jeruzalemu naglo je rastao, a i mnogi su židovski svećenici prihvaćali vjeru.

Stjepanovo uhićenje

8Stjepan je bio pun Božje milosti i sile. Činio je među narodom silna čudesa i znamenje. 9Ali pobune se neki iz takozvane sinagoge Slobodnjaka, Židovi iz Cirene, Aleksandrije, Cilicije i Male Azije, pa počnu s njime raspravljati. 10Nitko od njih nije se mogao nositi s mudrošću i Duhom kojim je Stjepan govorio.

11Nagovore zato neke ljude da za njega kažu: “Čuli smo ga da govori pogrdne riječi protiv Mojsija i protiv Boga.” 12Podjarili su i narod i starješine i pismoznance. Oni dođu po njega, ščepaju ga i odvuku u Vijeće. 13Dovedu onamo krivokletnike koji izjave: “Ovaj čovjek uvijek govori protiv Hrama i protiv Mojsijeva zakona. 14Čuli smo da kaže kako će taj Isus iz Nazareta uništiti Hram i promijeniti običaje koje nam je Mojsije predao.” 15Svi koji su sjedili u Vijeću pogledaju u Stjepana i opaze da mu je lice poput anđeoskog.