Matendo 11 – NEN & SNC

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Matendo 11:1-30

Petro Aeleza Alivyotumwa Kwa Watu Wa Mataifa

111:1 Mdo 1:16; Ebr 4:12Mitume na ndugu walioamini waliokuwa huko Uyahudi wakasikia kuwa watu wa Mataifa nao wamepokea neno la Mungu. 211:2 Mdo 10:45; Gal 2:12Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, wale wa tohara waliokuwa wameamini wakamshutumu, 311:3 Mdo 10:25-28; Gal 2:12wakisema, “Ulikwenda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”

411:4 Lk 1:3Ndipo Petro akaanza kuwaeleza kuhusu mambo yote yalivyotokea hatua kwa hatua akisema, 511:5 Mdo 10:9-32; 9:10“Nilikuwa katika mji wa Yafa nikiomba, nami nikapitiwa na usingizi wa ghafula, nikaona maono. Kulikuwa na kitu kama nguo kubwa ikishuka kutoka mbinguni, ikishushwa kwa ncha zake nne, nayo ikanikaribia. 6Nilipoangalia ndani yake kwa karibu niliona wanyama wenye miguu minne wa nchini, wanyama wa mwitu, watambaao na ndege wa angani. 7Ndipo nikasikia sauti ikiniambia, ‘Petro, ondoka uchinje na ule.’

8“Nikajibu, ‘La hasha Bwana! Kitu chochote kilicho najisi hakijaingia kinywani mwangu.’

911:9 Mdo 10:15“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.’ 10Jambo hili lilitokea mara tatu, ndipo kile kitu kikavutwa tena mbinguni.

11“Wakati ule ule watu watatu, waliokuwa wametumwa kutoka Kaisaria waliwasili katika nyumba niliyokuwa nikikaa. 1211:12 Mdo 8:29; 15:9; Rum 3:22; Mdo 1:16; Yn 16:13Roho Mtakatifu akaniambia niende nao bila kuwa na ubaguzi kati yao na sisi. Hawa ndugu sita pia walifuatana nami, nasi tukaingia nyumbani mwa huyo Kornelio. 1311:13 Mdo 5:19; 10:30Akatuambia jinsi alivyoona malaika aliyekuwa amesimama katika nyumba yake na kusema, ‘Tuma watu waende Yafa wakamlete Simoni aitwaye Petro. 1411:14 Yn 4:53; 1Kor 1:11-16Yeye atakupa ujumbe ambao kwa huo wewe na wa nyumbani mwako wote mtaokoka.’

1511:15 Mdo 10:44; 2:4“Nami nilipoanza kusema, Roho Mtakatifu akashuka juu yao kama vile alivyotushukia sisi hapo mwanzo. 1611:16 Mk 1:8; Mdo 1:5Nami nikakumbuka neno la Bwana alivyosema, ‘Yohana alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu.’ 1711:17 Mdo 10:45-47Basi ikiwa Mungu aliwapa hawa watu kipawa kile kile alichotupa sisi tuliomwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani hata nifikirie kuwa ningeweza kumpinga Mungu?”

1811:18 Rum 10:12-13; 2Kor 7:10Waliposikia haya hawakuwa na la kupinga zaidi. Nao wakamwadhimisha Mungu wakisema, “Basi, Mungu amewapa hata watu wa Mataifa toba iletayo uzima wa milele.”

Kanisa La Antiokia

1911:19 Mdo 8:1-4; 14:26; Gal 2:11Basi wale waliotawanyika kwa ajili ya mateso yaliyotokana na kifo cha Stefano, wakasafiri hadi Foinike na Kipro na Antiokia. Nao hawakuhubiri lile Neno kwa mtu yeyote isipokuwa Wayahudi. 2011:20 Mdo 4:36; Mt 27:32; Mdo 4:36; Mt 27:32Lakini baadhi yao walikuwepo watu wa Kipro na Kirene, ambao walipokuja Antiokia walinena na Wayunani pia wakiwahubiria habari njema za Bwana Yesu. 2111:21 Lk 1:66; Mdo 2:41-47Mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nao, nayo idadi kubwa ya watu wakaamini na kumgeukia Bwana.

2211:22 Mdo 4:36Habari hizi zilipofika masikioni mwa kanisa huko Yerusalemu, wakamtuma Barnaba aende Antiokia. 2311:23 Mdo 15:40; 20:24; 14:22Alipofika na kuona madhihirisho ya neema ya Mungu, akafurahi na kuwatia moyo waendelee kuwa waaminifu kwa Bwana kwa mioyo yao yote. 2411:24 Mdo 2:41; 5:14Barnaba alikuwa mtu mwema, aliyejaa Roho Mtakatifu, mwenye imani, nayo idadi kubwa ya watu wakaongezeka kwa Bwana.

2511:25 Mdo 9:11Kisha Barnaba akaenda Tarso kumtafuta Sauli, 2611:26 Mdo 6:1-2; 9:19-26; 26:28; 1Pet 4:16naye alipompata akamleta Antiokia. Hivyo kwa mwaka mzima Barnaba na Sauli wakakutana na kanisa na kufundisha idadi kubwa ya watu. Ilikuwa ni katika kanisa la Antiokia kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa Wakristo.

2711:27 1Kor 11:4; Efe 4:11Wakati huo manabii walishuka toka Yerusalemu hadi Antiokia. 2811:28 Mdo 21:10; Mt 24:14; Mdo 18:2Mmoja wao, jina lake Agabo, akasimama akatabiri kwa uweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itaenea ulimwengu mzima. Njaa hiyo ilitokea wakati wa utawala wa Klaudio. 2911:29 Rum 15:26; 2Kor 8:1-4; Mdo 1:16Mitume wakaamua kwamba kila mtu, kulingana na uwezo alio nao, atoe msaada kwa ajili ya ndugu wanaoishi Uyahudi. 3011:30 Mdo 14:23; 15:2; 22; 20:17; 1Tim 5:17; Tit 1:5; Yak 5:14; 1Pet 5:1; Mdo 4:36; 12:25Wakafanya hivyo, misaada yao ikapelekwa kwa wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.

Slovo na cestu

Skutky 11:1-30

Petr obhajuje svoji práci mezi pohany

1Apoštolové a ti bratři, kteří zůstali v Judsku, se dozvěděli, že i pohané uvěřili Boží zvěsti. 2Když se Petr vrátil do Jeruzaléma, někteří křesťané židovského původu mu vyčítali: 3„Ty jsi navštěvoval pohany a dokonce jsi s nimi jedl!“ 4Petr jim to pěkně po pořádku vypověděl. 5-14Vyprávěl o vidění, které měl na střeše domu v Joppe, o příchodu Kornéliových poslů a o všem, co se pak událo v Césareji. Představil jim i šest křesťanů z Joppe, kteří s ním šli ke Kornéliovi.

Pak Petr ukončil slovy: 15„Když jsem k nim mluvil o Kristu, sestoupil na ně svatý Duch právě tak jako tenkrát na nás. 16Vzpomněl jsem si v té chvíli na slova Pána Ježíše: ‚Jan vás křtil na znamení pokání vodou, ale vy budete pokřtěni svatým Duchem.‘ 17A tak když uvěřili v Pána Ježíše Krista jako my a dostali i stejný dar od Boha, nemohl jsem se přece stavět proti Boží vůli!“ 18Když to židovští bratři vyslechli, uklidnili se, s radostí děkovali Bohu a říkali: „Tedy i pohany probouzí Bůh k pokání a k novému životu!“

V Antiochii vzniká sbor z pohanů

19Ti věřící, kteří po Štěpánově smrti při pronásledování uprchli z Jeruzaléma, se dostali až do Fénicie, na Kypr a do města Antiochie v Sýrii. Radostné zvěsti o spáse hlásali jenom židům. 20Někteří však, rodáci z Kypru a Kyrenaiky, začali v Antiochii mluvit o Ježíši Kristu také pohanům. 21Pán stál při nich a velký počet lidí uvěřil a obrátil se ke Kristu. 22Když se o tom doslechli v jeruzalémském sboru, vyslali do Antiochie Barnabáše. 23Ten tam uviděl, jak mocně zapůsobila Boží milost. Měl z toho velkou radost a všechny povzbuzoval, aby věrně vytrvali při svém rozhodnutí pro Pána. 24Barnabáš byl muž na svém místě, plný Ducha svatého a víry.

V Antiochii bylo pro Ježíše získáno velké množství pohanů. 25Barnabáš se odtud vypravil do Tarsu, vyhledal Saula a přivedl ho s sebou do Antiochie. 26Tam zůstali po celý rok, a když kázali o Kristu, připojilo se ke skupině tamějších věřících překvapivé množství lidí. V Antiochii se poprvé začalo říkat Kristovým následovníkům kristovci – křesťané.

27Do antiochijského sboru přišli také z Jeruzaléma někteří věřící, kteří měli dar prorockého vidění. 28Jednomu z nich, Agabovi, ukázal Bůh, že v celé říši bude velký hlad. To se skutečně vyplnilo za vlády císaře Klaudia. 29Křesťané v Antiochii se tedy rozhodli přispět každý podle svých možností a podpořit věřící v Judsku, kde bylo mnoho chudých. 30Sbírku poslali představeným církve v Jeruzalémě po Barnabášovi a Saulovi.