Malaki 4 – NEN & NIV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Malaki 4:1-6

Siku Ya Bwana

14:1 Isa 2:12; 5:24; 1:31; 2Fal 10:11; Nah 1:10; Eze 17:8; Mt 3:10“Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda mabaya watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao. 24:2 Kum 28:58; 2Pet 1:19; Za 61:5; 111:9; 118:27; 2Nya 7:14; Ufu 14:1; 22:2; Isa 9:2; 45:8; 30:26; Lk 1:78; Efe 5:14; Mt 4:23Bali kwenu ninyi mnaoliheshimu Jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mabawa yake. Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama aliyeachiwa kutoka zizini. 34:3 Ay 40:12; Za 18:40-42; Eze 28:18; Mik 7:10Kisha ninyi mtawakanyaga waovu, nao watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayofanya mambo haya,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

44:4 Kum 28:61; 4:10; Za 147:19; Mt 5:17; 7:12; Rum 2:13; 4:15“Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu Mose, amri na sheria nilizompa huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote.

54:5 1Fal 17:1; Yoe 2:31; Mt 11:14; 16:14“Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya Bwana. 64:6 Dan 9:26; Lk 19:27, 43; 21:20; Mk 13:14; Lk 1:17; Zek 5:3; Isa 11:4; Ufu 19:15; Kum 13:15; Yos 6:17; 23:15; 4:2Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”

New International Version

Malachi 4:1-6

Judgment and Covenant Renewal

In Hebrew texts 4:1-6 is numbered 3:19-24. 1“Surely the day is coming; it will burn like a furnace. All the arrogant and every evildoer will be stubble, and the day that is coming will set them on fire,” says the Lord Almighty. “Not a root or a branch will be left to them. 2But for you who revere my name, the sun of righteousness will rise with healing in its rays. And you will go out and frolic like well-fed calves. 3Then you will trample on the wicked; they will be ashes under the soles of your feet on the day when I act,” says the Lord Almighty.

4“Remember the law of my servant Moses, the decrees and laws I gave him at Horeb for all Israel.

5“See, I will send the prophet Elijah to you before that great and dreadful day of the Lord comes. 6He will turn the hearts of the parents to their children, and the hearts of the children to their parents; or else I will come and strike the land with total destruction.”