Malaki 4 – NEN & CCBT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Malaki 4:1-6

Siku Ya Bwana

14:1 Isa 2:12; 5:24; 1:31; 2Fal 10:11; Nah 1:10; Eze 17:8; Mt 3:10“Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda mabaya watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao. 24:2 Kum 28:58; 2Pet 1:19; Za 61:5; 111:9; 118:27; 2Nya 7:14; Ufu 14:1; 22:2; Isa 9:2; 45:8; 30:26; Lk 1:78; Efe 5:14; Mt 4:23Bali kwenu ninyi mnaoliheshimu Jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mabawa yake. Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama aliyeachiwa kutoka zizini. 34:3 Ay 40:12; Za 18:40-42; Eze 28:18; Mik 7:10Kisha ninyi mtawakanyaga waovu, nao watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayofanya mambo haya,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

44:4 Kum 28:61; 4:10; Za 147:19; Mt 5:17; 7:12; Rum 2:13; 4:15“Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu Mose, amri na sheria nilizompa huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote.

54:5 1Fal 17:1; Yoe 2:31; Mt 11:14; 16:14“Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya Bwana. 64:6 Dan 9:26; Lk 19:27, 43; 21:20; Mk 13:14; Lk 1:17; Zek 5:3; Isa 11:4; Ufu 19:15; Kum 13:15; Yos 6:17; 23:15; 4:2Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

瑪拉基書 4:1-6

耶和華的日子

1「萬軍之耶和華說,『那日要來臨了,就像燒紅的火爐,所有狂妄自大、作惡多端的人都要像碎稭一樣被火燒盡,連根帶枝,蕩然無存。 2但必有公義的太陽為你們這些敬畏我名的人升起,它的光芒有醫治的能力。你們必像欄中出來的牛犢一樣歡欣跳躍。 3到我所定的日子,你們必踐踏惡人,他們必成為你們腳下的塵土。』這是萬軍之耶和華說的。

4「你們要記住我僕人摩西的律法,就是我在何烈山藉著他傳給以色列人的律例和典章。

5「看啊,在耶和華那偉大而可畏的日子來臨以前,我必差遣以利亞先知到你們那裡。 6他必使父親的心轉向兒女,兒女的心轉向父親,免得我來用咒詛毀滅這地方。」