Malaki 1 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Malaki 1:1-14

11:1 Nah 1:1; Mdo 7:38; Rum 3:1-2; 1Pet 4:11Ujumbe: Neno la Bwana kwa Israeli kupitia kwa Malaki.

Yakobo Alipendwa, Esau Alichukiwa

21:2 Kum 4:37; Mal 2:14-17; 3:7-13; Yer 46:27; Rum 9:13; Mwa 25:23; 28:13Bwana asema, “Nimewapenda ninyi.”

“Lakini ninyi mnauliza, ‘Wewe umetupendaje?’ ”

Bwana asema, “Je, Esau hakuwa ndugu yake Yakobo? Hata hivyo nimempenda Yakobo, 31:3 Lk 14:26; Eze 35:3; Isa 34:10; 13:22lakini nikamchukia Esau, nami nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa jangwani.”

41:4 Isa 11:14; 34:11; 9:10; 34:5; Mao 4:22; Eze 25:12-14; 26; 14Edomu anaweza kusema, “Ingawa tumepondapondwa, tutajenga upya magofu.”

Lakini hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Wanaweza kujenga, lakini nitabomoa. Wataitwa Nchi Ovu, watu ambao siku zote wapo chini ya ghadhabu ya Bwana. 51:5 Za 35:17; 48:1; Mik 5:4; Isa 45:22; 52:10; Amo 1:11-12; Za 83:18Mtayaona kwa macho yenu wenyewe na kusema, ‘Bwana ni mkuu, hata nje ya mipaka ya Israeli!’

Dhabihu Zilizo Na Mawaa

61:6 Law 20:9; Mt 15:14; 23:9; Lk 6:46; Ay 5:17; Kum 31; 12; 20:12; 5:16; Efe 6:2; Lk 18:20“Mwana humheshimu baba yake, naye mtumishi humheshimu bwana wake. Kama mimi ni baba, iko wapi heshima ninayostahili? Kama mimi ni bwana, iko wapi heshima ninayostahili?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Ni ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau Jina langu.

“Lakini mnauliza, ‘Tumelidharau Jina lako kwa namna gani?’

71:7 Law 21:6; Eze 23; 41; 41:22“Mnatoa sadaka chakula kilichotiwa unajisi juu ya madhabahu yangu.

“Lakini ninyi mnauliza, ‘Tumekutia unajisi kwa namna gani?’

“Kwa kusema kuwa meza ya Bwana ni ya kudharauliwa. 81:8 Law 1:3; Kum 15:21; Mwa 32:20; Isa 43:23; Ay 42:8Wakati mletapo dhabihu za wanyama walio vipofu, je, hilo si kosa? Mnapoleta dhabihu zilizo vilema au wanyama wagonjwa, je, hilo si kosa? Jaribuni kuvitoa kwa mtawala wenu! Je, angefurahishwa nanyi? Je, atawakubalia?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

91:9 Law 23:33-44; Za 51:17; Mik 6:6-8; Rum 12; 1; Ebr 13:16; Yer 6:20; Hos 13:9“Basi mwombeni Mungu awe na neema kwetu. Je, kwa sadaka kama hizo kutoka mikononi mwenu, atawapokea?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

101:10 2Nya 28:24; Hos 5:6; Mal 2:12; Law 22; 20; Isa 1:11-14; Yer 14:12; 1Kor 9:13; Flp 3:18-19“Laiti mmoja wenu angalifunga milango ya Hekalu, ili msije mkawasha moto usiokuwa na faida juu ya madhabahu yangu! Sina furaha nanyi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, “nami sitaikubali sadaka toka mikononi mwenu. 111:11 Isa 24:15; 56:6; 6:3; 12:4; 60:6-7; 19:21; Za 113:3; Mt 8:11; Ufu 5:8; Ebr 13:15; Isa 59:19; 66:19; Yn 4:21; 1Tim 2:8Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa, kuanzia mawio ya jua hata machweo yake. Kila mahali uvumba na sadaka safi zitaletwa kwa Jina langu, kwa sababu Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

121:12 Eze 41:22“Lakini mnalinajisi Jina langu kwa kusema kuhusu meza ya Bwana, ‘Imetiwa unajisi pamoja na chakula chake. Ni ya kudharauliwa.’ 131:13 Isa 43:22-24; Hes 14:11; Kum 15:21; Law 22:20; Isa 1:12Nanyi mnasema, ‘Mzigo gani huu!’ Nanyi mnaidharau kwa kiburi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

“Wakati mnapowaleta wanyama mliopokonya kwa nguvu, walio vilema au walio wagonjwa na kuwatoa kama dhabihu, je, niwakubali kutoka mikononi mwenu?” asema Bwana. 141:14 Kut 12:5; Za 95:3; 72:6-11; Oba 1:21; Law 22:18-21; Mdo 5:1“Amelaaniwa yeye adanganyaye, aliye na mnyama wa kiume anayekubalika katika kundi lake na kuweka nadhiri ya kumtoa, lakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na dosari kwa Bwana. Kwa kuwa mimi ni Mfalme Mkuu, nalo Jina langu linapaswa kuogopwa miongoni mwa mataifa,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

Japanese Contemporary Bible

マラキ書 1:1-14

1

1これは、神が預言者マラキを通してイスラエルに与えたことばです。

主の愛を疑うイスラエル

2-3「わたしはあなたがたをとても愛してきた」と

主は言います。

ところが、あなたがたは問い返します。

「ほんとうですか。いつ、そうしてくださいましたか。」

主は答えます。

「わたしは、

あなたがたの先祖ヤコブを愛することによって、

あなたがたに対する愛を示した。

そうする理由などなかったのに。

わたしは、ヤコブの兄エサウを退け、

エサウの住む山々と相続地を荒廃させ、

荒野のジャッカルに与えた。

4エサウの子孫が、『廃墟を建て直そう』と言うなら、

全能の主はこう言う。

『建て直したいのなら、建て直すがいい。

わたしは再びそれを打ち壊す。』

彼らの国は『悪の地』と呼ばれ、

彼ら住民も

『神に赦されない者たち』と呼ばれるからだ。」

5さあ、イスラエルよ、目を上げて、

神が世界中でしていることを見なさい。

その時、あなたがたはこう言うようになります。

「ほんとうに神の大いなる御力は、

私たちの国境をはるかに越えている。」

汚れたいけにえによって契約を破る

6「子は父を敬い、召使は主人を敬うものだ。

わたしはあなたがたの父であり、また主人なのに、

あなたがたはわたしを少しも敬わない。

ああ、祭司たちよ、

あなたがたはわたしの名をさげすんでいる。」

「私たちがあなたを?

いつあなたの名をさげすんだというのですか。」

7「わたしの祭壇に、汚れたいけにえをささげるときだ。」

「汚れたいけにえですって?

私たちがいつ、そんなことをしましたか。」

「いつも、あなたがたは言っている。

『わざわざ高価なものを主にささげる必要はない。』

8あなたがたは人々に教えている。

『主の祭壇に足の悪い動物をささげてもよい。

病気の動物や目の見えない動物でもよい。』

これを悪いことではないと言い張るのか。

あなたがたの総督に、同じことをしてみるがよい。

同じような贈り物を贈ってみるがよい。

総督がそれを喜んで受け取るだろうか。

9あなたがたは唱える。

『神よ、あわれんでください。恵みをお与えください。』

しかし、そのようなささげ物を持って来る者に、

どうして好意を示せるというのか。

10ああ、あなたがたの中に、神殿の扉を閉ざして、

このようないけにえを拒絶する祭司が、

一人でもいればいいのだが。

わたしはあなたがたに喜びを感じない。

あなたがたのささげ物は受け取らない。」

主は言います。

11「わたしの名は、外国人の間で

朝から晩まであがめられるようになる。

世界中で人々がわたしの名をあがめ、

かぐわしい香りと、

きよいささげ物をささげるようになる。

国々の間で、わたしの名が大いに高められるからだ。」

主は言います。

12「しかし、あなたがたはわたしをあがめず、

祭壇など大切ではないと言って、

病気にかかった弱々しい動物を

神にささげるよう、人々に教えている。」

主は言います。

13「『ああ、神に仕え、

神の言うとおりにしなければならないとは、

なんとやっかいなことだろう』とあなたがたは言う。

そして神が与え、守るように言われた規則を

気にもかけない。

どういうことなのか。

盗んだ動物や、足の悪い動物や病気の動物を

神へのささげ物とするとは。

わたしはそのようなささげ物を

受け入れなければならないというのか。」

主は問います。

14「神へのいけにえとして、

自分の群れの中から上等の雄羊をささげると

約束しながら、

病気の雄羊を神にささげる者はのろわれよ。

わたしは大いなる王だから。」

全能の主は語ります。

「わたしの名は異邦人の間で、

大いに尊ばれるようになるからだ。」