Malaki 1 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Malaki 1:1-14

11:1 Nah 1:1; Mdo 7:38; Rum 3:1-2; 1Pet 4:11Ujumbe: Neno la Bwana kwa Israeli kupitia kwa Malaki.

Yakobo Alipendwa, Esau Alichukiwa

21:2 Kum 4:37; Mal 2:14-17; 3:7-13; Yer 46:27; Rum 9:13; Mwa 25:23; 28:13Bwana asema, “Nimewapenda ninyi.”

“Lakini ninyi mnauliza, ‘Wewe umetupendaje?’ ”

Bwana asema, “Je, Esau hakuwa ndugu yake Yakobo? Hata hivyo nimempenda Yakobo, 31:3 Lk 14:26; Eze 35:3; Isa 34:10; 13:22lakini nikamchukia Esau, nami nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa jangwani.”

41:4 Isa 11:14; 34:11; 9:10; 34:5; Mao 4:22; Eze 25:12-14; 26; 14Edomu anaweza kusema, “Ingawa tumepondapondwa, tutajenga upya magofu.”

Lakini hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Wanaweza kujenga, lakini nitabomoa. Wataitwa Nchi Ovu, watu ambao siku zote wapo chini ya ghadhabu ya Bwana. 51:5 Za 35:17; 48:1; Mik 5:4; Isa 45:22; 52:10; Amo 1:11-12; Za 83:18Mtayaona kwa macho yenu wenyewe na kusema, ‘Bwana ni mkuu, hata nje ya mipaka ya Israeli!’

Dhabihu Zilizo Na Mawaa

61:6 Law 20:9; Mt 15:14; 23:9; Lk 6:46; Ay 5:17; Kum 31; 12; 20:12; 5:16; Efe 6:2; Lk 18:20“Mwana humheshimu baba yake, naye mtumishi humheshimu bwana wake. Kama mimi ni baba, iko wapi heshima ninayostahili? Kama mimi ni bwana, iko wapi heshima ninayostahili?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Ni ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau Jina langu.

“Lakini mnauliza, ‘Tumelidharau Jina lako kwa namna gani?’

71:7 Law 21:6; Eze 23; 41; 41:22“Mnatoa sadaka chakula kilichotiwa unajisi juu ya madhabahu yangu.

“Lakini ninyi mnauliza, ‘Tumekutia unajisi kwa namna gani?’

“Kwa kusema kuwa meza ya Bwana ni ya kudharauliwa. 81:8 Law 1:3; Kum 15:21; Mwa 32:20; Isa 43:23; Ay 42:8Wakati mletapo dhabihu za wanyama walio vipofu, je, hilo si kosa? Mnapoleta dhabihu zilizo vilema au wanyama wagonjwa, je, hilo si kosa? Jaribuni kuvitoa kwa mtawala wenu! Je, angefurahishwa nanyi? Je, atawakubalia?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

91:9 Law 23:33-44; Za 51:17; Mik 6:6-8; Rum 12; 1; Ebr 13:16; Yer 6:20; Hos 13:9“Basi mwombeni Mungu awe na neema kwetu. Je, kwa sadaka kama hizo kutoka mikononi mwenu, atawapokea?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

101:10 2Nya 28:24; Hos 5:6; Mal 2:12; Law 22; 20; Isa 1:11-14; Yer 14:12; 1Kor 9:13; Flp 3:18-19“Laiti mmoja wenu angalifunga milango ya Hekalu, ili msije mkawasha moto usiokuwa na faida juu ya madhabahu yangu! Sina furaha nanyi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, “nami sitaikubali sadaka toka mikononi mwenu. 111:11 Isa 24:15; 56:6; 6:3; 12:4; 60:6-7; 19:21; Za 113:3; Mt 8:11; Ufu 5:8; Ebr 13:15; Isa 59:19; 66:19; Yn 4:21; 1Tim 2:8Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa, kuanzia mawio ya jua hata machweo yake. Kila mahali uvumba na sadaka safi zitaletwa kwa Jina langu, kwa sababu Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

121:12 Eze 41:22“Lakini mnalinajisi Jina langu kwa kusema kuhusu meza ya Bwana, ‘Imetiwa unajisi pamoja na chakula chake. Ni ya kudharauliwa.’ 131:13 Isa 43:22-24; Hes 14:11; Kum 15:21; Law 22:20; Isa 1:12Nanyi mnasema, ‘Mzigo gani huu!’ Nanyi mnaidharau kwa kiburi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

“Wakati mnapowaleta wanyama mliopokonya kwa nguvu, walio vilema au walio wagonjwa na kuwatoa kama dhabihu, je, niwakubali kutoka mikononi mwenu?” asema Bwana. 141:14 Kut 12:5; Za 95:3; 72:6-11; Oba 1:21; Law 22:18-21; Mdo 5:1“Amelaaniwa yeye adanganyaye, aliye na mnyama wa kiume anayekubalika katika kundi lake na kuweka nadhiri ya kumtoa, lakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na dosari kwa Bwana. Kwa kuwa mimi ni Mfalme Mkuu, nalo Jina langu linapaswa kuogopwa miongoni mwa mataifa,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.

La Bible du Semeur

Malachie 1:1-14

1Proclamation, parole que l’Eternel a adressée à Israël par l’intermédiaire de Malachie1.1 Malachie: voir l’introduction..

L’amour de l’Eternel pour son peuple

2Moi, je vous ai aimés, déclare l’Eternel. Et vous me demandez : « En quoi donc nous as-tu aimés ? » Esaü n’est-il pas le frère de Jacob ? demande l’Eternel. Or, j’ai aimé Jacob, 3et j’ai écarté Esaü1.3 Cité en Rm 9.13. : j’ai fait de ses montagnes un pays désolé, et j’ai livré son patrimoine aux chacals du désert. 4Edom peut bien dire : « Nous avons été démolis, mais nous rebâtirons ce qui n’est plus que ruines. » Mais le Seigneur des armées célestes déclare : Eux, ils rebâtiront, moi, je démolirai. On appellera leur pays : « le territoire de la méchanceté, le peuple contre qui, toujours, l’Eternel sera en colère ». 5Et vous le verrez de vos yeux, et vous direz : « L’Eternel est très grand, même au-delà du territoire d’Israël. »

L’honneur dû à l’Eternel

6Le Seigneur des armées célestes s’adresse à vous les prêtres, vous qui me méprisez : Un fils honore un père, un serviteur son maître. Si je suis votre père, où donc sont les honneurs qui me sont dus ? Si je suis votre maître, où est la crainte qui m’est due ? Et puis vous demandez : « En quoi t’avons-nous méprisé ? » 7Vous apportez sur mon autel des aliments impurs1.7 Parce que non conformes aux règles de la Loi (voir v. 8 ; Lv 22.17-30 ; Dt 15.21). et puis vous demandez : « En quoi t’avons-nous profané ? » C’est en disant : « La table de l’Eternel est chose méprisable. » 8Quand, pour le sacrifice, vous venez présenter un animal aveugle, n’y a-t-il rien de mal ? Et quand vous présentez une bête éclopée ou malade, n’y a-t-il rien de mal ? Offrez-le donc à votre gouverneur ! Sera-t-il content de vous ? Ou vous fera-t-il bon accueil ? dit l’Eternel, le Seigneur des armées célestes. 9Ensuite, après avoir agi ainsi, vous venez supplier Dieu d’avoir pitié de vous ! Vous fera-t-il bon accueil ? demande le Seigneur des armées célestes. 10Qui enfin, parmi vous, se décidera à fermer les portes de mon temple, pour que vous n’allumiez plus inutilement le feu sur mon autel ? Je n’ai aucun plaisir en vous, dit l’Eternel, le Seigneur des armées célestes. Je n’agrée pas l’offrande de vos mains.

11Car, du soleil levant jusqu’au soleil couchant, ma renommée sera très grande au milieu des peuples non israélites, et partout, en tout lieu, de l’encens me sera offert et des offrandes pures. Car, parmi ces peuples, ma renommée sera très grande, dit l’Eternel, le Seigneur des armées célestes1.11 Autre traduction : Car, du soleil levant jusqu’au soleil couchant, ma renommée est très grande au milieu des nations, et partout, en tout lieu, de l’encens m’est offert et des offrandes pures. Car, parmi les nations, ma renommée est très grande, dit l’Eternel, le Seigneur des armées célestes..

12Mais vous, vous me profanez lorsque vous dites : « La table du Seigneur est impure, et ce qu’elle nous rapporte en aliments est vraiment méprisable. » 13« Quel fardeau ! », dites-vous, et vous me dédaignez, déclare l’Eternel, le Seigneur des armées célestes. Vous apportez ici des bêtes dérobées, boiteuses ou malades ; ce sont là vos offrandes. Croyez-vous que je vais les agréer de votre part ? demande l’Eternel.

14Maudit soit le tricheur qui a dans son troupeau un mâle, qui s’engage par un vœu, puis qui offre au Seigneur une bête tarée. Car je suis un grand Roi, déclare l’Eternel, le Seigneur des armées célestes, et les peuples non israélites me craindront.