Kutoka 8 – NEN & CARS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 8:1-32

18:1 Kut 3:12; 4:23; 5:1; 9:1Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu. 28:2 Za 78:45; 105:30; Ufu 16:13Kama ukikataa kuwaruhusu kuondoka, basi nitaipiga nchi yako yote kwa kuwaletea vyura. 38:3 Kut 10:6; 12:34Mto Naili utafurika vyura. Watakuja kwenye jumba lako la kifalme na katika chumba chako cha kulala na kitandani mwako, katika nyumba za maafisa wako na kwa watu wako, vyura hao wataingia katika meko yenu na kwenye vyombo vya kukandia unga. 4Vyura watapanda juu yako, juu ya watu wako na maafisa wako wote.’ ”

58:5 Kut 4:2, 17; 7:9-23; 10:13, 21-22; 14:27Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Nyoosha mkono wako ukiwa na ile fimbo yako juu ya vijito, mifereji na madimbwi, fanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’ ”

68:6 Za 78:45; 105:30Ndipo Aroni akaunyoosha mkono wake juu ya maji ya Misri, nao vyura wakatokea na kuifunika nchi. 78:7 Kut 7:11; Mt 24:24Lakini waganga wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao, nao pia wakafanya vyura kuja juu ya nchi ya Misri.

88:8 Kut 9:28; 10:8, 17; Hes 21:7; 1Sam 12:19; 1Fal 13:6; Yer 42:2; Mdo 8:24Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na kusema, “Mwombeni Bwana awaondoe vyura kutoka kwangu na kwa watu wangu, nami nitawaachia watu wenu waende kumtolea Bwana dhabihu.”

98:9 Kut 9:5Mose akamwambia Farao, “Ninakupa heshima ya kuamua ni wakati gani wa kukuombea wewe, maafisa wako na watu wako ili kwamba vyura watoke kwenu na kwenye nyumba zenu. Isipokuwa wale walio katika Mto Naili.”

108:10 Kut 9:14; 15:11; Kum 3:24; 4:35; 33:26; 2Sam 7:22; 1Fal 8:23; 1Nya 17:20; 2Nya 6:14; Za 71:19; 86:8; 89:6; Isa 40:18; 42:8; 46:9; Yer 49:19; Mik 7:18Farao akasema, “Kesho.”

Mose akamjibu, “Itakuwa kama unavyosema, ili upate kujua kwamba hakuna yeyote kama Bwana Mungu wetu. 11Vyura wataondoka kwako na katika nyumba zako, kwa maafisa wako na kwa watu wako, ila watabakia katika Mto Naili tu.”

12Baada ya Mose na Aroni kuondoka kwa Farao, Mose akamlilia Bwana kuhusu vyura aliokuwa amewaleta kwa Farao. 138:13 Yak 5:16-18Naye Bwana akafanya lile Mose alilomwomba. Vyura wakafia ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani. 14Wakayakusanya malundo, nchi nzima ikanuka. 158:15 Mhu 8:11; Kut 7:14Lakini Farao alipoona pametokea nafuu, akaushupaza moyo wake na hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.

Pigo La Tatu: Viroboto

168:16 Kut 4:2Ndipo Bwana akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Nyoosha fimbo yako uyapige mavumbi ya ardhi,’ nayo nchi yote ya Misri mavumbi yatakuwa viroboto.” 178:17 Za 105:31Wakafanya hivyo, Aroni aliponyoosha mkono wake wenye fimbo na kuyapiga mavumbi ya nchi, viroboto wakawajia watu na wanyama. Mavumbi yote katika nchi ya Misri yakawa viroboto. 188:18 Kut 7:11; 9:11; Dan 5:8Lakini waganga walipojaribu kutengeneza viroboto kwa siri ya uganga wao, hawakuweza. Nao viroboto walikuwa juu ya watu na wanyama.

198:19 Kut 7:5, 13-15; 10:7; 12:33; 31:18; 1Sam 6:9; Neh 9:6; Za 8:3; 33:6; Lk 11:20Waganga wale wakamwambia Farao, “Hiki ni kidole cha Mungu.” Lakini moyo wa Farao ukawa mgumu naye hakuwasikiliza, kama vile Bwana alivyosema.

Pigo La Nne: Mainzi

208:20 Kut 7:15; 9:13; 3:18Kisha Bwana akamwambia Mose, “Amka mapema asubuhi na usimame mbele ya Farao wakati anapokwenda mtoni nawe umwambie, ‘Hili ndilo Bwana asemalo: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu. 21Kama hutawaachia watu wangu waondoke nitakupelekea makundi ya mainzi juu yako, kwa maafisa wako, kwa watu wako na kwenye nyumba zenu. Nyumba za Wamisri zitajazwa mainzi, hata na ardhi yote ya Misri.

228:22 Mwa 45:10; Kut 7:5; 9:4-6, 26, 29; 10:23; 11:7; 12:13; 19:5; Kum 4:20; 7:6; 14:2; 26:18; 1Fal 8:36; Ay 36:11; Za 33:12; 135:4; Mal 3:17“ ‘Lakini siku ile nitafanya kitu tofauti katika nchi ya Gosheni, ambapo watu wangu wanaishi, hapatakuwepo na makundi ya mainzi, ili mpate kujua kwamba Mimi, Bwana, niko katika nchi hii. 238:23 Kut 9:4-6; 10:23; 11:7; 12:23-27Nitaweka tofauti kati ya watu wangu na watu wenu. Ishara hii ya ajabu itatokea kesho.’ ”

248:24 Za 78:45; 105:31Naye Bwana akafanya hivyo. Makundi makubwa ya mainzi yalimiminika katika jumba la kifalme la Farao na katika nyumba za maafisa wake, pia nchi yote ya Misri ikaharibiwa na mainzi.

258:25 Kut 9:27; 10:16; 12:31Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na kuwaambia, “Nendeni mkamtolee Mungu wenu dhabihu katika nchi hii.”

268:26 Mwa 43:32Lakini Mose akamwambia, “Hilo halitakuwa sawa. Dhabihu tutakazomtolea Bwana Mungu wetu zitakuwa chukizo kwa Wamisri. Kama tukitoa dhabihu ambazo ni chukizo mbele yao, je, hawatatupiga mawe? 278:27 Mwa 30:36; Kut 3:18Ni lazima twende mwendo wa siku tatu mpaka tufike jangwani ili tumtolee Bwana Mungu wetu dhabihu, kama alivyotuagiza.”

288:28 Yer 37:3; Mdo 8:24Farao akamwambia, “Nitawaruhusu mwende kumtolea Bwana Mungu wenu dhabihu huko jangwani, lakini hamna ruhusa kwenda mbali sana. Sasa mniombee.”

298:29 Kut 9:30; 10:11; Isa 26:10Mose akajibu, “Mara tu nitakapoondoka, nitamwomba Bwana na kesho mainzi yataondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake. Hakikisha tu kwamba Farao hatatenda kwa udanganyifu tena kwa kutokuwaachia watu waende kumtolea Bwana dhabihu.”

308:30 Kut 9:33; 10:18Ndipo Mose akamwacha Farao na kumwomba Bwana, 31naye Bwana akafanya lile Mose alilomwomba. Mainzi yakaondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake, wala hakuna hata inzi aliyebakia. 328:32 Kut 7:14Lakini wakati huu pia Farao akaushupaza moyo wake, wala hakuwaruhusu Waisraeli waondoke.

Священное Писание

Исход 8:1-32

1Вечный сказал Мусе:

– Пойди к фараону и скажи ему: Так говорит Вечный: «Отпусти Мой народ поклониться Мне. 2Если ты откажешься, Я наведу на всю твою страну жаб8:2 Скорее всего, это были лягушки, но данный перевод следует традиции и пишет «жабы».. 3Нил будет кишеть жабами. Они вылезут из реки и окажутся в твоём дворце, в спальне, на постели, в домах твоих приближённых и твоего народа8:3 Или: «и на твоём народе»., в твоих тандырах и в квашнях. 4Жабы будут прыгать на тебя, на твой народ и на твоих приближённых».

5Вечный сказал Мусе:

– Скажи Харуну: «Занеси руку с посохом над реками, каналами и прудами и наведи жаб на египетскую землю».

6Харун занёс руку с посохом над водами Египта, и вылезли жабы и заполнили всю землю. 7Но чародеи с помощью колдовства сделали то же самое. Они тоже навели жаб на Египет. 8Фараон позвал Мусу и Харуна и сказал:

– Помолитесь Вечному, чтобы Он избавил от жаб меня и мой народ, и я отпущу исраильтян принести жертву Вечному.

9Муса сказал фараону:

– Я предоставляю тебе честь выбрать, когда мне помолиться за тебя, за твоих приближённых и народ. После этого жабы уйдут от тебя и из твоих дворцов и останутся только в Ниле.

10– Завтра, – сказал фараон.

Муса ответил:

– Будет по-твоему для того, чтобы ты узнал: нет никого, подобного Вечному, нашему Богу. 11Жабы уйдут от тебя и из твоего дворца, от твоих приближённых и народа. Они останутся только в Ниле.

12Муса и Харун ушли от фараона, и Муса воззвал к Вечному о жабах, которых Он навёл на фараона. 13Вечный исполнил просьбу Мусы. Жабы вымерли в домах, во дворах и на полях. 14Их собирали в кучи, и земля начала испускать зловоние. 15Но когда фараон увидел, что пришло облегчение, его сердце исполнилось упрямством, и он опять не послушал Мусу и Харуна, как и говорил Вечный.

Третье наказание: комары

16Вечный сказал Мусе:

– Скажи Харуну: «Подними посох и ударь по пыли на земле: по всему Египту пыль превратится в комаров».

17Они сделали так. Харун поднял руку с посохом, ударил по пыли. Пыль по всему Египту превратилась в комаров. Комары налетели и на людей, и на скот. 18Чародеи попытались с помощью колдовства навести комаров, но не смогли. Комары облепляли людей и скотину. 19И тогда чародеи сказали фараону:

– Это сделал Всевышний.

Но сердце фараона оставалось упрямым. Он не послушал чародеев, как и говорил Вечный.

Четвёртое наказание: мухи

20Вечный сказал Мусе:

– Поднимись завтра рано утром, встань перед фараоном, когда он пойдёт к реке, и скажи ему: Так говорит Вечный: «Отпусти Мой народ поклониться Мне. 21Если не отпустишь, Я пошлю на тебя, на твоих приближённых, на твой народ и в твои дворцы рои мух. Дома египтян наполнятся мухами и вся земля будет покрыта ими. 22Но Я сделаю так, что в земле Гошен, где живёт Мой народ, не будет мух, чтобы ты знал – Я, Вечный, пребываю в той земле. 23Я покажу тебе разницу между Моим и твоим народом. Это знамение будет завтра».

24Вечный так и сделал. Густые рои мух налетели во дворец фараона и в дома его приближённых. Из-за мух погибала вся египетская земля. 25Фараон позвал Мусу и Харуна и сказал:

– Идите, принесите жертву вашему Богу, но только в этой стране, в Египте.

26Но Муса сказал:

– Так делать нельзя. Наши жертвоприношения Вечному, нашему Богу, для египтян – мерзость. Если мы станем совершать обряд жертвоприношения, который противен им, у них на глазах, то они забьют нас камнями. 27Нет, чтобы принести жертву Вечному, нашему Богу, как Он велел, нам нужно удалиться на три дня в пустыню.

28Фараон сказал:

– Я отпущу вас принести жертву Вечному, вашему Богу, в пустыню, но только не уходите далеко. Помолитесь и обо мне.

29Муса ответил:

– Как только я уйду от тебя, я помолюсь Вечному, и завтра мухи оставят тебя, твоих приближённых и народ. Но и ты больше не обманывай, не отпуская народ принести жертву Вечному.

30Муса ушёл от фараона и помолился Вечному. 31Вечный сделал то, что просил Муса: избавил фараона, его приближённых и народ от мух. Ни одной мухи не осталось. 32Но и на этот раз сердце фараона осталось упрямым, и он не отпустил народ.