Kutoka 25 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 25:1-40

Sadaka Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu

(Kutoka 35:4-9)

125:1 Kut 35:21, 29; 36:2; 2Fal 12:4; 1Nya 29:5, 9; 2Nya 24:10; 29:31; Ezr 2:68; Neh 7:70; 2Kor 8:11; 9:7Bwana akamwambia Mose, 2“Waambie Waisraeli waniletee sadaka. Utapokea sadaka kwa niaba yangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake wapenda kutoa. 3Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao: dhahabu, fedha na shaba; 425:4 Kut 28:4-8nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu, pamoja na kitani safi; singa za mbuzi; 525:5 Hes 4:6-10; Kum 10:3ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;25:5 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. mbao za mshita; 625:6 Kut 27:20; 30:22-32; 35:28; 39:37; Hes 4:16; Kut 30:11; Law 16:12; Hes 7:14; 2Nya 13:11mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri; 725:7 Kut 28:4-14; 29:5; Amu 8:27; Hos 3:4; Law 8:8; Kut 28:15-30na vito vya shohamu na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.

825:8 Kut 36:1-5; Law 4:6; 10:4-7; 21:12; 23; Hes 3:28; Ebr 9:1-2; Law 26:11-12; Hes 5:3; Kum 12:11; 1Fal 6:13; Zek 2:10; 2Kor 7:16; Ufu 21:3“Kisha uwaamuru wanitengenezee mahali patakatifu, nami nitakaa miongoni mwao. 925:9 Kut 26:30; 27:8; 31:11; 39:42-43; 1Nya 28:11, 19; Mdo 7:44; Ebr 8:5; Hes 8:4Tengeneza hema hili na vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo nitakachokuonyesha.

Sanduku La Agano

(Kutoka 37:1-9)

1025:10 Kum 10:1-5; 1Fal 6:19; Ebr 9:4“Nao watatengeneza Sanduku la mbao za mshita, lenye urefu wa dhiraa mbili na nusu,25:10 Dhiraa mbili na nusu ni sawa na sentimita 112.5. upana wa dhiraa moja na nusu,25:10 Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5. na kimo cha dhiraa moja na nusu. 1125:11 Kut 30:3-4Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka. 12Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine. 1325:13 Kut 27:6; 30:5; 37:28Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu. 1425:14 Kut 27:7; 40:20; 1Nya 15:15Utaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba. 1525:15 1Fal 8:8Hiyo mipiko itabakia daima katika hizo pete za hilo Sanduku; haitaondolewa. 1625:16 Kut 16:34; 1Fal 8:8; Kum 31:26Kisha weka ndani ya hilo Sanduku ule Ushuhuda nitakaokupa.

1725:17 Law 16:13; Rum 3:25“Tengeneza kifuniko cha upatanisho cha dhahabu safi, chenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, na upana wa dhiraa moja na nusu. 1825:18 Kut 26:1, 35; 1Fal 6:23-27; 2Nya 3:10-13; Ebr 9:5Tengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko. 19Tengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; watengeneze makerubi hao wawe kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili. 2025:20 Mwa 3:24; Kut 37:9; 1Fal 8:7; 1Nya 28:18; Ebr 9:5Makerubi hao watakuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, yakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao wataelekeana, wakitazama hicho kifuniko. 2125:21 Kut 26:34; 40:20; Kum 10:5; Kut 16:34; Ebr 9:4Weka huo Ushuhuda nitakaokupa ndani ya hilo Sanduku la Agano, na uweke hicho kifuniko juu ya hilo Sanduku. 2225:22 Hes 7:89; 1Sam 4; 4; 2Sam 6:2; 22:11; 2Fal 19:15; 1Nya 13:6; 28:18; Za 18:10; Isa 37:16; Kut 19:3; 29:42; 30:6, 36; Law 16:2; Hes 17:4Hapo juu ya hicho kifuniko, kati ya hao makerubi wawili walioko juu ya hilo Sanduku la Ushuhuda, hapo ndipo nitakapokutana nawe na kukupa maagizo yangu kwa ajili ya Waisraeli.

Meza Ya Mikate Ya Wonyesho

(Kutoka 37:10-16)

2325:23 Yer 3:16; Kut 26:35; 40:4, 22; Law 24:6; Hes 3:31; 1Fal 7:48; 1Nya 28:16; 2Nya 4:8, 19; Eze 41:22; 44:16; Ebr 9:2“Tengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili,25:23 Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90. upana wa dhiraa moja, na kimo cha dhiraa moja na nusu. 24Ifunike kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote. 25Kisha tengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne,25:25 Nyanda nne ni sawa na sentimita 8. na ufanyie ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote. 26Tengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na uzifungie kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne. 27Pete hizo zitakuwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko itakayotumika kuibebea hiyo meza. 28Tengeneza mipiko hiyo kwa mbao za mshita, uifunike na dhahabu, uitumie kubeba hiyo meza. 2925:29 Hes 4:7Tengeneza sahani zake na masinia yake kwa dhahabu safi, pamoja na bilauri na bakuli zake kwa ajili ya kumiminia sadaka. 3025:30 Kut 35:13; 39:36; 40:4, 23; Law 24:5-9; Hes 4:7; 1Sam 21:4-6; 1Fal 7:48; 1Nya 23:29Utaweka mikate ya Wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu daima.

Kinara Cha Taa

(Kutoka 37:17-24)

3125:31 Kut 26:35; 31:8; 35:14; 39:37; Law 24:4; Hes 3:31; 1Fal 7:49; 2Nya 4:7; Zek 4:2; Ebr 9:2; Ufu 1:12“Tengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vinavyofanana na ua, matovu yake na maua yake viwe kitu kimoja. 3225:32 Hes 8:4; Kut 37:18, 19Matawi sita yatatokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine. 33Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vitakuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yanayotokeza kwenye kile kinara cha taa. 34Juu ya kinara chenyewe vitakuwepo vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake. 35Tovu moja litakuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani matawi sita kwa jumla. 3625:36 Hes 8:4Matovu na matawi yote yatakuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakifuliwa kwa dhahabu safi.

3725:37 Kut 27:21; 30:8; Law 24:3-4; Hes 8:2; 1Sam 3:3; 2Nya 13:11; Ufu 1:12“Kisha tengeneza taa zake saba na uziweke juu ya kinara hicho ili ziangaze mbele yake. 3825:38 Hes 4:9Mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote zitakuwa za dhahabu safi. 39Utatumia talanta moja25:39 Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34. ya dhahabu safi kutengeneza hicho kinara na vifaa vyake vyote. 4025:40 Hes 8:4; Mdo 7:44; Ebr 8:5; Kut 26:30; 1Nya 28:11, 19Hakikisha kuwa umevitengeneza sawasawa na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.

Japanese Contemporary Bible

出エジプト記 25:1-40

25

幕屋とその器具、祭司について

1-7主はモーセに命じました。「次のように人々に告げなさい。だれでも心から進んでするなら、ささげ物をわたしのところへ持って来てよい。ささげてよいのは、次のものである。金、銀、青銅、青の撚り糸、紫の撚り糸、緋色の撚り糸、亜麻布、やぎの毛、赤く染めた雄羊のなめし皮、じゅごんの皮、アカシヤ材、ともしび用のオリーブ油、注ぎの油と香に使う香料、しまめのう、エポデと胸当てにはめる宝石類。

8わたしがイスラエルの民の中に住めるよう、聖なる住まい(幕屋)を造りなさい。 9住まいは天幕(テント)にすること。その設計図と必要な器具の細かい寸法は、次のとおりである。

契約の箱

10まずはアカシヤ材を使って長さ二キュビト半(一・一メートル)、幅一キュビト半(六十六センチ)、高さ一キュビト半の箱を作りなさい。 11内側にも外側にも純金を張り、周囲に金の縁飾りをつける。 12金の環を四つ作り、箱の下の四隅につける。片側に二個ずつ。 13-14アカシヤ材で棒を作って金をかぶせ、箱の両側につけた金の環に通してかつげるようにする。 15棒は取りはずさず、差し込んだままにしておかなければならない。 16わたしが与える十のおきて(十戒)を記した石板を、その箱に納めなさい。

17また、純金のふたを作りなさい。長さ二キュビト半、幅一キュビト半にする。これは罪を赦す神の恵みの座となる。 18次にふたの両端に、一対の天使の像を槌で打ち出して作る。 19それは『恵みの座』の一部分で、その両端になる。 20ケルビムというその天使の像は、互いに向かい合って『恵みの座』を見下ろし、翼が金のふたを覆うようにしなければならない。 21ふたができたら箱にかぶせる。箱には十のおきてを記した石板を納めなさい。 22わたしはそこであなたに会い、ケルビムにはさまれた『恵みの座』からあなたと語る。箱にはわたしの契約のおきてを納める。わたしはそこから、イスラエルの人々に命じることをあなたに伝える。

テーブル

23次に、二キュビト(八十八センチ)、幅一キュビト(四十四センチ)、高さ一キュビト半のテーブルをアカシヤ材で作りなさい。 24それに純金を張り、周囲に金の縁飾りをつける。 25テーブルの上部に一手幅(約七・四センチ)のわくをつけ、その周囲にぐるりと金の縁飾りをつける。 26-27テーブルを運ぶ棒を通すために、金の環を四つ作り、それを四本の足の上部に、外側へ向けてつける。 28棒はアカシヤ材で作り、金をかぶせる。 29金で皿、ひしゃく、水差し、細口びんなどを作り、 30テーブルの上には、供え物用に特別なパンをいつも置きなさい。

燭台

31純金のかたまりを槌で打って燭台を作りなさい。燭台は台座と支柱から成り、ともしび皿と飾りの花びらをつける。 32-33真ん中の支柱の両側から三本ずつ枝を出し、それぞれの枝は三つのアーモンドの花で飾る。 34-35真ん中の支柱は四つの花で飾る。三対になっている枝の間に一つずつ、その上に一つ、その下に一つ、計四つの花をつける。 36飾りと枝と支柱はみな、一かたまりの純金を打って作る。 37それに七つのともしび皿を作り、あかりが前を照らすように置く。 38芯切りばさみと芯取り皿も純金で作る。 39燭台とその付属品のために、一タラント(約三十四キログラム)の純金が必要となる。 40作る物はみな、この山の上でわたしが指示する型どおりに、正確に作らなければならない。