Kumbukumbu 16 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 16:1-22

Pasaka

(Kutoka 12:1-20)

116:1 Kut 12:2; 12:11; 2Fal 23:21; Mt 26:17-29; Kut 13:4; Law 23:5; Hes 9:2-5; Yn 18:28; 1Kor 5:7, 8; Ebr 11:28; 1Kor 5:7, 8; Ebr 11:28Shikeni mwezi wa Abibu, na kuiadhimisha Pasaka ya Bwana Mungu wenu, kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Mungu aliwatoa Misri usiku. 216:2 Kum 12:5, 26Mtatoa dhabihu ya Pasaka ya mnyama kwa Bwana Mungu wenu kutoka kundi lenu la mbuzi na kondoo au la ngʼombe, mahali pale ambapo Bwana atapachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake. 316:3 Kut 12:15-20, 39; 34:18; 1Kor 5:8; Kut 12:11; Kum 4:9; Kut 13:3, 6-7; Hes 28:19; 2Nya 35:7; Mt 26:2Msile nyama hiyo pamoja na mikate iliyotiwa chachu, lakini kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu, mikate ya kujitesa, kwa sababu mliondoka Misri kwa haraka, ili kwamba siku zote za maisha yenu mpate kukumbuka wakati wenu wa kuondoka Misri. 416:4 Kut 12:6; 12:8; Mk 14:12; Kut 12:10Chachu isionekane katika mali zenu katika nchi yenu yote kwa siku saba. Nyama yoyote ya dhabihu mtakayotoa jioni ya siku ya kwanza isibakizwe mpaka asubuhi.

5Kamwe msitoe dhabihu ya Pasaka katika mji wowote ambao Bwana Mungu wenu amewapa, 616:6 Kut 12:42; Kum 12:5; Mt 27:46isipokuwa mahali atakapopachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake. Hapo ndipo lazima mtoe dhabihu ya Pasaka jioni, jua litakapotua, iwe kumbukumbu yenu ya kutoka Misri. 716:7 Kut 12:8; 2Nya 35:13; 2Fal 23:23; Yn 2:13; 11:55Okeni na mle mahali pale ambapo Bwana Mungu wenu atakapopachagua, kisha asubuhi mrudi kwenye mahema yenu. 816:8 Law 23:8; Mt 26:17; Lk 2:41; 22:7; Yn 2:13; Kut 12:16Kwa siku sita mtakula mikate isiyotiwa chachu na siku ya saba fanyeni kusanyiko kwa ajili ya Bwana Mungu wenu na msifanye kazi.

Sikukuu Ya Mavuno

(Kutoka 34:22; Walawi 23:15-21)

916:9 Mdo 2:1; Kut 23:16; 34:22; Hes 28:26; Law 23:15Mhesabu majuma saba tangu wakati mnapoanza kuchukua mundu kuvuna nafaka. 1016:10 Mt 10:22; Yoe 2:14; 1Kor 16:2Kisha msherehekee Sikukuu ya Majuma kwa Bwana Mungu wenu kwa kutoa sadaka ya hiari kwa kadiri ya baraka ambayo Bwana Mungu wenu amewapa. 1116:11 Kum 12:7; Kut 20:24; 2Sam 7:13; Kum 12:12; 14:29; Neh 8:10; Lk 14:12Shangilieni mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua kama makao ya Jina lake, ninyi, wana wenu na binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi walio katika miji yenu, na wageni, yatima na wajane waishio miongoni mwenu. 1216:12 Kum 15:15Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu.

Sikukuu Ya Vibanda

(Walawi 23:33-43)

1316:13 Law 2:14; Mwa 2:14; 27:37; Kut 23:16; Law 23:34; Mwa 15:13; Kut 1:11, 14; Za 105:23, 2516:13 Kut 23:16; Law 23:34; Hes 29:12Adhimisheni sikukuu ya vibanda kwa siku saba baada ya kukusanya mazao yenu ya nafaka na kukamua zabibu. 1416:14 Kum 26:11; Neh 8:9; Mhu 9:7; 1Sam 12:1-6; 25:6-8Mfurahie sikukuu yenu, ninyi, wana wenu, binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi, wageni, yatima na wajane ambao wanaishi katika miji yenu. 1516:15 Ay 38:7; Za 4:7; 28:7; 30:11; Law 23:39Kwa siku saba mtaiadhimisha sikukuu ya Bwana Mungu wenu katika mahali atakapopachagua Bwana. Kwa kuwa Bwana Mungu wenu atawabariki katika mavuno yenu na katika kazi zote za mikono yenu na furaha yenu itakamilika.

1616:16 Kum 31:11; Za 84:7; Kut 12:17; 23:14, 16; Ezr 3:4; Kut 34:20Wanaume wenu wote lazima wajitokeze mara tatu kwa mwaka mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua: kwa ajili ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma, na Sikukuu ya Vibanda. Hakuna mtu atakayejitokeza mbele za Bwana mikono mitupu: 1716:17 2Kor 8:12Kila mmoja wenu ni lazima alete zawadi kulingana na jinsi ambavyo Bwana Mungu wenu alivyowabariki.

Waamuzi

1816:18 Kut 18:21, 26; Mwa 31:37; Kum 1:16Wateue waamuzi na maafisa kwa kila kabila lenu katika kila mji ambao Bwana Mungu wenu anawapa, nao watawaamua watu kwa usawa. 1916:19 Kut 23:2, 8; Law 19:15; Kut 18:21; 1Sam 8:3; Kum 1:17; Mhu 7:7; Ay 31:21, 22; Mit 17:23; 24:23; Isa 1:17, 23; Mdo 10:34Msipotoshe haki wala msifanye upendeleo. Msikubali rushwa kwa sababu rushwa hupofusha macho ya wenye busara na kugeuza maneno ya wenye haki. 2016:20 Kum 4:1Mfuate haki na haki peke yake, ili mweze kuishi na kuimiliki nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa.

Kuabudu Miungu Mingine

2116:21 Kum 7:5; Kut 34:13; 1Fal 14:15; 2Fal 17:16; 21:3; 2Nya 33:3; Kut 34:13; Amu 3:7Msisimamishe nguzo yoyote ya Ashera kando ya madhabahu mliyomjengea Bwana Mungu wenu, 2216:22 Kut 23:24; Law 26:1wala msisimamishe jiwe la kuabudu, kwa maana Bwana Mungu wenu anavichukia vitu hivi.

La Bible du Semeur

Deutéronome 16:1-22

La Pâque

1Aie soin de célébrer la Pâque en l’honneur de l’Eternel ton Dieu au cours du mois des épis16.1 Mars-avril, premier mois du calendrier lévitique (voir Ex 12.1-20 ; Lv 23.5-8, 14 ; Nb 28.16-25). ; car c’est au cours d’une nuit de ce mois-là que l’Eternel votre Dieu vous a fait sortir d’Egypte. 2Tu immoleras un bœuf, un mouton ou une chèvre comme sacrifice pascal, en l’honneur de l’Eternel ton Dieu, au lieu qu’il aura choisi pour y établir sa présence. 3Tu ne mangeras pas de pain levé avec ce repas pascal ; pendant sept jours, tu mangeras du pain sans levain. Ce pain de misère te rappellera que c’est précipitamment que vous avez quitté l’Egypte. Ainsi tu te souviendras durant toute ta vie du jour de ton départ du pays d’Egypte. 4Durant ces sept jours, on ne devra trouver chez vous aucune trace de levain dans toute l’étendue de votre territoire. Quant à la viande du sacrifice offert le soir, on n’en gardera rien jusqu’au lendemain matin. 5Vous ne pourrez pas immoler le sacrifice pascal dans n’importe laquelle des villes que l’Eternel votre Dieu vous donnera pour y habiter. 6C’est uniquement au lieu que l’Eternel ton Dieu aura choisi pour y établir sa présence que vous sacrifierez la Pâque. Vous immolerez la victime le soir, au coucher du soleil, c’est-à-dire au moment16.6 Autre traduction : à la date. où vous êtes partis d’Egypte. 7Vous ferez cuire la viande et vous la mangerez à l’endroit que l’Eternel aura choisi. Le lendemain matin vous pourrez regagner votre demeure. 8Pendant six jours vous mangerez du pain sans levain, le septième jour, vous aurez une réunion cultuelle en l’honneur de l’Eternel votre Dieu. Vous ne ferez aucun travail ce jour-là.

La fête de la Pentecôte

9A partir du jour du début de la moisson16.9 Le 16 du mois des épis, second jour de la fête de la Pâque. Pour la fête de Pentecôte, voir Lv 23.15-21 ; Nb 28.26-31., vous compterez sept semaines, 10et vous célébrerez la fête des Semaines en l’honneur de l’Eternel votre Dieu. Vous lui offrirez des dons volontaires en fonction des bénédictions que votre Dieu vous aura accordées. 11Vous vous réjouirez devant l’Eternel votre Dieu, vous, vos fils et vos filles, vos serviteurs et vos servantes, les lévites qui habitent dans vos villes, les immigrés, les orphelins et les veuves qu’il y aura parmi vous, dans le lieu que l’Eternel votre Dieu aura choisi pour y établir sa présence. 12Vous vous souviendrez que vous avez été esclaves en Egypte et vous veillerez à observer fidèlement ces ordonnances.

La fête des Cabanes

13Lorsque vous aurez rentré le blé battu et terminé la vendange, vous célébrerez pendant sept jours la fête des Cabanes16.13 Pour les v. 13-15, voir Lv 23.33-43 ; Nb 29.12-38.. 14Vous serez dans la joie en célébrant la fête, vous, vos fils et vos filles, vos serviteurs et vos servantes avec les lévites et les immigrés, les orphelins et les veuves qui habitent parmi vous. 15Pendant sept jours, vous célébrerez la fête en l’honneur de l’Eternel votre Dieu dans le lieu qu’il aura choisi, parce qu’il vous aura bénis dans toutes vos récoltes et dans tout le travail que vous entreprendrez, pour que vous soyez tout à la joie.

16Trois fois par an, tous les hommes se présenteront donc devant l’Eternel votre Dieu au lieu qu’il aura choisi : lors de la fête des Pains sans levain, de la fête des Semaines et de celle des Cabanes. On ne se présentera pas les mains vides devant l’Eternel : 17chacun apportera des dons en fonction des bénédictions que l’Eternel votre Dieu lui aura accordées.

Les responsables du peuple

Les juges et les magistrats

18Dans toutes les villes que l’Eternel votre Dieu vous donnera, vous instituerez des juges et des magistrats dans vos tribus, et ils jugeront le peuple en rendant de justes jugements. 19Vous ne fausserez pas le cours de la justice, vous ne ferez pas preuve de partialité envers les personnes, et vous ne vous laisserez pas corrompre par des cadeaux, car ceux-ci aveuglent même les sages et compromettent la cause des innocents16.19 Autre traduction : et corrompent le verdict des justes. Voir Ex 23.3, 6-8 ; Lv 19.15.. 20Cherchez à rendre une pleine justice afin que vous viviez et que vous conserviez la possession du pays que l’Eternel votre Dieu vous donne.

21Vous ne vous planterez pas de pieu sacré en bois à côté de l’autel que vous érigerez pour votre Dieu. 22Vous ne dresserez pas non plus chez vous de ces stèles sculptées que l’Eternel votre Dieu déteste16.22 Voir Ex 34.13 ; Lv 26.1..