Kumbukumbu 14 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kumbukumbu 14:1-29

Vyakula Vilivyo Najisi Na Vilivyo Safi

(Walawi 11:1-47)

114:1 Yn 1:12; Rum 8:14; 9:8; Yer 16:6; Mwa 6:2-4; Kut 4:22-23; Gal 3:26; 1The 4:13Ninyi ni watoto wa Bwana Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa, 214:2 Mwa 28:14; Kut 8:22; 22:31; Isa 6:13; Mt 2:15; Law 20:26; Rum 12:1; Kum 7:6; 26:18-1914:2 Kut 19:5; 2Sam 7:23, 24kwa maana ninyi ni taifa takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Bwana amewachagua ninyi kuwa taifa la kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia, mwe tunu yake.

314:3 Eze 4:14; Isa 65:4; Mdo 10:13; Rum 14:14Msile kitu chochote ambacho ni machukizo. 414:4 Mdo 10:14; Law 7:23; 11:2-45Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi, 514:5 Kum 12:15; Ay 39:1; Za 104:18kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani. 6Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua. 7Hata hivyo, miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia, sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini hawana kwato zilizogawanyika; ni najisi kwenu kwa taratibu za kiibada. 814:8 Law 5:12; 11:26-27Nguruwe pia ni najisi; ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui. Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.

9Katika viumbe hai vyote viishivyo kwenye maji, mnaweza kula yeyote aliye na mapezi na magamba. 10Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.

11Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi. 1214:12 Law 11:13Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu, 1314:13 Mwa 2:11; Isa 34:15kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote, 1414:14 Mwa 8:17kunguru wa aina yoyote, 15mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote, 16bundi, mumbi, bundi mkubwa, 1714:17 Za 102:6; Isa 13:21; 14:23; 34:11; Sef 2:14mwari, nderi, mnandi, 18korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

19Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale. 2014:20 Law 20:25Lakini viumbe vyote vyenye mabawa vilivyo safi mwaweza kula.

2114:21 Law 11:39; 14:2; 17:15; Kut 23:19; 22:31; Law 22:8; Eze 44:31Msile kitu chochote mtakachokuta kimekufa. Mnaweza kumpa mgeni yeyote anayeishi katika mojawapo ya miji yenu, naye anaweza kula au mnaweza kumuuzia mtu wa nchi nyingine. Lakini ninyi ni watu watakatifu kwa Bwana Mungu wenu.

Msitokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.

Zaka

2214:22 Mwa 14:20; Law 27:30; Hes 18:21; Neh 10:37; Kum 12:6, 17Hakikisheni mmetenga sehemu ya kumi ya mazao yote ya mashamba yenu kila mwaka. 2314:23 Kum 12:5, 17, 18; Za 4:7; 1Fal 3:2; Kum 4:10; Za 22:23; 33:8; Mal 2:5; Mit 3:13; Isa 8:13; Yer 32:38-41; Ebr 12:28Mtakula zaka za nafaka yenu, divai mpya, mafuta na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na ya kondoo na mbuzi mbele za Bwana Mungu wenu pale mahali atakapopachagua kama maskani kwa ajili ya Jina lake, ili kwamba mpate kujifunza kumheshimu Bwana Mungu wenu daima. 2414:24 Kum 12:21Lakini ikiwa mahali pale ni mbali sana nanyi mmebarikiwa na Bwana Mungu wenu na hamwezi kubeba zaka yenu (kwa sababu mahali pale Bwana atakapopachagua kuliweka Jina lake ni mbali sana), 2514:25 Mt 21:12; Yn 2:14basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali Bwana Mungu wenu atakapopachagua. 2614:26 Law 10:9; 23:40; Mhu 10:16-17; Kum 12:7-8Tumieni hiyo fedha kununua chochote ukitakacho: ngʼombe, kondoo, divai au kinywaji chochote chenye chachu au chochote mnachotaka. Kisha ninyi na wa nyumbani mwenu mtaila mbele za Bwana Mungu wenu na kufurahi. 2714:27 Kum 12:19; Hes 18:20; 26:62; Kum 18:1-2; Rum 13:4; 15:27; 1Kor 9:1-14Msiache kuwajali Walawi waishio katika miji yenu, kwa kuwa hao hawana shamba wala urithi wao wenyewe.

2814:28 Law 27:30; Kum 26:12Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni zaka zote za mazao ya miaka ile na uyahifadhi kwenye miji yenu, 2914:29 Mwa 47:22; Hes 26:62; Kum 16:11; 24:19-21; Za 94:6; Isa 1:17; 58:6; Kum 6:11; 15:10; Za 41:1; Mit 22:9; Mt 3:10; Kum 10:18; Eze 22:7, 29; Lk 14:12; Ebr 13:2; Mal 3:10; Lk 11:41; 2Kor 9:6-11ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili Bwana Mungu wenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikono yenu.

New International Reader’s Version

Deuteronomy 14:1-29

“Clean” and “Unclean” Food

1You are the children of the Lord your God. Don’t cut yourselves to honor the dead. Don’t shave the front of your heads to honor the dead. 2You are a holy nation. The Lord your God has set you apart for himself. He has chosen you to be his special treasure. He chose you out of all the nations on the face of the earth.

3Don’t eat anything the Lord hates. 4Here are the only animals you can eat. You can eat oxen, sheep, goats, 5deer, gazelles, roe deer, wild goats, ibexes, antelope and mountain sheep. 6You can eat any animal that has a divided hoof. But it must also chew the cud. 7Some animals only chew the cud. Others only have a divided hoof. The camel, rabbit and rock badger chew the cud, but they don’t have a divided hoof. So you can’t eat them. They are not “clean” for you. 8Pigs aren’t “clean” for you either. They have a divided hoof, but they don’t chew the cud. So don’t eat their meat. And don’t touch their dead bodies.

9Many creatures live in water. You can eat all the ones that have fins and scales. 10But don’t eat anything that doesn’t have fins and scales. It isn’t “clean” for you.

11You can eat any “clean” bird. 12But there are many birds you can’t eat. They include eagles, vultures, and black vultures. 13They include red kites, black kites and all kinds of falcons. 14They include all kinds of ravens. 15They include horned owls, screech owls, gulls and all kinds of hawks. 16They include little owls, great owls, white owls 17and desert owls. They include ospreys and cormorants. 18They include storks and all kinds of herons. They also include hoopoes and bats.

19All flying insects are “unclean” for you. So don’t eat them. 20But you can eat any creature that has wings and is “clean.”

21If you find something that’s already dead, don’t eat it. You can give it to an outsider living in any of your towns. They may eat it. Or you can sell it to someone from another country. But you are a holy nation. The Lord your God has set you apart for himself.

Don’t cook a young goat in its mother’s milk.

Give a Tenth of What You Produce

22Be sure to set apart a tenth of everything your fields produce each year. 23Here are the things you should eat in the sight of the Lord your God. You should eat a tenth part of your grain, olive oil and fresh wine. You should also eat the male animals among your livestock that were born first to their mothers. Eat all these things at the special place the Lord your God will choose. He will put his Name there. You will learn to honor him always. 24But suppose the place the Lord will choose for his Name is too far away from you. And suppose your God has blessed you. And your tenth part is too heavy for you to carry. 25Then sell it for silver. Take the silver with you. Go to the place the Lord your God will choose. 26Use the silver to buy anything you like. It can be cattle or sheep. It can be any kind of wine. In fact, it can be anything else you wish. Then you and your family can eat there in the sight of the Lord your God. You can be filled with joy. 27Don’t forget to take care of the Levites who will live in your towns. They won’t receive any part of the land as their share.

28At the end of every three years, bring a tenth of everything you produce that year. Store it in your towns. 29Then the Levites can come and eat. That’s because they won’t receive any part of the land as their share. The outsiders and widows who live in your towns can come. So can the children whose fathers have died. Everyone can have plenty to eat. Then the Lord your God will bless you in everything you do.