Isaya 8 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 8:1-22

Ashuru, Chombo Cha Bwana

18:1 Kum 27:8; Ay 19:23; Yer 20:3; 51:60; Isa 30:8; 8:3; Hos 1:4Bwana akaniambia, “Chukua gombo kubwa, uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida jina: Maher-Shalal-Hash-Bazi.8:1 Maher-Shalal-Hash-Bazi maana yake ni Haraka kuteka nyara, Upesi kwenye hizo nyara. 28:2 2Fal 16:10; Yos 24:22; Rut 4:9; Yer 10:10-12; 32:10Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”

38:3 Kut 15:20; Mwa 3:15Kisha nikaenda kwa nabii mke, naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha Bwana akaniambia, “Mwite huyo mtoto Maher-Shalal-Hash-Bazi. 48:4 Isa 7:8, 16; Mwa 14:15; Isa 7:8Kabla mtoto hajaweza kusema ‘Baba yangu’ au ‘Mama yangu,’ utajiri wa Dameski na nyara za Samaria zitachukuliwa na mfalme wa Ashuru.”

5Bwana akasema nami tena:

68:6 Neh 3:15; Isa 5:24; 7:1; Yn 9:7“Kwa sababu watu hawa wamekataa maji ya Shilo yatiririkayo taratibu

wakamfurahia Resini na mwana wa Remalia,

78:7 Isa 7:20; Dan 11:40; Nah 1:8; 2Nya 28:20; Isa 17:12-13; 30:28; Yos 3:15; Isa 10:16kwa hiyo Bwana yu karibu kuleta dhidi yao

mafuriko makubwa ya Mto:8:7 Yaani Frati.

yaani mfalme wa Ashuru na fahari yake yote.

Yatafurika juu ya mifereji yake yote,

yatamwagikia juu ya kingo zake zote,

88:8 Isa 7:14; 28:15; 18:6; 46:11; Yer 4:13; 48:40na kufika hadi Yuda, yakizunguka kwa kasi juu yake,

yakipita katikati na yakifika hadi shingoni.

Mabawa yake yaliyokunjuliwa

yatafunika upana wa nchi yako,

Ee Imanueli!”8:8 Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.

98:9 Isa 17:12-13; Eze 38:7; 38:3; Zek 14:2-3; Ay 34:24; Yer 46:3; 6:4; Zek 14:2; Yos 6:5Inueni kilio cha vita, enyi mataifa,

na mkavunjwevunjwe!

Sikilizeni, enyi nyote nchi za mbali.

Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe!

Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe!

108:10 Ay 5:12; Isa 7:7, 14; Rum 8:31; Mit 19:21; Mt 1:23Wekeni mikakati yenu, lakini itashindwa;

fanyeni mipango yenu, lakini haitafanikiwa,

kwa maana Mungu yu pamoja nasi.8:10 Kiebrania ni Imanueli.

Mwogope Mungu

118:11 Eze 3:14; 2:8; 1:3Bwana alisema nami mkono wake wenye nguvu ukiwa juu yangu, akinionya nisifuate njia za taifa hili. Akasema:

128:12 Isa 36:6; 7:2; 20:5; 1Pet 3:14; Mt 10:28“Usiite fitina kila kitu ambacho watu hawa hukiita fitina,

usiogope kile wanachokiogopa,

wala usikihofu.

138:13 Hes 20:12; Isa 29:23; Kut 20:20Bwana Mwenye Nguvu Zote ndiye peke yake

ikupasaye kumheshimu kuwa mtakatifu,

ndiye peke yake utakayemwogopa,

ndiye peke yake utakayemhofu,

148:14 Rum 9:33; Eze 11:16; Isa 24:17-18; Za 118:22; Yer 6:21; Lk 2:34; Isa 4:6; Lk 20:18; Eze 3:20naye atakuwa mahali patakatifu;

lakini kwa nyumba zote mbili za Israeli atakuwa

jiwe lile linalosababisha watu kujikwaa

na mwamba wa kuwaangusha.

Kwa watu wa Yerusalemu,

atakuwa mtego na tanzi.

158:15 Lk 20:18; Isa 28:13; 59:10; Rum 9:32; Mt 4:19; Lk 20:18; Isa 59:10Wengi wao watajikwaa;

wataanguka na kuvunjika,

watategwa na kunaswa.”

168:16 Dan 8:26; 12:4; Yer 32:14; Rut 4:7; Isa 29:11-12Funga ushuhuda na kutia muhuri sheria

miongoni mwa wanafunzi wangu.

178:17 Kum 31:17; Za 27:14; 22:5; Ebr 2:13Nitamngojea Bwana,

ambaye ameificha nyumba ya Yakobo uso wake.

Nitaliweka tumaini langu kwake.

188:18 Mwa 33:5; Ebr 2:13; Kut 3:12; Lk 2:34; Eze 12:6; 24:24; 4:3; Kum 28:46; Eze 12:11; Za 9:11Niko hapa, pamoja na watoto ambao Bwana amenipa. Sisi ni ishara na mfano wake katika Israeli, kutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote, anayeishi juu ya Mlima Sayuni.

198:19 1Sam 28:8; Isa 29:4; Hes 27:21; Law 19:31Wakati watu wanapowaambia ninyi kutafuta ushauri kwa waaguzi na wenye kuongea na mizimu, ambao hunongʼona na kunungʼunika, je, watu wasingeuliza kwa Mungu wao? Kwa nini watake shauri kwa wafu kwa ajili ya walio hai? 208:20 Mik 3:6; Isa 60:2; 1:10; Rut 4:7; Lk 16:29; Isa 9:2; 59:9; 9:2Kwa sheria na kwa ushuhuda! Kama hawatasema sawasawa na neno hili, hawana mwanga wa mapambazuko. 218:21 Ay 18:12; Kut 22:28; Ay 30:3; Ufu 16:11Watazunguka katika nchi yote, wakiwa na dhiki na njaa. Watakapotaabika kwa njaa, watapatwa na hasira kali, nao, wakiwa wanatazama juu, watamlaani mfalme wao na Mungu wao. 228:22 Ay 15:24; 3:13; Isa 5:30; Ufu 16:10; Mt 25:30Kisha wataangalia duniani na kuona tu dhiki na giza, hofu na huzuni tupu, nao watasukumiwa kwenye giza nene kabisa.

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 8:1-22

8

しるしとしてのイザヤとイザヤの息子

1神はまた、私に命じました。

「大きな看板を作り、やがて授かる子どもの名を、だれもが読めるように書きなさい。名前はマヘル・シャラル・ハシュ・バズ。『敵はまもなく滅びる』という意味だ。」 2私は祭司ウリヤとエベレクヤの子ゼカリヤに頼んで、証人になってもらいました。まだ子どもの生まれないうちに、確かに私がこのことを書いた、と証言してもらうためです。 3やがて妻はみごもり、男の子を産みました。その時、主の声が響いてきました。「この子をマヘル・シャラル・ハシュ・バズと呼べ。 4この名は、この子が『お父さん』『お母さん』と言うようになるまでの数年のうちに、アッシリヤ王がダマスコ(シリヤ)とサマリヤ(イスラエル)を侵略し、金銀財宝を奪い去ることを予告している。」

5主はさらに続けました。

6「エルサレムの住民は、

わたしが親身に世話をしたのに見向きもせず、

レツィン王とペカ王が、

助けに来てくれないかと、やっきになっている。

7-8だからわたしは彼らの上に、

ユーフラテス川の大洪水をもたらそう。

アッシリヤ王が大軍を率いて彼らに襲いかかる。

ああ、インマヌエル。

この洪水は、おまえたちユダ王国に堰を切ったように

流れ込み、端から端まで水浸しにする。」

9-10シリヤもイスラエルもほかの国々も、

悪の限りを尽くしてみるがよい。

だが、そんな計画が成功するはずはない。

必ず計画倒れになる。

さあ敵どもよ、私の言うことを聞け。

私たちに戦争をしかけてみよ。そして滅ぶがいい。

参謀を呼び集め、緻密な作戦を立て、

抜かりなく攻撃準備を整えよ。

そして滅ぶがいい。私たちには神がついている。

11主はきびしく命じました。

「どんなことがあっても、

シリヤとイスラエルに降伏しようという計画に乗るな。

12神に忠実であることで同胞から

裏切り者呼ばわりされるのを恐れるな。

人々はシリヤとイスラエルが攻めて来るというので

恐れているが、あなたはあわてふためいてはならない。

13天の軍勢の主のほかは、だれをも恐れてはならない。

わたしだけを恐れていれば、

誰ひとりとして怖くないはずだ。

14-15おまえの安全は、わたしが保証する。

ところがイスラエルとユダは、

わたしの守りを拒んだために、

救いの岩につまずき、倒れて下敷きになった。

わたしが彼らとともにいたことが

かえって彼らに危害を及ぼすことになった。

16これからわたしのしようとしていることを

残らず書き留め、将来のために封をしておけ。

神を敬う者に託して、

のちの時代の神を敬う者らに渡してもらうのだ。」

17主は今姿を隠していますが、

私は主の助けを信じて、ひたすら待ち望みます。

主だけが私の希望です。

18私の名も、神が授けてくれた子どもたちの名も、

みな天の軍勢の主の計画を暗示しています。

イザヤというのは「神はご自分の民を救う」、

シェアル・ヤシュブは「残りの民が帰って来る」、

マヘル・シャラル・ハシュ・バズは

「敵はまもなく滅びる」という意味です。

暗闇が光となる

19だというのに、なぜあなたがたは魔術師や霊媒師などに相談し、将来どんなことが起こるかを知ろうとするのですか。彼らのささやきや呪文を聞いてはなりません。そもそも生きている者が、死んだ人間から将来のことを聞き出せるものでしょうか。知りたかったら、どうして神に直接尋ねないのですか。

20神はこのように語ります。「魔術師どものことばを、神のことばと比較してみよ。彼らの言うことは、わたしの言うことと違うが、それは彼らがわたしの使者ではないからだ。彼らには真理の光などない。 21わたしの民は捕虜となり、飢えて弱り果て、つまずきよろけながら連れ去られる。空腹のあまりうわ言をいい、天に向かってこぶしを振り、王と神をのろう。 22どこを見ても、目につくものは苦しみと悩みと暗たんとした絶望だけだ。こうして彼らは暗闇の中に追いやられる。」