Isaya 65 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 65:1-25

Hukumu Na Wokovu

165:1 Rum 10:20; Efe 2:12-13; Rum 9:30; Za 22:27; Hos 1:10; Rum 9:24-26; Isa 43:7“Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakuniulizia.

Nimeonekana na watu wale ambao hawakunitafuta.

Kwa taifa lile ambalo halikuliita Jina langu,

nilisema, ‘Niko hapa, niko hapa.’

265:2 Za 78:8; Rum 10:21; Za 81:11-12; Mit 24:2; Isa 66:18Mchana kutwa nimeinyoosha mikono yangu

kwa watu wakaidi,

wanaokwenda katika njia ambazo si nzuri,

wafuatao mawazo yao wenyewe:

365:3 Isa 1:29; Law 17:5; Ay 1:11; Yer 41:5; Eze 23:41; Yer 44:17taifa ambalo daima hunikasirisha

machoni pangu,

wakitoa dhabihu katika bustani

na kufukiza uvumba juu ya madhabahu za matofali;

465:4 Law 11:7; Isa 8:19; Law 19:31; Kum 18:11watu waketio katikati ya makaburi

na kukesha mahali pa siri,

walao nyama za nguruwe,

nazo sufuria zao zina mchuzi wa nyama zilizo najisi,

565:5 Za 40:4; Lk 7:39; Yud 19; Mt 9:11; Lk 18:9-12; Mit 10:26wasemao, ‘Kaa mbali; usinikaribie,

kwa maana mimi ni mtakatifu mno kwako!’

Watu wa aina hiyo ni moshi katika pua zangu,

ni moto uwakao mchana kutwa.

665:6 2Nya 6:23; Kum 32:34; Za 50:3; Yer 16:18; Lk 6:38; Isa 59:18; Za 79:12; Eze 9:10“Tazama, jambo hili hubakia limeandikwa mbele zangu:

sitanyamaza, bali nitalipiza kwa ukamilifu;

nitalipiza mapajani mwao:

765:7 Kut 20:5; Yer 32:18; Law 26:39; Isa 22:14; Mit 10:24; Isa 10:12; 57:7dhambi zenu na dhambi za baba zenu,”

asema Bwana.

“Kwa sababu walitoa dhabihu za kuteketezwa juu ya milima

na kunichokoza mimi juu ya vilima,

nitawapimia mapajani mwao

malipo makamilifu kwa matendo yao ya zamani.”

865:8 Isa 5:2; 54:17; Kut 4:22; Yer 3:4; Isa 29:16; Rum 9:20-21; Ay 10:3Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kama vile divai mpya ingali bado inapatikana

katika kishada cha zabibu,

nao watu husema, ‘Usikiharibu,

kwa kuwa bado kuna kitu kizuri ndani yake,’

hivyo ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu;

sitawaangamiza wote.

965:9 Isa 45:19; Hes 34:13; Amo 9:11-15; Isa 32:18; Yer 50:19Nitawaleta wazao kutoka kwa Yakobo,

na kutoka kwa Yuda wale watakaomiliki milima yangu,

nao watu wangu wateule watairithi,

nako huko wataishi watumishi wangu.

1065:10 1Nya 27:29; Hos 2:15; Mdo 9:35; Yos 7:26; Isa 35:2; Yer 31:12; Eze 34:13-14Sharoni itakuwa malisho

kwa ajili ya makundi ya kondoo,

na Bonde la Akori mahali pa kupumzikia

kwa makundi ya ngʼombe,

kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.

1165:11 Eze 23:41; Yer 19:4; 1Kor 10:21; Kum 29:24-25; 32:15; Yer 2:13; 19:4“Bali kwenu ninyi mnaomwacha Bwana

na kuusahau mlima wangu mtakatifu,

ninyi mnaoandaa meza kwa ajili ya Bahati,65:11 Bahati alikuwa mungu wa Wakaldayo ambaye pia alijulikana kama Gadi.

na kujaza mabakuli ya mvinyo uliochanganywa

kwa ajili ya Ajali,65:11 Ajali au Meni alikuwa mungu wa majaliwa.

1265:12 Mit 1:24-25; Yer 7:27; 2Nya 36:15-16; Yer 13:11; Isa 1:20; 30:25; Mik 5:15nitawaagiza mfe kwa upanga,

nanyi nyote mtainama chini ili kuchinjwa;

kwa kuwa niliwaita lakini hamkuitika,

nilisema lakini hamkusikiliza.

Mlitenda maovu machoni pangu,

nanyi mkachagua mambo yale yanayonichukiza.”

1365:13 Isa 1:19; Ay 18:12; Lk 6:25; Isa 33:16; 60:5; 44:9Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:

“Watumishi wangu watakula,

lakini ninyi mtaona njaa;

watumishi wangu watakunywa

lakini ninyi mtaona kiu;

watumishi wangu watafurahi,

lakini ninyi mtaona haya.

1465:14 Isa 15:2; Lk 13:28; Za 109:28; Sef 3:14-20; Yak 5:13; Mt 8:12Watumishi wangu wataimba

kwa furaha ya mioyo yao,

lakini ninyi mtalia

kutokana na uchungu wa moyoni,

na kupiga yowe kwa sababu

ya uchungu wa roho zenu.

1565:15 Hes 5:27; Mdo 11:26; Zek 8:13; Za 102:8; Mwa 32:28; Ufu 2:17Mtaliacha jina lenu

kuwa laana kwa watu wangu waliochaguliwa;

Bwana Mwenyezi atawaua ninyi,

lakini watumishi wake atawapa jina jingine.

1665:16 Za 31:5; Ufu 3:14; Isa 19:18; Kum 29:19; Ay 11:16; Za 63:11Yeye aombaye baraka katika nchi

atafanya hivyo kwa Mungu wa kweli;

yeye aapaye katika nchi

ataapa kwa Mungu wa kweli.

Kwa kuwa taabu za zamani zitasahaulika

na kufichwa kutoka machoni pangu.

Mbingu Mpya Na Dunia Mpya

1765:17 2Kor 5:17; 2Pet 3:13; Yer 3:16; Ufu 7:17; Isa 41:22; 43:18“Tazama, nitaumba

mbingu mpya na dunia mpya.

Mambo ya zamani hayatakumbukwa,

wala hayatakuja akilini.

1865:18 Kum 32:43; Za 98:1-9; Isa 25:9; Ufu 21:2Lakini furahini na kushangilia daima

katika hivi nitakavyoumba,

kwa kuwa nitaumba Yerusalemu uwe wa kupendeza,

nao watu wake wawe furaha.

1965:19 Isa 35:10; 62:5; Ufu 7:17; Kum 30:9; Isa 25:8Nami nitaifurahia Yerusalemu

na kuwafurahia watu wangu;

sauti ya maombolezo na ya kilio

haitasikika humo tena.

2065:20 Mwa 15:15; Mhu 8:12; Zek 8:4; Isa 11:8; Mwa 5:1-32“Kamwe hatakuwepo tena ndani yake

mtoto mchanga atakayeishi siku chache tu,

au mzee ambaye hataishi akatimiza miaka yake.

Yeye atakayekufa akiwa na umri wa miaka mia moja

atahesabiwa kwamba ni kijana tu,

yeye ambaye hatafika miaka mia moja,

atahesabiwa kuwa amelaaniwa.

2165:21 Isa 32:18; 2Fal 19:29; Eze 28:26; Isa 61:4; 37:30; Amo 9:14Watajenga nyumba na kuishi ndani yake;

watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.

2265:22 Za 92:12-14; 21:4; 91:16; Kum 28:30; Isa 14:1Hawatajenga nyumba, nao watu wengine waishi ndani yake,

au kupanda mazao na wengine wale.

Kwa kuwa kama zilivyo siku za mti,

ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu,

wateule wangu watafurahia kwa siku nyingi

kazi za mikono yao.

2365:23 Mwa 12:2; Kum 28:3-12; Mdo 2:39; Hos 9:12; Isa 49:4; 1Kor 15:58; Yer 3:4Hawatajitaabisha kwa kazi bure,

wala hawatazaa watoto ili wapatwe na majanga,

kwa kuwa watakuwa taifa lililobarikiwa na Bwana,

wao na wazao wao pamoja nao.

2465:24 Dan 9:20-23; 10:12; Mt 6:8; Isa 55:6; Ay 8:6; Zek 10:6; Isa 30:19Kabla hawajaita, nitajibu,

nao wakiwa katika kunena, nitasikia.

2565:25 Mwa 3:14; Rum 16:20; Mik 7:17; Isa 11:6; Dan 2:35; Ay 40:15; 5:23; Isa 2:4Mbwa mwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja,

naye simba atakula nyasi kama maksai,

lakini mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka.

Hawatadhuru wala kuharibu

katika mlima wangu mtakatifu wote,”

asema Bwana.

Bibelen på hverdagsdansk

Esajasʼ Bog 65:1-25

Guds svar

1Herren siger til sit folk: „Jeg viste mig for dem, der ikke spurgte efter mig. Jeg blev fundet af dem, der ikke søgte mig. Jeg sagde til et folk, som egentlig ikke var mit folk: ‚Se, her er jeg!’

2Dagen lang rakte jeg hænderne ud mod et ulydigt og oprørsk folk, som handlede ondt og fulgte deres egne tanker, 3et folk, som blev ved med at håne mig op i mit åbne ansigt ved at dyrke deres afguder i haverne og brænde offerild på hustagene for fremmede guder. 4Om natten gik de ud til gravhulerne for i al hemmelighed at søge kontakt med de afdøde, og de spiste svinekød og anden uren mad. 5Alligevel sagde de til andre mennesker: ‚Rør ikke ved mig, for du gør mig uren med din synd. Jeg er nemlig hellig og ren.’ De er som en stadig stank i min næse.

6Deres synderegister er langt, og jeg giver ikke op, før de har fået, hvad de fortjener. 7Jeg straffer jer ikke kun for jeres egne synder, men også for jeres forfædres synder. Også de brændte røgelse på bjergene og hånede mig ved at dyrke deres afguder på offerhøjene. I skal få den fulde straf for jeres synd.”

8„Men jeg vil ikke udslette jer alle,” siger Herren. „På en rådden drueklase kan man altid finde enkelte gode druer, der ikke fortjener at blive kasseret. Jeg har da også fundet sande Guds tjenere i Israel, og dem vil jeg ikke lade gå til grunde sammen med de andre. 9Jeg vil frelse en rest af Israels folk og Judas efterkommere. Mine udvalgte, som tjener mig, skal arve landet og bo der. 10Saronsletten bliver græsmarker for deres får, og i Akors dal vil deres kvæg ligge og tygge drøv. Det lover jeg dem af mit folk, som søger mig.

11Men I, som har svigtet mig og mit tempel og i stedet tilbeder lykkeguden og skæbneguden, 12jeres skæbne bliver sværdhug, og jeres lykke bliver at knæle til nedslagtning. For da jeg kaldte, svarede I ikke, og da jeg talte, hørte I ikke efter. I syndede bevidst for øjnene af mig og valgte at handle stik imod min vilje.”

13Derfor siger Gud Herren: „I skal sulte, men de, der tjener mig, skal spise. I skal tørste, men de skal drikke. I skal hænge med hovedet i skam, men de skal glæde sig. 14I skal græde af sorg og jamre i fortvivlelse, men de skal juble af fryd. 15Mine udvalgte vil huske jer som dem, der blev forbandet og dræbt af Herren. Mine tjenere får en bedre fremtid.

16Til den tid vil I igen begynde at bruge mit navn, når I aflægger en ed eller udtaler en velsignelse, for jeg er en trofast Gud. Da vil de gamle problemer være glemt og ikke længere huskes.

17Hør her! Jeg vil skabe en ny himmel og en ny jord, og man vil ikke huske det gamle mere. 18Glæd jer! Fryd jer for evigt over mit nye skaberværk!

Jeg gør Jerusalem til et vidunderligt sted, hvor folk vil juble af glæde. 19Og jeg vil fryde mig over mit folk i Jerusalem. Ingen skal længere græde og jamre af sorg. 20Ingen børn vil dø som spæde, og de gamle vil ikke gå bort før tiden. Hundrede år skal betragtes som en ung alder, og en, der ikke når de hundrede, vil man regne for at være under forbandelse. 21De bygger sig huse og bor der selv, de planter vinmarker og nyder selv dens frugt. 22De bliver ikke jaget fra hus og hjem, og andre røver ikke deres høst. Mit folk vil opnå en høj alder og nyde frugten af deres arbejde. 23De skal ikke arbejde forgæves eller føde børn for bare at miste dem igen. De er Herrens velsignede folk, og velsignelsen skal gå i arv til deres børn. 24Jeg vil gribe ind og hjælpe dem, før de kalder på mig. Ja, før de ved, hvad de skal bede om, vil jeg give dem det, de har brug for. 25Ulven og lammet skal græsse sammen, løven skal æde hø som oksen, men slangen skal spise støv. Til den tid vil der hverken findes ondskab eller ødelæggelse i hele mit hellige bjergland,” siger Herren.