Isaya 61 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 61:1-11

Mwaka Wa Upendeleo Wa Bwana

161:1 Isa 11:2; Mdo 4:26; Lk 4:18-19; Zek 9:12; 2Kor 3:17; Isa 50:4; Dan 9:24-26; Ay 5:16Roho wa Bwana Mwenyezi yu juu yangu,

kwa sababu Bwana amenitia mafuta

kuwahubiria maskini habari njema.

Amenituma kuwaganga waliovunjika moyo,

kuwatangazia mateka uhuru wao,

na hao waliofungwa

habari za kufunguliwa kwao;

261:2 Isa 49:8; Mal 4:1-3; Mt 5:4; Isa 1:24; Lk 4:18-19; Ay 5:1; Lk 6:21kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa,

na siku ya kisasi ya Mungu wetu,

kuwafariji wote waombolezao,

361:3 Isa 60:20-21; 3:23; Ay 2:8; Rut 3:3; Ebr 1:9; Yer 31:13; Za 92:12-13; Mt 15:13na kuwapa mahitaji

wale wanaohuzunika katika Sayuni,

ili kuwapa taji ya uzuri badala ya majivu,

mafuta ya furaha badala ya maombolezo,

vazi la sifa badala ya roho ya kukata tamaa.

Nao wataitwa mialoni ya haki,

pando la Bwana,

ili kuonyesha utukufu wake.

461:4 Amo 9:14; Yn 15:8; Zek 1:16-17; Isa 44:26; Eze 36:33Watajenga upya magofu ya zamani

na kupatengeneza mahali palipoachwa ukiwa zamani;

watafanya upya miji iliyoharibiwa,

iliyoachwa ukiwa kwa vizazi vingi.

561:5 Isa 14:1-2; Eze 36:33; Isa 56:6Wageni watayachunga makundi yenu,

wageni watafanya kazi katika mashamba yenu,

na kutunza mashamba yenu ya mizabibu.

661:6 Kut 19:6; Kum 33:19; 1Pet 2:5; Isa 60:1Nanyi mtaitwa makuhani wa Bwana,

mtaitwa watumishi wa Mungu wetu.

Mtakula utajiri wa mataifa,

nanyi katika utajiri wao mtajisifu.

761:7 Kum 21:17; Zek 9:12; Isa 29:22; 41:11; 60:21; Za 126:5; Isa 25:9Badala ya aibu yao

watu wangu watapokea sehemu maradufu,

na badala ya fedheha

watafurahia katika urithi wao;

hivyo watarithi sehemu maradufu katika nchi yao,

nayo furaha ya milele itakuwa yao.

861:8 Mwa 9:16; Isa 1:17; 55:3; 5:16; Za 11:7; Ebr 13:20; Isa 42:6“Kwa maana Mimi, Bwana, napenda haki,

na ninachukia unyangʼanyi na uovu.

Katika uaminifu wangu nitawapa malipo yao

na kufanya agano la milele nao.

961:9 Isa 43:5; 48:19; Mwa 12:2; Kum 28:3-12Wazao wao watajulikana miongoni mwa mataifa,

na uzao wao miongoni mwa kabila za watu.

Wale wote watakaowaona watatambua

kuwa ni taifa ambalo Bwana amelibariki.”

1061:10 Hab 3:18; Ay 27:6; Isa 49:18; Ufu 21:2; Za 2:11; Isa 7:13; Lk 1:47; Ufu 19:8Ninafurahia sana katika Bwana,

nafsi yangu inashangilia katika Mungu wangu.

Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu,

na kunipamba kwa joho la haki,

kama vile bwana arusi apambavyo

kichwa chake kama kuhani,

na kama bibi arusi ajipambavyo

kwa vito vyake vya thamani.

1161:11 Za 85:11; Isa 45:8; Mwa 47:23; Isa 58:11Kwa maana kama vile ardhi ifanyavyo chipukizi kuota,

na bustani isababishavyo mbegu kuota,

ndivyo Bwana Mwenyezi atafanya haki na sifa

zichipuke mbele ya mataifa yote.

La Bible du Semeur

Esaïe 61:1-11

Messager d’une bonne nouvelle

1L’Esprit de l’Eternel, ╵du Seigneur, est sur moi

car l’Eternel m’a oint

pour annoncer aux humiliés ╵une bonne nouvelle.

Oui, il m’a envoyé ╵afin de panser ceux ╵qui ont le cœur brisé,

d’annoncer aux captifs ╵leur délivrance

et à ceux qui sont prisonniers61.1 L’ancienne version grecque a : aveugles. ╵leur mise en liberté61.1 Allusion en Mt 11.5 ; Lc 7.22. Les v. 1-2 sont cités en Lc 4.18-19.,

2afin de proclamer, ╵pour l’Eternel ╵une année de faveur

et un jour de rétribution ╵pour notre Dieu,

afin de consoler ╵tous ceux qui mènent deuil,

3et d’apporter à ceux ╵qui, dans Sion, sont endeuillés,

la splendeur au lieu de la cendre,

pour mettre sur leur tête ╵l’huile de l’allégresse ╵au lieu du deuil,

et pour les vêtir d’habits de louange ╵au lieu d’un esprit abattu,

afin qu’on les appelle ╵« Les chênes de justice,

la plantation de l’Eternel

qui manifestent sa splendeur ».

4Car ils rebâtiront ╵les ruines d’autrefois

et ils relèveront ╵ce qui a été dévasté ╵par le passé.

Oui, ils restaureront ╵les villes ravagées,

les habitats détruits ╵depuis bien des générations.

5Des étrangers ╵viendront s’y établir,

ils feront paître vos troupeaux.

Ces gens seront vos laboureurs

et ils cultiveront ╵vos vergers et vos vignes.

6Mais vous, on vous appellera ╵« Prêtres de l’Eternel » ;

on dira que vous êtes ╵servants de notre Dieu.

Vous jouirez ╵des trésors des nations

et vous mettrez votre fierté61.6 Autre traduction : vous vous parerez. ╵dans ce qui fait leur gloire.

7Au lieu de votre honte,

vous aurez double honneur,

et au lieu de l’opprobre,

vous pousserez des cris de joie ╵à cause de la part ╵que vous aurez.

Car, dans votre pays, ╵vous recevrez ╵un patrimoine double.

Il y aura pour vous ╵une joie éternelle.

8Moi, l’Eternel, ╵moi, j’aime la droiture.

Je déteste le vol ╵avec sa perfidie.

Je les rétribuerai ╵avec fidélité61.8 Autre traduction : selon la vérité.

et je conclurai avec eux ╵une alliance éternelle.

9Leurs descendants seront connus ╵chez les nations,

et leur progéniture ╵parmi les peuples.

Tous ceux qui les verront ╵reconnaîtront en eux

une postérité ╵bénie par l’Eternel.

10Je serai plein de joie, ╵l’Eternel en sera la source61.10 En réponse à cet avenir radieux annoncé par le prophète, le peuple de Dieu exprime sa joie et sa reconnaissance envers l’Eternel..

J’exulterai ╵à cause de mon Dieu,

parce qu’il m’aura revêtu ╵des habits du salut

et qu’il m’aura enveloppé ╵du manteau de justice,

tout comme le marié ╵se pare d’un turban ╵tout comme un prêtre,

et comme la mariée ╵s’orne de ses bijoux61.10 Voir Ap 21.2..

11Comme la terre ╵fait pousser les graines germées

et comme le jardin ╵fait germer ses semences,

ainsi le Seigneur, l’Eternel, ╵va faire germer la justice ╵et la louange

aux yeux de tous les peuples.