Isaya 50 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 50:1-11

Dhambi Ya Israeli Na Utii Wa Mtumishi

150:1 Kum 24:1; Mk 10:4; Mt 18:25; Amu 3:8; Hos 2:2; Mt 19:7; Neh 5:5; Isa 1:25Hili ndilo asemalo Bwana:

“Iko wapi hati ya talaka ya mama yako

ambayo kwayo niliachana naye?

Au nimewauza ninyi kwa nani

miongoni mwa watu wanaonidai?

Kwa ajili ya dhambi zenu mliuzwa,

kwa sababu ya makosa, mama yenu aliachwa.

250:2 Mwa 18:14; Kut 14:22; Hes 11:23; 1Sam 8:19; Isa 41:28; Za 68:35; Yer 14:9Nilipokuja, kwa nini hakuwepo hata mmoja?

Nilipoita, kwa nini hakuwepo hata mmoja wa kujibu?

Je, mkono wangu ni mfupi mno hata nisiweze kuwakomboa?

Je, mimi sina nguvu za kukuokoa?

Kwa kukemea tu naikausha bahari,

naigeuza mito ya maji kuwa jangwa;

samaki wake wanaoza kwa kukosa maji

na kufa kwa ajili ya kiu.

350:3 Isa 5:30; Ufu 6:12; Kut 10:21Ninalivika anga weusi na kufanya nguo ya gunia

kuwa kifuniko chake.”

450:4 Kut 4:11-12; Za 88:13; Mt 7:29; Isa 40:29; Mt 11:28Bwana Mwenyezi amenipa ulimi uliofundishwa,

ili kujua neno limtegemezalo aliyechoka.

Huniamsha asubuhi kwa asubuhi,

huamsha sikio langu lisikie kama mtu afundishwaye.

550:5 Isa 35:5; Eze 2:8; Ebr 10:5; Isa 48:16; Eze 24:3; Mdo 26:19; Mt 26:39Bwana Mwenyezi amezibua masikio yangu,

nami sikuwa mwasi,

wala sikurudi nyuma.

650:6 Mt 27:30; Isa 53:5; Mao 3:30; Hes 12:14; Mt 26:67; Mk 14:65Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao,

mashavu yangu wale wangʼoao ndevu zangu;

sikuuficha uso wangu kutokana na fedheha

na kutemewa mate.

750:7 Isa 41:10; Rum 8:31; Eze 3:8-9; Isa 48:16; 28:16; 29:22Kwa sababu Bwana Mwenyezi ananisaidia,

sitatahayarika.

Kwa hiyo nimekaza uso wangu kama jiwe la gumegume,

nami ninajua sitaaibika.

850:8 Ay 13:19; Rum 8:32-34; 1Kor 4:4; Isa 26:2; 49:4Yeye anipatiaye haki yangu yu karibu.

Ni nani basi atakayeleta mashtaka dhidi yangu?

Tukabiliane uso kwa uso!

Mshtaki wangu ni nani?

Ni nani aliye mshtaki wangu?

950:9 Ay 13:28; Isa 41:10; Ebr 1:11-12; Rum 8:1, 34; Isa 51:8Ni Bwana Mwenyezi anisaidiaye mimi.

Ni nani huyo atakayenihukumu?

Wote watachakaa kama vazi,

nondo watawala wawamalize.

1050:10 2Nya 20:20; Isa 49:3; 26:4; 1:19; Hag 1:12; Mdo 26:18; Isa 10:20Ni nani miongoni mwenu amchaye Bwana,

na kulitii neno la mtumishi wake?

Yeye atembeaye gizani,

yeye asiye na nuru,

na alitumainie jina la Bwana,

na amtegemee Mungu wake.

1150:11 Mit 26:18; Yak 3:6; Ay 15:20; Isa 65:13-15; Kum 21:22-23Lakini sasa, ninyi nyote mnaowasha mioto,

na kupeana mienge iwakayo ninyi kwa ninyi,

nendeni, tembeeni katika nuru ya moto wenu

na ya mienge mliyoiwasha.

Hili ndilo mtakalolipokea kutoka mkononi mwangu:

Mtalala chini kwa mateso makali.

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 50:1-11

50

イスラエルの罪と、しもべの従順

1主はこう尋ねます。

「わたしはあなたがたを

債権者に売り飛ばしただろうか。

そのため、あなたがたはここにいないのか。

わたしがあなたがたの母親と離婚し、

追い出したから、彼女の姿が見当たらないのか。

いや、あなたがたは自分の罪のために

捕虜となって行ったのだ。

母親も借金のかたに連れて行かれた。

2わたしに力がないから、

あなたがたを救えないのか。

そのために、わたしが帰ってみると、

家はからっぽで静まり返っているのか。

わたしにはもう、

救い出す力がないとでも言うのか。

いや、そのつもりなら、海をしかりつけ、

干上がらせることもすぐできる。

多くの川が流れる平野を荒野とし、

死んだ魚で満たすこともできる。

3空一面を闇で覆うことさえできる。」

4神である主は私に、知恵のことばを授けました。

疲れきった人に何を言ったらいいかを教えるためです。

朝ごとに、主は私を目ざめさせ、

御心への理解を深めさせてくれます。

5主のことばを、私は耳をすまして聞きます。

逆らったり、顔を背けたりしません。

6むち打つ者に背中をさらし、

ひげを抜こうとする者に頬を差し出しました。

彼らは私の顔につばをはきました。

しかし私は辱められても、身を隠しません。

7主の助けがあるので、

うろたえたり、気を落としたりしません。

固く心に勝利を収めると確信しています。

8私を正しいと認めてくれる方がそばにいるのです。

さあ、だれが相手になるのか。私の敵はどこか。

いるなら、出て来なさい。

9見なさい。神が味方である以上、

だれも、私を罪に定めることはできません。

敵はみな、虫に食われた古着のように、

ぼろぼろになります。

10あなたがたのうち、主を恐れ、

主のしもべに聞き従う者はいるでしょうか。

そのような人が今、闇の中を歩み、

一筋の光もないというなら、主を信じ、

自分の神により頼みなさい。

11しかし、自分の光の中を歩き、神ではなく、

自分の火に暖まっている者よ。

あなたがたは悲しみの中を生きるようになります。