Isaya 5 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 5:1-30

Wimbo Wa Shamba La Mizabibu

15:1 Za 80:8-9; Yn 15:1; Isa 27:2Nitaimba wimbo kwa ajili ya mmoja nimpendaye,

kuhusu shamba lake la mizabibu:

Mpendwa wangu alikuwa na shamba la mizabibu

kwenye kilima chenye rutuba.

25:2 Kum 32:6; Kut 15:17; Yer 2:21; Mt 21:19; Mk 11:13; Isa 16:8; 27:3; 1Sam 2:9; Ay 24:11; Mt 21:33; Lk 13:6Alililima na kuondoa mawe

na akaliotesha mizabibu bora sana.

Akajenga mnara wa ulinzi ndani yake,

na kutengeneza shinikizo la kukamulia divai pia.

Kisha akatazamia kupata mazao ya zabibu nzuri,

lakini lilizaa matunda mabaya tu.

35:3 Mt 21:40“Basi enyi wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda,

hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.

45:4 2Nya 36:15; Mt 23:37; Yer 2:5-7; 2:21; Mk 6:3-4; Yer 24:2; 29:17Ni nini zaidi ambacho kingeweza kufanyika kwa shamba langu la mizabibu

kuliko yale niliyofanya?

Nilipotazamia kupata zabibu nzuri,

kwa nini lilizaa zabibu mbaya tu?

55:5 Za 80:12; Lk 21:24; Yer 12:10; Isa 6:12; 27:10; 22:5; 10:6; 2Nya 36:21Sasa nitawaambia lile nitakalolitendea

shamba langu la mizabibu:

Nitaondoa uzio wake,

nalo litaharibiwa,

nitabomoa ukuta wake,

nalo litakanyagwa.

65:6 Hos 2:12; Ebr 6:8; Mwa 6:13; Isa 6:13; 49:17; 2Sam 23:6; Isa 7:23-24; Law 26:32; Eze 28:24; 2Sam 1:21; Amo 4:7Nitalifanya nchi ya ukiwa isiyokaliwa na watu,

halitakatiwa matawi wala kulimwa,

nayo michongoma na miiba itamea huko,

nitaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.”

75:7 Isa 37:30; Eze 9:9; 22:29; Za 80:8; Isa 17:10; 10:2; 29:21; 61:8; Za 12:5Shamba la mzabibu la Bwana Mwenye Nguvu Zote

ni nyumba ya Israeli,

na watu wa Yuda

ni bustani yake ya kumpendeza.

Alitazamia haki, lakini akaona umwagaji damu,

alitazamia uadilifu, lakini akasikia vilio vya taabu.

Ole Na Hukumu

85:8 Yer 22:13; Isa 24:16; 6:5; 10:1; Hab 2:9-12; Ay 20:19; Mik 2:2Ole wenu mnaoongeza nyumba baada ya nyumba

na kuunganisha mashamba baada ya mashamba

hadi hakuna nafasi iliyobaki,

nanyi mnaishi peke yenu katika nchi.

95:9 Isa 6:11-12; Mt 23:38; Yer 44:11; Isa 22:14; Mt 23:38Bwana Mwenye Nguvu Zote amesema nikisikia:

“Hakika nyumba kubwa zitakuwa ukiwa,

nayo majumba ya fahari yatabaki bila kukaliwa.

105:10 Law 27:16; Kum 28:38; Zek 8:10; Law 26:26; 27:16Shamba la mizabibu la eka kumi

litatoa bathi5:10 Bathi moja ni sawa na lita 22. moja ya divai,

na homeri5:10 Homeri moja ni sawa na lita 220. ya mbegu zilizopandwa

itatoa efa5:10 Efa moja ni sawa na lita 22. moja tu ya nafaka.”

115:11 1Sam 25:36; Mit 23:29-30Ole wao wale waamkao asubuhi na mapema

wakikimbilia kunywa vileo,

wale wakawiao sana mpaka usiku,

mpaka wamewaka kwa mvinyo.

125:12 1Sam 12:24; Ay 34:27; Eze 26:13; Amo 6:5-6; Isa 24:8; Ay 21:12; Za 28:5; 68:25Wana vinubi na zeze kwenye karamu zao,

matari, filimbi na mvinyo,

lakini hawayajali matendo ya Bwana,

wala hawana heshima kwa ajili ya kazi ya mikono yake.

135:13 Isa 49:21; 1:3; 3:3; Mit 10:21; Hos 4:6; Rum 1:28; Ay 22:8Kwa hiyo watu wangu watakwenda uhamishoni

kwa sababu ya kukosa ufahamu,

watu wao wenye vyeo watakufa kwa njaa

na watu wao wengi watakauka kwa kiu.

145:14 Mit 30:16; Hes 16:30; Isa 22:13; 23:7; 24:8Kwa hiyo kaburi5:14 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. limeongeza hamu yake

na kupanua mdomo wake bila kikomo,

ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu,

pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote.

155:15 Isa 2:9-11; 10:33Hivyo mwanadamu atashushwa,

na binadamu kunyenyekezwa,

macho ya wenye majivuno yatanyenyekezwa.

165:16 Isa 61:8; Law 10:3; Eze 36:23; Za 97:6; Isa 33:10; 28:17; 30:18; 29:23Lakini Bwana Mwenye Nguvu Zote atatukuzwa

kwa ajili ya haki yake,

naye Mungu Mtakatifu atajionyesha mwenyewe

kuwa mtakatifu kwa haki yake.

175:17 Sef 2:6, 14; Isa 32:14; 7:25; 17:2Kondoo watajilisha kwenye malisho yao wenyewe,

wana-kondoo watajilisha katika magofu ya matajiri.

185:18 Isa 59:4-8; 5:8; Amo 5:8; Yer 17:5; 23:14; Hos 11:4Ole wao wanaovuta dhambi kwa kamba za udanganyifu

na uovu kama kwa kamba za mkokoteni,

195:19 2Pet 3:3-4; Eze 12:22; Yer 17:15; Isa 30:11-12; 29:23; 1:4; 60:22kwa wale wanaosema, “Mungu na afanye haraka,

aharakishe kazi yake ili tupate kuiona.

Huo mpango wa Aliye Mtakatifu wa Israeli na ukamilike,

tena udhihirike ili tupate kuujua.”

205:20 Ay 24:13; Amo 5:7; Mwa 18:25; 1Fal 22:8; Za 94:21; Isa 5:8; Mt 6:22-23; Lk 11:22, 34-35Ole wao wanaoita ubaya ni wema,

na wema ni ubaya,

wawekao giza badala ya nuru,

na nuru badala ya giza,

wawekao uchungu badala ya utamu,

na utamu badala ya uchungu.

215:21 Mit 3:7; Rum 12:16; Isa 47:10; 1Kor 3:18-20Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe,

na kujiona wenye akili machoni pao wenyewe.

225:22 1Sam 25:36; Mit 23:20; Isa 22:13; Mit 31:4; Yer 7:18Ole wao walio mashujaa kwa kunywa mvinyo,

nao walio hodari katika kuchanganya vileo,

235:23 Kut 23:8; Amo 5:12; Yak 5:6; Eze 22:12; Isa 1:17; 29:21; 59:13-15; Za 94:21wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo,

lakini huwanyima haki wasio na hatia.

245:24 2Fal 19:20; Za 107:11; Ay 18:16; Isa 47:14; Ay 24:24; 40:8; 6:10; Isa 1:31; Nah 1:10; 2Fal 19:30Kwa hiyo, kama ndimi za moto zirambavyo nyasi,

na kama vile majani makavu yazamavyo katika miali ya moto,

ndivyo mizizi yao itakavyooza

na maua yao yatakavyopeperushwa kama mavumbi;

kwa kuwa wameikataa sheria ya Bwana Mwenye Nguvu Zote

na kulisukumia mbali neno la Aliye Mtakatifu wa Israeli.

255:25 2Fal 22:13; Yer 6:12; 2Fal 9:37; Dan 9:16; Ay 40:11; Kut 19:18; Isa 26:11; 10:17; Ay 40:11; Yer 6:12Kwa hiyo hasira ya Bwana inawaka dhidi ya watu wake,

mkono wake umeinuliwa na anawapiga.

Milima inatetemeka,

maiti ni kama takataka kwenye barabara.

Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

mkono wake bado umeinuliwa juu.

265:26 Za 20:5; Isa 7:18; Zek 10:8; Kum 28:4-9; Isa 13:5; 18:2Yeye anainua bendera kwa ajili ya mataifa yaliyo mbali,

anapiga filimbi kwa ajili ya wale walio kwenye miisho ya dunia.

Tazama wamekuja,

kwa kasi na kwa haraka!

275:27 Yoe 2:7-8; Eze 23:15; Isa 22:21; 40:29-31; 14:31; Ay 12:18Hakuna hata mmoja wao anayechoka wala kujikwaa,

hakuna hata mmoja anayesinzia wala kulala,

hakuna mkanda uliolegezwa kiunoni,

hakuna gidamu ya kiatu iliyokatika.

285:28 Ay 39:23; Za 45:6; 7:12; Eze 26:11; Ay 1:19; Za 25:5; 2Fal 2:1Mishale yao ni mikali,

pinde zao zote zimevutwa,

kwato za farasi wao ziko kama jiwe la gumegume,

magurudumu ya magari yao ya vita ni kama upepo wa kisulisuli.

295:29 Isa 42:22; 49:24-25; 2Fal 17:25; Mik 5:8; Yer 51:38; Zek 11:3; Sef 3:3; Isa 10:6Ngurumo yao ni kama ile ya simba,

wananguruma kama wana simba,

wanakoroma wanapokamata mawindo yao,

na kuondoka nayo pasipo yeyote wa kuokoa.

305:30 Yer 4:23-28; Za 93:3; Yoe 2:10; Isa 2:1; 2:11; 50:3; Yer 50:42; Ay 21:30; Lk 21:25; 1Sam 2:9; Za 18:28Katika siku ile watanguruma juu yake

kama ngurumo za bahari.

Kama mtu akiitazama nchi,

ataona giza na dhiki;

hata nuru itatiwa giza kwa mawingu.

Bibelen på hverdagsdansk

Esajasʼ Bog 5:1-30

En sang om Herrens vinmark

1Jeg vil synge en sang om min elskede ven og hans vinmark:

Min ven havde en vinmark

på en skøn og frugtbar skråning.

2Han pløjede dybt i jorden

og fjernede alle sten.

Han plantede den til

med udsøgte vinstokke.

Han byggede et vagttårn,

huggede en vinperse i klippen.

Han forventede en høst

af de sødeste druer.

Men da druerne kom,

var de vilde og sure!

3Hvad råder I mig til, Jerusalems og Judas folk? 4Hvad mere kunne jeg have gjort for min vinmark? Hvorfor blev druerne sure i stedet for søde?

5Hør, hvad jeg vil gøre ved min vinmark: Jeg vil fjerne stengærdet omkring den, så får og geder kan æde dens planter. 6Jeg lader marken gå i forfald. Jeg hverken beskærer eller renser vinstokkene, men lader marken gro til med tjørne og tidsler og forbyder skyerne at give den væde.

7Genkender I jer selv i min sang?

Den Almægtiges vinmark er Israel,

Judas folk hans udsøgte vinstokke.

Han ventede retfærdighed,

men høstede lovløshed.

Han ønskede et retsindigt folk,

men det blev et letsindigt folk.

Et seksfoldigt veråb

8Ve jer, I, der opkøber huse og marker i mængde, så andre ingen steder har at bo. 9Jeg hørte Herrens ord i mine ører:

„Flotte huse bliver forladt,

store bygninger vil stå tomme.

10En vinmark på ti tønder land giver kun ét anker vin.

Ti sække såsæd giver kun én sæk korn.”

11Ve jer, I, som fylder jer med øl fra tidlig morgen og fester med vin til langt ud på natten. 12Til musik fra citar og harpe, pauke og fløjte skænker I op til jer selv, men Herren skænker I ikke en tanke. I ænser ikke hans hænders værk. 13Han sender sit folk i eksil, for de er uden forstand. De fornemme iblandt jer vil dø af sult, og menigmand vil gå til af tørst. 14Graven åbner sit grådige gab, dødsrigets dyb er rede til at opsluge rige som fattige, ja hele den lystige, larmende hob. 15Mennesker ydmyges og bøjes i støvet. De stolte slår blikket ned. 16Kun Herren, den Almægtige, står oprejst, ophøjet i sin retfærdighed og hellighed. 17Fårene græsser mellem ruinerne, gederne gør sig til gode i de riges forladte huse.

18Ve jer, I, som ikke vil opgive jeres synd, men holder fast ved løgn og bedrag, 19som håner Herren og siger: „Skynd dig at gøre noget, så vi kan se, hvad du kan! Lad os se, om Israels Hellige gør alvor af sine trusler!”

20Ve jer, I, der påstår, at det rigtige er forkert, og det onde godt, at sort er hvidt, og rent er beskidt, at det sure smager sødt, og det søde surt.

21Ve jer, I, der tror, at I er så kloge og skarpsindige.

22Ve jer, I, der praler af jeres drikkeri og kappes om, hvem der kan drikke mest. 23I tager imod bestikkelse, frikender den skyldige og berøver den uskyldige sin ret.

Dommen kommer

24Som halm fortæres af flammer, som strå synker sammen i ilden, sådan skal det gå med jer. Jeres livsgrundlag skal rådne som rødder i jorden, jeres velstand visne som blomster, for I har forkastet Herrens befalinger, foragtet Israels Guds tale. 25Derfor kommer Guds vredes ild imod hans folk. Derfor løfter han sin hånd og slår jer, så bjergene skælver, og ligene hober sig op i gaden som snavs. Men hans vrede er ikke dermed forbi, hans hånd er stadig løftet til slag.

26Han giver signal til fjerne nationer, han fløjter ad folkeslag fra jordens ende. Straks kommer fjendehære styrtende. 27De farer frem uden at snuble eller blive trætte. De marcherer uden hvil eller søvn undervejs, ingen løsner sit bælte eller tager skoene af. 28Deres pile er spidse, deres buer spændte. Gnisterne flyver fra hestenes hove, vognene er hurtige som en hvirvelvind. 29Som løvinder på jagt kaster de sig over byttet. De griber mit folk og fører dem i fangenskab. Der er ingen redning. 30Krigslarmen over byen brager som havets brænding. Trængslens mørke ruger tungt ud over landet, himlen forsvinder bag sorte skyer.