Ufalme Wa Haki
132:1 2Nya 31:20; Eze 37:24; Za 72:1-4; Yer 23:5; Isa 28:6; Za 149:2; Isa 6:5Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu
na watawala watatawala kwa haki.
232:2 1Fal 18:4; Isa 4:6; Za 55:8; 23:2; Isa 49:10; Yer 31:9; Za 107:35Kila mtu atakuwa kama kivuli cha kujificha kutokana na upepo
na kimbilio kutokana na dhoruba,
kama vijito vya maji jangwani
na kivuli cha mwamba mkubwa katika ardhi yenye kiu.
332:3 Isa 29:18; 42:7, 16; Kum 29:4Ndipo macho ya wale wanaoona hayatafumbwa tena,
nayo masikio ya wale wanaosikia yatasikiliza.
432:4 Isa 6:10; 29:24; 35:6Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa,
nao ulimi wenye kigugumizi utanena kwa ufasaha.
532:5 1Sam 25:25Mpumbavu hataitwa tena muungwana,
wala mtu mbaya kabisa kupewa heshima ya juu.
632:6 Isa 3:15; Mit 19:3; Isa 9:16-17; Mit 24:2; Isa 26:10Kwa kuwa mpumbavu hunena upumbavu,
moyo wake hushughulika na uovu:
Hutenda mambo yasiyo ya kumcha Mungu,
na hueneza habari za makosa kuhusu Bwana;
yeye huwaacha wenye njaa bila kitu,
na wenye kiu huwanyima maji.
732:7 Yer 5:26-28; Dan 12:10; Mik 7:3; Isa 29:19-20; Za 72:4; Isa 29:21Taratibu za mtu mbaya kabisa ni ovu,
hufanya mipango miovu
ili kumwangamiza maskini kwa uongo,
hata wakati ambapo hoja za mhitaji ni za haki.
832:8 1Nya 29:9; Mit 11:25; Isa 14:24Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana,
na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.
Wanawake Wa Yerusalemu
932:9 Isa 28:23; Dan 4:4; Amo 6:1; Sef 2:15Enyi wanawake wenye kuridhika sana,
amkeni na mnisikilize.
Enyi binti mnaojisikia kuwa salama,
sikieni lile ninalotaka kuwaambia!
1032:10 Isa 5:5-6; 24:7; 37:30Muda zaidi kidogo ya mwaka mmoja,
ninyi mnaojisikia salama mtatetemeka,
mavuno ya zabibu yatakoma
na mavuno ya matunda hayatakuwepo.
1132:11 Nah 3:5; Mik 1:8; Isa 34:14; 47:2; 3:24Tetemekeni, enyi wanawake wenye kuridhika,
tetemekeni kwa hofu, enyi binti mnaojisikia salama!
Vueni nguo zenu,
vaeni nguo ya gunia viunoni mwenu.
1232:12 Nah 2:7; Isa 16:9Pigeni matiti yenu kwa ajili ya mashamba mazuri,
kwa ajili ya mizabibu iliyozaa vizuri
1332:13 Hos 9:6; 10:8; Isa 23:7; 24:11na kwa ajili ya nchi ya watu wangu,
nchi ambayo miiba na michongoma imemea:
naam, ombolezeni kwa ajili ya nyumba zote za furaha
na kwa ajili ya mji huu wenye kufanya sherehe.
1432:14 Isa 13:22; 27:10; 2:15; 34:13; 6:11; 5:17; Za 104:11Ngome itaachwa,
mji wenye kelele nyingi utahamwa,
ngome ndani ya mji na mnara wa ulinzi vitakuwa ukiwa milele,
mahali pazuri pa punda na malisho ya makundi ya kondoo,
1532:15 Yoe 2:28; Eze 37:9; Za 107:35; Isa 29:17; 11:2mpaka Roho amwagwe juu yetu kutoka juu,
nalo jangwa kuwa shamba lenye rutuba,
na shamba lenye rutuba kuwa kama msitu.
1632:16 Isa 9:7; 28:6; 35:1, 6; 42:11; Za 48:1; Isa 1:26Haki itakaa katika jangwa,
na uadilifu utakaa katika shamba lenye rutuba.
1732:17 Za 85:10; 119:165; Rum 14:17; Ebr 12:11Matunda ya haki yatakuwa amani,
matokeo ya haki yatakuwa utulivu
na matumaini milele.
1832:18 Yos 1:13; 11:18; Hos 2:18-23; Amo 9:14Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani,
katika nyumba zilizo salama,
katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.
1932:19 Isa 19:18; 24:10; 28:17; 30:30; Zek 11:2; Ay 40:11Hata kama mvua ya mawe iangushe msitu
na mji ubomolewe kabisa,
2032:20 Mhu 11:1; Isa 30:24; Ay 39:8; Kum 28:12tazama jinsi utakavyobarikiwa,
ukipanda mbegu yako katika kila kijito,
na kuwaacha ngʼombe wako
na punda wajilishe kwa uhuru.
Le Roi qui change tout
1Voici qu’un roi exercera ╵son règne avec justice,
et ses ministres ╵gouverneront selon le droit,
2et chacun d’eux sera ╵comme un abri contre le vent,
un refuge contre l’orage,
comme un cours d’eau ╵sur un sol desséché,
ou comme l’ombre d’un rocher massif ╵dans un désert aride.
3Alors les yeux ╵de ceux qui devraient voir ╵ne seront plus aveugles,
les oreilles des auditeurs ╵se feront attentives.
4Les gens écervelés ╵réfléchiront afin d’apprendre,
et la langue des bègues ╵parlera clairement ╵avec facilité.
5On ne considérera plus ╵l’insensé comme un noble,
on ne dira plus du trompeur ╵qu’il est quelqu’un de grand.
6L’insensé, en effet, ╵dit des insanités.
Il est porté, au fond de lui, ╵à commettre le mal,
à agir sans respect pour Dieu,
à tenir des propos blasphématoires ╵pour l’Eternel.
Il laisse l’affamé ╵avec le ventre creux
et prive de boisson ╵celui qui meurt de soif.
7Les manœuvres du fourbe ╵sont malveillantes,
il projette des mauvais coups
pour opprimer les pauvres ╵par des paroles fausses,
alors que l’indigent ╵réclame son bon droit.
8Mais l’homme au noble cœur ╵a de nobles desseins
et toute sa conduite ╵reflète sa noblesse.
Jugement
9O femmes qui vivez tranquilles,
debout ! écoutez-moi !
Vous, filles insouciantes,
écoutez mes paroles :
10Dans un peu plus d’un an,
vous tremblerez, ╵vous insouciantes,
car la vendange ╵n’aura pas lieu
et il n’y aura pas ╵de fruits à récolter.
11Vous serez effrayées, ╵vous qui vivez tranquilles.
Tremblez, vous insouciantes,
quittez vos vêtements, ╵et déshabillez-vous,
ceignez vos reins de pagnes32.11 Divers signes de deuil, rites des pleureuses.,
12frappez-vous la poitrine, ╵lamentez-vous
sur les belles campagnes,
sur les vignes fécondes,
13sur la campagne de mon peuple
où pousseront les ronces ╵et les épines
qui envahiront même ╵les joyeuses maisons
de la cité en liesse.
14Car le palais est déserté,
et la ville animée ╵abandonnée,
la citadelle ╵avec la tour de guet
servira de caverne ╵à tout jamais.
Et les ânes sauvages ╵y prendront leurs ébats.
Les troupeaux y paîtront.
Paix et justice
15Il en sera ainsi ╵jusqu’à ce que l’Esprit ╵soit répandu sur nous d’en haut,
et alors le désert ╵deviendra un verger,
et le verger sera ╵semblable à la forêt.
16Le droit habitera ╵dans le désert,
et la justice ╵dans le verger.
17Le fruit de la justice ╵sera la paix.
L’effet de la justice,
ce sera la tranquillité ╵et la sécurité ╵à tout jamais.
18Mon peuple habitera ╵un domaine de paix
dans des demeures sûres,
dans des maisons tranquilles.
19La forêt tombera, ╵abattue par la grêle,
et la cité ╵tombera au plus bas.
20Bienheureux serez-vous : ╵vous sèmerez partout ╵le long d’eaux abondantes
et vous pourrez laisser ╵les bœufs comme les ânes ╵en liberté.