Isaya 31 – NEN & NVI

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 31:1-9

Ole Wa Wale Wanaotegemea Misri

131:1 Eze 17:15; Kum 17:16; 20:1; Yer 37:5; Dan 9:13; Hos 11:8; Isa 30:2-5; Ay 6:10Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada,

wale wategemeao farasi,

wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita,

na katika nguvu nyingi za wapanda farasi,

lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,

wala hawatafuti msaada kwa Bwana.

231:2 Za 92:5; Rum 16:27; Hes 23:19; Mit 19:21; Isa 29:15; Amo 3:6; Isa 29:19; 32:6Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa,

wala hayatangui maneno yake.

Yeye atainuka dhidi ya nyumba ya mwovu,

dhidi ya wale ambao huwasaidia watenda mabaya.

331:3 Eze 28:9; Isa 20:5; Za 9:20; 2The 2:4; Ay 30:21; Yer 51:25; Isa 30:5-7; Neh 1:10Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu,

farasi wao ni nyama, wala si roho.

Wakati Bwana atakaponyoosha Mkono wake,

yeye anayesaidia atajikwaa,

naye anayesaidiwa ataanguka,

wote wawili wataangamia pamoja.

431:4 Nah 3:18; Ay 30:21; Isa 30:5-7; Hes 24:9; 1Sam 17:34; Eze 34:23; Isa 42:13; Hos 11:10Hili ndilo Bwana analoniambia:

“Kama vile simba angurumavyo,

simba mkubwa juu ya mawindo yake:

hata ingawa kundi lote la wachunga mifugo

huitwa pamoja dhidi yake,

hatiwi hofu na kelele zao

wala kusumbuliwa na ghasia zao;

ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote atakavyoshuka

kufanya vita juu ya Mlima Sayuni

na juu ya vilele vyake.

531:5 Za 91:4; Kum 32:11; Zek 9:15; Za 34:7; Mt 23:37; Kut 12:23Kama ndege warukao,

Bwana Mwenye Nguvu Zote ataukinga Yerusalemu;

ataukinga na kuuokoa,

atapita juu yake na kuufanya salama.”

631:6 Ay 22:23; Isa 1:5, 27Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana. 731:7 Isa 2:20; 30:22; 1Fal 12:30; Za 135:5Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.

831:8 Isa 10:12; Kut 12:12; Hab 2:8; Mwa 49:15; Isa 14:25; Yer 25:12; Kum 20:11“Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu;

upanga usio wa kibinadamu utawaangamiza.

Watakimbia mbele ya upanga

na vijana wao wa kiume watafanyizwa kazi kwa lazima.

931:9 Kum 32:31-37; Isa 10:17; Law 6:13; Isa 18:3; Yer 4:6; 51:9; Za 21:9Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu;

kwa kuona bendera ya vita,

majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,”

asema Bwana,

ambaye moto wake uko Sayuni,

nayo tanuru yake iko Yerusalemu.

Nueva Versión Internacional

Isaías 31:1-9

Ay de los que confían en Egipto

1¡Ay de los que descienden a Egipto en busca de ayuda,

de los que se apoyan en caballos,

de los que confían en la multitud de sus carros de guerra

y en la gran fuerza de sus jinetes,

pero no toman en cuenta al Santo de Israel

ni buscan al Señor!

2Sin embargo, el Señor es también sabio y traerá calamidad;

y no se retractará de sus palabras.

Se levantará contra la dinastía de los malvados,

contra los que ayudan a los malhechores.

3Los egipcios, en cambio, son simples mortales y no dioses;

sus caballos son carne y no espíritu.

Cuando el Señor extienda su mano,

tropezará el que presta ayuda

y caerá el que la recibe.

¡Todos juntos perecerán!

4Porque así me dice el Señor:

«Como león que gruñe sobre la presa

cuando contra él se reúne

toda una cuadrilla de pastores;

como cachorro de león

que no se asusta por sus gritos

ni se inquieta por su tumulto,

así también el Señor de los Ejércitos

descenderá para combatir sobre el monte Sión, sobre su cumbre.

5Como aves que revolotean sobre el nido,

así también el Señor de los Ejércitos protegerá a Jerusalén;

la protegerá y la librará,

pasará sobre ella y la rescatará».

6Israelitas, ¡vuélvanse a aquel contra quien ustedes se han rebelado tan abiertamente! 7Porque en aquel día cada uno de ustedes rechazará a los ídolos de plata y oro que sus propias manos pecadoras fabricaron.

8«Asiria caerá a espada, pero no de hombre;

una espada, pero no de mortales, la consumirá.

Huirá para escapar de la espada,

y sus jóvenes serán sometidos a trabajos forzados.

9A causa del terror caerá su fortaleza;

sus comandantes dejarán abandonada su bandera»,

afirma el Señor,

cuyo fuego está en Sión

y cuyo horno está en Jerusalén.