Isaya 3 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 3:1-26

Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.

13:1 Law 26:26; Eze 4:16; Amo 4:6; Yer 37:21; Za 18:18; Isa 5:13; 65:13Tazama sasa, Bwana,

Bwana Mwenye Nguvu Zote,

yu karibu kuwaondolea Yerusalemu na Yuda

upatikanaji wa mahitaji na misaada,

upatikanaji wote wa chakula na tegemeo lote la maji,

23:2 Eze 17:13; Isa 9:14-15; 2Fal 24:14; Kum 18:10shujaa na mtu wa vita,

mwamuzi na nabii,

mwaguzi na mzee,

33:3 Ay 22:8; 2Fal 24:14; Mhu 10:11; Yer 8:17; 2Fal 1:9jemadari wa kikosi cha watu hamsini

na mtu mwenye cheo, mshauri,

fundi stadi na mlozi mjanja.

43:4 Mhu 10:16Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao,

watoto ndio watakaowatawala.

53:5 Za 28:3; Yer 9:8; Isa 9:19; Mik 7:2-6Watu wataoneana wao kwa wao:

mtu dhidi ya mtu, na jirani dhidi ya jirani yake.

Kijana atainuka dhidi ya mzee,

mtu mnyonge dhidi ya mtu mwenye heshima.

6Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake

katika nyumba ya baba yake na kusema,

“Unalo joho, sasa uwe kiongozi wetu,

tawala lundo hili la magofu!”

73:7 Yer 30:12; Hos 5:13; Isa 2:11; 24:2; Eze 34:4; Yoe 1:16Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema,

“Sina uponyaji.

Sina chakula wala mavazi katika nyumba yangu,

msinifanye niwe kiongozi wa watu.”

83:8 Isa 30:9; 9:15-17; 28:15; 1:7; Ay 1:11; Za 73:9-11; 2Nya 33:6; Isa 65:7Yerusalemu inapepesuka,

Yuda inaanguka;

maneno yao na matendo yao ni kinyume na Bwana,

wakiudharau uwepo wake uliotukuka.

93:9 Mwa 13:13; 2Nya 34:24; Rum 6:23; Hes 32:23; Isa 59:12; Yer 14:7; Mit 8:36; Hos 5:5Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao,

hujivunia dhambi yao kama Sodoma,

wala hawaifichi.

Ole wao!

Wamejiletea maafa juu yao wenyewe.

103:10 Za 37:17; Yer 22:15; Mwa 15:1; Za 128:2; Kum 12:28; 5:33Waambie wanyofu itakuwa heri kwao,

kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.

113:11 Kum 28:15-68; Ay 9:13; Isa 57:20; Kum 28:15-68; 2Nya 6:23; Yer 21:14; Mao 5:16; Eze 24:14Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao!

Watalipwa kwa ajili ya yale mikono yao iliyotenda.

123:12 Yer 25:16; Mik 3:5; Isa 9:16; 19:14; 28:7; Yer 23:13; 25:16Vijana wanawatesa watu wangu,

wanawake wanawatawala.

Enyi watu wangu, viongozi wenu wanawapotosha,

wanawapoteza njia.

133:13 Ay 10:2; Za 82:1; Isa 2:4Bwana anachukua nafasi yake mahakamani,

anasimama kuhukumu watu.

143:14 1Sam 12:7; Yak 2:6; Ay 22:4; 24:9; Isa 25:4; 11:4Bwana anaingia katika hukumu

dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake:

“Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu,

mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.

153:15 Za 94:5; Ay 24:14; Isa 10:6; 26:6; 29:19; 32:6; 5:7Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu

na kuzisaga nyuso za maskini?”

asema Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote.

163:16 Wim 3:11; Ay 15:25Bwana asema,

“Wanawake wa Sayuni wana kiburi,

wanatembea na shingo ndefu,

wakikonyeza kwa macho yao,

wanatembea kwa hatua za madaha,

wakiwa na mapambo ya njuga kwenye vifundo vya miguu yao.

173:17 Eze 27:31; Amo 8:10Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni;

Bwana atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.”

183:18 Mwa 41:42; Amu 8:21; Isa 2:11Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo, 193:19 Mwa 24:47; Eze 16:11-12vipuli, vikuku, shela, 203:20 Kut 39:28; Eze 44:18; 24:17, 23vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi, 213:21 Mwa 24:22; Kut 29:6pete zenye muhuri, pete za puani, 223:22 Rut 3:15majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha, 233:23 Eze 26:10; 23:26; Kut 29:6; Wim 3:11; Isa 61:3; 62:3vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.

243:24 Es 2:12; Mit 31:24; Law 13:40; Yon 3:5-8; Isa 4:4; 20:2; Ay 1:20; 16:15; Mwa 37:34; Yer 4:8; Mao 2:10Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo;

badala ya mishipi, ni kamba;

badala ya nywele zilizotengenezwa vizuri, ni upara;

badala ya mavazi mazuri, ni nguo za magunia;

badala ya uzuri, ni alama ya aibu kwa chuma cha moto.

253:25 Isa 1:20; Yer 15:8Wanaume wako watauawa kwa upanga,

nao mashujaa wako watauawa vitani.

263:26 Yer 14:2; 4:28; Mao 2:10; Ay 2:13; Isa 14:12, 31; 33:9; 24:4, 7; Za 137:1Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia,

ataketi mavumbini akiwa fukara.

Swedish Contemporary Bible

Jesaja 3:1-26

Guds straff över Juda och Jerusalem

1Se, Herren, härskarornas Herre,

ska ta ifrån Jerusalem och Juda

allt stöd och alla tillgångar,

all tillgång på mat

och all tillgång på vatten,

2hjältar och krigare,

domare och profeter,

spåmän och äldste,

3lägre befäl och högt uppsatta,

rådgivare, hantverkare och trollkarlar.

4”Jag ska ge dem pojkar till furstar,

och godtycke ska regera över dem.”

5Bland folket ska man förtrycka varandra,

var och en sin nästa,

unga ska sätta sig upp mot de äldre

och ringa mot högt uppsatta.

6Då ska en man ta tag i sin bror i sin fars hus och säga:

”Du som har en mantel,

bli du vår ledare

och ta hand om denna ruinhög.”

7Då ska han ropa:

”Jag kan inte vara till någon hjälp!

I mitt hus finns varken mat eller mantel!

Gör inte mig till ledare för folket.”

8Jerusalem vacklar och Juda faller

därför att de i ord och handling har vänt sig mot Herren,

i uppror mot hans härlighet.

9Deras uppsyn vittnar mot dem.

De breder ut sin synd som Sodom,

de döljer inget.

Ve dem!

De har dragit olycka över sig själva.

10Men säg till den rättfärdige

att det går honom väl.

De rättfärdiga ska få njuta av sina gärningars lön.

11Men ve över den onde!

För honom ska det gå illa,

och han ska få igen för vad han har gjort.

12Mitt folk regeras av ungdomar,

och kvinnor härskar över det.

Mitt folk, dina ledare för dig vilse

och leder dig bort på osäkra stigar.

13Herren träder fram i rätten,

han står beredd att gå till rätta med folken.

14Herren går till rätta med sitt folks äldste och furstar.

”Ni har skövlat vingården,

och rov från de fattiga finns i era hus.

15Hur vågar ni krossa mitt folk

och mala sönder de fattiga?” säger Herren, härskarornas Herre.

16Herren sa:

”Eftersom Sions döttrar är så högfärdiga

och går med näsan i vädret,

spelar med ögonen

och trippar omkring prydda med fotringar,

17så ska Herren låta dem få skabb i hjässan

och blotta deras nakenhet.”

18På den dagen ska Herren plocka av dem all grannlåt, fotringar, band och månsmycken,3:18 Grundtextens innebörd av flera av detaljerna i v. 18-23 är osäker. 19örhängen, armband och slöjor, 20huvuddukar, fotkedjor, gördlar, parfymer och amuletter, 21ringar och näsringar, 22festkläder, tunikor, sjalar och väskor, 23speglar, underkläder, sjaletter och diadem.

24I stället för parfymdoft kommer stank,

repstumpar i stället för skärp,

i stället för håruppsättning skallighet,

i stället för festkläder säcktyg,

och ett brännmärke i stället för skönhet.

25Dina män ska falla för svärd

och dina hjältar i strid.

26Stadsportarna ska sörja och gråta,

och övergivet sitter Sion på marken.