Isaya 20 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 20:1-6

Unabii Dhidi Ya Misri Na Kushi

120:1 2Fal 18:17; Yos 11:22; 13:3Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka, 220:2 Zek 13:4; Mt 3:4; Isa 3:24; Eze 4:1-12; 24:17, 23; 1Sam 19:24; Isa 13:1; 1Fal 1:8; Mik 1:8wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.

320:3 Kut 3:12; Yer 7:25; Isa 8:18; 22:20; 41:8-9; Mwa 10:6; Mdo 21:11Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi, 420:4 Yer 13:22-26; Isa 19:4; 47:3; Nah 3:5; Yer 46:19; 2Sam 10:4; Ay 12:17vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri. 520:5 2Fal 18:21; Isa 31:1-3; 8:12; 30:5; Eze 29:16Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika. 620:6 Isa 10:3; 2:11Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’ ”

La Bible du Semeur

Esaïe 20:1-6

Signe prophétique contre l’Egypte

1L’année où le généralissime envoyé par Sargon20.1 Sargon: roi d’Assyrie de 722 à 705 av. J.-C. C’est lui qui s’empara de Samarie et qui en déporta les habitants (2 R 17.6). Il s’est emparé d’Ashdod en 711 av. J.-C., roi d’Assyrie, vint attaquer Ashdod20.1 Ashdod: l’une des cinq villes principales de la Philistie (Jos 11.22 ; 15.46 ; 1 S 5.1)., et s’en empara, 2l’Eternel parla par l’intermédiaire d’Esaïe, fils d’Amots. Il dit : Va, détache l’habit de toile de sac qui couvre tes reins et retire tes sandales.

Le prophète obéit et se promena nu et déchaussé. 3L’Eternel dit alors : Mon serviteur Esaïe a marché nu et déchaussé pendant trois ans pour servir de signe et de présage au sujet de l’Egypte et de l’Ethiopie. 4Ainsi le roi d’Assyrie emmènera en déportation des captifs égyptiens et éthiopiens, des jeunes et des vieillards, nus et déchaussés et les reins découverts, à la honte de l’Egypte. 5Et tous ceux qui avaient mis leur confiance en l’Ethiopie et se faisaient une fierté de l’Egypte, seront terrifiés et couverts de honte. 6Les habitants de ces régions du littoral diront en ce jour-là : « Voilà à quoi en sont réduits ceux auprès de qui nous espérions nous réfugier pour trouver de l’aide et du secours contre le roi d’Assyrie. Et nous, maintenant, comment échapperons-nous ? »