Isaya 16 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 16:1-14

Hali Ya Kukata Tamaa Ya Moabu

116:1 Isa 10:32; Amu 1:36; 2Fal 14:7; 2Nya 32:23; 2Fal 3:4; Oba 1:3Pelekeni wana-kondoo kama ushuru

kwa mtawala wa nchi,

Kutoka Sela, kupitia jangwani,

hadi mlima wa Binti Sayuni.

216:2 Mit 27:8; Hes 21:13-14; Yer 48:40; Hes 21:29Kama ndege wanaopapatika

waliofukuzwa kutoka kwenye kiota,

ndivyo walivyo wanawake wa Moabu

kwenye vivuko vya Arnoni.

316:3 1Fal 18:4“Tupeni shauri,

toeni uamuzi.

Wakati wa adhuhuri,

fanyeni kivuli chenu kama usiku.

Waficheni watoro,

msisaliti wakimbizi.

416:4 Isa 55:7; 9:4; 2:2-4Waacheni watoro wa Moabu wakae pamoja nanyi;

kuweni mahali pao pa salama ili kuepuka mharabu.”

Mtesi atafikia mwisho na maangamizi yatakoma,

aletaye vita atatoweka kutoka nchi.

516:5 1Sam 13:14; Mik 4:7; Isa 7:2; Dan 7:14; Mit 20:28; Isa 9:7; Lk 1:32Kwa upendo kiti cha enzi kitaimarishwa,

kwa uaminifu mtu ataketi juu yake,

yeye atokaye nyumba ya Daudi:

yeye ambaye katika kuhukumu hutafuta haki,

na huhimiza njia ya haki.

616:6 Eze 25:8; Yer 25:21; Law 26:19; Ay 20:6; Sef 2:8; Yer 49:16; Amo 2:1Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:

kiburi chake cha kujivuna na udanganyifu,

kiburi chake na ufidhuli wake,

lakini majivuno yake si kitu.

716:7 1Nya 16:3; 2Fal 3:25; Yer 48:20; 49:3; Isa 13:6Kwa hiyo Wamoabu wanaomboleza,

wanaiombolezea Moabu kwa pamoja.

Wanaomboleza na kuhuzunika

kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.

816:8 Ay 8:16; Hes 21:32; 21:25; Isa 15:6; 5:2; Ay 8:16; Za 80:11Mashamba ya Heshboni yananyauka,

pia na mizabibu ya Sibma.

Watawala wa mataifa

wamekanyaga mizabibu iliyo mizuri sana,

ambayo ilipata kufika Yazeri

na kuenea kuelekea jangwani.

Machipukizi yake yalienea

yakafika hadi baharini.

916:9 Isa 15:3; Eze 27:31; Yer 40:12; Ay 7:3; Hes 32:3; Ezr 3:13Hivyo ninalia kama Yazeri aliavyo,

kwa ajili ya mizabibu ya Sibma.

Ee Heshboni, ee Eleale,

ninakulowesha kwa machozi!

Kelele za furaha kwa ajili ya tunda lako lililoiva

na kwa ajili ya mavuno zimekomeshwa.

1016:10 Isa 24:7-8; Amu 9:27; Ay 24:11; Yer 25:30; Isa 5:2Furaha na shangwe zimeondolewa

kutoka mashamba ya matunda;

hakuna yeyote aimbaye wala apazaye sauti

katika mashamba ya mizabibu;

hakuna yeyote akanyagaye zabibu shinikizoni,

kwa kuwa nimekomesha makelele.

1116:11 Isa 15:5; Hos 11:8; Flp 2:1; Ay 30:31; Isa 63:15Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama kinubi,

nafsi yangu yote kwa ajili ya Kir-Haresethi.

1216:12 Za 115:4-7; 1Kor 8:4; Hes 22:4; Isa 15:2; 1Fal 11:7; 18:29Wakati Moabu anapojitokeza mahali pake pa juu,

anajichosha mwenyewe tu;

anapokwenda mahali pake pa kuabudia miungu ili kuomba,

haitamfaidi lolote.

13Hili ndilo neno ambalo Bwana ameshasema kuhusu Moabu. 1416:14 Isa 25:10; Yer 48:42; Kum 15:18; 13:16; Isa 20:3; 37:30; Law 19:13Lakini sasa Bwana anasema: “Katika miaka mitatu, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, fahari ya Moabu na watu wake wengi watadharauliwa, nao walionusurika watakuwa wachache sana, tena wanyonge.”

Nova Versão Internacional

Isaías 16:1-14

1Enviem cordeiros como tributo

ao governante da terra,

desde Selá, atravessando o deserto,

até o monte Sião.

2Como aves perdidas,

lançadas fora do ninho,

assim são os habitantes de Moabe

nos lugares de passagem do Arnom.

3“Dá conselhos e propõe uma decisão.

Torna a tua sombra como a noite em pleno meio-dia

e esconde os fugitivos;

não deixes ninguém saber

onde estão os refugiados.

4Que os fugitivos moabitas habitem contigo;

sê para eles abrigo contra o destruidor.”

O opressor há de ter fim,

a destruição se acabará

e o agressor desaparecerá da terra.

5Então, em amor será firmado um trono;

em fidelidade um homem se assentará nele na tenda de Davi:

um Juiz que busca a justiça

e se apressa em defender o que é justo.

6Ouvimos acerca da soberba de Moabe:

da sua arrogância exagerada,

de todo o seu orgulho e do seu ódio;

mas tudo isso não vale nada.

7Por isso choram os moabitas,

todos choram por Moabe.

Cada um se lamenta e se entristece

pelos bolos de passas de Quir-Haresete.

8As lavouras de Hesbom estão murchas,

como também as videiras de Sibma.

Os governantes das nações

pisotearam as melhores videiras,

que antes chegavam até Jazar

e estendiam-se para o deserto.

Seus brotos espalhavam-se

e chegavam ao mar.

9Por isso eu choro, como Jazar chora,

por causa das videiras de Sibma.

Hesbom, Eleale, com minhas lágrimas eu as encharco!

Pois não se ouvem mais os gritos de alegria

por seus frutos e por suas colheitas.

10Foram-se a alegria e a exultação dos pomares;

ninguém canta nem grita nas vinhas;

ninguém pisa as uvas nos lagares,

pois fiz cessar os gritos de alegria.

11Por isso as minhas entranhas gemem como harpa por Moabe;

o íntimo do meu ser estremece por Quir-Heres.

12Quando Moabe se apresentar cansado nos lugares altos

e for ao seu santuário,

nada conseguirá.

13Essa palavra o Senhor já havia falado acerca de Moabe. 14Mas agora o Senhor diz: “Dentro de três anos, e nem um dia mais,16.14 Hebraico: como os anos de um contrato de trabalho. o esplendor de Moabe e toda a sua grande população serão desprezados, e os seus sobreviventes serão poucos e fracos”.