Isaya 12 – NEN & JCB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 12:1-6

Kushukuru Na Kusifu

112:1 Zek 14:20-21; Isa 25:1; 10:20; Ay 13:16; Za 71:21; 9:1Katika siku ile utasema:

“Nitakusifu wewe, Ee Bwana.

Ingawa ulinikasirikia,

hasira yako imegeukia mbali

nawe umenifariji.

212:2 Kut 15:2; Dan 6:23; Za 26:1; 118:14; Isa 17:10; 25:9; 26:4; Ay 13:15Hakika Mungu ni wokovu wangu;

nitamtumaini wala sitaogopa.

Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu;

amekuwa wokovu wangu.”

312:3 Yer 2:13; 17:13; Za 39:6; Yn 4:10, 14; 2Fal 3:17; Kut 15:25Kwa furaha mtachota maji

kutoka visima vya wokovu.

412:4 Za 80:18; 113:2; Hos 12:5; Kut 3:15; Isa 10:20; 24:15; Yer 10:7Katika siku hiyo mtasema:

“Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake;

julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya,

tangazeni kuwa jina lake limetukuka.

512:5 Kut 15:1; Za 98:1Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu,

hili na lijulikane duniani kote.

612:6 Za 78:41; Eze 39:7; Sef 3:14-17; Za 46:5; 98:4; Mwa 21:6; Isa 48:20; Zek 2:10Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,

kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”

Japanese Contemporary Bible

イザヤ書 12:1-6

12

賛美の歌

1その日、あなたは言うでしょう。

「主はなんとすばらしいお方だろう。

私のことを怒っておられたのに、

今は慰めてくださる。

2そればかりか、神は私を救うために来てくださった。

私は主に信頼し、少しも怖くない。

主は私の力、歌、そして救い。

3救いの泉から十分に飲める喜びを、

何にたとえたらいいのだろう。」

4この記念すべき日に、あなたは言うでしょう。

「主に感謝し、御名をたたえよう。

世界中の人に、主の驚くべき愛を伝えよう。

主はなんと偉大なお方なのだろう。」

5主がすばらしいことをなさったのだから、

主に歌いましょう。

その賛美を世界中に響かせましょう。

6エルサレムの全住民が、

喜びにあふれて高らかに賛美しますように。

あなたの内に住んでおられるイスラエルの聖なる神は、

この上なく偉大で力あるお方だからです。