Hosea 2 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hosea 2:1-23

12:1 1Pet 2:10; Hos 2:5“Waambie ndugu zako, ‘Watu wangu,’ na pia waambie dada zako, ‘Wapendwa wangu.’

Israeli Aadhibiwa Na Kurudishwa

22:2 Isa 1:21; 50:1; Eze 16:25; 23:45; Hos 4:5“Mkemeeni mama yenu, mkemeeni,

kwa maana yeye si mke wangu,

nami si mume wake.

Aondoe sura ya uzinzi katika uso wake

na uzinzi kati ya matiti yake.

32:3 Eze 16:4, 37; 19:13; Isa 32:13-14Kama sivyo nitamvua nguo zake awe uchi

na kumwacha uchi kama siku ile aliyozaliwa.

Nitamfanya kama jangwa,

nitamgeuza awe nchi ya kiu,

nami nitamuua kwa kiu.

42:4 Eze 8:18; Hos 1:6; 5:7Sitaonyesha upendo wangu kwa watoto wake,

kwa sababu ni watoto wa uzinzi.

52:5 Yer 3:6; 44:17-18; Hos 1:2Mama yao amekosa uaminifu

na amewachukua mimba katika aibu.

Gomeri alisema, ‘Nitawaendea wapenzi wangu,

ambao hunipa chakula changu

na maji yangu,

sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu

na kinywaji changu.’

62:6 Ay 3:23; 19:8; Mao 3:9Kwa hiyo mimi Mungu nitaizuia njia yake

kwa vichaka vya miiba,

nitamjengea ukuta ili kwamba

asiweze kutoka.

72:7 Hos 5:13; Yer 3:1; Eze 16:8; Isa 54:5Gomeri atawafuatia wapenzi wake lakini hatawapata;

atawatafuta lakini hatawapata.

Kisha atasema,

‘Nitarudi kwa mume wangu kama kwanza,

kwa maana nilikuwa na hali njema zaidi

kuliko sasa.’

82:8 Eze 16:15-19; Hes 18:12; Kum 8:18; Hos 8:4Gomeri hajakubali kuwa mimi ndiye

niliyempa nafaka, divai mpya na mafuta,

niliyemwongezea fedha na dhahabu waliyoitumia

kwa kumtumikia Baali.

92:9 Hos 8:7; 9:2“Kwa hiyo nitachukua nafaka yangu wakati itakapokomaa

na divai yangu mpya wakati itakapokuwa tayari.

Nitamnyangʼanya sufu yangu na kitani yangu

iliyokusudiwa kufunika uchi wake.

102:10 Eze 16:37; 23:10; Yer 13:26Basi sasa nitaufunua ufisadi wake

mbele ya wapenzi wake;

hakuna yeyote atakayemtoa

mikononi mwangu.

112:11 Isa 1:14; 24:8; Amo 5:21; 8:10; Yer 7:34; 16:9; Hos 9:5Nitakomesha furaha na macheko yake yote:

sikukuu zake za mwaka,

sikukuu za Miandamo ya Mwezi,

siku zake za Sabato,

sikukuu zake zote zilizoamriwa.

122:12 Isa 5:6; 7:23; Yer 8:13; Hos 5:7; 13:8Nitaiharibu mizabibu yake na mitini yake,

ambayo alisema yalikuwa malipo yake

kutoka kwa wapenzi wake;

nitaifanya kuwa kichaka,

nao wanyama pori wataila.

132:13 Yer 7:9; Hos 4:13; 8:14; 11:2; 13:6; Eze 16:17; 23:40; Isa 65:7Nitamwadhibu kwa ajili ya siku

alizowafukizia uvumba Mabaali;

alipojipamba kwa pete

na kwa vito vya thamani,

na kuwaendea wapenzi wake,

lakini mimi alinisahau,”

asema Bwana.

142:14 Eze 19:14“Kwa hiyo sasa nitamshawishi;

nitamwongoza hadi jangwani

na kuzungumza naye kwa upole.

152:15 Yos 7:24-26; Kut 15:1-18; Eze 16:22; 28:26; Hos 12:9; 1Kor 13:13Huko nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu,

nami nitalifanya Bonde la Akori2:15 Akori maana yake ni Taabu.

mlango wa matumaini.

Huko ataimba kama alivyofanya katika siku za ujana wake,

kama siku zile alizotoka Misri.

162:16 Isa 54:5“Katika siku ile,” asema Bwana,

“utaniita mimi ‘Mume wangu’;

hutaniita tena mimi ‘Bwana wangu.’

172:17 Kut 23:13; Za 16:4; Yer 23:7; Zek 13:2Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake,

wala hataomba tena kwa majina yao.

182:18 Ay 5:22-23; Za 49:6; Zek 9:10; Eze 34:25; Yer 23:6Katika siku ile nitafanya Agano kwa ajili yao

na wanyama wa kondeni, na ndege wa angani,

na viumbe vile vitambaavyo ardhini.

Upinde, upanga na vita,

nitaondolea mbali katika nchi,

ili kwamba wote waweze kukaa salama.

192:19 Isa 1:27; 62:4; 54:8; 2Kor 11:2Nitakuposa uwe wangu milele;

nitakuposa kwa uadilifu na haki,

kwa upendo na huruma.

202:20 Yer 31:34; Hos 4:1; 6:6; 13:4; Eze 16:8Nitakuposa kwa uaminifu,

nawe utamkubali Bwana.

212:21 Zek 8:12; Mal 3:10-11; Isa 55:10“Katika siku ile nitajibu,”

asema Bwana,

“nitajibu kwa anga,

nazo anga zitajibu kwa nchi;

222:22 Yer 31:12; Yoe 2:19; Hos 14:7; Eze 36:29-30nayo nchi itajibu kwa nafaka,

divai mpya na mafuta,

navyo vitajibu kwa Yezreeli.

232:23 Yer 29:12; 31:27; Isa 19:25; Hos 1:10; Rum 9:25; Zek 13:9; 1Pet 2:10Nitampanda katika nchi kwa ajili yangu mwenyewe;

nami nitaonyesha pendo langu kwake

yule ambaye nilimwita, ‘Si mpenzi wangu.2:23 Kiebrania ni Lo-Ruhama.

Nitawaambia wale walioitwa, ‘Sio watu wangu,’2:23 Kiebrania ni Lo-Ami.

‘Ninyi ni watu wangu’;

nao watasema, ‘Wewe ndiwe Mungu wangu.’ ”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Oseas 2:1-23

1»Llamad a vuestros hermanos: “Pueblo mío”,2:1 Pueblo mío. Lit. Amí. y a vuestras hermanas: “Compadecidas”.2:1 Compadecidas. Lit. Rujama.

Castigo y restauración de Israel

2»¡Echadle en cara a vuestra madre

que ni ella es mi esposa ni yo su esposo!

¡Que se quite del rostro el maquillaje de prostituta,

y de entre los pechos los adornos de ramera!

3De lo contrario, la desnudaré por completo;

la dejaré como el día en que nació.

La pondré como un desierto:

¡la convertiré en tierra seca y la mataré de sed!

4No tendré compasión de sus hijos,

porque son hijos de prostitución.

5Su madre es una prostituta;

¡la que los concibió es una sinvergüenza!

Pues dijo: “Quiero ir tras mis amantes,

que me dan mi pan y mi agua,

mi lana y mi lino, mi aceite y mis bebidas”.

6Por eso le cerraré el paso con espinos;

la encerraré para que no encuentre el camino.

7Con ardor perseguirá a sus amantes,

y al no encontrarlos dirá:

“Prefiero volver con mi primer esposo,

porque antes me iba mejor que ahora”.

8Ella no ha querido reconocer que soy yo

quien le da el grano, el vino nuevo y el aceite.

Yo le he multiplicado la plata y el oro,

¿y qué hizo con ellos? ¡Falsos dioses!2:8 Falsos dioses. Lit. Baales; también en vv. 13 y 17.

9»Por eso, llegado el momento

le quitaré mi trigo y mi vino nuevo.

La dejaré sin la lana y el lino

que le di para cubrir su desnudez.

10Voy a exhibir su vergüenza

a la vista de sus amantes,

y nadie la librará de mi mano.

11Pondré fin a todo su jolgorio:

sus peregrinaciones, sus lunas nuevas,

sus días de reposo, y sus fiestas solemnes.

12Devastaré sus vides y sus higueras,

que consideraba la paga de sus amantes.

Las convertiré en maleza,

y los animales del campo acabarán con ellas.

13La llamaré a cuentas por los días

en que quemaba ofrendas a sus falsos dioses,

cuando se adornaba con zarcillos y joyas,

y, olvidándose de mí, se iba tras sus amantes

—afirma el Señor—.

14»Por eso, ahora voy a seducirla:

me la llevaré al desierto

y le hablaré con ternura.

15Allí le devolveré sus viñedos,

y convertiré el valle de la Desgracia2:15 la Desgracia. Lit. Acor; véase Jos 7:24-26.

en el paso de la Esperanza.

Allí me corresponderá, como en los días de su juventud,

como en el día en que salió de Egipto.

16»En aquel día —afirma el Señor—,

ya no me llamarás: “mi señor”,2:16 señor. Lit. baal.

sino que me dirás: “esposo mío”.

17Te quitaré de los labios el nombre de tus falsos dioses,

y nunca más volverás a invocarlos.

18Aquel día haré en tu favor un pacto

con los animales del campo,

con las aves de los cielos

y con los reptiles de la tierra.

Eliminaré del país arcos, espadas y guerra,

para que todos duerman seguros.

19Yo te haré mi esposa para siempre,

y te daré como dote el derecho y la justicia,

el amor y la compasión.

20Te daré como dote mi fidelidad,

y entonces conocerás al Señor.

21»En aquel día yo responderé

—afirma el Señor—;

yo le responderé al cielo,

y el cielo le responderá a la tierra;

22la tierra les responderá al cereal,

al vino nuevo y al aceite,

y estos le responderán a Jezrel.2:22 En hebreo, Jezrel significa Dios siembra.

23Yo la sembraré para mí en la tierra;

me compadeceré de la “Indigna de compasión”,

a “Pueblo ajeno” lo llamaré: “Pueblo mío”;2:23 Indigna de compasión Pueblo ajeno Pueblo mío. Véanse 1:6,8; 2:1 y notas.

y él me dirá: “Mi Dios”».