Hesabu 8 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 8:1-26

Kuwekwa Kwa Taa

1Bwana akamwambia Mose, 28:2 Kut 25:37; Law 24:2-4; Za 119:105; Isa 8:20; Mt 5:14“Sema na Aroni umwambie, ‘Wakati utakapoziweka zile taa saba, zinatakiwa kuangaza eneo lililo mbele ya kinara cha taa.’ ”

3Aroni akafanya hivyo; akaziweka zile taa ili zielekee mbele kwenye kinara cha taa, kama vile Bwana alivyomwamuru Mose. 48:4 Kut 25:9, 36Hivi ndivyo kinara cha taa kilivyotengenezwa: Kilitengenezwa kwa dhahabu iliyofuliwa, kuanzia kwenye kitako chake hadi kwenye maua yake. Kinara cha taa kilitengenezwa sawasawa kabisa na kielelezo ambacho Bwana alikuwa amemwonyesha Mose.

Kutengwa Kwa Walawi Kwa Ajili Ya Bwana

5Bwana akamwambia Mose: 68:6 Law 22:2; Isa 52:11; Za 26:6; Ebr 7:26; 10:22“Watwae Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli wengine na uwatakase kwa kawaida ya ibada. 78:7 Hes 19:9, 17; 31:23; Law 14:8, 9; Hes 6:9; Kum 21:21; Mwa 35:2Ili kuwatakasa fanya hivi: Nyunyizia maji ya utakaso juu yao; kisha uwaambie wanyoe nywele kwenye mwili mzima, wafue nguo zao na hivyo wajitakase wenyewe. 88:8 Law 2:1; 4:3; Hes 15:8-10Waambie wamchukue fahali mchanga pamoja na sadaka yake ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta; kisha utamchukua fahali mchanga wa pili kwa ajili ya sadaka ya dhambi. 98:9 Kut 40:12; Law 8:3Walete Walawi mbele ya Hema la Kukutania na ukusanye jumuiya yote ya Waisraeli. 108:10 Law 3:2; Mdo 6:6Utawaleta Walawi mbele za Bwana, na Waisraeli wataweka mikono yao juu ya Walawi. 118:11 Kut 29:24; Law 7:30Aroni atawaweka Walawi mbele za Bwana kama sadaka ya kuinua kutoka kwa Waisraeli, ili kwamba wawe tayari kuifanya kazi ya Bwana.

128:12 Kut 29:10, 36; Law 4:3; Hes 6:11“Baada ya Walawi kuweka mikono yao juu ya vichwa vya hao mafahali wawili, tumia mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi kwa Bwana, na mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Walawi. 138:13 Kut 29:24Waambie hao Walawi wasimame mbele ya Aroni na wanawe, kisha wawatoe kama sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana. 148:14 Hes 3:12; 3:45; 16:9; Mal 3:17Kwa njia hii utakuwa umewatenga Walawi kutoka kwa Waisraeli wengine, nao Walawi watakuwa wangu.

158:15 Kut 29:24; 40:2“Utakapokuwa umekwisha kuwatakasa Walawi na kuwatoa kama sadaka ya kuinuliwa, watakuja kufanya kazi yao katika Hema la Kukutania. 168:16 Hes 1:20; 3:12Wao ndio Waisraeli ambao watatolewa kabisa kwangu. Nimewatwaa kama mali yangu mwenyewe badala ya mzaliwa wa kwanza, mzaliwa wa kwanza wa kiume kutoka kwa kila mwanamke wa Kiisraeli. 178:17 Kut 4:23; 22:29; 13:2; Lk 2:23Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume katika Israeli, awe wa mwanadamu au mnyama, ni wangu. Wakati nilipowaua wazaliwa wote wa kwanza huko Misri, niliwatenga kwa ajili yangu mwenyewe. 188:18 Hes 3:12Nami nimewatwaa Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa kiume katika Israeli. 198:19 Hes 3:7-9; 1:53; 16:46; 18:2-6Kati ya Waisraeli wote, nimempa Aroni na wanawe Walawi kama zawadi ili wafanye kazi katika Hema la Kukutania kwa niaba ya Waisraeli, na kufanya upatanisho kwa ajili yao ili pasiwepo na pigo lolote litakalowapata Waisraeli wakati watakapokaribia mahali patakatifu.”

20Mose, Aroni na jumuiya yote ya Waisraeli wakawafanyia Walawi kama Bwana alivyomwamuru Mose. 218:21 Mwa 35:2; Rum 15:16Walawi wakajitakasa wenyewe na wakafua nguo zao. Kisha Aroni akawasogeza mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa, na kufanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa. 228:22 2Nya 30:15Baada ya hayo, Walawi walikuja kufanya kazi yao katika Hema la Kukutania chini ya usimamizi wa Aroni na wanawe. Waliwafanyia Walawi kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.

23Bwana akamwambia Mose, 248:24 1Nya 23:3; Kut 38:21; Hes 4:3“Hili linawahusu Walawi: Wanaume wenye umri wa miaka ishirini na mitano au zaidi watakuja kushiriki katika kazi kwenye Hema la Kukutania, 258:25 1Nya 23:28-31; Eze 44:8-11lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee. 26Wanaweza kuwasaidia ndugu zao kufanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, lakini wao wenyewe kamwe hawatafanya hiyo kazi. Basi, hivi ndivyo utakavyogawa wajibu kwa Walawi.”

Thai New Contemporary Bible

กันดารวิถี 8:1-26

อาโรนตั้งประทีป

1องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสว่า 2“จงบอกอาโรนว่า ‘เมื่อท่านจุดตะเกียงทั้งเจ็ดดวง ตะเกียงต้องให้แสงสว่างบริเวณด้านหน้าของคันประทีป’ ”

3อาโรนก็ปฏิบัติตาม ตั้งตะเกียงบนคันประทีปส่องไปข้างหน้าตามที่องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสสั่งโมเสส 4คันประทีปนี้เคาะแต่งขึ้นจากทองคำตั้งแต่ฐานจนถึงยอด ตามแบบที่องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงสำแดงแก่โมเสส

แยกคนเลวีไว้เฉพาะ

5องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสว่า 6“จงแยกคนเลวีจากเผ่าอื่นๆ ของอิสราเอล และชำระพวกเขาตามระเบียบพิธี 7จงทำสิ่งต่อไปนี้เพื่อที่จะชำระพวกเขาคือ พรมน้ำแห่งการชำระเหนือพวกเขา แล้วให้โกนขนทั้งตัวและซักเสื้อผ้า 8ให้พวกเขานำวัวหนุ่มหนึ่งตัว พร้อมด้วยธัญบูชาคือแป้งละเอียดเคล้าน้ำมัน และให้นำวัวหนุ่มอีกตัวหนึ่งมาสำหรับเป็นเครื่องบูชาไถ่บาป 9จงพาคนเลวีมาที่หน้าเต็นท์นัดพบต่อหน้าปวงประชากรอิสราเอล 10จงนำคนเลวีมาต่อหน้าองค์พระผู้เป็นเจ้าและให้ชาวอิสราเอลวางมือบนพวกเขา 11อาโรนจะต้องเบิกตัวคนเลวีเข้าเฝ้าองค์พระผู้เป็นเจ้าในฐานะเป็นเครื่องบูชายื่นถวายจากชนอิสราเอล เพื่อพวกเขาจะพร้อมปฏิบัติงานรับใช้องค์พระผู้เป็นเจ้า

12“แล้วคนเลวีจะวางมือบนหัววัวทั้งสองตัว และถวายวัวตัวหนึ่งเป็นเครื่องบูชาไถ่บาปแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าอีกตัวหนึ่งเป็นเครื่องเผาบูชาเพื่อลบบาปให้คนเลวี 13จากนั้นให้คนเลวีมายืนต่อหน้าอาโรนและบรรดาบุตรชาย และมอบถวายพวกเขาเป็นเครื่องบูชายื่นถวายแด่องค์พระผู้เป็นเจ้า 14เจ้าต้องแยกคนเลวีออกจากประชากรอิสราเอลทั้งหมดด้วยวิธีนี้ และคนเลวีจะเป็นของเรา

15“หลังจากที่เจ้าได้ชำระคนเลวีให้บริสุทธิ์ และถวายตัวพวกเขาเป็นเครื่องบูชายื่นถวายแล้ว พวกเขาจะมาปฏิบัติงานที่เต็นท์นัดพบ 16พวกเขาคือชนอิสราเอลที่ยกให้เป็นสิทธิ์ขาดของเรา เรารับพวกเขาเป็นตัวแทนบุตรชายหัวปีซึ่งเป็นบุตรชายคนแรกจากครรภ์ของหญิงอิสราเอลทุกคน 17เพราะลูกหัวปีของอิสราเอลทั้งหมดไม่ว่าคนหรือสัตว์ต้องเป็นของเรา ในคืนที่เราประหารลูกหัวปีทั้งสิ้นของอียิปต์ เราได้แยกพวกเขาไว้เป็นของเราแล้ว 18เรารับคนเลวีแทนบุตรชายหัวปีทั้งปวงของอิสราเอล 19และเราแยกคนเลวีออกจากชนอิสราเอลทั้งหมดและยกให้อาโรนกับบรรดาบุตรชายของเขา คนเลวีจะปฏิบัติหน้าที่ที่เต็นท์นัดพบแทนปวงชนอิสราเอล และทำการลบบาปของพวกเขา เพื่อไม่ให้เกิดภัยพิบัติใดๆ แก่ชนอิสราเอลเมื่อเข้ามาใกล้สถานนมัสการ”

20โมเสส อาโรน และชุมชนอิสราเอลทั้งหมดจึงถวายคนเลวีตามที่องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงบัญชาโมเสสไว้ 21คนเลวีได้ชำระตนและซักเสื้อผ้า แล้วอาโรนถวายพวกเขาเป็นเครื่องบูชายื่นถวายแด่องค์พระผู้เป็นเจ้าและลบบาปให้พวกเขาเพื่อชำระให้บริสุทธิ์ 22ตั้งแต่นั้นพวกเขามาปฏิบัติงานที่เต็นท์นัดพบภายใต้การดูแลของอาโรนกับบุตรชายของเขา พวกเขาปฏิบัติต่อคนเลวีตามที่องค์พระผู้เป็นเจ้าทรงบัญชาโมเสส

23องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโมเสสว่า 24“ให้ผู้ชายจากเผ่าเลวีที่มีอายุตั้งแต่ยี่สิบห้าปีขึ้นไปมาปฏิบัติงานที่เต็นท์นัดพบ 25แต่เมื่ออายุครบห้าสิบปีก็ให้พ้นจากหน้าที่ ไม่ต้องทำงานประจำอีก 26พวกเขาอาจจะช่วยงานพี่น้องที่เต็นท์นัดพบ แต่ไม่ต้องลงมือทำเอง เจ้าจงมอบหมายหน้าที่รับผิดชอบแก่คนเลวีตามนี้เถิด”