Hesabu 31 – NEN & NUB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 31:1-54

Kulipiza Kisasi Juu Ya Wamidiani

1Bwana akamwambia Mose, 231:2 Mwa 25:2; Hes 20:26; 25:17; Kum 32:35, 43; Mwa 15:15“Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”

331:3 Amu 11:36; 1Sam 24:12; 2Sam 4:8; 22:48; Za 94:1; 149:7; Isa 34:8; Yer 11:20; 46:10; Eze 25:17; Kum 32:35; Yer 50:28; Za 94:1; Rum 12:19; Ebr 10:30Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha Bwana. 4Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.” 5Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli. 631:6 Kut 6:25; Hes 14:44; 10:2; 10:9Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.

731:7 Hes 25:16; Kum 20:13; Amu 21:11; 1Fal 11:15; 1Sam 27:9; 1Fal 11:15-16; Kum 20:13; Amu 21:11; 6:2, 33; 6:1Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Bwana alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume. 831:8 Yos 13:21; Hes 25:15; 22:5; 24:14; Yos 13:22; Za 9:12; Yud 11; Ufu 2:14; 19:20Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga. 931:9 Mwa 34:29Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara. 1031:10 Yos 6:24; 8:28; 11:11; Amu 18:27; Mwa 25:16; 1Nya 6:54; Za 69:25; Eze 25:4Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote. 1131:11 Kum 20:14; 2Nya 28:8Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama, 1231:12 Mwa 49:27; Kut 15:9; Hes 27:2nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.

13Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi. 1431:14 Kut 18:21; Kum 1:15; 2Sam 18:1Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.

1531:15 Kum 2:34; 20:13; Yos 6:21; 8:25; 1Sam 15:3; Yos 10:40; 11:14Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?” 1631:16 Hes 22:5; 24:14; 2Pet 2:15; Hes 23:25; 25:1-9; 14:37; Yos 22:17; Za 106:28-29; Hos 9:10; Mik 6:5; Ufu 2:14“Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi Bwana kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa Bwana. 1731:17 Kum 7:2; 20:16; Amu 21:11Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa, 18lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.

1931:19 Hes 5:2; 9:6, 10; 19:11, 12, 16; Law 21:1“Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu. 2031:20 Hes 19:19; Law 11:32Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”

21Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo Bwana alimpa Mose: 2231:22 Yos 6:19; 22:8Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi, 2331:23 1Kor 3:13; Hes 8:7; 19:9, 17na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso. 2431:24 Law 11:25; 14:8; Hes 19:10, 22; Za 51:2; Efe 5:26; Ebr 9:9-10Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”

Kugawanya Mateka

25Bwana akamwambia Mose, 2631:26 Hes 1:4; 1:19“Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa. 2731:27 Yos 22:8; 1Sam 25:13; 30:24; Za 68:12Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya. 2831:28 Hes 18:21; 2Sam 8:11; 1Nya 8:11; 26:27; Isa 18:7; 23:18; Mt 22:21Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya Bwana kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi. 29Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya Bwana. 3031:30 Hes 3:7; 16:3Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya Bwana.” 31Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama Bwana alivyomwagiza Mose.

32Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000, 33ngʼombe 72,000, 34punda 61,000, 35na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.

36Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa:

Kondoo 337,500 3731:37 Law 25:23; Kum 10:14; Za 50:12; Mk 12:17; Lk 20:25; 1Kor 10:26ambayo ushuru kwa ajili ya Bwana ilikuwa kondoo 675;

38ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa ngʼombe 72;

39punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa punda 61;

40Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya Bwana ulikuwa watu 32.

4131:41 Hes 5:9; 18:8, 19Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya Bwana, kama Bwana alivyomwagiza Mose.

42Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani, 43nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500, 44ngʼombe 36,000, 45punda 30,500, 46na wanadamu 16,000. 47Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama Bwana alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya Bwana.

48Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose 4931:49 Hes 1:19; Yer 23:4; Kut 23:7; Law 26:7-9; Za 72:14; 116:15; 1Sam 30:19na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana. 5031:50 Kut 30:16; Law 17:11; Mt 20:28; Rum 3:25Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa Bwana vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za Bwana.”

51Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa. 52Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea Bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,75031:52 Shekeli 16,750 ni sawa na kilo 200. 5331:53 Mwa 34:29; Kum 20:14Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi. 5431:54 Kut 27:21; 40:2; 28:12; Hes 16:40; Kut 30:16; Yos 4:7; Zek 6:14; Lk 22:19; Mdo 1:4Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za Bwana.

Swedish Contemporary Bible

4 Moseboken 31:1-54

Kriget mot Midjan

1Herren talade än en gång till Mose och sa: 2”Hämnas på midjaniterna för israeliterna innan det är dags för dig att dö31:2 Ordagrant: förenas med dina fäder (jfr 20:24).!”

3Då sa Mose till folket: ”En del av er måste gripa till vapen i krig mot midjaniterna och utföra Herrens hämnd. 4Skicka tusen man från varje israelitisk stam i krig.”

5Man tog ut tusen män från varje israelitisk stam, 12 000 krigsutrustade män. 6Mose sände dem ut i krig, tusen man från varje stam, tillsammans med Pinechas, prästen Elasars son, som tog med sig de heliga föremålen och stridstrumpeterna. 7De kämpade mot midjaniterna så som Herren hade befallt Mose och dödade alla av manligt kön, 8bland dem de fem midjanitiska kungarna Evi, Rekem, Sur, Hur och Reva. Även Bileam, Beors son, blev dödad med svärd.

9Sedan tog israeliterna alla kvinnor och barn som fångar och lade beslag på boskap, hjordar och annat byte. 10Alla städer och byar, midjanitiska bosättningar och tältläger brändes ner. 11De tog med sig allt plundrat gods och allt byte, människor och boskap. 12Fångarna och allt krigsbyte, både människor och boskap, fördes fram till Mose och prästen Elasar och till den israeliska menigheten som slagit läger på Moabs hedar vid floden Jordan mitt emot Jeriko.

13Mose, Elasar och folkets ledare gick ut för att möta dem, 14men Mose blev mycket förargad på officerarna och befälet, både högre och lägre officerare, som nu återvände från kriget.

15”Varför har ni skonat alla kvinnor?” frågade han. 16”Det var ju de som följde Bileams råd och fick Israels folk att vända sig från Herren när det gällde Pegor, så att hemsökelsen drabbade Herrens menighet. 17Döda nu alla pojkar och även alla kvinnor som har legat med en man. 18Ni får bara låta de kvinnor som inte legat med en man leva åt er själva.

19Och var och en som har dödat någon eller rört vid någons döda kropp ska stanna utanför lägret i sju dagar. På den tredje och på den sjunde dagen ska ni rena er och era fångar. 20Ni ska också rena alla era kläder och allt som är gjort av läder, gethår eller av trä.”

21Sedan sa prästen Elasar till männen som varit med i kriget: ”Det här är Herrens befallning i lagen som han gett till Mose: 22Det som är av guld, silver, koppar, järn, tenn och bly, 23allt som tål eld, ska renas i eld. Sedan måste det renas ytterligare genom reningsvattnet. Men det som inte tål eld ska renas bara genom vatten. 24På den sjunde dagen ska ni tvätta era kläder och bli renade, och därefter kan ni gå in i lägret igen.”

25Herren sa till Mose: 26”Du, prästen Elasar och menighetens stamledare ska göra en förteckning över människor och djur och över allt byte. 27Sedan ska ni dela bytet i två delar. Den ena hälften ska tillhöra männen som var i kriget, och den andra hälften ska ges till Israels menighet. 28Men låt krigsfolket betala en tribut åt Herren av de fångar, boskap, åsnor, får och getter som tagits som byte. Var femhundrade människa och dito djur ska tillhöra honom. 29Ge det till prästen Elasar, så att han kan överlämna det till Herren. 30Ta också från de andra israeliternas andel var femtionde fånge och vart femtionde bland boskapen, av kor, åsnor och får till att överlämnas till de leviter, som är i tjänst i Herrens boning.”

31Mose och prästen Elasar gjorde som Herren befallt Mose. 32Det totala bytet som återstod av det byte krigsfolket hade tagit var 675 000 får, 3372 000 oxar, 3461 000 åsnor 35och 32 000 människor, flickor som inte legat med någon man.

36Den hälft som gavs till krigsfolket bestod av

337 500 får 37av vilka 675 gavs till Herren,

3836 000 oxar av vilka 72 gavs till Herren,

3930 500 åsnor av vilka 61 gavs till Herren

40och 16 000 flickor av vilka 32 tillföll Herren.

41Mose överlämnade hela Herrens del till prästen Elasar, som Herren hade befallt honom.

42Den andra hälften av bytet som Mose hade avskilt från krigsfolkets, 43menighetens del, bestod av 337 500 får, 4436 000 oxar, 4530 500 åsnor 46och 16 000 människor.

47Mose tog av israeliternas andel var femtionde av allt och gav till leviterna som hade ansvaret för Herrens boning, så som Herren hade befallt Mose.

48Då kom befälhavarna över härens avdelningar, både överbefälen och underbefälen, till Mose 49och sa: ”Vi, dina tjänare, har räknat alla de män som drog ut med oss i striden och ingen av dem saknas. 50Därför vill vi bära fram en särskild offergåva till Herren. Var och en ger sitt byte av guld, armband, fotringar, ringar, örhängen och halsband. Detta vill vi göra för att försonas med Herren.”

51Mose och prästen Elasar tog emot deras gåva, alla slags guldarbeten. 52Värdet på den offergåva som de högre och lägre befälhavarna gav Herren var 16 750 siklar. 53Varje soldat hade tagit eget byte i kriget. 54Mose och prästen Elasar tog guldet och förde in det i uppenbarelsetältet för att israeliterna skulle bli ihågkomna inför Herren.