Hesabu 26 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 26:1-65

Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili

126:1 Hes 14:37; 25:8Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni, 226:2 Kut 30:11-16; Hes 1:3; Kut 38:25“Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.” 326:3 Hes 33:48; Yos 13:22; Hes 22:1; Kum 4:46-49Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema, 426:4 Kut 6:14; 13:3“Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.”

Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:

526:5 Hes 1:20; Mwa 46:8, 9; 1Nya 5:3; Ufu 7:5Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa:

kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki;

kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;

626:6 1Nya 5:3; Mwa 46:9kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

7Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

8Mwana wa Palu alikuwa Eliabu, 926:9 Hes 16:1; 1:16; 16:2; Isa 65:16; Kum 11:6; Hes 27:3; 16:1, 2nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana. 1026:10 Kut 15:12; Hes 16:35, 38; Kut 3:12; Ay 31:3; Za 145:20; Yer 29:22; 2Pet 2:6; Yud 7Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo. 1126:11 Kut 6:24; Hes 16:33; Kum 5:9; 24:16; 2Fal 14:6; 2Nya 25:4; Eze 18:20Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.

1226:12 Mwa 46:10; 1Nya 4:24; Kut 6:15Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli;

kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini;

kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

1326:13 Mwa 46:10kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera;

kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

1426:14 Mwa 46:10; Hes 1:23Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.

1526:15 Mwa 46:16Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni;

kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi;

kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;

16kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni;

kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;

1726:17 Mwa 46:16kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi;

kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.

1826:18 Mwa 30:11; Hes 1:25; Yos 13:24-28Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.

1926:19 Mwa 38:3; 38:4; 38:7; 46:12; 1Nya 2:3Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

2026:20 Mwa 38:5; 38:29; Yos 7:17Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela;

kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi;

kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.

2126:21 Mwa 38:29; Rut 4:19; 1Fal 2:9Wazao wa Peresi walikuwa:

kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

2226:22 Hes 1:27Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.

2326:23 Mwa 46:13; 49:14Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola;

kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

2426:24 Mwa 46:13kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu;

kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.

2526:25 Mwa 30:18Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.

2626:26 Hes 1:30; Mwa 46:14; 49:13Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi;

kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni;

kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

2726:27 Mwa 30:20Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.

2826:28 Hes 1:32; 36:1; Mwa 41:52; 46:20; 48:3Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

2926:29 Hes 1:34; Mwa 50:23; Amu 11:1; Hes 32:39Wazao wa Manase:

kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi);

kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.

3026:30 Hes 27:1; 36:1; 1Nya 7:14; Yos 17:2; Amu 6:11; 8:2Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi:

kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri;

kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

31kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli;

kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;

32kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida;

kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

3326:33 Hes 27:1; 36:2; Yos 17:3; 1Nya 7:15; Hes 27:3; 36:11(Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)

3426:34 Hes 1:35Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.

3526:35 Hes 1:32; 1Nya 7:20Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao:

kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela;

kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri;

kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

36Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela:

kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

3726:37 Hes 1:33; Kum 33:13-17Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500.

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.

3826:38 Mwa 46:21; Hes 1:36; 1Nya 8:40Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela;

kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli;

kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;

3926:39 Mwa 46:21; 1Nya 7:12kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu;

kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.

4026:40 Mwa 46:21; 1Nya 8:3Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa:

kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi;

kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.

4126:41 Hes 1:37Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.

4226:42 Hes 1:38, 39; Amu 18:19; Mwa 46:23; 49:16; Kum 33:22Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao:

kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu.

Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani: 43Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.

4426:44 Hes 1:40; 26:47; 1:41Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna;

kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi;

kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;

45kutoka kwa wazao wa Beria:

kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi;

kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.

46(Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)

47Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.

4826:48 Mwa 30:8; 46:24; 1Nya 7:13Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli;

kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;

4926:49 1Nya 7:13kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri;

kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.

5026:50 Hes 1:42, 43Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.

5126:51 Kut 12:37; Hes 1:46; 2:32Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.

52Bwana akamwambia Mose, 5326:53 Yos 11:23; 14:1; Eze 45:8“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina. 5426:54 Hes 33:54; 35:8Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa. 5526:55 Hes 34:13; Yos 11:23; 14:2Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao. 56Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

5726:57 Mwa 46:11; Kut 6:16; 1Nya 6:16Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao:

kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni;

kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi;

kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.

5826:58 Kut 6:20Hizi pia zilikuwa koo za Walawi:

ukoo wa Walibni;

ukoo wa Wahebroni;

ukoo wa Wamahli;

ukoo wa Wamushi;

ukoo wa wana wa Kora.

(Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu; 5926:59 Kut 2:1; 6:20; 2:4; 15:20jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu. 6026:60 Kut 6:23Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari. 6126:61 Law 10:1-2; Hes 3:4; 1Nya 24; 2Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)

6226:62 Hes 3:39; 1:47; 18:23; 2:33; 18:20-24; 35:2-8; Kum 14:27-29Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.

6326:63 Hes 1:19; 22:1Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko. 6426:64 Hes 14:29; 1:44; 1:1; Kum 2:14, 15Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai. 6526:65 Hes 14:18; 1Kor 10:5; Hes 13:6; 11:28; Za 90:3-8; Rum 11:22; Kum 32:49-50; Yos 14:10; Hes 14:18, 30; Ebr 3:17, 18; Yud 5Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.

Bibelen på hverdagsdansk

4. Mosebog 26:1-65

1sagde Herren til Moses og præsten Eleazar, Arons søn: 2„Lav en optælling over samtlige israelitiske mænd over 20 år, så I ved, hvor mange våbenføre mænd hver enkelt stamme og slægt kan bidrage med.” 3-4Så optalte Moses og Eleazar folket, mens de lå i lejr på Moabs sletter ved Jordanfloden over for Jeriko. Her følger resultatet af denne anden mønstring, stamme for stamme, slægt for slægt:

5Først Rubens stamme (Ruben var jo Jakobs førstefødte søn): Stammen bestod af følgende slægter, opkaldt efter Rubens sønner: hanokitterne opkaldt efter Hanok; palluitterne opkaldt efter Pallu; 6hesronitterne opkaldt efter Hesron; karmitterne opkaldt efter Karmi. 7Fra Rubens slægter mønstredes der 43.730 våbenføre mænd.

8Eliab, der var søn af Pallu, 9havde tre sønner: Nemuel, Datan og Abiram. Det var Datan og Abiram, der sammen med Kora gjorde oprør imod Moses og Aron—ja, imod Herren selv. 10Derfor åbnede jorden sit gab og opslugte dem, så de sammen med de 250 mænd, der blev brændt op af Herrens ild, blev til skræk og advarsel for hele folket. 11Koras slægt uddøde dog ikke.

12Dernæst Simeons stamme, som bestod af følgende slægter, opkaldt efter Simeons sønner: nemuelitterne opkaldt efter Nemuel; jaminitterne opkaldt efter Jamin; jakinitterne opkaldt efter Jakin; 13zerahitterne opkaldt efter Zerach; shaulitterne opkaldt efter Shaul. 14Fra Simeons slægter mønstredes i alt 22.200 mand.

15Gads stamme bestod af følgende slægter, opkaldt efter Gads sønner: zefonitterne opkaldt efter Zefon; haggitterne opkaldt efter Haggi; shunitterne opkaldt efter Shuni; 16oznitterne opkaldt efter Ozni; eritterne opkaldt efter Eri; 17aroditterne opkaldt efter Arod; arelitterne opkaldt efter Areli. 18Fra Gads slægter i alt 40.500 mand.

19Dernæst Judas stamme: Judas sønner Er og Onan, der døde i Kana’an, er ikke medregnet. 20Stammens slægter er opkaldt efter Judas øvrige sønner: shelanitterne opkaldt efter Shela; peretzitterne opkaldt efter Peretz; zerahitterne opkaldt efter Zerach. 21Peretzitterne var yderligere opdelt i hesronitterne, opkaldt efter Hesron, og hamulitterne, opkaldt efter Hamul, begge sønner af Peretz. 22Fra Judas slægter i alt 76.500 mand.

23Issakars stamme bestod af følgende slægter, opkaldt efter Issakars sønner: tolaitterne opkaldt efter Tola; punitterne opkaldt efter Pua; 24jashubitterne opkaldt efter Jashub; shimronitterne opkaldt efter Shimron. 25Fra Issakars slægter i alt 64.300 mand.

26Zebulons stamme bestod af følgende slægter, opkaldt efter Zebulons sønner: sereditterne opkaldt efter Sered; elonitterne opkaldt efter Elon; jale’elitterne opkaldt efter Jale’el. 27Fra Zebulons slægter i alt 60.500 mand.

28To stammer udsprang fra Josefs to sønner: Manasse og Efraim. 29Manasses stamme bestod af makiritterne, opkaldt efter Manasses søn Makir, og gileaditterne, opkaldt efter Makirs søn Gilead. 30Gileaditterne var opdelt i følgende slægter: iezritterne opkaldt efter Iezer; helekitterne opkaldt efter Helek; 31asrielitterne opkaldt efter Asriel; shekemitterne opkaldt efter Shekem; 32shemidaitterne opkaldt efter Shemida; heferitterne opkaldt efter Hefer. 33Hefers søn Zelofhad havde ingen sønner, men fem døtre ved navn Mala, Noa, Hogla, Milka og Tirtza. 34Fra Manasses slægter var der i alt 52.700 mand.

35Efraims stamme bestod af følgende slægter, opkaldt efter Efraims sønner: shutelaitterne opkaldt efter Shutela; bekeritterne opkaldt efter Beker; tahanitterne opkaldt efter Tahan. 36Shutela fik sønnen Eran, hvorfra eranitterne stammer. 37Fra Efraims slægter var der i alt 32.500 mand.

38Benjamins stamme bestod af følgende slægter, opkaldt efter Benjamins sønner: belaitterne opkaldt efter Bela; ashbelitterne opkaldt efter Ashbel; ahiramitterne opkaldt efter Ahiram; 39shufamitterne opkaldt efter Shufam; hufamitterne opkaldt efter Hufam. 40Bela fik sønnerne Ard og Na’aman, hvorfra arditterne og na’amitterne stammer. 41Fra Benjamins slægter var der i alt 45.600 mand.

42-43Dans stamme bestod af shuhamitterne, opkaldt efter Shuham,26,42-43 Også kaldet Hushim, se 1.Mos. 46,23. Dans søn. Fra Dans stamme var der 64.400 mand.

44Ashers stamme bestod af følgende slægter, opkaldt efter Ashers sønner: jimnitterne opkaldt efter Jimna; jishvitterne opkaldt efter Jishvi; beriaitterne opkaldt efter Beria. 45Følgende slægter stammer fra Berias sønner Heber og Malkiel: heberitterne og malkielitterne. 46Asher havde en datter ved navn Sera. 47Fra Ashers slægter var der i alt 53.400 mand.

48Naftalis stamme bestod af følgende slægter, opkaldt efter Naftalis sønner: jahtze’elitterne opkaldt efter Jahtze’el; gunitterne opkaldt efter Guni; 49jetzeritterne opkaldt efter Jetzer; shillemitterne opkaldt efter Shillem. 50Fra Naftalis slægter i alt 45.400 mand.

51Det samlede antal våbenføre israelitiske mænd over 20 år var altså 601.730.

52-54Derefter sagde Herren til Moses: „Du skal fordele landet mellem stammerne i forhold til stammernes størrelse, således at de store stammer vil få et stort landområde, og de mindre stammer vil få et mindre landområde. 55Der skal kastes lod om rækkefølgen af fordelingen mellem stammerne. 56Nogle vil få et stort område, andre et mindre område, alt sammen ved lodkastning.”

57Levis stamme bestod af følgende slægter: gershonitterne opkaldt efter Gershon; kehatitterne opkaldt efter Kehat; meraritterne opkaldt efter Merari. 58-59Under dem hørte følgende slægter: libnitterne, hebronitterne, mahlitterne, mushitterne og koraitterne.

En af Kehats efterkommere hed Amram, som i Egypten blev gift med Jokebed af Levis stamme, hvorefter hun fødte Aron, Moses og Mirjam. 60Aron fik sønnerne Nadab, Abihu, Eleazar og Itamar. 61Nadab og Abihu døde, fordi de bragte et røgelsesoffer, der var i modstrid med Herrens befalinger.

62Det samlede antal levitter af hankøn fra en måned og opefter var 23.000. Levitterne blev imidlertid ikke regnet med i folketællingen, for de fik ikke arvelod i landet sammen med de øvrige stammer.

63Det var så resultatet af den folketælling, som Moses og præsten Eleazar holdt på Moabs sletter ved Jordanfloden over for Jeriko. 64-65Ikke en eneste af alle disse mennesker var med i den første folketælling, som Moses og præsten Aron havde foretaget i Sinaiørkenen; alle, der havde været med i den første optælling, var døde i mellemtiden, sådan som Herren havde sagt: „De skal alle dø i ørkenen.” De eneste, der var tilbage fra dengang, var Kaleb og Josva.