Hesabu 13 – NEN & CST

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 13:1-33

Kupeleleza Kanaani

(Kumbukumbu 1:19-33)

1Bwana akamwambia Mose, 213:2 Hes 13:16; Kum 1:22; Law 14:34; 24:11; Yos 1:3“Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.”

313:3 Hes 14:6; 24; 34:19; Kum 1:36; Amu 1:12-15Hivyo kwa agizo la Bwana Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli. 4Haya ndiyo majina yao:

kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;

5kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;

613:6 Hes 14:6; 24; 34:19; Kum 1:36; Amu 1:12-15; Yos 14:6kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;

7kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu;

813:8 Hes 11:28kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;

9kutoka kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu;

10kutoka kabila la Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi,

11kutoka kabila la Manase (kabila la Yosefu), Gadi mwana wa Susi;

12kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali;

13kutoka kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli;

14kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi;

15kutoka kabila la Gadi, Geueli mwana wa Maki.

1613:16 Kum 32:44; Kut 17:9Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kuipeleleza nchi. (Mose akampa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.)

1713:17 Yos 14:7; Mwa 12:9; Kum 1:7; Yos 9:1; Mwa 14:10; Kum 1:19; Amu 1:9-10Mose alipowatuma wakaipeleleze Kanaani, alisema, “Pandeni kupitia Negebu, mwende mpaka nchi ya vilima. 18Mwone nchi ni ya namna gani, na kama watu waishio humo wana nguvu au ni wadhaifu, iwapo ni wachache au wengi. 19Wanaishi katika nchi ya namna gani? Je, ni nzuri au mbaya? Wanaishi katika miji ya namna gani? Je, haina kuta au ngome? 2013:20 Kum 1:25; Law 25:5; Kum 8:7, 8; Neh 9:25-35; Eze 20:6; 34:14; Kum 31:6; Yos 1:6, 9; Ebr 13:6Ardhi iko aje? Ina rutuba au la? Je, kuna miti ndani yake au la? Jitahidini kadiri mwezavyo kuleta baadhi ya matunda ya nchi.” (Ulikuwa msimu wa kuiva zabibu za kwanza.)

2113:21 Hes 20:1; 27:14; 33:36; 34:8; Kum 32:51; Yos 15:1; 19:28; 13:5; Amu 1:31; 18:28; 2Sam 10:6; 1Nya 6:75; 13:5; 1Fal 8:65; 2Fal 14:25; 2Nya 7:8; Yer 52:7; Eze 47:16-20; Amo 6:14Hivyo wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka Jangwa la Sini hadi Rehobu, kuelekea Lebo-Hamathi. 2213:22 Hes 13:28; Mwa 13:18; 23:19; Yos 15:14; Amu 1:10; Kum 2:10; 9:2; Yos 11:21; 15:13; Za 78:12; Isa 19:11-13; 30:4; Eze 30:14Wakapanda kupitia Negebu hadi wakafika Hebroni, mahali ambapo Ahimani, Sheshai na Talmai, wazao wa Anaki, waliishi. (Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba kabla ya mji wa Soani ulioko Misri.) 2313:23 Mwa 14:13; Kut 28:33; Mwa 3:7; Hes 20:5; Kum 8:8; 2Fal 18:31; Neh 13:15Walipofika katika Bonde la Eshkoli, walivunja tawi lililokuwa na kishada kimoja cha zabibu. Wawili wao wakalichukua lile tawi kwenye mti, pamoja na komamanga na tini. 24Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko. 2513:25 Mwa 7:4; Hes 14:34Mwishoni mwa siku arobaini wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.

Taarifa Juu Ya Upelelezi

2613:26 Mwa 14:6-7; Hes 32:8; Kum 1:25Wakarudi kwa Mose, Aroni na jumuiya yote ya Waisraeli huko Kadeshi kwenye Jangwa la Parani. Hapo ndipo walipotoa habari kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya hiyo nchi. 2713:27 Kut 3:8; Kum 1:25; Yer 2:7Wakampa Mose taarifa hii: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo inatiririka maziwa na asali! Hili hapa tunda lake. 2813:28 Kum 1:28; Yos 14:12Lakini watu wanaoishi huko ni wenye nguvu, na miji yao ina ngome na ni mikubwa sana. Huko tuliona hata wazao wa Anaki. 2913:29 Mwa 10:16, 18; 13:10; 14:7; 10:15; Kum 7:1; 20:17; 1Fal 9:20; 10:29; 2Fal 6:7; Kut 3:8; Hes 22:1; 32:5; Amu 3:28; Za 42:6Waamaleki wanaishi Negebu; Wahiti, Wayebusi na Waamori wanaishi katika nchi ya vilima; nao Wakanaani wanaishi karibu na bahari na kando ya Yordani.”

3013:30 Yos 14:7; Za 60:12; 119:10; Isa 11:10; Rum 8:31; Flp 4:13; Ebr 11:33, 34Kisha Kalebu akawanyamazisha watu mbele ya Mose na kusema, “Imetupasa kupanda na kuimiliki nchi, kwa maana hakika tunaweza kufanya hivyo.”

3113:31 Kum 9:1; Yos 14:8Lakini watu waliokuwa wamepanda pamoja naye wakasema, “Hatuwezi kuwashambulia wale watu; wana nguvu kutuliko sisi.” 3213:32 Hes 14:36-37; Eze 36:13-14; Kum 1:28; Amo 2:9Wakaeneza taarifa mbaya miongoni mwa Waisraeli kuhusu nchi waliyoipeleleza. Wakasema, “Nchi tuliyoipeleleza hula watu waishio ndani yake. Watu wote tuliowaona huko ni majitu. 3313:33 Mwa 6:4; Kum 1:28; Yos 11:22; 14:12; Mhu 12:5; Isa 40:22Tuliwaona Wanefili huko (wazao wa Anaki wanatokana na Wanefili.) Tulijiona kama panzi machoni petu wenyewe, nao ndivyo walivyotuona.”

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Números 13:1-33

Los israelitas exploran Canaán

1El Señor le dijo a Moisés: 2«Quiero que envíes a algunos de tus hombres a explorar la tierra que voy a entregar a los israelitas. De cada tribu enviarás un líder que la represente».

3De acuerdo con la orden del Señor, Moisés los envió desde el desierto de Parán. Todos ellos eran jefes en Israel, 4y estos son sus nombres:

Samúa hijo de Zacur, de la tribu de Rubén;

5Safat hijo de Horí, de la tribu de Simeón;

6Caleb hijo de Jefone, de la tribu de Judá;

7Igal hijo de José, de la tribu de Isacar;

8Oseas hijo de Nun, de la tribu de Efraín;

9Palti hijo de Rafú, de la tribu de Benjamín;

10Gadiel hijo de Sodi, de la tribu de Zabulón;

11Gadí hijo de Susi, de la tribu de Manasés (una de las tribus de José);

12Amiel hijo de Guemalí, de la tribu de Dan;

13Setur hijo de Micael, de la tribu de Aser;

14Najbí hijo de Vapsi, de la tribu de Neftalí;

15Geuel hijo de Maquí, de la tribu de Gad.

16Estos son los nombres de los líderes que Moisés envió a explorar la tierra. (A Oseas hijo de Nun, Moisés le cambió el nombre y le puso Josué).

17Cuando Moisés los envió a explorar la tierra de Canaán, les dijo: «Subid por el Néguev, hasta llegar a la montaña. 18Explorad el país, y fijaos cómo son sus habitantes, si son fuertes o débiles, muchos o pocos. 19Averiguad si la tierra en que viven es buena o mala, y si sus ciudades son abiertas o amuralladas. 20Examinad el terreno, y vean si es fértil o estéril, y si tiene árboles o no. ¡Adelante! Traed algunos frutos del país».

Esa era la temporada en que maduran las primeras uvas.

21Los doce hombres se fueron y exploraron la tierra, desde el desierto de Zin hasta Rejob, cerca de Lebó Jamat.13:21 Lebó Jamat. Alt. la entrada de Jamat. 22Subieron por el Néguev y llegaron a Hebrón, donde vivían Ajimán, Sesay y Talmay, descendientes de Anac. (Hebrón había sido fundada siete años antes que la ciudad egipcia de Zoán). 23Cuando llegaron al valle del arroyo Escol,13:23 En hebreo, Escol significa racimo; también en v. 24. cortaron un sarmiento que tenía un solo racimo de uvas, y entre dos lo llevaron colgado de una vara. También cortaron granadas e higos. 24Por el racimo que estos israelitas cortaron, a ese lugar se le llamó Valle de Escol.

Informe de los exploradores

25Al cabo de cuarenta días, los doce hombres regresaron de explorar aquella tierra. 26Volvieron a Cades, en el desierto de Parán, que era donde estaban Moisés, Aarón y toda la comunidad israelita, y les presentaron a todos ellos un informe, y les mostraron los frutos de esa tierra. 27Este fue el informe:

―Fuimos al país al que nos enviaste, ¡y por cierto que allí abundan la leche y la miel! Aquí podéis ver sus frutos. 28Pero el pueblo que allí habita es poderoso, y sus ciudades son enormes y están fortificadas. Hasta vimos anaquitas allí. 29Los amalecitas habitan el Néguev; los hititas, jebuseos y amorreos viven en la montaña, y los cananeos ocupan la zona costera y la ribera del río Jordán.

30Caleb hizo callar al pueblo ante Moisés, y dijo:

―Subamos a conquistar esa tierra. Estoy seguro de que podremos hacerlo.

31Pero los que habían ido con él respondieron:

―No podremos combatir contra esa gente. ¡Son más fuertes que nosotros!

32Y comenzaron a esparcir entre los israelitas falsos rumores acerca de la tierra que habían explorado. Decían:

―La tierra que hemos explorado se traga a sus habitantes, y los hombres que allí vimos son enormes. 33¡Hasta vimos anaquitas! Comparados con ellos, parecíamos langostas, y así nos veían ellos a nosotros.