Habakuki 3 – NEN & KLB

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Habakuki 3:1-19

Maombi Ya Habakuki

1Sala ya nabii Habakuki iliyoimbwa kwa shigionothi.3:1 Ni kifaa cha uimbaji chenye nyuzi; pia maombi kutumia kifaa hiki.

23:2 Ay 26:14; Za 119:120; 90:16; 44:1; 85:6; Isa 54:8Bwana, nimezisikia sifa zako;

nami naogopa kwa matendo yako, Ee Bwana.

Fufua kazi yako katikati ya miaka,

katikati ya miaka tangaza habari yako;

katika ghadhabu kumbuka rehema.

33:3 Mwa 36:11, 15; Isa 31:1; Hes 10:12; Za 48:10Mungu alitoka Temani,

yeye Aliye Mtakatifu kutoka Mlima Parani.

Utukufu wake ulifunika mbingu,

na sifa zake zikaifunika dunia.

43:4 Isa 18:4; Ay 9:6Mngʼao wake ulikuwa kama jua lichomozalo;

mionzi ilimulika kutoka mkononi mwake,

ambako nguvu zake zilifichwa.

53:5 Law 26:25Tauni ilimtangulia;

maradhi ya kuambukiza yalifuata nyayo zake.

63:6 Za 46:2; 114:1-6; 18:7; Kut 19:18; 23:31; Kum 32:8; Hes 21:24, 34; Mwa 49:26; 21:33Alisimama, akaitikisa dunia;

alitazama, na kuyafanya mataifa yatetemeke.

Milima ya zamani iligeuka mavumbi

na vilima vilivyozeeka vikaanguka.

Njia zake ni za milele.

73:7 Mwa 25:2; Hes 25:15; Amu 7:24-25; Kut 15:14Niliona watu wa Kushani katika dhiki,

na makazi ya Midiani katika maumivu makali.

83:8 Kut 7:20; 14:21, 22; 2Fal 2:11; Za 77:16; 68:17Ee Bwana, uliikasirikia mito?

Je, ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya vijito?

Je, ulighadhibikia bahari

ulipoendesha farasi wako

na magari yako ya ushindi?

93:9 Kum 32:23; Za 7:12-13Uliufunua upinde wako

na kuita mishale mingi.

Uliigawa dunia kwa mito;

103:10 Za 77:16; 98:7; 93:3milima ilikuona ikatetemeka.

Mafuriko ya maji yakapita huko;

vilindi vilinguruma

na kuinua mawimbi yake juu.

113:11 Yos 10:13; Za 18:14; 144:6; Zek 9:14Jua na mwezi vilisimama kimya mbinguni

katika mngʼao wa mishale yako inayoruka,

na katika mngʼao wa mkuki wako umeremetao.

123:12 Za 44:2, 3; Mik 4:13; Isa 41:15Kwa ghadhabu ulipita juu ya dunia,

na katika hasira ulikanyaga mataifa.

133:13 Kut 13:21; Za 20:6; 28:8; 68:21; 2Sam 5:20; 23:1Ulikuja kuwaokoa watu wako,

kumwokoa uliyemtia mafuta.

Ulimponda kiongozi wa nchi ya uovu,

ukamvua toka kichwani hadi wayo.

143:14 Amu 7:22; Za 64:2-5Kwa mkuki wake mwenyewe ulitoboa kichwa chake

wakati mashujaa wake walifurika nje kwa kishindo kututawanya,

wakifurahi kama walio karibu kutafuna

wale wanyonge waliokuwa mafichoni.

153:15 Ay 9:8; Kut 15:8Ulikanyaga bahari kwa farasi wako,

ukisukasuka maji makuu.

163:16 Ay 4:14; Za 37:7Nilisikia na moyo wangu ukagonga kwa nguvu,

midomo yangu ikatetemeka kwa hofu niliposikia sauti;

uchakavu ukanyemelea mifupa yangu,

na miguu yangu ikatetemeka.

Hata hivyo nitasubiri kwa uvumilivu siku ya maafa

kuyajilia mataifa yaliyotuvamia.

173:17 Yoe 1:10-18; 2Kor 4:8, 9; Yer 5:17Ingawa mtini hauchanui maua

na hakuna zabibu juu ya mizabibu,

ingawaje mzeituni hauzai,

na hata mashamba hayatoi chakula,

iwapo hakuna kondoo katika banda,

wala ngʼombe katika zizi,

183:18 Za 42:5; 97:12; Isa 61:10; Kut 15:2; Lk 1:47; Flp 4:4hata hivyo nitashangilia katika Bwana,

nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.

193:19 Kum 32:13; 33:29; Za 27:1; 46:1-5; 18:33Bwana Mwenyezi ni nguvu yangu;

huifanya miguu yangu kama miguu ya ayala,

huniwezesha kupita juu ya vilima.

Kwa kiongozi wa uimbaji. Kwa vinanda vyangu vya nyuzi.

Korean Living Bible

하박국 3:1-19

하박국의 기도

1이것은 예언자 하박국의 기도이다:

2여호와여,

내가 주께 대한 소문을 듣고

놀라움을 금할 수가 없습니다.

여호와여,

주께서 행하신 그 놀라운 일을

우리 시대에 다시 행하시고

분노 중에서도 자비를 베푸소서.

3하나님이 3:3 히 ‘데만’에돔에서 오시며

거룩하신 분이

바란산에서 오신다.

그의 영광이 하늘을 덮었고

그의 찬양이 세상에 가득하구나.

4그 광채가 햇빛 같아서

광선이 그의 손에서 나오니

거기에 그의 힘이 감추어져 있다.

5무서운 질병이 그의 앞에서 행하고

열병이 그 뒤를 따른다.

6그가 서시니 땅이 진동하고

그가 보시자

모든 나라가 떠는구나.

크고 작은 옛 산들이

부서지고 무너지니

그의 행하심은

예나 지금이나 다름이 없다.

7내가 보니

구산 사람들이 고통을 당하고

미디안 사람들이 떨고 있구나.

8여호와여, 주께서 말을 타시며

구원의 전차를 타시니

주를 분노하시게 한 것이 강입니까?

주를 노엽게 한 것이 바다입니까?

9주께서 활을 꺼내

많은 화살을 날리시고

강으로 땅을 쪼개셨습니다.

10산들이 주를 보고 떨며

하늘에서 폭우가 쏟아지고

바다가 소리를 지르며

물결이 높이 솟아오릅니다.

11날아가는 주의 화살의 번득임과

번쩍이는 주의 창의 광채로

해와 달이

그 자리에 멈췄습니다.

12주는 분노하셔서

온 세상을 다니시며

모든 나라를 밟으셨습니다.

13주께서 주의 백성과 택한 왕을

구원하시려고 나오셔서

3:13 또는 ‘악인의 집 머리를’ 악인의 두목을 치시고

머리에서 발끝까지

그를 벗기셨습니다.

14그들이 폭풍처럼 밀어닥쳐

우리를 흩어 버리고

몰래 가난한 자를

삼키는 자들처럼 기뻐하나

주께서 그 두목의 머리를

그의 창으로 찌르셨습니다.

15주께서 말을 타시고

바다를 밟으시자

큰 물결이 일어났습니다.

16내가 이 모든 것을 들으니

심장이 두근거리고 입술이 떨리며

내 뼈가 썩는 것 같고

다리가 후들후들 떨리는구나.

그러나 내가 우리를

침략하는 나라에

환난이 임할 날을 기다리노라.

17비록 무화과나무에 꽃이 피지 않고

포도나무에 포도가 없으며

감람나무에서 기름이 나지 않고

밭에서 농작물이 나지 않으며

우리에 양이 없고

외양간에 소가 없을지라도

183:18 또는 ‘나는 여호와를 인하여 즐거워하며 나의 구원의 하나님을 인하여 기뻐하리로다’

여호와 하나님이

나의 구원이 되시므로

내가 기뻐하고 즐거워하리라.

19주 여호와는 나의 힘이시니

나의 발을

사슴의 발과 같게 하셔서

나를 높은 곳에 다니게 하시리라.

이 노래는 성가대 지휘자에 따라 내 수금에 맞춘 것이다.