Habakuki 3 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Habakuki 3:1-19

Maombi Ya Habakuki

1Sala ya nabii Habakuki iliyoimbwa kwa shigionothi.3:1 Ni kifaa cha uimbaji chenye nyuzi; pia maombi kutumia kifaa hiki.

23:2 Ay 26:14; Za 119:120; 90:16; 44:1; 85:6; Isa 54:8Bwana, nimezisikia sifa zako;

nami naogopa kwa matendo yako, Ee Bwana.

Fufua kazi yako katikati ya miaka,

katikati ya miaka tangaza habari yako;

katika ghadhabu kumbuka rehema.

33:3 Mwa 36:11, 15; Isa 31:1; Hes 10:12; Za 48:10Mungu alitoka Temani,

yeye Aliye Mtakatifu kutoka Mlima Parani.

Utukufu wake ulifunika mbingu,

na sifa zake zikaifunika dunia.

43:4 Isa 18:4; Ay 9:6Mngʼao wake ulikuwa kama jua lichomozalo;

mionzi ilimulika kutoka mkononi mwake,

ambako nguvu zake zilifichwa.

53:5 Law 26:25Tauni ilimtangulia;

maradhi ya kuambukiza yalifuata nyayo zake.

63:6 Za 46:2; 114:1-6; 18:7; Kut 19:18; 23:31; Kum 32:8; Hes 21:24, 34; Mwa 49:26; 21:33Alisimama, akaitikisa dunia;

alitazama, na kuyafanya mataifa yatetemeke.

Milima ya zamani iligeuka mavumbi

na vilima vilivyozeeka vikaanguka.

Njia zake ni za milele.

73:7 Mwa 25:2; Hes 25:15; Amu 7:24-25; Kut 15:14Niliona watu wa Kushani katika dhiki,

na makazi ya Midiani katika maumivu makali.

83:8 Kut 7:20; 14:21, 22; 2Fal 2:11; Za 77:16; 68:17Ee Bwana, uliikasirikia mito?

Je, ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya vijito?

Je, ulighadhibikia bahari

ulipoendesha farasi wako

na magari yako ya ushindi?

93:9 Kum 32:23; Za 7:12-13Uliufunua upinde wako

na kuita mishale mingi.

Uliigawa dunia kwa mito;

103:10 Za 77:16; 98:7; 93:3milima ilikuona ikatetemeka.

Mafuriko ya maji yakapita huko;

vilindi vilinguruma

na kuinua mawimbi yake juu.

113:11 Yos 10:13; Za 18:14; 144:6; Zek 9:14Jua na mwezi vilisimama kimya mbinguni

katika mngʼao wa mishale yako inayoruka,

na katika mngʼao wa mkuki wako umeremetao.

123:12 Za 44:2, 3; Mik 4:13; Isa 41:15Kwa ghadhabu ulipita juu ya dunia,

na katika hasira ulikanyaga mataifa.

133:13 Kut 13:21; Za 20:6; 28:8; 68:21; 2Sam 5:20; 23:1Ulikuja kuwaokoa watu wako,

kumwokoa uliyemtia mafuta.

Ulimponda kiongozi wa nchi ya uovu,

ukamvua toka kichwani hadi wayo.

143:14 Amu 7:22; Za 64:2-5Kwa mkuki wake mwenyewe ulitoboa kichwa chake

wakati mashujaa wake walifurika nje kwa kishindo kututawanya,

wakifurahi kama walio karibu kutafuna

wale wanyonge waliokuwa mafichoni.

153:15 Ay 9:8; Kut 15:8Ulikanyaga bahari kwa farasi wako,

ukisukasuka maji makuu.

163:16 Ay 4:14; Za 37:7Nilisikia na moyo wangu ukagonga kwa nguvu,

midomo yangu ikatetemeka kwa hofu niliposikia sauti;

uchakavu ukanyemelea mifupa yangu,

na miguu yangu ikatetemeka.

Hata hivyo nitasubiri kwa uvumilivu siku ya maafa

kuyajilia mataifa yaliyotuvamia.

173:17 Yoe 1:10-18; 2Kor 4:8, 9; Yer 5:17Ingawa mtini hauchanui maua

na hakuna zabibu juu ya mizabibu,

ingawaje mzeituni hauzai,

na hata mashamba hayatoi chakula,

iwapo hakuna kondoo katika banda,

wala ngʼombe katika zizi,

183:18 Za 42:5; 97:12; Isa 61:10; Kut 15:2; Lk 1:47; Flp 4:4hata hivyo nitashangilia katika Bwana,

nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.

193:19 Kum 32:13; 33:29; Za 27:1; 46:1-5; 18:33Bwana Mwenyezi ni nguvu yangu;

huifanya miguu yangu kama miguu ya ayala,

huniwezesha kupita juu ya vilima.

Kwa kiongozi wa uimbaji. Kwa vinanda vyangu vya nyuzi.

Bibelen på hverdagsdansk

Habakkuks Bog 3:1-19

Habakkuks sang

1Denne bøn sang profeten Habakkuk for Herren:

2Herre, jeg har hørt om dit ry.

Jeg er fuld af ærefrygt for de undere, du udførte.

Gør det igen, Herre.

Vis os snart dine underfulde gerninger.

Men vær barmhjertig midt i din vrede.

3Den hellige Gud drog op fra Parans bjerg,

han førte sit folk gennem Teman i Edom.3,3 Jf. 5.Mos. 2 og 33.

Hans herlighed dækkede himlen,

og hans storhed fyldte jorden.

4Han kom med sit skarpe lys,

og de lyn, han kastede, viste hans kraft.

5Han sendte plager mod sine fjender,

og lod pesten hærge dem.

6Når han standsede op, rystede jorden af skræk,

et blik fra ham fik folkeslagene til at bæve.

De ældgamle bjerge slog revner,

de evige høje sank sammen.

Hans kraft er for evigt den samme.

7Midjans telte faldt sammen,

Kushans teltduge blev revet i stykker.

8Var det floden, du var ude efter, Herre,

da du standsede dens løb?

Var det havet, du var vred på, da du skilte vandene ad,

og reddede os med dine heste og stridsvogne?

9Du blottede din bue,

skød dine lyn mod det fastsatte mål,

lod tordenskyller lave kløfter i jorden.

10Bjergene så dig og vred sig i panik,

et skybrud passerede forbi.

Havdybet3,10 Kan være en symbolsk henvisning til en hær af fjender eller til den egyptiske hær, der druknede i Det Røde Hav. råbte i rædsel

og rakte fortvivlet hænderne i vejret.

11Solen og månen stod stille i deres baner,

overvældet af dine lynglimt

og lyset fra dine glinsende spyd.

12I vrede trampede du på jorden,

du trådte på alle dine fjender.

13Du drog ud for at frelse dit folk,

for at redde din udvalgte tjener.

Du knuste ondskabens herre

og tilintetgjorde hele hans hær.

14Fjendernes hær stormede frem

og frydede sig over det lette bytte.

Men du sendte dine pile imod dem

og gennemborede deres hoveder.

15Du brugte vandmasserne som dine stridsvogne

og tilintetgjorde fjenden i et frådende hav.

16Da jeg hørte om det, bankede mit hjerte vildt,

mine læber skælvede,

mine ben gav efter under mig,

mine skridt vaklede.

Jeg ser frem til den dag,

da du vil straffe dem, der angriber os.

17Selv om figentræet ikke blomstrer,

vinstokken står uden frugt,

olivenhøsten slår fejl,

markerne ligger øde hen,

fårene er forsvundet fra folden,

og stalden er tom,

18så vil jeg alligevel glæde mig i Herren

og fryde mig over min Gud og Frelser,

19for den Almægtige gør mig stærk.

Han gør mine skridt sikre som gazellens

og giver mig fodfæste på bjergene.

(Til korlederen: Denne sang skal akkompagneres af strengeinstrumenter).