Ezra 8 – NEN & NIRV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 8:1-36

Orodha Ya Viongozi Wa Jamaa Waliorudi Na Ezra

18:1 Ezr 7:7Hawa ndio viongozi wa jamaa pamoja na wale walioandikwa ambao walikuja pamoja nami kutoka Babeli wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta:

28:2 1Nya 3:22wa wazao wa Finehasi, alikuwa Gershoni;

wa wazao wa Ithamari, alikuwa Danieli;

wa wazao wa Daudi, alikuwa Hatushi 38:3 1Nya 3:22; Ezr 2:3wa wazao wa Shekania;

wa wazao wa Paroshi, alikuwa Zekaria, na watu 150 walioandikishwa pamoja naye;

48:4 Ezr 2:6wa wazao wa Pahath-Moabu, alikuwa Eliehoenai mwana wa Zerahia na wanaume 200 pamoja naye;

5wa wazao wa Zatu, alikuwa Shekania mwana wa Yahazieli na wanaume 300 pamoja naye;

68:6 Ezr 2:15; Neh 7:20wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume 50 pamoja naye;

7wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume 70 pamoja naye;

8wa wazao wa Shefatia, alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli na wanaume 80 pamoja naye;

9wa wazao wa Yoabu, alikuwa Obadia mwana wa Yehieli na wanaume 218 pamoja naye;

10wa wazao wa Bani, alikuwa Shelomithi mwana wa Yosifia na wanaume 160 pamoja naye;

11wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume 28 pamoja naye;

12wa wazao wa Azgadi, alikuwa Yohanani mwana wa Hakatani na wanaume 110 pamoja naye;

138:13 Ezr 2:13wa wazao wa Adonikamu, hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume 60 pamoja nao;

14wa wazao wa Bigwai, walikuwa Uthai na Zakuri na wanaume 70 pamoja nao.

Kurudi Yerusalemu

158:15 Ezr 2:40; 7:7; Mdo 16:13; 20:28; Za 137:1; Mit 27:23; Ebr 13:17; Ezr 7:7; Hes 8:1Niliwakusanya kwenye mto utiririkao kuelekea Ahava, nasi tukapiga kambi pale siku tatu. Wakati nilipokagua kati ya watu na makuhani, sikuwapata Walawi. 16Basi niliwaita Eliezeri, Arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu, Elnathani, Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na Yoyaribu na Elnathani waliokuwa wasomi, 178:17 Ezr 2:43nikawatuma kwa Ido kiongozi huko Kasifia. Niliwaambia watakayomwambia Ido na ndugu zake, watumishi wa Hekalu8:17 Yaani Wanethini (pia 8:20). huko Kasifia, ili waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu. 188:18 Ezr 5:5Kwa sababu mkono wa neema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea Sherebia, mtu mwenye uwezo kutoka wazao wa Mahli mwana wa Lawi, mwana wa Israeli, na wana wa Sherebia pamoja na ndugu zao wanaume kumi na wanane. 19Naye Hashabia, pamoja na Yeshaya kutoka wazao wa Merari na ndugu zake na wapwa wake wanaume ishirini. 208:20 1Nya 9:2; Ezr 2:43Vilevile walileta watumishi wa Hekalu 220, kikundi ambacho Daudi na maafisa walikuwa wamekiweka kusaidia Walawi. Wote walikuwa wameorodheshwa kwa majina.

218:21 2Nya 9:2; Ezr 2:438:21 2Nya 20:3; Za 27:11; Law 16:29; Za 5:8; 2Nya 20:3; Law 16:29; Isa 58:3-5Kando ya Mto Ahava, hapo nilitangaza kufunga, ili tujinyenyekeshe mbele za Mungu wetu na kumwomba kwa ajili ya kutujalia safari ya amani sisi na watoto wetu, pamoja na mali zetu zote. 228:22 Neh 2:9; Yer 41:16; Kum 31:17; 2Nya 15:2; 1Kor 9:15; 1Nya 28:9; Ezr 7:6-9; Za 33:18-19; Isa 3:10; Rum 8:28; 1Pet 3:12; Za 34:16; 2Nya 15:2Niliona aibu kumwomba mfalme askari na wapanda farasi wa kutulinda njiani kutokana na adui zetu, kwa sababu tulikwisha kumwambia mfalme, “Mkono wa neema wa Mungu wetu uko juu ya kila mmoja anayemtafuta, lakini hasira yake kubwa ni dhidi ya wote wamwachao.” 238:23 2Nya 33:13; Kum 4:29; Mdo 14:23; 1Nya 5:20; Isa 19:22; Yer 29:12-13Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu wetu kuhusu jambo hili, naye akajibu maombi yetu.

24Kisha niliwatenga viongozi wa makuhani kumi na wawili, pamoja na Sherebia, Hashabia na ndugu zao kumi, 258:25 Ezr 7:15-16nami nikawapimia fedha, dhahabu na vifaa ambavyo mfalme, washauri wake, maafisa wake na Israeli wote waliokuwepo walikuwa wamevitoa sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu. 26Niliwapimia talanta 6508:26 Talanta 650 za fedha ni sawa na tani 25. za fedha, vifaa vingine vya fedha vya uzito wa talanta mia moja,8:26 Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75. talanta mia moja za dhahabu, 27mabakuli ishirini ya dhahabu ya thamani ya darkoni elfu moja,8:27 Darkoni 1,000 ni sawa na kilo 8.5. na vyombo viwili vya shaba iliyosuguliwa, ya thamani kama dhahabu.

288:28 Kum 33:8; Law 21:6; 22:2-3; 2Nya 24:14; Hes 4:4; Isa 52:11; 1Nya 23:28Niliwaambia, “Ninyi pamoja na vyombo hivi ni wakfu kwa Bwana. Fedha na dhahabu ni sadaka ya hiari kwa Bwana, Mungu wa baba zenu. 298:29 1Nya 26:20-26; Lk 12:38-39Vilindeni kwa uangalifu mpaka mtakapovipima ndani ya vyumba vya nyumba ya Bwana katika Yerusalemu mbele ya makuhani, viongozi na Walawi pamoja na wakuu wa jamaa za Israeli.” 30Ndipo makuhani na Walawi wakapokea fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu ambavyo vilipimwa na kupelekwa katika nyumba ya Mungu wetu mjini Yerusalemu.

318:31 Ay 5:19-24; Isa 41:10-14; Ezr 7:6-7, 28Tulianza safari kutoka Mto Ahava kwenda Yerusalemu kwenye siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza. Mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye njiani alitulinda dhidi ya adui na wanyangʼanyi. 328:32 Mwa 40:13; Neh 2:11; Isa 56:6; 14:1Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.

338:33 Neh 3:3, 21-24Katika siku ya nne, ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tulipima fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu, tukakabidhi mikononi mwa kuhani Meremothi mwana wa Uria. Eleazari mwana wa Finehasi alikuwa pamoja naye, pia walikuwako Walawi wawili, Yozabadi mwana wa Yeshua na Noadia mwana wa Binui. 34Kila kitu kilihesabiwa kwa idadi na kupimwa kwa uzito, nao uzito wote uliandikwa wakati ule.

358:35 Law 1:3; 2Nya 29:21, 24; 30:24; Ezr 6:17Kisha mateka waliokuwa wamerudi kutoka utumwani wakatoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa Mungu wa Israeli: mafahali kumi na wawili kwa ajili ya Israeli wote, kondoo dume tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi dume kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi. Hii yote ilikuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto kwa Bwana. 368:36 Ezr 7:21-24; Zek 8:1-23; Es 9:3Pia walikabidhi manaibu wa mfalme na watawala wa Ngʼambo ya Mto Frati maagizo ya mfalme, ambao baadaye walitoa msaada kwa watu na kwa nyumba ya Mungu.

New International Reader’s Version

Ezra 8:1-36

The Family Leaders Who Returned to Jerusalem With Ezra

1Many family leaders came up to Jerusalem with me from Babylon. So did others who were listed with them. It was during the time when Artaxerxes was king. Here is a list of those who came.

2Gershom came from the family line of Phinehas.

Daniel came from the family line of Ithamar.

Hattush came from the family line of David. 3Hattush also belonged to the family of Shekaniah.

Zechariah came from the family line of Parosh. The total number of men who were listed with him was 150.

4Eliehoenai came from the family line of Pahath-Moab. Eliehoenai was the son of Zerahiah. The total number of men with him was 200.

5Shekaniah came from the family line of Zattu. Shekaniah was the son of Jahaziel. The total number of men with him was 300.

6Ebed came from the family line of Adin. Ebed was the son of Jonathan. The total number of men with him was 50.

7Jeshaiah came from the family line of Elam. Jeshaiah was the son of Athaliah. The total number of men with him was 70.

8Zebadiah came from the family line of Shephatiah. Zebadiah was the son of Michael. The total number of men with him was 80.

9Obadiah came from the family line of Joab. Obadiah was the son of Jehiel. The total number of men with him was 218.

10Shelomith came from the family line of Bani. Shelomith was the son of Josiphiah. The total number of men with him was 160.

11Zechariah came from the family line of Bebai. Zechariah was the son of Bebai. The total number of men with him was 28.

12Johanan came from the family line of Azgad. Johanan was the son of Hakkatan. The total number of men with him was 110.

13Eliphelet, Jeuel and Shemaiah came from the family line of Adonikam. Some members of their family had gone up to Jerusalem before them. The total number of men with them was 60.

14Uthai and Zakkur came from the family line of Bigvai. The total number of men with them was 70.

Ezra Leads Many Jews Back to Jerusalem

15I gathered the people together at the canal that flows toward Ahava. We camped there for three days. I looked for Levites among the people and priests. But I didn’t find any. 16So I sent for Eliezer, Ariel, Shemaiah, Elnathan and Jarib. I also sent for Elnathan, Nathan, Zechariah and Meshullam. All of them were leaders. And I sent for Joiarib and Elnathan. They were very well educated. 17I ordered all those men to go to Iddo. He was the leader in Kasiphia. He and his Levite relatives were temple servants there. I told my men what to say to them. I wanted Iddo and his Levite relatives to bring some attendants to us for the house of our God. 18God was gracious to us and helped us. So they brought us Sherebiah, a very capable man. He came from the family line of Mahli. Mahli was the son of Levi. Levi was a son of Israel. They also brought us Sherebiah’s sons and brothers. The total number of men was 18. 19And they brought Hashabiah and his brothers and nephews. They brought them together with Jeshaiah. He came from the family line of Merari. The total number of men was 20. 20They also brought 220 of the temple servants. That was a special group David and his officials had established. They were supposed to help the Levites. All of them were listed by name.

21By the canal that flows toward Ahava, I announced a fast. I told the people not to eat any food. In that way, we made ourselves humble in God’s sight. We prayed that he would give us and our children a safe journey. We asked him to keep safe everything we owned. 22I was ashamed to ask King Artaxerxes for soldiers and horsemen. They could have kept us safe from enemies on the road. But we had told the king that our God would keep us safe. We had said, “Our God is gracious and helps everyone who looks to him. But he becomes very angry with anyone who deserts him.” 23So we didn’t eat anything. We prayed to our God about all these matters. And he answered our prayers.

24Then I set apart 12 of the leading priests. They were Sherebiah, Hashabiah and ten of their relatives. 25I weighed out to them the offering of silver and gold and other things. They had been given for the house of our God. The king, his advisers and officials, and all the Israelites who were there had given them. 26I weighed out 24 tons of silver and gave it to those men. I weighed out almost four tons of silver things. I weighed out almost four tons of gold. 27I weighed out 20 gold bowls. They weighed 19 pounds. I also weighed out two fine objects. The bronze they were made out of was highly polished. They were as priceless as gold.

28I said to those men, “You are set apart to the Lord. So are these things. The silver and gold were offered to the Lord by those who chose to give them. He is the God of your people. 29Guard all these things carefully until you weigh them out. Weigh them in the special rooms of the Lord’s temple in Jerusalem. Do this in front of the leading priests and the Levites. Make sure the family leaders of Israel are watching.” 30Then the priests and Levites received the silver and gold and sacred objects. All of them had been weighed out. They were going to be taken to the house of our God in Jerusalem.

31On the 12th day of the first month we started out. We left the canal that flows toward Ahava. And we headed for Jerusalem. Our God helped us. He kept us safe from enemies and robbers along the way. 32So we arrived in Jerusalem. There we rested for three days.

33On the fourth day we weighed out the silver and gold. We also weighed out the sacred objects. We weighed everything in the house of our God. We handed all of it over to Meremoth the priest. He was the son of Uriah. Eleazar, Jozabad and Noadiah were with him. Eleazar was the son of Phinehas. Jozabad was the son of Jeshua. Noadiah was the son of Binnui. Jozabad and Noadiah were Levites. 34Everything was listed by number and weight. And the total weight was recorded at that time.

35Then the people sacrificed burnt offerings to the God of Israel. They had returned from Babylon. They offered 12 bulls for the whole nation of Israel. They offered 96 rams and 77 male lambs. All of that was a burnt offering to the Lord. They sacrificed 12 male goats as a sin offering. 36They also handed over the king’s orders. They gave them to the royal officials and governors who ruled over the land west of the Euphrates River. Then those men helped the people. They also did many things for the house of God.