Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni
(Nehemia 7:4-73)
12:1 2Nya 36:20; Neh 7:6; 11:3; 2Fal 24:16; 25:12; Ezr 5:8; 6:2; Es 1:1; 8:9Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 22:2 1Nya 3:19; 6:14; Hag 2:4; Zek 3:1-10wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):
Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
362:36 1Nya 9:10; 24:7Makuhani:
402:40 Mwa 29:34; Hes 3:9; Ezr 3:9Walawi:
412:41 1Nya 15:16Waimbaji:
422:42 1Sam 3:15; 1Nya 9:17Mabawabu wa lango la Hekalu:
432:43 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu:2:43 Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).
wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54wazao wa Nesia na Hatifa.
552:55 1Fal 9:21Wazao wa watumishi wa Solomoni:
wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
592:59 Hes 1:18Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
612:61 2Sam 17:27; 1Fal 2:7Kutoka miongoni mwa makuhani:
Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
622:62 Hes 16:39-40; 3:10Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 632:63 Neh 8:9; Hes 18:9-11; Kut 28:30; Law 2:3-10Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.2:63 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.
64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 652:65 2Sam 19:35tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. 662:66 Isa 66:20Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 67ngamia 435 na punda 6,720.
682:68 Kut 15:2Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake. 69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,0002:69 Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500. za dhahabu, mane 5,0002:69 Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900. za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
702:70 1Nya 9:2; Neh 11:3-4Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
รายชื่อเชลยที่กลับมา
(นหม.7:6-73)
1ต่อไปนี้เป็นรายชื่อผู้ที่กลับมาหลังจากที่ถูกกษัตริย์เนบูคัดเนสซาร์แห่งบาบิโลนกวาดต้อนไปยังบาบิโลน (พวกเขากลับมาบ้านเกิดเมืองนอนของตนในเยรูซาเล็มและยูดาห์ 2พร้อมกับเศรุบบาเบล เยชูอา เนหะมีย์ เสไรอาห์ เรเอไลยาห์ โมรเดคัย บิลชาน มิสปาร์ บิกวัย เรฮูม และบาอานาห์)
จำนวนประชากรอิสราเอลได้แก่
36ปุโรหิตได้แก่
40คนเลวีได้แก่
41คณะนักร้องได้แก่
42ยามเฝ้าประตูพระวิหารได้แก่
43ผู้ช่วยงานในพระวิหารได้แก่
วงศ์วานของ
ศีหะ ฮาสูฟา ทับบาโอท
44เคโรส สีอาฮา พาโดน
45เลบานาห์ ฮากาบาห์ อักขูบ
46ฮากาบ ชัลมัย ฮานัน
47กิดเดล กาฮาร์ เรอายาห์
48เรซีน เนโคดา กัสซาม
49อุสซา ปาเสอาห์ เบสัย
50อัสนาห์ เมอูนิม เนฟัสสิม
51บัคบูค ฮาคูฟา ฮารฮูร์
52บัสลูท เมหิดา ฮารชา
53บารโขส สิเสรา เทมาห์
54เนซิยาห์ และฮาทิฟา
55วงศ์วานของข้าราชบริพารของโซโลมอน ได้แก่
วงศ์วานของ
โสทัย หัสโสเฟเรท เปรุดา
56ยาอาลา ดารโคน กิดเดล
57เชฟาทิยาห์ ฮัททิล โปเคเรทหัสเซบาอิม และอามี
59อีกกลุ่มหนึ่งซึ่งเดินทางมาจากเมืองเทลเมลาห์ เทลหารชา เครูบ อัดโดน และอิมเมอร์ แต่พวกเขาไม่มีหลักฐานว่าครอบครัวของพวกเขาสืบเชื้อสายจากอิสราเอลได้แก
61และจากพวกปุโรหิตได้แก่
วงศ์วานของ
โฮบายาห์ ฮักโขส และบารซิลลัย (ซึ่งแต่งงานกับบุตรสาวคนหนึ่งของบารซิลลัยชาวกิเลอาด และได้ชื่อตามนั้น)
62คนเหล่านี้ได้ค้นหาบันทึกลำดับวงศ์ตระกูลแต่ไม่พบ จึงไม่ถูกรวมอยู่ในกลุ่มปุโรหิตเพราะถือว่าเป็นมลทิน 63ผู้ว่าการสั่งห้ามพวกเขารับประทานอาหารบริสุทธิ์ที่สุด จนกว่าจะมีปุโรหิตทูลถามเรื่องนี้ผ่านทางอูริมและทูมมิม
64คนกลุ่มนี้มีทั้งหมด 42,360 คน 65ไม่รวมคนรับใช้ชายหญิง 7,337 คน และคณะนักร้องชายหญิง 200 คน 66พวกเขามีม้า 736 ตัว ล่อ 245 ตัว 67อูฐ 435 ตัว และลา 6,720 ตัว
68เมื่อพวกเขามาถึงพระนิเวศขององค์พระผู้เป็นเจ้าในเยรูซาเล็ม หัวหน้าครอบครัวบางคนได้ถวายเครื่องบูชาตามความสมัครใจเพื่อสร้างพระนิเวศของพระเจ้าขึ้นใหม่ในที่เดิม 69แต่ละคนถวายเข้าคลังเพื่องานนี้ตามกำลังความสามารถ รวมแล้วได้ทองคำประมาณ 500 กิโลกรัม2:69 ภาษาฮีบรูว่า 61,000 แดรกมากับเงินประมาณ 2.9 ตัน2:69 ภาษาฮีบรูว่า 5,000 มินา และเครื่องแต่งกายปุโรหิต 100 ชุด
70ปุโรหิต คนเลวี คณะนักร้อง ยามเฝ้าประตูพระวิหาร และผู้ช่วยงานในพระวิหาร เข้าอาศัยในเมืองของตนพร้อมกับประชาชนอีกจำนวนหนึ่งและชนอิสราเอลที่เหลือตั้งถิ่นฐานในเมืองของตน