Ezra 2 – NEN & BDS

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezra 2:1-70

Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

(Nehemia 7:4-73)

12:1 2Nya 36:20; Neh 7:6; 11:3; 2Fal 24:16; 25:12; Ezr 5:8; 6:2; Es 1:1; 8:9Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake, 22:2 1Nya 3:19; 6:14; Hag 2:4; Zek 3:1-10wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:

32:3 Ezr 10:25; Neh 3:25wazao wa Paroshi 2,1724wazao wa Shefatia 37252:5 Neh 6:18wazao wa Ara 7756wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,8127wazao wa Elamu 1,2548wazao wa Zatu 9459wazao wa Zakai 76010wazao wa Bani 64211wazao wa Bebai 62312wazao wa Azgadi 1,222132:13 Ezr 8:13; 7:18wazao wa Adonikamu 66614wazao wa Bigwai 2,05615wazao wa Adini 45416wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 9817wazao wa Besai 32318wazao wa Yora 11219wazao wa Hashumu 223202:20 Yos 9:17wazao wa Gibari 95

212:21 Mik 5:2; 1Nya 2:51; Rut 1:19; Mt 2:6; 2Sam 21:2; Mwa 35:19watu wa Bethlehemu 12322watu wa Netofa 5623watu wa Anathothi 12824watu wa Azmawethi 4225wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743262:26 Yos 18:25; 1Sam 7:17; Yer 31:15wazao wa Rama na Geba 62127watu wa Mikmashi 122282:28 Mwa 12:8watu wa Betheli na Ai 22329wazao wa Nebo 5230wazao wa Magbishi 156312:31 Ezr 2:7wazao wa Elamu ile ingine 1,25432wazao wa Harimu 32033wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725342:34 Kum 34:3; 2Nya 28:15; 1Fal 16:34wazao wa Yeriko 34535wazao wa Senaa 3,630

362:36 1Nya 9:10; 24:7Makuhani:

wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973372:37 1Nya 24:14; Ezr 10:20wazao wa Imeri 1,052382:38 1Nya 9:12; Ezr 10:22wazao wa Pashuri 1,247392:39 1Nya 24:8wazao wa Harimu 1,017

402:40 Mwa 29:34; Hes 3:9; Ezr 3:9Walawi:

wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74

412:41 1Nya 15:16Waimbaji:

wazao wa Asafu 128

422:42 1Sam 3:15; 1Nya 9:17Mabawabu wa lango la Hekalu:

wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139

432:43 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu:2:43 Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).

wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,

45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,

46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,

47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,

48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,

49wazao wa Uza, Pasea, Besai,

50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,

51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

54wazao wa Nesia na Hatifa.

552:55 1Fal 9:21Wazao wa watumishi wa Solomoni:

wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

57wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

582:58 1Fal 9:21; Ezr 7:7; Yos 9:21-27; 1Nya 9:2Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392

592:59 Hes 1:18Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

60wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652

612:61 2Sam 17:27; 1Fal 2:7Kutoka miongoni mwa makuhani:

Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

622:62 Hes 16:39-40; 3:10Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi. 632:63 Neh 8:9; Hes 18:9-11; Kut 28:30; Law 2:3-10Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.2:63 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360; 652:65 2Sam 19:35tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200. 662:66 Isa 66:20Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 67ngamia 435 na punda 6,720.

682:68 Kut 15:2Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake. 69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,0002:69 Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500. za dhahabu, mane 5,0002:69 Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900. za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

702:70 1Nya 9:2; Neh 11:3-4Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

La Bible du Semeur

Esdras 2:1-70

La liste des Judéens rentrés d’exil

1Voici la liste2.1 La liste qui suit se retrouve en Né 7.6-72. des hommes originaires du district de Juda que Nabuchodonosor, roi de Babylone, avait déportés à Babylone et qui sont revenus de la captivité à Jérusalem et en Juda, chacun dans sa ville. 2Ils revinrent sous la conduite de Zorobabel, Josué, Néhémie2.2 A ne pas confondre avec le Néhémie dont le livre biblique porte le nom et qui vivra près d’une centaine d’années plus tard (voir Né 1.1 et note)., Seraya, Réélaya, Mardochée2.2 Différent du Mardochée dont parle le livre d’Esther (voir Est 2.5) ; c’était un nom courant à Babylone (dérivé de Mardouk, dieu de Babylone)., Bilshân, Mispar, Bigvaï, Rehoum, Baana.

Et voici le compte des Israélites :

3Descendants de Pareosh : 2 172.

4Descendants de Shephatia : 372.

5Descendants d’Arah : 775.

6Descendants de Pahath-Moab, de la postérité de Josué et de Joab : 2 812.

7Descendants d’Elam : 1 254.

8Descendants de Zatthou : 945.

9Descendants de Zakkaï : 760.

10Descendants de Bani : 642.

11Descendants de Bébaï : 623.

12Descendants d’Azgad : 1 222.

13Descendants d’Adoniqam : 666.

14Descendants de Bigvaï : 2 056.

15Descendants d’Adîn : 454.

16Descendants d’Ather, de la lignée d’Ezéchias : 98.

17Descendants de Betsaï : 323.

18Descendants de Yora : 112.

19Descendants de Hashoum : 223.

20Descendants de Guibbar : 95.

21Descendants de Bethléhem : 1232.21 Les v. 21-35 nomment une série de villes et de villages, principalement dans le territoire de Benjamin, au nord de Jérusalem..

22Ressortissants de Netopha : 56.

23Ressortissants d’Anatoth : 128.

24Descendants d’Azmaveth : 42.

25Descendants de Qiryath-Yearim, de Kephira et de Beéroth : 743.

26Descendants de Rama et de Guéba : 621.

27Ressortissants de Mikmas : 122.

28Ressortissants de Béthel et d’Aï : 223.

29Descendants de Nébo : 52.

30Descendants de Magbish : 156.

31Descendants de l’autre Elam : 1 254.

32Descendants de Harim : 320.

33Descendants de Lod, de Hadid et d’Ono : 725.

34Descendants de Jéricho : 345.

35Descendants de Senaa : 3 630.

36Pour ce qui est des prêtres :

Descendants de Yedaeya, de la lignée de Josué : 973.

37Descendants d’Immer : 1 052.

38Descendants de Pashhour : 1 247.

39Descendants de Harim : 1 017.

40Pour ce qui est des lévites :

Descendants de Josué et de Qadmiel, du groupe familial de Hodavia : 74.

41Musiciens : les descendants d’Asaph2.41 Asaph fut l’un des trois lévites établis par David pour diriger la musique et le chant (1 Ch 15.16-24 ; 25.1 ; 2 Ch 5.12 ; 35.15). : 128.

42Groupe des portiers2.42 Lévites chargés de surveiller les entrées du Temple. : les descendants de Shalloum, d’Ather, de Talmôn, d’Aqqoub, de Hathitha, de Shobaï, en tout : 139.

43Les desservants2.43 Voir 8.20 ; 1 Ch 9.2. Chargés de tâches subalternes. du Temple : les descendants de Tsiha, de Hasoupha, de Thabbaoth, 44de Qéros, de Siaha, de Padôn, 45de Lebana, de Hagaba, d’Aqqoub, 46de Hagab, de Shalmaï, de Hanân, 47de Guiddel, de Gahar, de Reaya, 48de Retsîn, de Neqoda, de Gazzam, 49d’Ouzza, de Paséah, de Bésaï, 50d’Asna, de Mehounim, de Nephousim, 51de Baqbouq, de Haqoupha, de Har-hour, 52de Batslouth, de Mehida, de Harsha, 53de Barqos, de Sisera, de Thamah, 54de Netsiah, de Hathipha.

55Quant au groupe des descendants des serviteurs de Salomon2.55 Voir Né 7.57, 60 ; 11.3. Peut-être les descendants des ouvriers étrangers engagés à la construction du Temple sous Salomon (voir 1 R 9.20-21)., il comprenait les descendants de Sothaï, de Sophéreth, de Perouda, 56de Yaala, de Darqôn, de Guiddel, 57de Shephatia, de Hatthil, de Pokéreth-Hatsebaïm, d’Ami.

58Total des desservants du Temple et des descendants des serviteurs de Salomon : 392.

59Liste de ceux qui sont venus des villes de Tel-Mélah, de Tel-Harsha, de Keroub-Addân et d’Immer mais qui ne purent pas indiquer quels étaient leur groupe familial et leur ascendance, pour prouver leur origine israélite : 60les descendants de Delaya, de Tobiya et de Neqoda : 652.

61Et parmi les prêtres : les descendants de Hobaya, d’Haqqots et de Barzillaï. Ce dernier tenait son nom de Barzillaï, le Galaadite, dont il avait épousé une fille. 62Ils recherchèrent leurs registres généalogiques, mais ne les trouvèrent pas. Ils furent donc disqualifiés pour l’exercice du sacerdoce, 63et le gouverneur2.63 Voir 1.8 et note. leur ordonna de ne pas manger des aliments consacrés2.63 C’est-à-dire la part des sacrifices qui revenait aux prêtres (voir Lv 6.22 ; 22.10-16 ; Nb 18.9). jusqu’à ce qu’un prêtre ait consulté Dieu à leur sujet par l’ourim et le toummim2.63 Voir Ex 28.30..

64La communauté entière de ceux qui étaient revenus de l’exil comprenait 42 360 personnes 65sans compter leurs 7 337 serviteurs et servantes. Parmi eux se trouvaient 200 musiciens et chanteuses2.65 Certainement des musiciens autres que les lévites des v. 41 et 70, qui se produisaient aux fêtes populaires ainsi que lors des mariages et des enterrements (2 Ch 35.25).. 66Ils avaient 736 chevaux, 245 mulets, 67435 chameaux et 6 720 ânes.

68Lors de leur arrivée au temple de l’Eternel à Jérusalem, plusieurs chefs de groupes familiaux firent des offrandes volontaires pour la reconstruction du temple de Dieu sur son emplacement. 69Ils versèrent, chacun selon ses moyens, au fonds des travaux : 61 000 pièces d’or et 5 000 pièces d’argent, plus 100 tuniques sacerdotales.

70Les prêtres et les lévites, les gens du peuple, les musiciens, les portiers et les desservants du Temple, tous les Israélites s’établirent dans leurs villes d’origine2.70 Voir 1 Ch 9.2 ; Né 11.3..