Ezekieli 30 – NEN & NVI-PT

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 30:1-26

Maombolezo Kwa Ajili Ya Misri

1Neno la Bwana likanijia kusema: 230:2 Isa 13:6; Yak 5:1“Mwanadamu, toa unabii na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Ombolezeni ninyi na mseme,

“Ole wa siku ile!”

330:3 Oba 1:15; Yoe 2:11; Eze 32:7; 34:12; 7:7; Yoe 1:15Kwa kuwa siku ile imekaribia,

siku ya Bwana imekaribia,

siku ya mawingu,

siku ya maangamizi kwa mataifa.

430:4 Eze 29:19; Yer 50:15; 25:19; Dan 11:43; Mwa 10:6; Eze 29:10Upanga utakuja dhidi ya Misri,

nayo maumivu makuu yataijia Ethiopia.

Mauaji yatakapoangukia Misri,

utajiri wake utachukuliwa

na misingi yake itabomolewa.

530:5 Eze 27:10; Yer 25:20; 2Nya 9:14; Nah 3:9Kushi30:5 Kushi ndiyo Ethiopia. na Putu, Ludi na Arabia yote, Libya30:5 Libya ndiyo Kubu. na watu wa nchi ya Agano watauawa kwa upanga pamoja na Misri.

630:6 Eze 29:10“ ‘Hili ndilo Bwana asemalo:

“ ‘Wale walioungana na Misri wataanguka

na kiburi cha nguvu zake kitashindwa.

Kutoka Migdoli hadi Aswani,

watauawa ndani yake kwa upanga,

asema Bwana Mwenyezi.

730:7 Eze 29:12“ ‘Hizo nchi zitakua ukiwa

miongoni mwa nchi zilizo ukiwa,

nayo miji yao itakuwa magofu

miongoni mwa miji iliyo magofu.

830:8 Yer 49:27; Eze 39:6; Nah 1:6; Eze 29:9Ndipo watakapojua kwamba mimi ndimi Bwana,

nitakapoiwasha Misri moto

na wote wamsaidiao watapondwa.

930:9 Kum 31:6; Mt 10:28; Eze 24:3; 44:630:9 Mwa 10:6; Isa 18:1-2; 23:5; Eze 32:9-10; Sef 2:12“ ‘Siku hiyo wajumbe watatoka kwangu kwa merikebu, ili kuwatia hofu Ethiopia, wakiwa katika hali yao ya kuridhika. Maumivu makali yatawapata siku ya maangamizi ya Misri, kwa kuwa hakika itakuja.

1030:10 Yer 39:1; Eze 29:19“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Nitakomesha makundi ya wajeuri ya Misri

kwa mkono wa Nebukadneza mfalme wa Babeli.

1130:11 Eze 28:7; 29:19Yeye na jeshi lake, taifa lililo katili kuliko mataifa yote,

litaletwa ili kuangamiza nchi.

Watafuta panga zao dhidi ya Misri

na kuijaza nchi kwa waliouawa.

1230:12 Isa 19:6; Yer 46:8; Eze 29:9; 19:7Nitakausha vijito vya Naili

na nitaiuza nchi kwa watu waovu,

kwa mkono wa wageni,

nitaifanya nchi ukiwa na kila kitu

kilichomo ndani yake.

Mimi Bwana nimenena haya.

1330:13 Yer 43:12; Isa 19:13; Eze 6:6; Zek 10:11“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Nitaangamiza sanamu

na kukomesha vinyago katika Memfisi30:13 Kiebrania ni Nofu.

Hapatakuwepo tena na mkuu katika nchi ya Misri,

nami nitaeneza hofu katika nchi nzima.

1430:14 Eze 29:14; Hes 13:22; Za 78:12; Yer 46:25Nitaifanya Pathrosi30:14 Pathrosi ni Misri ya Juu. kuwa ukiwa

na kuitia moto Soani,

nami nitaipiga kwa adhabu Thebesi30:14 Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.

15Nitaimwaga ghadhabu yangu juu ya Pelusiumu,30:15 Kiebrania ni Sini.

ngome ya Misri,

nami nitakatilia mbali

makundi ya wajeuri wa Thebesi.

1630:16 Yos 7:15; Isa 19:13Nitaitia moto nchi ya Misri;

Pelusiumu itagaagaa kwa maumivu makuu.

Thebesi itachukuliwa na tufani,

Memfisi itakuwa katika taabu daima.

1730:17 Mwa 41:45Wanaume vijana wa Oni30:17 Yaani Heliopoli (Mji wa Jua). na wa Pi-Besethi30:17 Yaani Bubasti.

wataanguka kwa upanga

nayo hiyo miji itatekwa.

1830:18 Law 26:13; Isa 9:4; Yer 2:16; 43:7Huko Tahpanhesi mchana utatiwa giza

nitakapovunja kongwa la Misri;

hapo kiburi cha nguvu zake kitakoma.

Atafunikwa na mawingu

na vijiji vyake vitatekwa.

1930:19 Eze 28:22Kwa hiyo nitaipiga Misri kwa adhabu,

nao watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’ ”

2030:20 Eze 26:1; 29:17; 32:1Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa kwanza, siku ya saba, neno la Bwana likanijia kusema: 2130:21 Yer 48:25; 44:30; 30:13; 46:11“Mwanadamu, nimevunja mkono wa Farao mfalme wa Misri. Haukufungwa ili upone au kuwekewa kipande cha ubao ili upate nguvu za kuweza kuchukua upanga. 2230:22 Mwa 15:18; Yer 46:25; Za 37:17; Zek 11:17Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na Farao mfalme wa Misri. Nitavunja mikono yake yote miwili, ule mkono ulio mzima pia na ule uliovunjika na kuufanya upanga uanguke toka mkononi mwake. 2330:23 Eze 29:12Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi zote. 2430:24 Zek 10:6-12; 12:5; Eze 21:14; Sef 2:12; Yer 51:52Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli na kuutia upanga wangu mkononi mwake, lakini nitavunja mikono ya Farao, naye atalia kwa huzuni mbele yake kama mtu aliyetiwa jeraha la kumfisha. 2530:25 Kut 7:5; Za 9:16; 59:13; 1Nya 21:12; Isa 10:5; Eze 29:19Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli, lakini mikono ya Farao italegea. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye ataunyoosha dhidi ya Misri. 2630:26 Eze 29:12Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi mbalimbali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.”

Nova Versão Internacional

Ezequiel 30:1-26

Um Lamento pelo Egito

1Esta palavra do Senhor veio a mim: 2“Filho do homem, profetize e diga: Assim diz o Soberano, o Senhor:

“Clamem e digam:

Ai! Aquele dia!

3Pois o dia está próximo,

o dia do Senhor está próximo;

será dia de nuvens,

uma época de condenação para as nações.

4A espada virá contra o Egito,

e angústia virá sobre a Etiópia30.4 Hebraico: Cuxe; também nos versículos 5 e 9..

Quando os mortos caírem no Egito,

sua riqueza lhe será tirada

e os seus alicerces serão despedaçados.

5A Etiópia e Fute, Lude e toda a Arábia, a Líbia30.5 Hebraico: Cube. e o povo da terra da aliança cairão à espada com o Egito.

6“Assim diz o Senhor:

“Os aliados do Egito cairão,

e a sua orgulhosa força fracassará.

Desde Migdol até Sevene

eles cairão à espada.

Palavra do Soberano, o Senhor.

7Serão arrasados

no meio de terras devastadas,

e as suas cidades jazerão

no meio de cidades em ruínas.

8E eles saberão que eu sou o Senhor,

quando eu incendiar o Egito

e todos os que o apoiam forem esmagados.

9“Naquele dia enviarei mensageiros em navios para assustar o povo da Etiópia, que se sente seguro. A angústia se apoderará deles no dia da condenação do Egito, pois é certo que isso acontecerá.

10“Assim diz o Soberano, o Senhor:

“Darei fim à população do Egito

pelas mãos do rei Nabucodonosor, da Babilônia.

11Ele e o seu exército, a nação mais impiedosa,

serão levados para destruir a terra.

Eles empunharão a espada contra o Egito

e a terra se encherá de mortos.

12Eu secarei os regatos do Nilo

e venderei a terra a homens maus;

pela mão de estrangeiros

deixarei arrasada a terra e tudo o que nela há.

“Eu, o Senhor, falei.

13“Assim diz o Soberano, o Senhor:

“Destruirei os ídolos

e darei fim às imagens que há em Mênfis.

Não haverá mais príncipe no Egito,

e espalharei medo por toda a terra.

14Arrasarei o alto Egito30.14 Hebraico: Arrasarei Patros.,

incendiarei Zoã e infligirei castigo a Tebas30.14 Hebraico: No; também nos versículos 15 e 16..

15Derramarei a minha ira sobre Pelúsio30.15 Hebraico: Sim; também no versículo 16.,

a fortaleza do Egito,

e acabarei com a população de Tebas.

16Incendiarei o Egito;

Pelúsio se contorcerá de agonia.

Tebas será levada pela tempestade;

Mênfis estará em constante aflição.

17Os jovens de Heliópolis30.17 Hebraico: Áven. e de Bubastis30.17 Hebraico: Pi-Besete.

cairão à espada,

e a população das cidades

irá para o cativeiro.

18As trevas imperarão em pleno dia

em Tafnes quando eu quebrar o cetro do Egito;

ali sua força orgulhosa chegará ao fim.

Ficará coberta de nuvens,

e os moradores dos seus povoados irão para o cativeiro.

19Assim eu darei castigo ao Egito,

e todos ali saberão que eu sou o Senhor”.

20No sétimo dia do primeiro mês do décimo primeiro ano, a palavra do Senhor veio a mim: 21“Filho do homem, quebrei o braço do faraó, rei do Egito. Não foi enfaixado para sarar, nem lhe foi posta uma tala para fortalecê-lo o bastante para poder manejar a espada. 22Portanto, assim diz o Soberano, o Senhor: Estou contra o faraó, rei do Egito. Quebrarei os seus dois braços, o bom e o que já foi quebrado, e farei a espada cair da sua mão. 23Dispersarei os egípcios entre as nações e os espalharei entre os povos. 24Fortalecerei os braços do rei da Babilônia e porei a minha espada nas mãos dele, mas quebrarei os braços do faraó, e este gemerá diante dele como um homem mortalmente ferido. 25Fortalecerei os braços do rei da Babilônia, mas os braços do faraó penderão sem firmeza. Quando eu puser minha espada na mão do rei da Babilônia e ele a brandir contra o Egito, eles saberão que eu sou o Senhor. 26Eu dispersarei os egípcios no meio das nações e os espalharei entre os povos. Então eles saberão que eu sou o Senhor”.