Esta 10 – NEN & BPH

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Esta 10:1-3

Ukuu Wa Mordekai

110:1 Za 72:10; 97:1Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali. 210:2 Es 8:15; Mwa 41:44Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi? 310:3 Dan 5:7; Mwa 41:40; Neh 2:10Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.

Bibelen på hverdagsdansk

Esters Bog 10:1-3

Mordokajs eftermæle

1Kong Xerxes udskrev skat ud over hele sit rige helt ud til de fjerneste kyster. 2Alle hans bedrifter står optegnet i det medisk-persiske riges krønikebog, som også indeholder en skildring af Mordokajs betydning og den magt, som kongen gav ham. 3Mordokaj blev altså rigets premierminister og kong Xerxes’ højre hånd. Blandt jøderne fik han stor indflydelse, og han var højt respekteret af dem, fordi han altid talte deres sag og gjorde meget for at sikre deres efterkommeres fremtid.