Bildadi Anasema: Yampasa Ayubu Atubu
18:1 Mwa 25:2; Ay 18:1; 25:1Kisha Bildadi Mshuhi akajibu:
28:2 Ay 6:26; 11:2; 2Nya 36:16“Hata lini wewe utasema mambo kama haya?
Maneno yako ni kama upepo mkuu.
38:3 Mwa 18:25; 2Nya 19:7; Kum 32:4; Ay 34:12; Dan 9:14Je, Mungu hupotosha hukumu?
Je, Mwenyezi hupotosha kile kilicho haki?
48:4 Ay 1:5, 18Watoto wako walipomtenda dhambi,
aliwapa adhabu ya dhambi yao.
58:5 Ay 5:8; 11:13; 22:23Lakini ukimtafuta Mungu,
nawe ukamsihi Mwenyezi,
68:6 Za 7:6; Isa 58:9; Ay 5:24; 5:15; 22:27; Isa 65:24ikiwa wewe ni safi na mnyofu,
hata sasa atainuka mwenyewe kwa niaba yako,
na kukurudisha katika mahali pako pa haki.
78:7 Ay 21:13; 22:21; 36:11; Za 25:13; Yer 29:11; 31:17Ijapokuwa mwanzo wako ulikuwa mdogo,
lakini mwisho wako utakuwa wa mafanikio.
88:8 Kum 4:32; 32:7; Za 71:18; Ay 15:18“Ukaulize vizazi vilivyotangulia
na uone baba zao walijifunza nini,
98:9 Mwa 47:9; 2Nya 10:6; Za 39:5-6; 1Nya 29:15; Ay 7:6kwa kuwa sisi tumezaliwa jana tu na hatujui lolote,
nazo siku zetu duniani ni kama kivuli tu.
108:10 Mt 1:8; 2:1-2; 4:1Je, hawatakufundisha na kukueleza?
Je, hawataleta maneno kutoka kwenye kufahamu kwao?
118:11 Ay 40:21; Kut 2:3; Isa 19:6; 35:7Je, mafunjo yaweza kumea mahali pasipo na matope?
Matete yaweza kustawi bila maji?
128:12 Isa 34:4; Yer 17:6; Za 129:6; Yak 1:10, 11; 1Pet 1:24Wakati bado yanaendelea kukua kabla ya kukatwa,
hunyauka haraka kuliko majani mengine.
138:13 Za 50:13; 112:10; Mit 10:28; Yer 15:9; Ay 11:20; 18:14; Isa 33:14; Mt 24:51; Lk 12:1Huu ndio mwisho wa watu wote wanaomsahau Mungu;
vivyo hivyo matumaini ya wasiomjali Mungu huangamia.
148:14 Ay 8:15; 27:18; Isa 59:5Lile analolitumainia huvunjika upesi;
lile analolitegemea ni utando wa buibui.
158:15 Ay 27:18; 8:12; Za 49:11; Mt 7:26-27Huutegemea utando wake, lakini hausimami;
huungʼangʼania, lakini haudumu.
168:16 Za 80:11; 37:35; Isa 16:5; Yer 11:16Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua,
ukieneza machipukizi yake bustanini;
17huifunganisha mizizi yake kwenye lundo la mawe,
na kutafuta nafasi katikati ya mawe.
188:18 Ay 14:20; 7:10; Za 37:36; 103:16Unapongʼolewa kutoka mahali pake,
ndipo mahali pale huukana na kusema,
‘Mimi kamwe sikukuona.’
198:19 Za 113:7Hakika uhai wake hunyauka,
na kutoka udongoni mimea mingine huota.
208:20 Mwa 18:25; Ay 21:30; 1The 5:23-24; Za 37:24“Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia,
wala kuitia nguvu mikono ya mtenda mabaya.
218:21 Ay 5:22; Ezr 3:13; Isa 35:6; Za 47:5; 107:22Bado atakijaza kinywa chako na kicheko,
na midomo yako na kelele za shangwe.
228:22 Za 6:10; Eze 7:27; 1Sam 8:3; Mit 14:11; Ay 18:6Adui zako watavikwa aibu,
nazo hema za waovu hazitakuwepo tena.”
Первая речь Билдада
1Тогда ответил Билдад из Шуаха:
2– Долго ли будешь ты так говорить?
Твои слова – буйный ветер!
3Разве Аллах извращает суд?
Извращает ли Всемогущий правду?
4Если твои дети согрешили против Него,
Он отдал их во власть их греха.
5Но если ты воззовёшь к Аллаху
и помолишься Всемогущему,
6если ты чист и праведен,
то и ныне придёт Он на помощь
и вернёт тебя на должное место.
7Прежнее тебе покажется ничтожным,
настолько велико будет твоё будущее.
8Спроси прежние поколения,
рассмотри, что узнали предки,
9ведь мы родились вчера и ничего не знаем,
наши дни на земле – лишь тень.
10Пусть они научат тебя, пусть наставят,
и пусть изрекут слова своей мудрости:
11«Растёт ли папирус, где нет болот?
Поднимается ли тростник без влаги?
12Даже если они в цвету и ещё не срезаны,
они засыхают быстрее всех трав.
13Таков удел всех, кто забыл Аллаха,
так умирает надежда безбожников.
14Их упование непрочно,
их безопасность – паучья сеть.
15Обопрутся на сеть свою – она не выдержит,
схватятся – не удержит.
16Расцветают они под солнцем,
простирая ветви над садом;
17груду камней оплетая корнями,
пробиваются они меж камней.
18А когда их исторгнут с прежнего места,
само место от них отречётся: „Вы тут и не бывали“.
19Вот вся радость их жизни!
А из земли прорастут другие».
20Нет, не отвергнет Аллах беспорочного
и злодея не поддержит.
21Он ещё наполнит смехом уста твои
и ликованием – рот твой.
22Врагов твоих покроет стыд,
и шатров нечестивых не станет.