Ayubu 7 – NEN & NAV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 7:1-21

Ayubu: Mateso Yangu Hayana Mwisho

17:1 Ay 14:6, 13-14; Isa 40:2; Law 25:50; Za 39:4; Mhu 3:1, 2; Ay 5:7“Je, mwanadamu hana kazi ngumu duniani?

Siku zake si kama zile za mtu aliyeajiriwa?

27:2 Law 19:13; Ay 14:1; Mhu 2:23; Ay 14:6Kama mtumwa anavyovionea shauku vivuli vya jioni,

au mtu aliyeajiriwa anavyoungojea mshahara wake,

37:3 Mhu 4:1; Mao 1:2, 16; Za 39:5; Mhu 1:14; Isa 16:9; Yer 9:1ndivyo nilivyogawiwa miezi ya ubatili,

nami nimeandikiwa huzuni usiku hata usiku.

47:4 Kum 28:67; Ay 7:13-14Wakati nilalapo ninawaza, ‘Itachukua muda gani kabla sijaamka?’

Usiku huwa mrefu, nami najigeuzageuza hadi mapambazuko.

57:5 Ay 17:14; Za 38:5-7; Isa 1:6Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu,

ngozi yangu imetumbuka na kutunga usaha.

Ayubu Anamlilia Mungu

67:6 Za 39:5; 52:9; Isa 38:15; Ay 9:25; 13:15“Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma,

nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.

77:7 Mhu 7:15; Yak 4:14; Ay 9:25; Za 78:39Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi;

macho yangu kamwe hayataona tena raha.

87:8 Isa 41:12; Mdo 20:25; Ay 20:9Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena;

utanitafuta, wala sitakuwepo.

97:9 Ay 30:15; 38:17; 2Sam 12:23; Za 39:13Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka,

vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini7:9 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. harudi tena.

107:10 Ay 18:21; 21:18; 27:21; Za 58:9; Yer 18:17; 19:8; Za 37:10; 104:35Kamwe harudi tena nyumbani mwake;

wala mahali pake hapatamjua tena.

117:11 Za 39:1, 9“Kwa hiyo sitanyamaza;

nitanena kutokana na maumivu makuu ya roho yangu,

nitalalama kwa uchungu wa nafsi yangu.

127:12 Mwa 1:21; Eze 32:2-3; Ay 38:8-11; Isa 1:14Je, mimi ni bahari, au mnyama mkubwa mno akaaye vilindini,

hata uniweke chini ya ulinzi?

137:13 Ay 7:11Ninapofikiri kwamba kitanda changu kitanifariji,

nacho kiti changu cha fahari kitapunguza malalamiko yangu,

147:14 Ay 9:34; 3:26; Mwa 41:8ndipo wanitisha kwa ndoto

na kunitia hofu kwa maono,

157:15 1Fal 19:4; Yn 4:3; Ay 6:9; Ufu 9:6hivyo ninachagua kujinyonga na kufa,

kuliko huu mwili wangu.

167:16 Mwa 27:46; Za 62:9; 1Fal 19:4; Ay 10:1; Mhu 6:11Ninayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi.

Niache; siku zangu ni ubatili.

177:17 Za 144:3; 8:4; Ebr 2:6; Ay 4:19“Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki,

kwamba unamtia sana maanani,

187:18 Ay 23:10; 14:3; Za 139:23; 17:3; 26:2; 66:10; 73:14kwamba unamwangalia kila asubuhi

na kumjaribu kila wakati?

197:19 Ay 7:16; 9:18; 13:26; 14:6; 27:2; Za 139:7Je, hutaacha kamwe kunitazama,

au kuniacha japo kwa kitambo kidogo tu?

207:20 Yer 7:19; Ay 6:4; 16:12; 35:6; Za 36:6Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini,

Ewe mlinzi wa wanadamu?

Kwa nini umeniweka niwe shabaha yako?

Je, nimekuwa mzigo kwako?

217:21 Yer 31:34; Mwa 3:19; Ay 9:28; Ebr 1:3; Za 119:120; 7:5; 22:15; 90:3; 104:29; Isa 43:25Kwa nini husamehi makosa yangu

na kuachilia dhambi zangu?

Kwa kuwa hivi karibuni nitalala mavumbini;

nawe utanitafuta, wala sitakuwepo.”

Ketab El Hayat

أيوب 7:1-21

1أَلَيْسَتْ حَيَاةُ الإِنْسَانِ جِهَاداً شَاقّاً عَلَى الأَرْضِ، وَأَيَّامُهُ كَأَيَّامِ الأَجِيرِ؟ 2فَكَمَا يَتَشَوَّقُ الْعَبْدُ إِلَى الظِّلِّ، وَالأَجِيرُ يَرْتَقِبُ أُجْرَتَهُ، 3هَكَذَا كُتِبَتْ عَلَيَّ أَشْهُرُ سُوءٍ، وَلَيَالِي شَقَاءٍ قُدِّرَتْ لِي. 4إِذَا رَقَدْتُ أَتَسَاءَلُ: مَتَى أَقُومُ؟ وَلَكِنَّ اللَّيْلَ طَوِيلٌ، وَأَشْبَعُ قَلَقاً إِلَى الصَّبَاحِ. 5اكْتَسَى لَحْمِي بِالدُّودِ وَحَمْأَةِ التُّرَابِ، وَجِلْدِي تَشَقَّقَ وَتَقَرَّحَ. 6أَيَّامِي أَسْرَعُ مِنْ مَكُّوكِ النَّسَّاجِينَ، تَتَلاشَى مِنْ غَيْرِ رَجَاءٍ!

7فَاذْكُرْ يَا اللهُ أَنَّ حَيَاتِي لَيْسَتْ سِوَى نَسَمَةٍ، وَأَنَّ عَيْنَيَّ لَنْ تَعُودَا تَرَيَانِ الْخَيْرَ. 8إِنَّ عَيْنَ مَنْ يَرَانِي الآنَ لَنْ تُبْصِرَنِي فِيمَا بَعْدُ، وَتَلْتَفِتُ عَيْنَاكَ إِلَيَّ فَلا تَجِدَانِنِي بَعْدُ. 9كَمَا يَضْمَحِلُّ السَّحَابُ وَيَزُولُ، هَكَذَا الْمُنْحَدِرُ إِلَى الْهَاوِيَةِ لَا يَصْعَدُ، 10لَا يَرْجِعُ بَعْدُ إِلَى مَنْزِلِهِ، وَمَكَانُهُ لَا يَعْرِفُهُ بَعْدُ. 11لِذَلِكَ لَنْ أُلْجِمَ فَمِي، وَسَأَتَكَلَّمُ مِنْ عُمْقِ عَذَابِ رُوحِي، وَأَشْكُو فِي مَرَارَةِ نَفْسِي. 12أَبَحْرٌ أَنَا أَمْ تِنِّينٌ، حَتَّى أَقَمْتَ عَلَيَّ حَارِساً؟ 13إِنْ قُلْتُ: إِنَّ فِرَاشِي يُعَزِّينِي وَمَرْقَدِي يُزِيلُ كُرْبَتِي، 14فَأَنْتَ تُرَوِّعُنِي بِالأَحْلامِ وَتُرْهِبُنِي بِالرُّؤَى. 15لِذَلِكَ فَضَّلْتُ الاخْتِنَاقَ وَالْمَوْتَ عَلَى جَسَدِي هَذَا. 16كَرِهْتُ حَيَاتِي، فَلَنْ أَحْيَا إِلَى الأَبَدِ، فَكُفَّ عَنِّي لأَنَّ أَيَّامِي نَفْخَةٌ. 17مَنْ هُوَ الإِنْسَانُ حَتَّى تَعْتَبِرَهُ وَتُعِيرَهُ كُلَّ اهْتِمَامٍ؟ 18تَفْتَقِدُهُ فِي كُلِّ صَبَاحٍ وَتَمْتَحِنُهُ فِي كُلِّ لَحْظَةٍ؟ 19حَتَّى مَتَى لَا تُحَوِّلُ وَجْهَكَ عَنِّي، وَتَكُفُّ رَيْثَمَا أَبْلَعُ رِيقِي؟ 20إِنْ أَخْطَأْتُ فَمَاذَا أَفْعَلُ لَكَ يَا رَقِيبَ النَّاسِ؟ لِمَاذَا جَعَلْتَنِي هَدَفاً لَكَ؟ لِمَاذَا جَعَلْتَنِي حِمْلاً عَلَى نَفْسِي؟ 21لِمَاذَا لَا تَصْفَحُ عَنْ إِثْمِي وَتُزِيلُ ذَنْبِي، لأَنَّنِي الآنَ أَرْقُدُ فِي التُّرَابِ، وَعِنْدَمَا تَبْحَثُ عَنِّي أَكُونُ قَدْ فَنِيتُ».