Ayubu 5 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 5:1-27

Elifazi Anaendelea

15:1 Ay 15:15; Za 89:5-7; Hab 1:2“Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu?

Ni yupi kati ya hao watakatifu utakayemgeukia?

25:2 Mit 12:16; Gal 5:26; Ay 21:15; 36:13Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu,

nao wivu humchinja mjinga.

35:3 Isa 40:24; Eze 17:6; Za 109:9-10; 37:35; 37:22; Mit 3:33; Ay 4:8; 24:18; Yer 12:2; Mit 6:15Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi,

lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.

45:4 Ay 20:10; 4:11, 19; Amo 5:12; Za 109:12; Isa 9:17; 1Yn 2:1Watoto wake wako mbali na usalama,

hushindwa mahakamani bila mtetezi.

55:5 Law 26:16; Mik 6:15; Amu 2:15; Ay 20:18; 31:8Wenye njaa huyala mavuno yake,

wakiyatoa hata katikati ya miiba,

nao wenye kiu huitamani sana mali yake.

65:6 Ay 4:8Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo,

wala udhia hauchipui kutoka ardhini.

75:7 Mwa 3:17; Mit 22:8; Ay 10:17; 15:35; Za 51:5; 58:3; 90:10Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika,

kwa hakika kama cheche za moto zirukavyo kuelekea juu.

85:8 Za 50:15; 27:14; 35:23; Ay 8:5; 11:13; 13:3, 15; 13:4; 40:1; Yer 12:1; 1Kor 4:1“Lakini ingekuwa ni mimi, ningemlalamikia Mungu,

ningeliweka shauri langu mbele zake.

95:9 Za 78:4; 11:2; Kum 29:9; Ay 9:4, 10; 11:7; 25:2; 26:14; Isa 40:28; Rum 11:23Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa,

miujiza isiyoweza kuhesabika.

105:10 Za 135:7; Yer 14:22; Mt 5:45; Law 26:4; Ay 36:28; 37:6, 13Yeye huipa nchi mvua,

huyapeleka maji kunyesha mashamba.

115:11 1Sam 2:7-8; Ay 4:7; Za 75:7; 113:7-8; Isa 61:2; Rum 12:5; Yak 4:10; Mt 23:12; 5:4Huwainua juu wanyonge,

nao wale waombolezao huinuliwa wakawa salama.

125:12 Isa 8:10; Yer 19:7; Neh 4:15; Isa 19:3; Za 33:10; 78:59; Ay 12:23Huipinga mipango ya wenye hila,

ili mikono yao isifikie ufanisi.

135:13 Za 36:3; Lk 20:23; Ay 37:24; Isa 29:14; 44:25; Yer 8:8; 18:18; 51:57; 1Kor 3:19; 2Kor 11:3Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao,

nayo mipango ya wadanganyifu huifagilia mbali.

145:14 Isa 8:22; Yn 12:35; Amo 8:9; Ay 15:22, 30; 18:6; Kum 28:29Giza huwapata wakati wa mchana;

wakati wa adhuhuri hupapasa kama vile usiku.

155:15 Kut 22:23; Ay 4:10; 8:6; 22:27; 33:26; 36:15; 35:10Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao;

huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu.

165:16 Za 63:11; Rum 3:19; Ay 20:19; 31:16; Mit 17:5; 22:22; Isa 11:4; 41:17; 61:1Kwa hiyo maskini analo tarajio,

nao udhalimu hufumba kinywa chake.

175:17 Sef 3:7; Yak 1:12; Mit 3:11; Yer 31:18; Ebr 12:5-11; Za 94:12; Yak 1:12; Kum 8:5; Ay 33:19; 36:10; Ebr 12:5-11“Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi;

kwa hiyo usidharau adhabu yake Mwenyezi.5:17 Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania Shaddai (hapa na kila mahali katika kitabu hiki cha Ayubu).

185:18 Isa 30:26; Kum 32:39; 1Sam 2:6; Isa 57:15; 61:1; Hos 6:1Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga;

huumiza, lakini mikono yake pia huponya.

195:19 Mit 3:25-26; Kut 12:46; Za 34:19; 91:10; Mit 1:33; 2The 3:3; 2Pet 2:9Kutoka majanga sita atakuokoa;

naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.

205:20 Ay 5:22; Za 33:19; 22:20; 91:7; 140:7; 144:10; Yer 39:18Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo,

naye katika vita atakukomboa na pigo la upanga.

215:21 Za 31:15; 12:2-4; 31:20; 23:4; 27:1; 91:5; Ay 5:15Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi,

wala hutakuwa na sababu ya kuogopa maangamizi yatakapokujia.

225:22 Hos 2:18; Mk 1:14; Ay 8:21; 39:7, 18, 22; 41:29; 5:20; Law 25:18; Za 91:13Utayacheka maangamizo na njaa,

wala hutakuwa na sababu ya kuwaogopa

wanyama wakali wa mwituni.

235:23 2Fal 3:19-25; Mt 13:8; Isa 65:25; Eze 34:25; Za 91:12; Isa 28:15; Hos 2:18; Za 91:12Kwa kuwa utakuwa na agano na mawe ya mashamba,

nao wanyama wa mwitu watakuwa na amani nawe.

245:24 Ay 12:6; 21:9; 8:6; 22:23Utajua ya kwamba hema lako li salama;

utahesabu mali zako wala hutakuta chochote kilichopungua.

255:25 Kum 28:4; Za 72:16; Isa 48:19; 44:3-4Utajua ya kuwa watoto wako watakuwa wengi,

nao wazao wako wengi kama majani ya nchi.

265:26 Kum 11:21; Mhu 8:13; Mwa 15:15; Mit 3:21-26Utaingia kaburini ukiwa na umri wa uzee mtimilifu,

kama masuke ya ngano yakusanywapo kwa wakati wake.

275:27 Ay 32:10; 8:5; 11:13; 22:27“Tumelichunguza hili, nalo ni kweli.

Hivyo lisikie na ulitendee kazi.”

Thai New Contemporary Bible

โยบ 5:1-27

1“ร่ำร้องไปเถิด แต่ใครเล่าจะตอบท่าน?

ท่านจะหันหน้าไปหาเทพเจ้าองค์ไหน?

2คนโง่ตายเพราะโทสะจริต

ความอิจฉาริษยาเข่นฆ่าคนเขลา

3ข้าเองเคยเห็นคนโง่สร้างตัวเป็นหลักเป็นฐาน

แต่ทันใดนั้นบ้านของเขาก็ถูกสาปแช่ง

4ลูกหลานของเขาอยู่อย่างไร้ความปลอดภัย

และถูกคาดคั้นในศาลโดยไม่มีใครปกป้อง

5พืชผลของเขาถูกคนหิวโหยผลาญหมด

แม้แต่ที่ขึ้นในพงหนามก็หมดสิ้น

ทรัพย์สินของเขาถูกคนกระหายฉกฉวยไป

6เพราะความทุกข์ไม่ได้ผุดขึ้นมาจากดิน

ความเดือดร้อนไม่ได้งอกขึ้นจากพื้น

7แต่คนเราเกิดมาเพื่อความทุกข์ยาก

เหมือนประกายไฟย่อมพุ่งขึ้นฟ้า

8“หากเป็นข้า ข้าจะวิงวอนต่อพระเจ้า

ข้าจะนำเรื่องราวของข้าร้องทูลต่อพระองค์

9พระองค์ทรงกระทำการอัศจรรย์

ที่เกินการหยั่งรู้และเหลือคณานับ

10พระองค์ทรงให้ฝนตกลงมาบนโลก

ทรงส่งน้ำเข้ามาในท้องทุ่ง

11ทรงเชิดชูผู้ที่ต่ำต้อย

และทรงยกชูผู้คร่ำครวญขึ้นสู่สวัสดิภาพ

12พระองค์ทรงขัดขวางแผนการของคนเจ้าเล่ห์

เพื่อการงานของเขาจะไม่สำเร็จ

13พระองค์ทรงจับคนฉลาดด้วยเล่ห์เหลี่ยมของเขาเอง

และทรงล้มแผนการของคนชั่ว

14ความมืดมนมาเหนือเขาในยามกลางวัน

กลางวันแสกๆ เขาคลำสะเปะสะปะเหมือนอยู่ในยามกลางคืน

15พระเจ้าทรงช่วยผู้ยากไร้จากวาจาเชือดเฉือนของพวกเขา

ทรงกู้เขาจากอุ้งมือของผู้มีอิทธิพล

16ดังนั้นคนยากจนยังมีความหวัง

และความอยุติธรรมก็เป็นฝ่ายปิดปากเงียบ

17“ความสุขมีแก่ผู้ที่พระเจ้าทรงตักเตือน

ฉะนั้นอย่าดูหมิ่นการตีสั่งสอนขององค์ทรงฤทธิ์

18เพราะพระองค์ทรงทำให้เป็นแผล แต่ก็ทรงสมานรอยแผล

พระองค์ทรงทำให้บาดเจ็บ แต่ก็ทรงรักษาให้หาย

19พระองค์จะทรงกอบกู้ท่านจากอันตรายหกครั้ง

แม้จะมีครั้งที่เจ็ดก็ไม่อาจทำอันตรายท่านได้

20พระองค์จะทรงช่วยท่านให้พ้นจากความตายในยามกันดารอาหาร

และจากคมดาบในยามสงคราม

21ท่านจะได้รับการปกป้องจากคำนินทาว่าร้าย

และไม่จำเป็นต้องหวั่นกลัวเมื่อความพินาศมาถึง

22ท่านจะยิ้มเยาะให้แก่ความพินาศและการกันดารอาหาร

และไม่ต้องหวาดกลัวสัตว์ร้าย

23ท่านจะผูกมิตรกับก้อนหินในทุ่งนา

และหมู่สัตว์ป่าจะญาติดีกับท่าน

24ท่านจะมั่นใจว่าเต็นท์ของท่านมั่นคงปลอดภัย

ตรวจดูทรัพย์สินก็ไม่มีอะไรขาดหาย

25ท่านจะได้ทราบว่าลูกหลานของท่านจะมีมากมาย

และพงศ์พันธุ์ของท่านจะมีมากมายเหมือนหญ้าบนแผ่นดินโลก

26แม้มาถึงหลุมฝังศพ ท่านก็ยังแข็งแรง

เหมือนฟ่อนข้าวที่เก็บเกี่ยวตามฤดูกาล

27“เราได้ตรวจสอบสิ่งเหล่านี้ก็พบว่าเป็นความจริง

ฉะนั้นท่านเองโปรดรับฟังและนำไปปฏิบัติเถิด”