Ayubu 42 – NEN & CARSA

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 42:1-17

Sehemu Ya Tano

(Ayubu 42)

Ayubu Anamjibu Bwana

1Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:

242:2 Mwa 18:14; Yer 32:17; Mt 19:26; 2Nya 20:6; Efe 1:11“Ninajua ya kuwa unaweza kufanya mambo yote,

wala hakuna mpango wako unaoweza kuzuilika.

342:3 Ay 34:35; 38:2; Za 40:5Uliuliza, ‘Ni nani huyu afichaye mashauri yangu bila maarifa?’

Hakika nilisema juu ya mambo niliyokuwa siyaelewi,

mambo ya ajabu mno kwangu mimi kuyajua.

442:4 Ay 38:3; 40:7“Ulisema, ‘Sikiliza sasa, nami nitanena;

nitakuuliza swali, nawe yakupasa kunijibu.’

542:5 Ay 26:14; Rum 10:17; Amu 13:22; Mt 5:8Masikio yangu yalikuwa yamesikia habari zako,

lakini sasa macho yangu yamekuona.

642:6 Eze 6:9; Rum 12:3; Kut 10:3; Ezr 9:6Kwa hiyo najidharau mwenyewe,

na kutubu katika mavumbi na majivu.”

Mwisho: Marafiki Wa Ayubu Wanafedheheshwa

742:7 Yos 1:7; Ay 32:3, 8; 9:15Baada ya Bwana kusema mambo haya yote na Ayubu, akamwambia Elifazi Mtemani, “Nina hasira juu yako na juu ya rafiki zako wawili, kwa sababu hamkusema yaliyo sawa kwa habari yangu, kama alivyosema mtumishi wangu Ayubu. 842:8 Hes 23:29; Eze 45:23; Mwa 20:17; Yak 5:15-17; Ay 22:30Basi sasa chukueni mafahali saba na kondoo dume saba mkamwendee mtumishi wangu Ayubu nanyi mkatoe sadaka za kuteketezwa kwa ajili yenu wenyewe. Mtumishi wangu Ayubu ataomba kwa ajili yenu, nami nitayakubali maombi yake ili nisiwatendee sawasawa na upumbavu wenu. Ninyi hamkusema yaliyo sawa kwa habari yangu, kama alivyosema mtumishi wangu Ayubu.” 942:9 Ay 2:11; Mwa 19:21; 20:17; Eze 14:14Kwa hiyo Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi wakafanya kama Bwana alivyowaambia; naye Bwana akayakubali maombi ya Ayubu.

1042:10 Kum 30:3; Za 14:7; 126:5-6; Yak 5:11Baada ya Ayubu kuwaombea rafiki zake, Bwana akamwondoa kwenye uteka, akamfanikisha tena naye akampa mara mbili ya vile alivyokuwa navyo hapo mwanzoni. 1142:11 Ay 19:13Ndipo ndugu zake wote waume kwa wake na kila mtu aliyemfahamu mwanzoni, wakaja wakala pamoja naye katika nyumba yake. Wakamfariji na kumtuliza moyo juu ya taabu yote Bwana aliyoileta juu yake, nao kila mmoja akampa kipande cha fedha na pete ya dhahabu.

1242:12 Yak 5:11Bwana akaibariki sehemu ya mwisho ya maisha ya Ayubu kuliko ile ya kwanza. Alikuwa na kondoo elfu kumi na nne, ngamia elfu sita, jozi za mafahali elfu moja, na punda wa kike elfu moja. 13Tena alikuwa na wana saba na binti watatu. 14Binti wa kwanza aliitwa Yemima, wa pili Kesia na wa tatu Keren-Hapuki. 15Hapakuwepo mahali popote katika nchi ile yote palipopatikana wanawake wazuri kama binti za Ayubu; naye baba yao akawapa urithi pamoja na ndugu zao.

16Baada ya hili Ayubu akaishi miaka 140; akawaona wanawe na wana wa wanawe hata kizazi cha nne. 1742:17 Mwa 15:15; 25:8Hivyo Ayubu akafa, akiwa mzee aliyekuwa ameshiba siku.

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Аюб 42:1-17

Раскаяние Аюба

1Тогда Аюб ответил Вечному:

2– Я знаю: Ты можешь всё,

и невозможно противиться Тебе.

3Ты спросил:

«Кто этот невежда, омрачающий Мой замысел?»

Да, я говорил о том, чего не понимал,

о делах для меня чудесных, которых я не знал.

4Ты сказал:

«Внимай Мне, и Я буду говорить;

Я буду спрашивать, а ты отвечай».

5Я только слышал о Тебе,

а теперь мои глаза видят Тебя.

6Поэтому я отступаю

и раскаиваюсь в прахе и пепле.

Эпилог

7Сказав это Аюбу, Вечный обратился к Елифазу из Темана:

– Я разгневан на тебя и на двух твоих друзей за то, что вы говорили обо Мне не так верно, как Мой раб Аюб. 8Поэтому возьмите семь молодых быков и семь баранов, пойдите к Моему рабу Аюбу и принесите за себя жертву всесожжения. Мой раб Аюб помолится за вас, и Я приму его молитву и не поступлю с вами по вашей глупости. Вы говорили обо Мне не так верно, как Мой раб Аюб.

9Елифаз из Темана, Билдад из Шуаха и Цофар из Наамы сделали, как велел им Вечный. И Вечный принял молитву Аюба.

10После того как Аюб помолился за своих друзей, Вечный вернул ему благополучие и дал ему вдвое больше того, что было у него прежде. 11Все его братья и сёстры и все, кто знал его прежде, пришли и ели с ним у него в доме. Они жалели и утешали его за все испытания, которые послал ему Вечный. Каждый из них дал ему по мере серебра42:11 Букв.: «по кесите». Кесита – древняя денежная единица, вес и достоинство которой неизвестны. Довольно большой участок земли можно было купить за 100 кесит (см. Нач. 33:19). и по золотому кольцу.

12А Вечный благословил последующие дни Аюба больше, нежели прежние. У него теперь было тринадцать тысяч овец, шесть тысяч верблюдов, тысяча пар волов и тысяча ослиц. 13Ещё у него было семеро сыновей и три дочери. 14Первую он назвал Иемима, вторую Кеция, а третью Керен-Гаппух42:14 Иемима, Кеция и Керен-Гаппух – эти имена, переводимые как «голубка», «цветок корицы» и «рожок для косметики», отражают внешние и душевные достоинства дочерей Аюба.. 15Нигде на земле не было женщин столь прекрасных, как дочери Аюба. Их отец дал им наследство наравне с братьями.

16После этого Аюб прожил ещё сто сорок лет. Он видел своих потомков до четвёртого поколения. 17И умер он в старости, насытившись жизнью.