Ayubu 40 – NEN & TNCV

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 40:1-24

140:1 Ay 5:8; 13:3; 13:3; 9:15; 9:3; 11:8; 33:13Bwana akamwambia Ayubu:

240:2 Rum 9:20“Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha?

Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”

3Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:

440:4 Ay 42:6; Amu 18:19; Ay 29:9; Ezr 9:6; Zek 2:13“Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe?

Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.

540:5 Ay 9:3; 9:15Nimesema mara moja, lakini sina jibu;

naam, nimesema mara mbili,

lakini sitasema tena.”

640:6 Kut 14:21; Ay 38:1Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:

740:7 Ay 38:3“Jikaze kama mwanaume;

nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.

840:8 Ay 15:25; Rum 3:3; Za 51:4“Je, utabatilisha hukumu yangu?

Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?

940:9 2Nya 32:8; Za 98:1; Kut 20:19; Za 29:3-4Je, una mkono kama wa Mungu,

nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?

1040:10 Za 29:1-2; 45:3; 93:1; 96:6; 104:1; 145:5Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari,

nawe uvae heshima na enzi.

1140:11 Nah 1:6; Sef 1:18; Za 18:27; Isa 32:19Fungulia ukali wa ghadhabu yako,

mtafute kila mwenye kiburi umshushe,

1240:12 Za 52:5; 1Pet 5:5; Dan 5:20; Mal 4:3; Lk 18:14mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze,

waponde waovu mahali wasimamapo.

1340:13 Hes 16:31-34; Ay 4:9Wazike wote mavumbini pamoja;

wafunge nyuso zao kaburini.

1440:14 Kut 15:6; Isa 63:5Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia

kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.

1540:15 Ay 9:9; Isa 11:7; 65:25“Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi,40:15 Huyu alikuwa mnyama wa nyakati za zamani ambaye hajulikani hasa ni gani.

niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe,

anayekula majani kama ngʼombe.

1640:16 Ay 39:11; 41:9Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake,

uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!

1740:17 Ay 41:15Mkia wake hutikisika kama mwerezi;

mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.

1840:18 Ay 41:12; Isa 11:4; 49:2Mifupa yake ni bomba za shaba,

maungo yake ni kama fito za chuma.

1940:19 Za 40:5; Isa 27:1Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu,

lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.

2040:20 Za 104:14, 26Vilima humletea yeye mazao yake,

nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.

2140:21 Mwa 41:2; Za 68:30; Isa 35:7; Ay 8:11Hulala chini ya mimea ya yungiyungi,

katika maficho ya matete kwenye matope.

2240:22 Za 1:3; Isa 44:4Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake;

miti mirefu karibu na kijito humzunguka.

23Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu;

yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.

2440:24 2Fal 19:28; Isa 37:29Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho,

au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?

Thai New Contemporary Bible

โยบ 40:1-24

1องค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโยบว่า

2“ผู้ที่โต้แย้งกับองค์ทรงฤทธิ์มีอะไรจะแก้ไขพระองค์หรือ?

ให้คนที่ฟ้องร้องพระเจ้าตอบมาสิ!”

3โยบจึงกราบทูลองค์พระผู้เป็นเจ้าว่า

4“ข้าพระองค์ไม่คู่ควร แล้วข้าพระองค์จะทูลตอบพระองค์ได้อย่างไร?

ข้าพระองค์เอามือปิดปากไว้

5ข้าพระองค์พูดไปแล้ว แต่ข้าพระองค์ไม่มีคำตอบ

พูดไปหลายครั้งหลายหนแล้ว ข้าพระองค์จะไม่พูดอีก”

6แล้วองค์พระผู้เป็นเจ้าตรัสกับโยบจากพายุว่า

7“จงคาดเอวไว้อย่างลูกผู้ชาย

เราจะถาม

แล้วเจ้าจงตอบ

8“เจ้าจะทำให้ความยุติธรรมของเราเสื่อมไปหรือ?

และหาว่าเราผิดเพื่อเจ้าจะเป็นฝ่ายถูกหรือ?

9เจ้ามีแขนแข็งแรงเหมือนแขนของพระเจ้าหรือ?

เจ้าเปล่งเสียงกัมปนาทเหมือนพระเจ้าได้หรือ?

10ถ้าเช่นนั้นจงประดับตัวด้วยศักดิ์ศรีและสง่าราศี

ห่มตัวด้วยเกียรติยศและบารมี

11ระบายความเกรี้ยวกราดของเจ้าออกมาสิ

มองดูทุกคนที่หยิ่งผยองและปราบเขาให้ตกต่ำลงมาสิ

12จงมองดูทุกคนที่หยิ่งผยองและทำให้เขาต่ำลง

บดขยี้คนชั่วร้ายในที่ซึ่งเขายืนอยู่สิ

13จงฝังพวกเขาทุกคนไว้ด้วยกันในฝุ่นธุลี

และกลบหน้าเขาไว้ในหลุมฝังศพ

14แล้วเราเองจะยอมรับว่า

มือขวาของเจ้าช่วยตัวเจ้าเองได้

15“จงมองดูเบเฮโมท40:15 อาจจะเป็นฮิปโปโปเตมัสหรือช้างเถิด

เราได้สร้างมันขึ้นมาเหมือนที่เราสร้างเจ้า

มันกินหญ้าเหมือนวัว

16ดูบั้นเอวอันทรงพลัง

และกล้ามเนื้อท้องของมันสิ!

17หางของมัน40:17 อาจจะเป็นงวงกวัดไกวเหมือนสนซีดาร์

เส้นเอ็นต้นขาของมันสานเข้าด้วยกันอย่างเหนียวแน่น

18กระดูกของมันเหมือนท่อทองสัมฤทธิ์

แข้งขาของมันเหมือนท่อนเหล็ก

19มันจัดอยู่ในอันดับแรกของบรรดาผลงานที่พระเจ้าทรงสร้าง

แต่พระผู้สร้างเข้าใกล้มันพร้อมด้วยดาบ

20ผลผลิตแห่งภูเขาเป็นอาหารของมัน

และสัตว์ป่าทั้งปวงเริงเล่นอยู่ใกล้ๆ

21มันนอนลงใต้กอบัว

กำบังตัวกลางพงอ้อในแอ่งน้ำ

22มันซ่อนตัวใต้เงาบัว

กลางหมู่ต้นปอปลาร์ริมน้ำ

23เมื่อแม่น้ำปั่นป่วน มันไม่ตกใจ

แม้แม่น้ำจอร์แดนอันเอ่อล้นจะซัดเข้าใส่ปากของมัน มันก็ยังมั่นคงปลอดภัย

24ใครสามารถจับมันที่ตา40:24 หรือข้างตาน้ำ แล้วลากไป

หรือดักและสนตะพายจมูกของมันได้?