Elihu Anamkemea Ayubu
133:1 Ay 32:10; 6:28; 13:6“Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu;
zingatia kila kitu nitakachosema.
2Karibu nitafungua kinywa changu;
maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.
333:3 Ay 27:4; 36:4Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu;
midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.
433:4 Mwa 2:7; Ay 10:3; 27:3Roho wa Mungu ameniumba;
pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
533:5 Ay 13:18Unijibu basi, kama unaweza;
jiandae kunikabili mimi.
633:6 Ay 9:32; 4:19Mimi ni kama wewe mbele za Mungu;
mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
733:7 Ay 13:21; 2Kor 2:4Huna sababu ya kuniogopa,
wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
8“Lakini umesema nikiwa ninakusikia,
nami nilisikia maneno yenyewe:
933:9 Ay 10:7; 9:30; 16:17‘Mimi ni safi na sina dhambi;
mimi ni safi na sina hatia.
1033:10 Ay 13:24Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu,
naye ananiona kama adui yake.
1133:11 Ay 13:27; Mit 3:6; Isa 30:21Ananifunga miguu kwa pingu,
tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
1233:12 Mhu 7:20; Za 8:4; Isa 55:8-9“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa,
kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
1333:13 Ay 40:2; Isa 45:9Kwa nini unamlalamikia
kwamba yeye hamjibu mwanadamu?
1433:14 Za 62:11; Mwa 30:2; Mt 27:19Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja,
au wakati mwingine kwa njia nyingine,
ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
1533:15 Mwa 30:2; Mt 27:19Mungu husema na mwanadamu katika ndoto,
katika maono ya usiku,
wakati usingizi mzito uwaangukiapo
wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
1633:16 Ay 36:10anaweza akasemea masikioni mwao,
na kuwatia hofu kwa maonyo,
1733:17 Ay 36:10, 15; 6:4; Za 88:15-16ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya
na kumwepusha na kiburi,
1833:18 Yn 2:6; Zek 9:11; Ay 15:22; Mt 26:52kuiokoa nafsi yake na shimo,
uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
1933:19 Kum 8:5; Za 6:2; Isa 38:13Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake,
kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
2033:20 Za 102; 4; 107:18; Ay 3:24kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula
nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.
2133:21 Ay 2:5; 16:8Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda,
nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika,
sasa inatokeza nje.
2233:22 Ay 38:17; Za 9:13; 88:3; 107:18; 116:3Nafsi yake inakaribia kaburi,
nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.
2333:23 Ay 36:9-10; Mik 6:8; Gal 3:19; Ebr 8:6; 9:15; Ay 36:9-10; Mik 6:8“Kama bado kuna malaika upande wake
kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu,
wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
2433:24 Isa 38:17kumwonea huruma na kusema,
‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni;
nimepata ukombozi kwa ajili yake’:
2533:25 2Fal 5:14ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto;
hurudishwa upya kama siku za ujana wake.
2633:26 Mit 8:35; 2Fal 20:2-5; Lk 2:52; Ezr 3:13; Za 13:5Humwomba Mungu, akapata kibali kwake,
huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha;
Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.
2733:27 Hes 22:34; 2Sam 12:13; Ezr 9:13; Yak 2:13; Lk 15:21Ndipo huja mbele za watu na kusema,
‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki,
lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
2833:28 Kut 15:13; Za 34:22; 107:20; Ay 17:16; 22:20Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni,
nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’
2933:29 Yer 10:23; Flp 2:13“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu;
mara mbili hata mara tatu,
3033:30 Za 49:19; Isa 53:11; Zek 9:11ili aigeuze nafsi yake toka shimoni,
ili nuru ya uzima imwangazie.
3133:31 Yer 23:18; Ay 32:10“Ayubu, zingatia, nisikilize mimi;
nyamaza, nami nitanena.
3233:32 Ay 6:29; 35:2Kama unalo lolote la kusema, unijibu;
sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
3333:33 Mit 10:8, 10, 19; Za 34:11Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi;
nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”
33
1そこでヨブさん、私の言い分を聞いてもらいたい。
2いったん口を開いたからには、話を続けさせてほしい。
3私は腹を割ってほんとうのことを言う。
4神の御霊が私を造り、
全能者の息が私にいのちを与えるからだ。
5反論できるなら、遠慮しないで反論してほしい。
6-7私はあなたが求めているような、
あなたと神の間に立ち、
双方の代弁者になれる人物だ。
あなたを脅したり、怖がらせたりする人たちとは違う。
私も、あなたと同じ、ただの人間だから。
8確かに、あなたは私の聞いているところで、
何度も言った。
9『私は潔白だ。罪など犯していない』と。
10神は重箱の隅をつつくように、
一つのあらも見のがすまいと目を光らせ、
あなたを敵視しているとあなたは言う。
11また、『神は私に足かせをはめ、
ちょっとした動きでも監視する』とこぼしている。
12私の答えを言おう。
このように神を悪しざまに言うことこそが、
そもそも罪なのだ。
神は人より偉大ではないか。
13神が自分のすることを、
あなたにいちいち説明しないからといって、
なぜ神に文句を言うのか。
14神は何度でもお語りになる。
15それも、人が深い眠りについたあと、
夜の夢と幻の中で。
16神はこのような方法で、
人の耳を開き、知恵と訓戒を授け、
17-18その心を変え、思い上がらないように守り、
罪には刑罰のあることを警告し、
罠に落ちないように守る。
19神は、骨は折らないにしても、
人に病気と痛みを送る。
20それで人は、生きる楽しみどころか食欲すら失い、
いかにもおいしそうなごちそうでさえ
見向きもしなくなる。
21彼はやせ細って骨と皮だけになり、
22死の一歩手前に近づく。
23-24しかし、そこに御使いがいて、
友人として彼をとりなし、
彼がいかに正しいかを告げるなら、
神は彼をあわれんでこう言う。
『彼を自由の身にせよ。死なせるな。
彼の身代わりができたからだ。』
25すると彼は、子どものように元気になり、
若さを取り戻して健康になる。
26彼が祈ると、神はすぐさま答え、
喜んで彼を受け入れ、彼を元の働き場に戻す。
27彼は大声で友人に言う。
『私は罪を犯したが、神は釈放してくださった。
28私が死ぬのをお許しにならなかった。
これからは光の中で生活しよう。』
29神はたびたび、このようにして、
30人のたましいを深い穴から引き上げ、
いのちの光の中で生きるようにしてくださる。
31ヨブさん、そのことをよく考えてもらいたい。
話すことはまだある。続けて聞いてもらいたい。
32これまでのところで何か言い分があるなら、
遠慮しないで言ってほしい。
私はあなたの正しさを認めたいと思っているのだから、
喜んで聞く。
33言うことがなければ、
黙って、おとなしく聞いてもらいたい。
これから、あなたに知恵を教えよう。」